
15/10/2025
Dkt.Mpango;Wananchi tudumishe amani,tumuenzi Baba wa taifa
Mbio za mwenge kitaifa kitaifa 2025 zimehitimishwa rasmi mkoani Mbeya baada kukimbizwa kwa siku 195 nchi nzima. Na Hobokela Lwinga Makamu wa Rais Tanzania mhe.Philip Mpango amewataka wananchi wakiwemo vijana kuhakikisha Wanasimamia misingi iliyoachwa na baba wa taifa mwalimu Julias…