Fasihi Media House

Fasihi Media House

19/10/2023

Kwa nini baadhi ya bodaboda wengi hawafanikiwi kimaisha pamoja na kuwa wanaingiza pesa za kutosha kuendesha maisha yao vizuri?

Hili ni swali tulilowauliza bodaboda wa Tandika, Dar es Salaam.

"Hakuna taifa lina haki ya kulifanyia maamuzi taifa lingine, na hakuna mtu ana haki ya kumfanyia maamuzi mtu mwingine" M...
14/10/2023

"Hakuna taifa lina haki ya kulifanyia maamuzi taifa lingine, na hakuna mtu ana haki ya kumfanyia maamuzi mtu mwingine" Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Baada ya Ureno na Ufaransa, Hispania linakuwa taifa la tatu kutwaa michuona ya UEFA National League.
18/06/2023

Baada ya Ureno na Ufaransa, Hispania linakuwa taifa la tatu kutwaa michuona ya UEFA National League.

Matumaini ya Tanzania kucheza michuona ya AFCON yamebebwa na ushindi katika mchezo wa leo. Matokeo yoyote yasiyokuwa ush...
18/06/2023

Matumaini ya Tanzania kucheza michuona ya AFCON yamebebwa na ushindi katika mchezo wa leo. Matokeo yoyote yasiyokuwa ushindi yataiweka Tanzania katika hatua mbaya kuelekea AFCON.

Croatia wanaenda kucheza fainali ya UEFA National League na mshindi wa mchezo wa kesho kati ya Italia na Hispania.Croati...
14/06/2023

Croatia wanaenda kucheza fainali ya UEFA National League na mshindi wa mchezo wa kesho kati ya Italia na Hispania.

Croatia vs Uholanzi ilikuwa bonge moja la mechi...jisikie vibaya k**a haukucheki hii mechi.

Je, Pep Guardiola ni kocha bora zaidi kuwahi kutokea?Pep anakuwa kocha wa kwanza kutwaa treble mbili kwenye timu mbili t...
11/06/2023

Je, Pep Guardiola ni kocha bora zaidi kuwahi kutokea?

Pep anakuwa kocha wa kwanza kutwaa treble mbili kwenye timu mbili tofauti.

Pep amemfunga Ferguson fainali zote mbili za UEFA alizokutana nae.

Tunaomba hoja zako kwenye hili.

Baada ya Man United kushinda treble mwaka 1999, Man City inakuwa timu ya pili kutokea nchini England kushinda treble (ma...
10/06/2023

Baada ya Man United kushinda treble mwaka 1999, Man City inakuwa timu ya pili kutokea nchini England kushinda treble (mataji matatu makubwa).

FA Cup ✅️
EPL ✅️
UEFA Champions League ✅️

Kesho tunaenda kushuhudia FAINAL ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya. Hawa hapa ni baadhi ya mastaa ambao hawajawahi kutwaa...
09/06/2023

Kesho tunaenda kushuhudia FAINAL ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya. Hawa hapa ni baadhi ya mastaa ambao hawajawahi kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.

Nani amekosekana hapo?

Baada ya sakata lake na klabu yake ya zamani kumalizika, Feisal Salum ametangaza kuwa pesa alizochangiwa kwa ajili ya ku...
08/06/2023

Baada ya sakata lake na klabu yake ya zamani kumalizika, Feisal Salum ametangaza kuwa pesa alizochangiwa kwa ajili ya kumsaidia kwenda kupeleka sh*taka lake CAS sasa atazigawa kwenye makundi ya watu wenye uhitaji.

Akiongea katika kituo cha Azam TV, Feisal amesema kwa kuwa hamjui kila aliyechangia na ambaye hakuchangia basi yeye pesa hizo atazipeleka kwenye vituo vya watoto yatima, msikitini na kanisani.

Baadhi ya wadau wamekuwa wakihoji kuhusu hatima ya pesa zao walizomchangia huku wangine wakiwa na imani kuwa zinaweza zikarudishwa.

Feisal Salum amekuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha miezi sita sasa kufuatia uamuzi wake wa kuondoka katika klabu ya Yanga kukwama hati hii leo ilipotangazwa kuwa suluhu ya uhamisho wake imepatikana.

Feisal amejiunga na Azam kwa uhamisho ambazo gharama zake hazijawekwa wazi.

Yanga hakuna walichopoteza zaidi ya kujitengenezea CV kubwa kwenye soka la Afrika.Msimu ujao kila timu itakayokutana na ...
03/06/2023

Yanga hakuna walichopoteza zaidi ya kujitengenezea CV kubwa kwenye soka la Afrika.

Msimu ujao kila timu itakayokutana na Yanga itakuwa inajua ukubwa na uwezo wa Yanga.

Lakini hata Yanga wenyewe watakuwa na malengo makubwa msimu ujao kutokana na walichokifanya msimu huu, sidhani k**a malengo yao yatakuwa kufika robo fainali tu.

Roma haikujengwa kwa siku moja, hii Yanga ikiendelea kujengwa itafika ukubws ule ambao kila shabiki wa Yanga anautamani.

Hongereni wananchi 👏

Man City wanalitwaa Kombe la FA kwa mara ya saba katika historia ya mashindano haya.NB: Gundogan huu ni msimu wake wa mw...
03/06/2023

Man City wanalitwaa Kombe la FA kwa mara ya saba katika historia ya mashindano haya.

NB: Gundogan huu ni msimu wake wa mwisho kwenye mkataba na Man City na hana dalili ya kuongeza mkataba.

Leicester City wanaungana na Leeds pamoja na Southampton katika safari ya kushuka daraja. Chelsea wamemaliza nafasi ya 1...
28/05/2023

Leicester City wanaungana na Leeds pamoja na Southampton katika safari ya kushuka daraja. Chelsea wamemaliza nafasi ya 12 kwenye msimamo ikiwa ni nafasi mbaya zaidi tangu mwaka 1994.

Na huo ndio ulikuwa mwisho wa msimu wa 2022/23 kwenye EPL.

Address

Morogoro

Telephone

+255629462148

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fasihi Media House posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Fasihi Media House:

Share