Mwanahistoria

Mwanahistoria PATA HABARI ZA MICHEZO KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA , PIA TANGAZA NASI MATANGAZO YAKO YA AINA MBALIMBALI ⚽🏟️✅🫂

Tuanzie hapa Mwaka 2021 -22 walishangilia Kiatu cha Saido 2022-23 wakashangilia nafasi ya pili 😉2023-24 wakashangilia ki...
12/10/2025

Tuanzie hapa

Mwaka 2021 -22 walishangilia Kiatu cha Saido

2022-23 wakashangilia nafasi ya pili 😉

2023-24 wakashangilia kibegi 🤔
2024-25 wakashangilia Tabora kuifunga Yanga

2025-26 unadhani watashangilia nini 😂

 : Ni yuleyule Winfrida Gerald anaitanguliza JKT Queens.JKT Queens 1-0 Simba QueensLIVE
12/10/2025

: Ni yuleyule Winfrida Gerald anaitanguliza JKT Queens.

JKT Queens 1-0 Simba Queens

LIVE

Hii imekaaje 🚨 TETESI ~ KUNA UWEZEKANO MUDATHIR KWENDA SIMBA SCYanga SC ipo katika mazungumzo na kiungo wao Mudathir Yah...
12/10/2025

Hii imekaaje

🚨 TETESI ~ KUNA UWEZEKANO MUDATHIR KWENDA SIMBA SC

Yanga SC ipo katika mazungumzo na kiungo wao Mudathir Yahya mwenye miaka 29, Wanataka kumpa Mshahara Mil 10 na Mil 100 za kusaini mkataba kwa Mwaka 1, Mchezaji amekataa anataka Mil 15 na Mil 150 za kusaini mkataba mpya. Yanga wako kwenye tafakari zito nao Simba SC wamesema wapo tayari kumtimizia mahitaji yake yote.

TRANSFER NEWS LIVE🚨 Simba wako kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na JKT Tanzania ili kumsaini mlinzi wao wa kushoto Kar...
12/10/2025

TRANSFER NEWS LIVE🚨 Simba wako kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na JKT Tanzania ili kumsaini mlinzi wao wa kushoto Karimu Mfaume.

Karimu amepita Biashara utd ya Mara maarufu k**a wanajeshi wa mpakani,Alliance,Jkt Tanzania youth team, Kagera Sugar u20….ni wazi kijana amepikwa kwenye misin hi ya şoka🙌

Simba wanataka kuivunja JKT Tanzania,kipa wao Yakob Selemani na Karimu wanahitajika Unyamani ASAP🔜

Ungekuwa wewe unagawa tuzo ya MVP wa ligi kuu msimu ulokwisha ungempa jean Ahoua au Pacome ✅️⚽️
12/10/2025

Ungekuwa wewe unagawa tuzo ya MVP wa ligi kuu msimu ulokwisha ungempa jean Ahoua au Pacome ✅️⚽️

🚨🚨UPDATE: Baada ya kukaa kikao kirefu cha upembuzi viongozi wa Yanga wamesitisha dili la kocha kutoka Madagascar,Romuald...
12/10/2025

🚨🚨UPDATE: Baada ya kukaa kikao kirefu cha upembuzi viongozi wa Yanga wamesitisha dili la kocha kutoka Madagascar,Romuald Rakotondrabe.

Pamoja na kwamba Yanga walimtumia “offer letter” kocha huyo na alitakiwa kutua nchini jumamosi ya leo ili kusaini mkataba wa miaka miwili…..Ila baada ya kikao cha juzi kocha huyo ametemwa **baadhi ya viongozi wa Yanga wametilia shaka uwezo wake**

Sasa Yanga wameamua kubaki na Romain Folz,kisha kwenye benchi la ufundi ataongezwa msaidizi mwingine ili kuongeza ujuzi na ufundi.

