Wamzi Cosmetics Mbeya

Wamzi Cosmetics Mbeya ✍️UKURASA WA DUKA MTANDAO LA UREMBO NA VIPODOZI ORIGINAL
🇹🇿 BIDHAA ZETU NI:
1. PERFUME
2. VIPODOZI NA
3.

VIFAA VYA SALON

Tupo Mwanjelwa Mbeya Mjini
☎️ 0743 18 1985 au 0742 116 359

KARIBU SANA MTEJA WANGU

JE, WAJUA KWANINI NENO MAANDAMANO KWA TANZANIA LINATUPA HOFU SISI AMBAO TUNAHITAJI AMANI ITAWALE?    Leo nakudokeza kwa ...
23/10/2025

JE, WAJUA KWANINI NENO MAANDAMANO KWA TANZANIA LINATUPA HOFU SISI AMBAO TUNAHITAJI AMANI ITAWALE?

Leo nakudokeza kwa ufupi, kuwa MAANDAMANO sio tatizo na kwenye katiba kwa wataalamu wa Sheria wananielewa kuwa yanaruhusiwa.
K**a mnavyojua kwenye maandamano kila mtu ana namna anavyowaza na kuyafanyia kazi, hivyo kuna chombo ambacho kinasimamia RAIA na Mali zao. Hiki chombo kinapaswa kupewa taarifa ili kiweze kutoa ruksa, endapo wale wenye nia Ovu watakapoinuka basi hiki chombo kiweze kulinda Raia wake na mali zao zisihalibiwe.

Hicho chombo kina hatua moja mbele, kujua aina ya watu na aina ya maandamano yanayotakiwa kifanywa. K**a hicho chombo hakijaridhishwa na uratibu wa maandamano hayo, wahusika wa maandamano hawatapaswa kufanya maandamano. Kwasababu chombo kinacholinda raia na mali zao, kimeona madhara yake.

KWA UCHACHE HUO, TUNAPASWA KULIOMBEA TAIFA KWA PAMOJA ILI KUINUA MIOYO YA WALIOVUNJIKA NA KUKATA TAMAA.
Kwenye maisha kila mtu anaguswa kwa namna yake, naomba saana kuwa pale tunapoona hapapo sawa zipo njia nyingine za kuhakikisha panakuwa sawa.

Mfn:
Huu ni Mwaka wa Uchaguzi, kuna vyama havijashiriki kampezni za uchaguzi na wanachama wake inamaana hawatashiriki. Vile ambavyo vimeshiriki kampeni za Uchaguzi, wanachama wake wataenda kwenye vituo vya kupigia kura na kuwachagua viongozi wawakilishi kwenye vyama vyao.
K**a Chama chako hakijashiriki Uchaguzi na unaona kuna kiongozi ambaye wewe unaona hafai, nenda kituo cha kupigia kura kamchague wa Chama kingine ambaye anafaa.

Lakini usishiriki kuzuia wengine wasiende kupiga kura, hutokuwa unaikosea Serikali tu baali utakuwa unamkosea yeye kwa kumzuia kufanya jambo ambalo linampa amani. Hautakuwa unaitafuta haki yako kikatiba kwa kuinyima haki ya mwenzio, nenda kituo cha kupigia kura kwa hasira hiyo kamchague unaemtaka.

MWISHO:
Mungu atupe wepesi wa kubebeana madhaifu, sisi mimi nimezaliwa na kukulia kwenye Familia Duni. Mpaka sasa napambana ili niwe msaada kwa Familia yangu, unadhani akaja mtu kuivuruga sehemu ninapopatia ugali. Nitaishije?
KILA MMOJA AJIPE MUDA WA KUJITAFAKALI BINAFSI, KISHA TUSEME NJIA YA KUITAFUTA HAKI INAHITAJI UTULIVU WA AKILI NA MWILI.

🇹🇿❤️

21/10/2025

TAYARI NINA CALENDAR YA MWAKA MBELE 2026, 😁

K**a kijana uliamua kuwa tofauti na wengine, iwe kwa sababu za kimaisha ama mikumbo ya mihemko.

Mi nakushauri tu kuwa achana na hayo mawazo ya kushindana na mazingira, ambayo huwezi kuyashinda.

Mwaka huu ni Mwaka wa Uchaguzi, tuombee upite ili maisha mengine yaendelee.

