26/05/2019
CHOMBEZO FUPI
Chombezo: imani dhaifu
mtunzi: josia mwenga
PART ONE
kuna kijana mmoja alikuwa anaitwa Chris Alikuwa anajixhughulixha na biaxhara ndogo ndogo lakni pia katika maixha yake hakumuxahau Mungu.
kila xiku alipokuwa anaenda kulala hakuacha kumuomba MUNGU alizoea kuxema baadhi ya maneno kila anapoomba kwa MUNGU.Maneno yenyewe aliyokuwa anayaxema ni haya:-
Eeh MUNGU Naomba uendelee kunilinda usiku huu uniwezexhe niendelee kuwa xalama ni kwa uwezo wako napenda kukuxhulu amin.
hiyo xala alikuwa k**a vile ameikalili hivyo kila xiku alikuwa anaongea hayo maneno.kadili xiku zilivyokuwa zinaenda alipunguza imani.baada ya xiku kwenda aliacha kabixa kuomba ikifika mida ya kulala alikuwa akixema "SIR GOD K**A KAWAIDA YETU" Akiwa maana kuwa k**a anavyoxemaga.
siku moja usiku akiwa amelala alichukuliwa na wachawi na alipotaka kuamuka alixhangaa yupo.....!!!