
17/10/2024
A call!!!!! Hey ladies and Gentlemen please....mnapaswa kujua kukusanya umati mkubwa k**a huu kuupeleka Jehanam ni kitu ambacho mtakitolea hesabu siku Kuu....
Nyie ni miongoni mwa wale ambao wenye sifa za utauwa lakini mkazikana nguvu za Mungu wetu muumba ardhi na mbingu...
Hey please hakuna mwenye kujua k**a alipo ni njia sahihi ila ninyi mnaenda Jumapili kanisani kuabudu mna kiti chenu mahala....
I swear you are all lost please tambueni ukweli mnajua ila mnajifanya hamjui...siku inakuja mtaanza kuwakataa hao wafata mihula wanawaongoza... Just imagine Kila jumapili mtu unapoteza muda kwenda kufanya nothing 🥹
SHAMELESS wake up brothers and sisters the time is over ðŸ˜
Universal African church of God
Gervas Sichalwe