NAWAPENDA SANA NDUGUZANGU, TUIKUMBUKE JAMII PANAPOWEZEKANA ILI KUMFURAHISHA MUNGU ATUPE AMANI.🙏🏽

KATA YA MAENDELEO SOKOMATOLA ✅️KATA YA ISANGA ✅️Tunaendelea na huduma Leo tunamalizia Kata zilizobaki
19/10/2025

KATA YA MAENDELEO SOKOMATOLA ✅️
KATA YA ISANGA ✅️

Tunaendelea na huduma Leo tunamalizia
Kata zilizobaki

RATIBA YETU     NIVISHE CAMPAIGN Msimu wa Pili 2025
17/10/2025

RATIBA YETU
NIVISHE CAMPAIGN Msimu wa Pili 2025

15/10/2025

NAOMBA KUNISAIDIA

Mungu awabariki sana

NB: KWA WAKAZI WA WILAYA YA MBEYA TU

12/10/2025

Ahsante sana kwa Sadaka yako

BADO SIKU MBILI TU
NIVISHE CAMPAIGN MSIMU WA PILI
K**a unahitaji kushiriki na upo Mbali, wasilisha sadaka yako
LIPA KWA M-PESA
Lipa Namba: 35246112
Jina: WAMZI HASSAN MWANGOMO

Mungu awabariki kwa upendo wenu.

12/10/2025

Mungu awabariki sana mnaoendelea kuleta Mavazi yenu

BADO SIKU MBILI TU
NIVISHE CAMPAIGN MSIMU WA PILI
K**a unahitaji kushiriki na upo Mbali, wasilisha sadaka yako
LIPA KWA M-PESA
Lipa Namba: 35246112
Jina: WAMZI HASSAN MWANGOMO

Mungu awabariki kwa upendo wenu.

BADO SIKU 2 TUHITIMISHE KAMPENI YETU NIVISHE CAMPAIGN MSIMU WA PILI          #
12/10/2025

BADO SIKU 2 TUHITIMISHE KAMPENI YETU NIVISHE CAMPAIGN MSIMU WA PILI

#

BADO SIKU 3   KUHITIMISHA KAMPENI YETU MSIMU WA PILI  ☺️🙏🏾      #
11/10/2025

BADO SIKU 3
KUHITIMISHA KAMPENI YETU MSIMU WA PILI

☺️🙏🏾 #

BADO SIKU 4 TUHITIMISHE KAMPENI YETU Nivishe Campaign, Tuko kwaajili ya kugusa maisha ya wenye Uhitaji. Changia Nguo, vi...
10/10/2025

BADO SIKU 4 TUHITIMISHE KAMPENI YETU

Nivishe Campaign, Tuko kwaajili ya kugusa maisha ya wenye Uhitaji. Changia Nguo, viatu, sabuni, mafuta na mahitaji mengine ya msingi
*Toa leo, Tia tabasamu Kesho*
Kila mchango wako unazalisha Tabasamu Jipya. Toa kile kidogo uluchonacho ili wengine Wapate Faraja. ❤️

KARIBU TUFUNGE PAMOJA MSIMU PILI, MILANGO IPO TAYARI KAMPENI YETU.

Tupigie ☎️ 0742 315 086 au 0742 116 359





09/10/2025

Dr. Johan Galtung (Norway) father of Peace Studies
Alisema

"Peace is not the absence of Conflict, but the ability to handle Conflict by Peaceful Means"

"Amani si kukosekana kwa Migogoro, bali ni uwezo wa kushughulikia Migogoro Kwa njia ya Amani"

Amani Tanzania, Amani nchi yangu 🇹🇿🙏🏽

#

Kuna aina mbili za Vita ambazo hutuwia ugumu kujua namna ya kupambana nazoTumekuwa tunatumia Silaha za Kimwili kwenye Vi...
04/06/2025

Kuna aina mbili za Vita ambazo hutuwia ugumu kujua namna ya kupambana nazo

Tumekuwa tunatumia Silaha za Kimwili kwenye Vita ya Kiroho na
Tumekuwa tunatumia Silaha za Kiroho kwenye Vita ya Kimwili

Mungu atufungue Macho ya Rohoni 🙏🏾

Nawapenda sana

Address

Mwanjelwa
Mbeya

Telephone

+255693073237

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wamzi Cosmetics Mbeya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Wamzi Cosmetics Mbeya:

Share