Baraka Fm Radio

Baraka Fm Radio Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Baraka Fm Radio, Radio Station, Kadege, Mbeya.

Karibu katika ukurasa wetu wa habari na Burudani BARAKAFM MBEYA tupo tayari kukupa habari muda wotee usiache kusikiliza barakafm 107.7Mhz popote ulipoo pia Bonyeza Link hapo kutufuatili online

https://www.youtube.com/live/DNBG6RhCnPA?si=ROY9HubkUcN8FvPcMatangazo ya moja kwa moja ya Tamasha la uimbaji la vijana k...
30/11/2025

https://www.youtube.com/live/DNBG6RhCnPA?si=ROY9HubkUcN8FvPc

Matangazo ya moja kwa moja ya Tamasha la uimbaji la vijana kati kanisa la Moravian Isyesye.

Unaweza kusubscribe na kushare kwa wengine ila wote tuendelee kubarikiwa na ibada hii.

MUNGU AKUBARIKI KWA KUTUTAZAMA.

Karibu sana katika Ibada Maalumu ya mwisho wa mwezi kutoka kanisa la Moravian tanzania jimbo la kusini magharibi ushirika wa ISYESYE. Barakamediambeya

06/11/2025
06/11/2025
06/11/2025
Mwenyekiti kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Mchungaji Paul Mwambalaswa(kulia) leo amewaongoza waomb...
06/11/2025

Mwenyekiti kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Mchungaji Paul Mwambalaswa(kulia) leo amewaongoza waombolezaji katika ibada ya mazishi ya mtumishi wa taasisi za kanisa aliyefariki October 29.10.2025.Kushoto ni Katibu Mkuu KMT -JKM mchungaji Nsevilwe Msyaliha na katika ni mchungaji wa ushirika wa Nzovwe Jonam Msangawale

Mazishi yamefanyika katika makaburi ya Iwambi jijini Mbeya.
https://www.instagram.com/p/DQuftD6jQPu/?igsh=MXc0ZnBkOHFocnNlcQ==

Askofu Pangani afungua mkutano mkuu & #8220;sinodi& #8221;KMT-JKM,awataka wajumbe kuepuka kampeni za kupata viongozi
21/10/2025

Askofu Pangani afungua mkutano mkuu & #8220;sinodi& #8221;KMT-JKM,awataka wajumbe kuepuka kampeni za kupata viongozi

Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi kila baada ya miaka mitano linafanya mkutano mkuu. ‎‎Na Hobokela Lwinga ‎‎Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi mch.Robert Pangani amewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa kanisa hilo” Sinodi”kujiepusha…

Dkt.Mpango;Wananchi tudumishe amani,tumuenzi Baba wa taifa
15/10/2025

Dkt.Mpango;Wananchi tudumishe amani,tumuenzi Baba wa taifa

Mbio za mwenge kitaifa kitaifa 2025 zimehitimishwa rasmi mkoani Mbeya baada kukimbizwa kwa siku 195 nchi nzima. Na Hobokela Lwinga Makamu wa Rais Tanzania mhe.Philip Mpango amewataka wananchi wakiwemo vijana kuhakikisha ‎Wanasimamia misingi iliyoachwa na baba wa taifa mwalimu Julias…

Address

Kadege
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Baraka Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Baraka Fm Radio:

Share

Category