Sanuka Sports News

Sanuka Sports News Habari zote za michezo ulimwenguni utazipata hapa...

KWA MATANGAZO YA AINA YEYOTE PIGA πŸ‘‡

Call : +255622147696

Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
(4)

🚨 :- "Malengo ni k**a ya misimu yote hatujawahi kubadilisha.Tunataka kupambania ubingwa wa mashindano yote ya ndani na k...
26/07/2025

🚨 :- "Malengo ni k**a ya misimu yote hatujawahi kubadilisha.Tunataka kupambania ubingwa wa mashindano yote ya ndani na kufika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika."

- Abdulkarim Popat, CEO wa klabu ya Azam FC

Ameandika Hans Rafael kutoka Crown FM radio ✍️🚨-Fei Toto bado hajasaini Simba wala Yanga❌Hadi sasa Azam wameweka ngumu,I...
26/07/2025

Ameandika Hans Rafael kutoka Crown FM radio ✍️🚨

-Fei Toto bado hajasaini Simba wala Yanga❌

Hadi sasa Azam wameweka ngumu,Ibenge amewambia viongozi wake wambakishe Fei kwani timu yake itajengwa kupitia yeye.

Niko hapa kuthibitisha hilo Fai hajasaini Popote,bado ni mali ya Azam FC.

🚨 :- Klabu ya Simba SC imekamilika usajili wa kiungo Charles Semfuko kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Coastal Union ...
26/07/2025

🚨 :- Klabu ya Simba SC imekamilika usajili wa kiungo Charles Semfuko kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Coastal Union FC

Pia Simba SC imekamilika usajili wa beki Miraji Abdallah " Zambo Jr " kutoka Coastal Union FC ikiwa ni kuongeza nguvu kuelekea msimu ujao.

🚨 :- Mlinda lango Hussein Abel ameongeza kandarasi ya miaka miwili kuendelea kuitumikia klab ya Simba.Hussein Abel ni mi...
26/07/2025

🚨 :- Mlinda lango Hussein Abel ameongeza kandarasi ya miaka miwili kuendelea kuitumikia klab ya Simba.

Hussein Abel ni miongoni mwa wachezaji wa Simba Sc walioingia kambini siku ya Jana tayari kwa maandalizi kuelekea msimu ujao.

🚨 :- Klabu ya Yanga SC imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo wa mpira Lassine Kouma kutoka Stade MalienYanga SC im...
25/07/2025

🚨 :- Klabu ya Yanga SC imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo wa mpira Lassine Kouma kutoka Stade Malien

Yanga SC imeshinda vita dhidi ya klabu za Al Hilal , Simba SC na baadhi ya klabu kutoka Ulaya

🚨 :- Mshambuliaji wa zamani wa Ihefu,Ruvu Shooting,Mashujaa na As Vita,Ismail Mohamed Mgunda (29) muda huu yuko Dar es s...
25/07/2025

🚨 :- Mshambuliaji wa zamani wa Ihefu,Ruvu Shooting,Mashujaa na As Vita,Ismail Mohamed Mgunda (29) muda huu yuko Dar es salaam kumalizana na Simba.

Ingawa Singida nao wanapambana sana kumpata.

25/07/2025

🚨LIVE :- USAJILI MPYA WA YANGA JEZI NAMBA 8 HII HAPA BHANAAAAA

25/07/2025

🚨 COUNTER ATTACK ON AIR 105.9 SUNLIGHT FM

🚨 :- Timu za Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ zilizofungiwa kusajili mpaka watakapolipa madeni❌ Singida Black Stars❌ Fountain Gate Fc❌ Mtibwa...
25/07/2025

🚨 :- Timu za Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ zilizofungiwa kusajili mpaka watakapolipa madeni

❌ Singida Black Stars
❌ Fountain Gate Fc
❌ Mtibwa Sugar
❌ Pamba Jiji Fc

🚨 :- Tetesi zinaeleza kuwa Kocha Mkuu wa Azam FC ameuambia uongozi wa Azam FC uhakikishe nyota wa timu hiyo Feisal Salum...
25/07/2025

🚨 :- Tetesi zinaeleza kuwa Kocha Mkuu wa Azam FC ameuambia uongozi wa Azam FC uhakikishe nyota wa timu hiyo Feisal Salum 'Fei Toto' anaendelea kusalia ndani ya viunga vya Azam FC.

Nyota huyo amekuwa akiwindwa vikali na Simba SC na tayari inaelezwa wanefanya nae mazungumzo.

Ameandika Sizyasport kutoka Mjini FM ✍️ 🚨 Mohammed Bejaber amepokea ofa kutoka Ulaya na anahitaji pesa nyingi katika usa...
25/07/2025

Ameandika Sizyasport kutoka Mjini FM ✍️ 🚨

Mohammed Bejaber amepokea ofa kutoka Ulaya na anahitaji pesa nyingi katika usajili hivyo inaonekana dili ni gumu kwa Simba kumpata.

"Sizya kwanza tunampeleka Ulaya, tunataka akacheze huko, Simba wakae pembeni kwa sasa" ameniambia Mmoja wa wasimamizi wa mchezaji huyo.

Kwa hali ilivyo inaonyesha hili dili ni gumu licha ya taarifa kede kede kuenea juu ya staa huyo kutoka Kenya atatua Msimbazi.

🚨 :- Taarifa kwa mujibu wa Mwandishi  ni kuwa SIMBA ipo katika hatua nzuri kukamilishi dili la Nyota mwingine wa Mamelod...
25/07/2025

🚨 :- Taarifa kwa mujibu wa Mwandishi ni kuwa SIMBA ipo katika hatua nzuri kukamilishi dili la Nyota mwingine wa Mamelodi Sundowns, Neo Maema ambaye ni Kiungo Mshambuliaji aliyewahi pia kuhusishwa na Orlando Pirates ya nchini humo, taarifa ni kuwa Kiungo huyo Mzaliwa wa Bloemfontein amevutiwa zaidi kufanya kazi na Coach Fadlu huku makubaliano kati ya Klabu na klabu yakiwa yamefikiwa kwa mkopo wa msimu nmoja.

Kinachosubiriwa ni suala la mshahara namna gani Simba itachangia.

Address

Morogoro

Telephone

+255676440118

Website

http://News.com/

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sanuka Sports News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share