Ukweli TU ukichelewa umepoteza Kila kitu

Ukweli TU ukichelewa umepoteza Kila kitu unlearn everything you have been educated because they are all wrong

A call!!!!! Hey ladies and Gentlemen please....mnapaswa kujua kukusanya umati mkubwa k**a huu kuupeleka Jehanam ni kitu ...
17/10/2024

A call!!!!! Hey ladies and Gentlemen please....mnapaswa kujua kukusanya umati mkubwa k**a huu kuupeleka Jehanam ni kitu ambacho mtakitolea hesabu siku Kuu....
Nyie ni miongoni mwa wale ambao wenye sifa za utauwa lakini mkazikana nguvu za Mungu wetu muumba ardhi na mbingu...
Hey please hakuna mwenye kujua k**a alipo ni njia sahihi ila ninyi mnaenda Jumapili kanisani kuabudu mna kiti chenu mahala....
I swear you are all lost please tambueni ukweli mnajua ila mnajifanya hamjui...siku inakuja mtaanza kuwakataa hao wafata mihula wanawaongoza... Just imagine Kila jumapili mtu unapoteza muda kwenda kufanya nothing 🥹
SHAMELESS wake up brothers and sisters the time is over 😭
Universal African church of God
Gervas Sichalwe

30/09/2024

Kumbuka mkishazini Nini tokeo la huo uzinifu....halafu jumapili ikifika mnajifanya mmevaa Kwato mnaenda kanisan kudanganya ety walokole....damn enough mnatembea Hadi na mababu na baba zenu Wanawapa vijihela vya kujikimu mnajiona watu mbele za watu.... HIZO DAMU ZIPO JUU YA VICHWA VYENU DAIMA,,,SI ni ujanja kuua watoto mwanetuuuu sawaaa mwanetuuuu we mjanja💡✅

Sio Kwa ubaya lakin ni katika kukumbushana Kuna watu mnaona k**a Kila kitu mnajua yaani Mr kujua... Anyways sisi sio wa ...
15/08/2024

Sio Kwa ubaya lakin ni katika kukumbushana Kuna watu mnaona k**a Kila kitu mnajua yaani Mr kujua... Anyways sisi sio wa so polite kiivo kiasi kwamba Kila neno bovu tunabaki nalo...sisi wengine tuna nidhamu na akili zaidi yenu that's why hua tunawapa nafasi muonekane mnajua sana mbele ya wenye busara na wasikivu wanaowasikiliza....
Chuki hazijengi na hakuna aliekwambia ukimchukia mtu utachukua talanta zake lazima utambue mjinga kumchukia mwerevu hakumfanyi kuwa na akili..... POOR YOU watu wa kuzimu

Je wajua,hiki kinaitwa Moloch cauldron hutumiwa na jamii za kishetani za wakati huu kuchemsha maji na kiwaweka watoto wa...
26/07/2024

Je wajua,hiki kinaitwa Moloch cauldron hutumiwa na jamii za kishetani za wakati huu kuchemsha maji na kiwaweka watoto wachanga Kisha kuwala watoto k**a supu....

Karibu katika Page hii utaweza kujifunza mambo mbali mbali ambayo naamini hukuwahi kujifunza....
26/07/2024

Karibu katika Page hii utaweza kujifunza mambo mbali mbali ambayo naamini hukuwahi kujifunza....

Address

Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ukweli TU ukichelewa umepoteza Kila kitu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ukweli TU ukichelewa umepoteza Kila kitu:

Share