
01/08/2025
Klabu ya Yanga imemtambulisha Rasmi Celestine Ecua (Miaka 22) raia wa Ivory Coast, Ecua anajiunga na Yanga akitokea Zoman FC
Ecua amewahi pia kukupiga kwenye Klabu ya Asec Memosa kwa mkopo akitokea Zoman na msimu wake Bora kwenye soka ulikuwa ni msimu wa
LIGI KUU - IVORY COAST
Mechi: 27
Magoli: 13
Asisti: 12