Mlimba tv

Mlimba tv MLIMBA TV ni tv ya mitandao ya kutoa habari na matukio kokote duniani tell the most difficult stories. Join us!

For more breaking news updates follow ,mlimba tv,


MAWASILIANO 0684495100, [email protected],

Klabu ya Yanga imemtambulisha Rasmi Celestine Ecua (Miaka 22) raia wa Ivory Coast, Ecua anajiunga na Yanga akitokea Zoma...
01/08/2025

Klabu ya Yanga imemtambulisha Rasmi Celestine Ecua (Miaka 22) raia wa Ivory Coast, Ecua anajiunga na Yanga akitokea Zoman FC

Ecua amewahi pia kukupiga kwenye Klabu ya Asec Memosa kwa mkopo akitokea Zoman na msimu wake Bora kwenye soka ulikuwa ni msimu wa

LIGI KUU - IVORY COAST

Mechi: 27
Magoli: 13
Asisti: 12

klabu ya soka ya Simba imetangaza kuinasa saini ya mpachika mabao Jonathan Sowah, Katika msimu uliopita, Sowah alifunga ...
01/08/2025

klabu ya soka ya Simba imetangaza kuinasa saini ya mpachika mabao Jonathan Sowah,

Katika msimu uliopita, Sowah alifunga magoli 13 kwenye NBC Premier League akiwa na Singida Black Stars aliyojiunga nayo katikati ya msimu.

Bado siku  2  kufika Agosti 02, siku ambayo fainali za CHAN zitaanza.Mechi ya ufunguzi itafanyika katika Dimba la Benjam...
31/07/2025

Bado siku 2 kufika Agosti 02, siku ambayo fainali za CHAN zitaanza.

Mechi ya ufunguzi itafanyika katika Dimba la Benjamin Mkapa.

Fainali hizi kuruka mbashara kupitia AzamTV

 🚨Azam FC imemsajili , mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Senegal, Pape Doudou Diallo! ✍️🙏Doudou, amesaini mkataba wa miaka mi...
30/07/2025

🚨

Azam FC imemsajili , mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Senegal, Pape Doudou Diallo! ✍️🙏

Doudou, amesaini mkataba wa miaka miwili, kutoka Klabu ya Generation Foot, ambapo msimu uliopita alicheza kwa mkopo Linguère de Saint-Louis.

30/07/2025
Majina ya wagombea udiwani yaliyopitishwa kata zote 16 Jimbo la mlimba .
30/07/2025

Majina ya wagombea udiwani yaliyopitishwa kata zote 16 Jimbo la mlimba .

🚨🚨 RASMI: Simba wamekamilisha usajili wa kiungo wa Club Athlétique Bizertin, ya Tunisia,Alassane Kanté(24).Kante ni box-...
30/07/2025

🚨🚨 RASMI: Simba wamekamilisha usajili wa kiungo wa Club Athlétique Bizertin, ya Tunisia,Alassane Kanté(24).

Kante ni box-to-box midfielder kwani ana uwezo wa kuathiri Ma-box yote mawili.

Kante amechagua kuwa Mnyama,Kante amechagua kuwa mwekundu

30/07/2025
Simba safarini wa kwenda misri kufanya maandalizi ya msimu mpya (Pre Season).
30/07/2025

Simba safarini wa kwenda misri kufanya maandalizi ya msimu mpya (Pre Season).

30/07/2025

*ORODHA YA WABUNGE 27 WA MAJIMBO YA TANZANIA BARA AMBAO HAWAKUTEULIWA KUGOMBEA KURA ZA MAONI:*

1. Mhe. Mrisho Mashaka Gambo : *Arusha Mjini*
2. Mhe. Emanuel Ole Shangai : *Ngorongoro*
3. Mhe. Mohamed Lujuo Moni : *Chemba*
4. Mhe. Nicodemus Maganga : *Mbogwe*
5. Mhe. Justine Nyamoga : *Kilolo*
6. Mhe. Stephen Byabato : *Bukoba Mjini*
7. Mhe. George Ndaisaba Ruhoro : *Ngara*
8. Mhe. Zuberi Mohammed Kuchauka : *Liwale*
9. Mhe. Pauline Gekul: *Babati Mjini*
10. Mhe. Flatey Maasai : *Mbulu Vijijini*
11. Mhe. Christopher Ole Sendeka : *Simanjiro*
12. Mhe. Vedastus Matayo Manyinyi : *Musoma Mjini*
13. Mhe. Luhaga Joelson Mpina : *Kisesa*
14. Mhe. Godwin Kunambi : *Mlimba*
15. Mhe. Geoffrey Mwambe : *Masasi*
16. Mhe. Cecil Mwambe : *Ndanda*
17. Mhe. Anjelina Mabula : *Ilemela*
18. Mhe. Mansour Shanif Hirani : *Kwimba*
19. Mhe. Hassan Zidadu Kungu : *Tunduru Kaskazini*
20. Mhe. Iddi Mpakate : *Tunduru Kusini*
21. Mhe. Iddi Kassim Iddi : *Msalala*
22. Mhe. George Mwenisongole : *Mbozi*
23. Mhe. Seif Hamisi Gulamali : *Manonga*
24. Mhe. Omar Shekilindi : *Lushoto*
25. Mhe. Januari Makamba : *Bumbuli*
26. Mhe. Alfred Kimea : *Korogwe Mjini*
27. Mhe. Twaha Mpembenwe : *Kibiti*

Address

MLIMBA TV
Morogoro
023

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mlimba tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mlimba tv:

Share