Note: Yanga wataangalia kwa karibu Performance ya timu k**a mambo yatazidi kuwa magumu….Folz atafukuzwa haraka sana.

✍️✍️ Han's Rafael14

Simu zinapigwa kwa Yamal anapokea Nicole (demu wake) 😂.Sema Nini wanangu hivi viumbe k**a vingekuwa kwenye riadha tungev...
12/10/2025

Simu zinapigwa kwa Yamal anapokea Nicole (demu wake) 😂.

Sema Nini wanangu hivi viumbe k**a vingekuwa kwenye riadha tungevik**ata tuvipime duh 🙌🏽🔥.

Mbappe akiuliza maswali Ijumaa, Haaland anajibu Jumamosi, ni k**a wanakomoana.

Kwa msimu huu (2025/26) Mbappe amecheza michezo 13, akifunga mabao 17 na kutoa assist 4 (Real Madrid, Ufaransa), huku Haaland akicheza michezo 15, akifunga mabao 24 na kutoa assist 3 (Manchester City, Norway).

Ngao ya Jamii Wanawake  2025Mshindi wa tatuFT’ Yanga Princess 3️⃣-0️⃣ Mashujaa Queens ⚽⚽Jennine Mukandayisenga⚽Aregash K...
12/10/2025

Ngao ya Jamii Wanawake 2025

Mshindi wa tatu

FT’ Yanga Princess 3️⃣-0️⃣ Mashujaa Queens
⚽⚽Jennine Mukandayisenga
⚽Aregash Kalsa

🔥 Tawanda Chirewa Kijana wa Dhahabu kutoka Zimbabwe! 🇿🇼Kijana huyu wa Wolves anaendelea kuwasha moto ndani ya jezi ya ta...
12/10/2025

🔥 Tawanda Chirewa Kijana wa Dhahabu kutoka Zimbabwe! 🇿🇼

Kijana huyu wa Wolves anaendelea kuwasha moto ndani ya jezi ya taifa lake! 🔥

⚽ Vs Nigeria 🇳🇬 Alitoka kivingine kule Uyo, akitesa safu ya ulinzi ya Super Eagles na kufunga goli la kusawazisha dakika ya 90’ 💥
Matokeo: Nigeria 1–1 Zimbabwe

⚽ Vs South Africa 🇿🇦 Hakufunga, lakini aliwatesa vilivyo Bafana Bafana uwanjani Moses Mabhida (Durban) hadi mechi ikaisha 0–0. 🎯

Kasi, ujasiri, na ubunifu wake vinamfanya kuwa mwanasoka wa kutazamwa sana barani Afrika 🌍⚡

🗣️ Mashabiki wa Zimbabwe wana kila sababu ya kuamini kwenye kizazi kipya cha Chirewa!

🔴 Breaking News:Beki wa klabu ya Liverpool, 🇫🇷 Ibrahima Konaté, ameondoka kwenye kambi ya timu ya taifa ya Ufaransa na k...
12/10/2025

🔴 Breaking News:
Beki wa klabu ya Liverpool, 🇫🇷 Ibrahima Konaté, ameondoka kwenye kambi ya timu ya taifa ya Ufaransa na kurejea England kufuatia majeraha yaliyomkumba.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka , mchezaji huyo hatashiriki michezo ijayo ya “Les Bleus” wakati akianza matibabu na ufuatiliaji na madaktari wa Liverpool.

Hii ni pigo kwa timu ya taifa ya Ufaransa na pia wasiwasi kwa mashabiki wa Liverpool kuelekea ratiba ngumu inayokuja.

