Baraka Fm Radio

Baraka Fm Radio Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Baraka Fm Radio, Radio Station, Kadege, Mbeya.

Karibu katika ukurasa wetu wa habari na Burudani BARAKAFM MBEYA tupo tayari kukupa habari muda wotee usiache kusikiliza barakafm 107.7Mhz popote ulipoo pia Bonyeza Link hapo kutufuatili online

Dkt.Mpango;Wananchi tudumishe amani,tumuenzi Baba wa taifa
15/10/2025

Dkt.Mpango;Wananchi tudumishe amani,tumuenzi Baba wa taifa

Mbio za mwenge kitaifa kitaifa 2025 zimehitimishwa rasmi mkoani Mbeya baada kukimbizwa kwa siku 195 nchi nzima. Na Hobokela Lwinga Makamu wa Rais Tanzania mhe.Philip Mpango amewataka wananchi wakiwemo vijana kuhakikisha ‎Wanasimamia misingi iliyoachwa na baba wa taifa mwalimu Julias…

Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi mch.Robert Yondam Pangani ameongoza ibada ya maombolezo ...
02/10/2025

Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi mch.Robert Yondam Pangani ameongoza ibada ya maombolezo ya kumuaga na kumzika mwimbaji wa kwaya ya Paradise kanisa la Moravian ushirika wa Ruanda Jutas Mwaisenye aliyefariki dunia Usiku wa kuamkia October 29,2025.

‎Askofu Pangani ameongoza ibada hiyo akishirikiana na mchungaji wa ushirika wa Ruanda na wachungaji wengine waliohudhuria mazishi hayo.

‎Enzi za uhai wa marehemu alitumika k**a Mwalimu na mshauri wa kwaya.
https://www.instagram.com/p/DPTlw8HDb2y/?igsh=MWdjbWxlbTB1cnZ1Yg==

23/09/2025

Kukopa sio Kesi,ila unakopa na fedha hiyo unafanyia Nini?

Jifunze hapa na kisha tupe mawazo yako unafikri kwanini baadhi ya watu wamekuwa wakikopa na kurejesha mkopo imekuwa ngumu kwako?

Maoni yako yatasomwa na kujibiwa kupitia Baraka fm radio 107.7mhz na kurasa zetu za mitandao ya kijamii.

SMS tuma 0748356783.

TAARIFA KWA UMMA Mwananchi,mwanachama mkoani Mbeya unakaribishwa katika mkutano wa kampeni za chama cha mapinduzi ambapo...
03/09/2025

TAARIFA KWA UMMA

Mwananchi,mwanachama mkoani Mbeya unakaribishwa katika mkutano wa kampeni za chama cha mapinduzi ambapo mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan atafanya mikutano katika halmashauri za mkoa wa Mbeya.

Mbeya DC (Mbalizi mlima reli) 04/09/2025

Mbeya mjini (uwanja vya Airport ya zamani) 04/09/2025.

Rungwe na Mbarali 05/09/2025

Moravian yaadhimisha siku ya kushukiwa na Roho Mtakatifu ndani ya kanisa hilo
13/08/2025

Moravian yaadhimisha siku ya kushukiwa na Roho Mtakatifu ndani ya kanisa hilo

Historia inaonyesha kuwa kanisa la Moravian ndilo kanisa la pili kuanzishwa na la Kwanza duniani kuanzisha uamsho likitokea kanisa catholic.‎‎ Na Hobokela Lwinga ‎‎ kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limeungana na wakristo wa dhehebu hilo kuadhimisha siku…

Matangazo ya moja kwa moja ibada ya hitimisho la mkutano wa vijana A wilaya ya Mbeya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo l...
03/08/2025

Matangazo ya moja kwa moja ibada ya hitimisho la mkutano wa vijana A wilaya ya Mbeya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi.

‎Ibada hii inafanyika katika ushirika wa Iyunga na inaongozwa Katibu wa wilaya ya Mbeya mch.Nuru Mwamahonje .

‎Matangazo haya yapo live Kupitia Nuru Mwamahonje tv pamoja na Baraka KMT TV .

‎Endelea kuwa nasi lakini usisahau kusubscribe, kushare, kulike na kucomment.

‎Mungu akubariki na Mwanakondoo ameshinda ✊......... Tumfuate ✊

baraka kmt online tv

‎Karibu kufuatilia matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa Wilaya wa vijana A unaofanyika hapa katika kanisa la Moravia...
02/08/2025

‎Karibu kufuatilia matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa Wilaya wa vijana A unaofanyika hapa katika kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi ushirika wa Iyunga Mbeya

‎Katika matangazo haya tupo live Kupitia YouTube ya mchungaji ya mch.Nuru Aron Mwamahonje na Baraka KMT TV.

‎Usisahau kusubscribe, kushare kulike na kucomment.

‎Mungu akubariki kwa kuungana nasi.

baraka kmt online tv

Address

Kadege
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Baraka Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Baraka Fm Radio:

Share

Category