SokaPlace

SokaPlace Pata Habari za Michezo kila siku kutoka katika vyanzo mbali mbali vya Duniani


Brand Ambassador
Mwanjelwa Agrovetcenter
(1)

07/08/2026

🌾 SIKU YA SABA YA MAONESHO YA NANE NANE – MBEYA 🌾

🌱 MBEGU BORA ZA SeedCo Tanzania CHAGUO LA MKULIMA MWENYE MALENGO YA MAVUNO BORA

Mwanjelwa Agrovet ni mmoja wa mawakala wa SeedCo, tukikuletea mbegu bora kwa ajili ya kilimo chenye tija.

πŸ“ Tutembelee kwenye Mabanda ya SeedCo katika Maonesho ya Nane Nane Mbeya.

Karibuni wakulima wote kujionea mbegu za SeedCo na kupata ushauri wa kitaalamu kuhusu uchaguzi wa mbegu unaoendana na mahitaji ya shamba lako. πŸŒ±πŸ‘¨β€πŸŒΎ

πŸ“ž Tupigie: 0715 691 001
πŸ“± Instagram: MWANJELWA AGROVET CENTER LTD
🌱 Mwanjelwa Agrovet Mbegu bora, mwanzo wa mavuno bora

Magazeti Yote Michezo Leo   Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD
07/08/2026

Magazeti Yote Michezo Leo


Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Kutoka SOREFA   Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD
06/08/2026

Kutoka SOREFA


Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Katika tamasha la Yanga Day 2026, Young Africans SC (Yanga) watacheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya FC Les Ai...
06/08/2026

Katika tamasha la Yanga Day 2026, Young Africans SC (Yanga) watacheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya FC Les Aigles du Congo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Timu hiyo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya (pre-season) na mchezo huo wa kujiandaa na msimu.


Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Singida Black Stars Yapangwa Kukutana na Al Ghazala ya Sudan Kusini CAF Confederation CupSingida Black Stars imepangwa k...
06/08/2026

Singida Black Stars Yapangwa Kukutana na Al Ghazala ya Sudan Kusini CAF Confederation Cup

Singida Black Stars imepangwa kucheza dhidi ya Al Ghazala ya Sudan Kusini katika hatua ya awali ya michuano ya CAF Confederation Cup, kufuatia droo ya mashindano hayo iliyofanyika leo.

Mwakilishi huyo wa Tanzania ataanza kampeni yake ya kimataifa kwa mechi mbili za nyumbani na ugenini dhidi ya Al Ghazala, huku mshindi wa jumla akifuzu hatua inayofuata ya mtoano.

Singida Black Stars itaingia kwenye pambano hilo ikiwa na lengo la kuandika historia katika ushiriki wake wa michuano ya CAF Confederation Cup na kuiwakilisha vyema Tanzania kwenye mashindano ya ngazi ya klabu barani Afrika.


Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Young Africans SC (Yanga) itaanza kampeni yake ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) kwa kucheza dhidi ya Ga...
06/08/2026

Young Africans SC (Yanga) itaanza kampeni yake ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) kwa kucheza dhidi ya Gaborone United ya Botswana katika hatua ya awali ya mashindano hayo.

Mchezo huo utakuwa mwanzo wa safari ya Yanga kuelekea hatua ya makundi ya michuano hiyo.


Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Jezi ya Tatu ya klabu ya YANGA SC Kwa ajili ya Mashindano Msimu HuuNeno Moja Kwao Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER ...
06/08/2026

Jezi ya Tatu ya klabu ya YANGA SC Kwa ajili ya Mashindano Msimu Huu

Neno Moja Kwao

Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Jezi za Ugenini za klabu ya YANGA SC Kwa ajili ya Msimu mpya wa Mashindano Neno Moja Kwao  Sponsored by MWANJELWA AGROVE...
06/08/2026

Jezi za Ugenini za klabu ya YANGA SC Kwa ajili ya Msimu mpya wa Mashindano

Neno Moja Kwao


Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Jezi za Nyumbani za klabu ya YANGA SC Kwa ajili ya Msimu Mpya wa mashindano.Neno Moja kwao  Sponsored by MWANJELWA AGROV...
06/08/2026

Jezi za Nyumbani za klabu ya YANGA SC Kwa ajili ya Msimu Mpya wa mashindano.

Neno Moja kwao


Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Update kuhusu Feisal Salum Na Nasri KulembaIpo hivi ; ni ngumu sana kwa soka la Africa na Tanzania kupata taarifa za nda...
06/08/2026

Update kuhusu Feisal Salum

Na Nasri Kulemba

Ipo hivi ; ni ngumu sana kwa soka la Africa na Tanzania kupata taarifa za ndani hasa kwenye suala la usajili ,na hii inatokana na usiri mkubwa ulivyo kati ya wachezaji na vilabu na zaidi mawakala pia wamekua hawatoi majibu ya maja kwa moja .

Na ndivyo ilivyo kwenye hili suala la uhamisho wa fei Tofo ; Hisia na makisio ndio zinaongoza tetesi zinazomuhusu pasina uhalisia wenyewe .Maana ya wazi ;nyingi ni tetesi ambazo si halisi .

Tunaendaje : Hili ndio swali la msingi -
Azam wameweka kipengele cha ununuzi wa Feisal kwenye mkataba wake ambacho ni USD 715,000 β‰ˆ TSh bilioni 1.88. (kwa mujibu wa vyanzo )

Ikiwa k**a kuna timu inamtaka basi wafike dau hilo (Release clause) hii haiitaji mazungumzo na Klabu ya Azam - Wewe utakachofanya ni kuongea maslahi binafsi na mchezaji k**a alivyofanya Neymar dhidi ya Barcelona .

Sasa mpango mzuri ni huu - Ikiwa wao Azam wapo tayari kumuuza Feisal Salumu hapo ndipo kutakua na room ya mazungumzo ya klabu na klabu na haitajalisha kufikia kiwango hicho cha Release Clouse .

Sasa swali la msingi Azam wapo tayari kumuuza Fei Toto : ndipo napata wasiwasi kuwa hii inshu inaigumu sana kwa vilabu vyetu kutoa kiasi hicho cha pesa kwa mchezaji mmoja .

Ugumu mkubwa upo wapi !! Hata k**a Simba sc ama Yanga sc inapofika dau hilo la Mkataba wa Feisal kumbuka kuna signing fee Ada ya usajili ya mchezaji (au bonasi ya usajili) ni kiasi cha pesa taslimu kinacholipwa moja kwa moja na klabu kwa mchezaji k**a motisha ya kusaini mkataba.

Hapa unazungumzia Pesa isiopungua million 500 za kitanzania - Plus mshahara na bonus .. Yaani unazungumzia zaidi ya bilion 3 kumtoa Feisal Azam ..

Nadhani nimekupa mukhtasari mkubwa na wewe ndio utapambanua ni kweli hizi tetesi zinaendana na uhalisia wa mambo .

N.B

Usajili huu ni mgumu kuliko tunavyofikiria japo hakuna kinachoshindikana .


Sponsored by MWANJELWA AGROVET CENTER LTD

Address

Mbeya

Telephone

+255753201831

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SokaPlace posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SokaPlace:

Shortcuts

Share