⚽🇫🇷

Picha za Talanta Hela stadium Nchini Kenya
12/10/2025

Picha za Talanta Hela stadium Nchini Kenya

𝗛𝗢𝗝𝗔..Hoja ya Kwamba Mchezaji mzuri huitwa kwenye Timu ya Taifa na Mchezaji mbaya huachwa nafikiri Haina mashiko na imek...
12/10/2025

𝗛𝗢𝗝𝗔
..Hoja ya Kwamba Mchezaji mzuri huitwa kwenye Timu ya Taifa na Mchezaji mbaya huachwa nafikiri Haina mashiko na imekosa Upembuzi wa kina kutoka Kwa wachambuzi Wetu Baadhi na hili suala limekuwa linajirudia Kila Siku Timu za taifa zinapotaja vikosi vyao, Wachambuzi Wetu wamekuwa wakituaminisha Sana mchezaji mzuri ni yule anayeitwa Timu ya Taifa tu.

Ni aibu Iliyoje Watu ambao wanaaminika na wadau wa Mpira nchini kupewa vipaza sauti na Media kubwa Kuuchambuwa mpira Bila ufafanuzi wa kina na badala yake wanajikita zaidi Kueneza uchawa na Mapenzi Yao Kwa Timu au mchezaji Binafsi Aliyeitwa Timu ya Taifa.

Watu wanawaongelea Direct "Ahoua na Pacome" ambaye ameitwa Timu ya Taifa Ivory coast Wakimsifia Sana kwamba ni mzuri kuliko Ahoua ndiomaana ameachwa. Wanasahau k**a wachezaji Hawa hawalingani umri wao hata Takwimu msimu uliyoisha na huu wa sasa Ahoua Yupo juu Ya Pacome kwa Takwimu kwa Sasa, Hilo lipo wazi namba zinaongea, lakini pia Ahoua Mdogo Kiumri Dhidi ya Pacome kiasi kwamba Ivory Coast wanaweza Kumwita katika Kikosi Chao na kumuongezea Profile wakafaidika naye Kwa Miaka Zaidi ya 4 mbele Kuliko Pacome ambaye Umri umeshaenda...

Kimsingi Pacome hawezi kuisadia Ivory coast miaka miwili mbele. Kuitwa kwake pia ni fluke tu kitu ambacho kinaweza kisitokee Tena Kwenye Kikosi Kijacho.

Wachambuzi Wanatakiwa wakumbuke Kocha "Dunga" Na Brazil yake 2010 Alimuacha Ronaldinho Gaucho Tena wakiwa wanaelekea kwenye Michuano mkubwa ya Kombe la Dunia iliyofanyika Afrika ya Kusini, Cappelo Kocha Wa Uingereza Aliwahi Kumuacha Jermaine Difoe Akiwa wamoto kabisa pale Sandarland akaondoka na Peter Croach...

Labda Nataka Kusema Nini?
Mchezaji kuachwa kwenye Timu ya Taifa au kutoitwa inategemea falsafa ya Mwalimu au aina ya Mechi Ambayo anaenda kucheza, Na siyo tafsiri ya kwamba Ahoua Hajui ndiomaana hajaitwa au Pacome anajuwa Sana ndiomaana kaitwa Ivory coast.

Ukiangalia Kikosi Kilichoanza Jana Ivory coast Dhidi ya Shelisheli Utagundua Mwalimu na F.A ya Cote D'Ivoire Hawakuuchukulia Kwa Uzito Sana Mchezo Wa Jana, Utaona kwenye Kikosi chao Wale Akina Frankie Kessie, Adingra na wengine wanaounda Kikosi Cha Kwanza Hawakuanza kabisa. Kwahiyo Pacome Ni Mchezaji wa kawaida Sana Kule Cote D'Ivoire Ambaye wanaweza kumtumia kwenye mechi ndogondogo ambazo hazina presha. Mfano hapa Kwetu Tukaamua kuwatumia akina "Hilika, Saadun, Chikola" Kwenye Mechi labda Dhidi ya Burundi au Kenya Mataifa ambayo Tunaweza kuyamudu kisoka bila Akina Msuva, Feisal, Samata".

MOUD Mtanzania ゚viralシ ゚viralシfypシ゚

Address

Tanga

Telephone

+255753442886

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwanahistoria posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mwanahistoria:

Share