Basara Mwinyimkuu

Basara Mwinyimkuu PHOTOGRAPHY AND VIDEO PRODUCTION

   Celebrating the journey of growth,achievement, and new beginnings - Congratulations to our A-Levelgraduates! The futu...
17/03/2025

Celebrating the journey of growth,
achievement, and new beginnings - Congratulations to our A-Level
graduates! The future is yours to shape. ๐Ÿ“ท by

   To our Dear form VI graduates As youprepare for your upcoming exams, we would want to encourage you tostay focused, m...
17/03/2025

To our Dear form VI graduates As you
prepare for your upcoming exams, we would want to encourage you to
stay focused, maintain your determination, and believe in your abilities.
This is the final stretch, and we have no doubt that each of you has the
potential to achieve great success. Remember, the effort you put in now
will pave the way for your future
wishing you all the very best in your exams and in the exciting journey
ahead. Keep striving for excellence, and no matter the outcome, know
that this is just the beginning of a bright and promising future. ๐Ÿ“ท by

17/03/2025
Kata ya isongo .....ni moja kati ya kata iliyojaaliwa wanawake wenye weredi na muitikio wa hali ya juu haswa kwenye mamb...
03/03/2025

Kata ya isongo .....ni moja kati ya kata iliyojaaliwa wanawake wenye weredi na muitikio wa hali ya juu haswa kwenye mambo yahusio maendeleo yao ...
Ulikua wakati mzuri walipofikiwa na ziara ya YUPO JIMBONI...hakika mama naye aliwashika mkono sambamba na kukabidhi viti katika jumuya wa uwt ili kunenepesha mradi wao.

Haijaisha mpaka iishe๐Ÿ’ช

MTU BORA KATIKA WATU NI YULE MWENYE KUWAFAA WATU  hakika ya wewe ni mfano wa kuigwa uliyo yaahidi, mbali na wingi wa maj...
02/03/2025

MTU BORA KATIKA WATU NI YULE MWENYE KUWAFAA WATU hakika ya wewe ni mfano wa kuigwa uliyo yaahidi, mbali na wingi wa majukumu yako lakini uliyatekereza kwa kuacha shughuli zako nyingi, basi M/mungu aendelee kukupa moyo huu huu wa uendelee kushik**ana na wana ULANGA kwa hakika MAMA NI MLEZI NA KWELI UNAWAPA MALEZI YALIYO BORA MNOOOO.

HAKIKA BONANZA LIMEFANA NA HISTORI IMEANDIKWA PONGEZI KWA MDAU WA MICHEZO  NA WAZIRI WETU  KWA HAKIKA RAIS WETU  HAJAKOS...
10/02/2025

HAKIKA BONANZA LIMEFANA NA HISTORI IMEANDIKWA PONGEZI KWA MDAU WA MICHEZO NA WAZIRI WETU KWA HAKIKA RAIS WETU HAJAKOSEA KATIKA CHAGUZI YAKE LAKINI WANA UKONGA HAWANA DENI NA WEWE KWA USHIRIKIANO HUU MKUBWA UNAO ONYESHA KWA VIJANA WA JIMBO LA UKONGA

Tunasema ahsante sababu hatupo hapa kwa bidii au juhudi zetu binafsi ni  MUNGU na neema zake juu yetu, Aliyeamua kutubar...
17/12/2024

Tunasema ahsante sababu hatupo hapa kwa bidii au juhudi zetu binafsi ni MUNGU na neema zake juu yetu, Aliyeamua kutubariki ni kweli tunaomba vitu vingi lakini utupavyo ni bora zaidi ya ambavyo tunavihtaji kutoka kwako, sisi k**a BMCPRO tunashukuru uongozi mzima wa .university kwa kutuamini na kuendelea kufanya kazi pamoja nasi tangu siku ya kwanza. HAKIKA YA M/MUNGU NI MWINGI WA NEEMA ๐Ÿ™

Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) na Jaji Mkuu Mstaafuwa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman. Tarehe 5 Disemba2024, amewatu...
16/12/2024

Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) na Jaji Mkuu Mstaafu
wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman. Tarehe 5 Disemba
2024, amewatunuku wahitimu 1,453 Shahada mbalimbali za Awali
Uzamivu na Uzamili
Katika mahafali hayo ya 18 wahitimu 1 1 wametunukiwa Shahada za
Uzamivu, 86 wametunukiwa Shahada za Uzamili na wahitimu 1,356
wametunukiwa Shahada za Awali katika fani mbalimbali
Akitoa taarifa ya utekelezaji wa mikakati mbalimbali ya chuo hicho
Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Evaristo Liwa, amesema idadi ya
wahitimu imeongezeka kutoka wahitimu 1,148 kwa mwaka uliopita na

Tunashukuru kupata nafasi ya kushiriki siku ya maadhimisho ya UKIMWI Duniani kupitia kampuni ya madini ya Geita Gold Min...
02/12/2024

Tunashukuru kupata nafasi ya kushiriki siku ya maadhimisho ya UKIMWI Duniani kupitia kampuni ya madini ya Geita Gold Mining kwa mfuko wa GGM Kili Trust. ย . Maadhimisho haya yalifanyika kitaifa mjini Songea, ambapo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Dkt. Philip Mpango, alikuwa mgenirasmi. **asiyosawasisalamatokomezaukimwi
We are honored to have been part of the World AIDS Day commemoration through Geita Gold Mining and the Kili Trust (). The impactful event, held at the Maji Maji Grounds in Songea Region, was graced by the presence of the Vice President, Dr. Philip Mpango, as the esteemed guest of honor.
๐Ÿ“ธ by

                                           Photo by
14/08/2024








Photo by

Address

Mbweni

Telephone

0658965954

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Basara Mwinyimkuu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Basara Mwinyimkuu:

Share