Baraka Fm Radio

Baraka Fm Radio Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Baraka Fm Radio, Radio Station, Kadege, Mbeya.

Karibu katika ukurasa wetu wa habari na Burudani BARAKAFM MBEYA tupo tayari kukupa habari muda wotee usiache kusikiliza barakafm 107.7Mhz popote ulipoo pia Bonyeza Link hapo kutufuatili online

Dakika chache zijazo tutakuwa live kutokea Dodoma usiache kutusikiliza
12/06/2025

Dakika chache zijazo tutakuwa live kutokea Dodoma usiache kutusikiliza

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/06/06/6064/
10/06/2025

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/06/06/6064/

Wakati waumini wa kanisa la ufufuo na uzima wakiwa katika sintofahamu kubwa juu ya wapi pa kuabudu, serikali imeendelea kuyafungia makanisa hayo nchi nzima.‎‎ Na Hobokela Lwinga ‎‎‎ Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafunga makanisa sita ya Ufufuo na…

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/06/09/6081/
10/06/2025

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/06/09/6081/

Kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi limeendelea kutoa elimu kwenye taasisi na idara zake kuhusu umuhimu wa kufanya matendo ya huruma yaani udiakonia.‎‎ Na Hobokela Lwinga ‎‎ Walezi na wahudumu wa watoto katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima…

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/06/08/6068/
10/06/2025

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/06/08/6068/

Maisha ni hadithi na huwa yananyauka na k**a maua,hali hiyo unaweza kuifananisha na maisha ya mwanadamu kwani huwa na nyakati tofauti mpaka kukifikia kifo. ‎‎Hobokela Lwinga ‎‎ WatuWatu 28 wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu…

Udiakonia Moravian yawafikia walezi na wazazi kituo cha kulea yatima Amani Nsalaga
09/06/2025

Udiakonia Moravian yawafikia walezi na wazazi kituo cha kulea yatima Amani Nsalaga

Kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi limeendelea kutoa elimu kwenye taasisi na idara zake kuhusu umuhimu wa kufanya matendo ya huruma yaani udiakonia.‎‎ Na Hobokela Lwinga ‎‎ Walezi na wahudumu wa watoto katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima…

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/05/29/6009/
29/05/2025

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/05/29/6009/

Kanisa la Moravian linaoutaratibu wa watumishi wake kustaafu pale wanapofikisha umri wa miaka 60,umri huo unaendana na umri wa kustaafu kwa watumishi wa serikali. ‎‎Na Hobokela Lwinga ‎Waumini wa Kanisa la Moraviani Jimbo la Kusini Magharibi wametakiwa kujiandaa na kushiriki…

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/05/29/6016/
29/05/2025

https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/05/29/6016/

wakristo watakiwa kuacha kuwanyanyapaa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi Na Ezra Mwilwa wito huo umetolewa na Askofu Robert Pangani amesema wameandaa mafunzo hayo yanayolenga kusaidia jamii zetu kuepukana na ongezeko la maambikizi mapya ya maambikizi mapya. katibu…

https://mwasuawards.blogspot.com/2025/05/best-gospel-online-tv.htmlNdugu msikilizaji wetu wa baraka fm kwa unyenyekevu m...
19/05/2025

https://mwasuawards.blogspot.com/2025/05/best-gospel-online-tv.html

Ndugu msikilizaji wetu wa baraka fm kwa unyenyekevu mkubwa tunayo nafasi kukupa taarifa kuwa Tv yetu ya mtandaoni ya BARAKA KMT TV imepata fursa ya kushindaniwa kwenye tuzo zinazotolewa na taasisi ya Mwasu zinazojulikana k**a MWASU AWARDS 2025.Kwa taarifa hiyo tukuombe utupigie kura kwa kubonyeza maandishi yenye rangi hapo juu ☝🏾☝🏾☝🏾☝🏾ili tuwe sehemu ya tuzo hii katika mikoa ya nyanda za juu kusini.

Asante kwa ushirikiano wako

NB:Piga kura mara nyingi uwezavyo 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

BONYEZA HAPA KUPIGA KURA

Moravian Nsonyanga yafanya maombi kuelekea uchaguzi mkuu
19/05/2025

Moravian Nsonyanga yafanya maombi kuelekea uchaguzi mkuu

Ni jukumu la kila mwananchi kuombea taifa ili liendelee kuwa na amani na katika hilo kila mtu anaowajibu wakulinda amani ya nchi. Na Hobokela Lwinga Waumini Wakanisa La Moravian Tanzania Ushirika Wa Nsonyanga Uliopo Halmashauri Ya Mbeya Wamefanya Ibada Ya…

‎Baadhi ya Picha za matukio ibada ya kuliombea kanisa na taifa iliyo fanyika leo katika kanisa la Moravian Tanzania Jimb...
17/05/2025

‎Baadhi ya Picha za matukio ibada ya kuliombea kanisa na taifa iliyo fanyika leo katika kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi ushirika wa Jakaranda (cathedral).

‎Ibada hii imeongozwa na Askofu Robert Yondam Pangani wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi.

‎Katika ibada hiyo iliyoambatana na maombi ya mfungo imehudhuriwa pia na wachungaji wa shirika pamoja na waumini mbalimbali.

‎Endelea kutusikiliza na kutufuatilia Kupitia redio Baraka 107.7Mhz, na kwa matukio mengine tufuatilie kupitia mitandao ya kijamii Facebook na Instagram kwa jina la@barakafmradio na online https://radiotadio.co.tz/barakafm


Mawakala PCT wakumbushwa kuzingatia ununuzi bora wa zao la Pareto
10/05/2025

Mawakala PCT wakumbushwa kuzingatia ununuzi bora wa zao la Pareto

Zao la pareto ni miongoni mwa mazao ya biashara yanayolimwa nchini Tanzania,katika Mikoa ya Mbeya zao hili limekuwa likilimwa katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya,Rungwe,Busokelo na katika mkoa wa Songwe zao hili linalimwa katika wilaya ya Ileje. Na Hobokela Lwinga…

Address

Kadege
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Baraka Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category