Ukweli Kuhusu Mungu

Ukweli Kuhusu Mungu utume kwanza uinjilisti na uinjilishaji neno la Mungu kwa watu wote

Ukipendezwa naomba u subscribe u comment u like na ku share 🙏
14/02/2026

Ukipendezwa naomba u subscribe u comment u like na ku share 🙏

Enjoy the videos and music you love, upload original content, and share it all with friends, family, and the world on YouTube.

12/10/2024
21/07/2023

Mwanamke : baby nina ninaahhh

Mwanaume : Una nini eti bby?

Mwanamke : Nina mtoto .

Mwanaume : Baba yake yupo wapi?

Mwanamke : aliniaachiaga akaondoka.

Mwanaume : jamani, kwa nini hawa wanaume wenzangu wanaroho mbaya kiasi hichi lakini,..

Mwanamke : wacha tu bby sisi wanawake tumeumbiwa kuteseka kwenye mahusiano, najua hutonipenda kisa tu nina mtoto ila mimi nakupenda.

Mwanaume : Hapana ntakupenda na ntamjali mtoto wetu na kumpa matunzo yote k**a mwangu wa damu.

Mwanamke: Waoo jamani bby nakupenda sana.....Mungu akutunze na akubariki kwa kila hitaji lako,.

Endelea kusoma mtu wa Mungu maana najua ingekuwa ni maswala ya MUNGU usingesoma na ungepotezea,

MUNGU: leo nataka kuwaponya watoto wangu wote wenye imani juu yangu.

SHETANI: HAHAHHA huna mtoto mwenye imani na wewe na hakuna wa kukusikiliza wewe,

MUNGU: Huna mamlaka ya kuniropokea hivyo wewe, wewe ni nani mpaka uwasemee watoto wangu,

SHETANI: Sikuropokei ila najua watoto wako wanapenda kwenda kwa waganga na kusujudia TUGURI za wafuasi wangu na wanaamini kwa kuwa NAWAPONYA HARAKA, kuliko maombi yako.

MUNGU: HUWEZI KUNIAMBIA KUWA WATOTO WANGU WANASUJUDIA TUNGURI zako wakati ufalme wa mbinguni ni wa kwao, sasa TIZAMA naendea kuvunja na kuharibu kila hila mbaya uliyoyafanya kwa watoto wangu,

SHETANI, hahaha tizama huyu anaesoma hapa atakupuuzia maana wanaelewa kazi yangu haichelewi,.

MUNGU, Wewe wasema hivyo ila mimi namwona mwanangu akienda kusambaza ujumbe huu na kudhihirisha kwamba MIMI NDIYE BABA WA VYOTE VIRUKAVYO, VITEMBEAVYO, na BABA WA BAHARI NA ARDHI, MWANANGU UPONYAJI WAKO NI HUU SASA, HAKUNA JAMBO BAYA LITAIKUTA FAMILIA YAKO KIPINDI HICHI MAADAM UNA NIAMINI MIMI BASI UFALME WA MBINGUNI UKUANGAZE,

Shetani: hahaha mfuasi want mpuuze huyo Usishare ujumbe wake, endelea kuniaminia mkuu wako.

Mungu: Mwanangu tafadhali mwaibishe shetani comment Ameni na share kwenye groups

Sabato ilikuwa hivi
02/01/2022

Sabato ilikuwa hivi

06/08/2021

Halo
Mimi ni Laila Ahmadi kutoka China, Kitivo cha Sayansi ya Tiba cha Chuo Kikuu cha Zanjan.

Virusi vya Corona vinaweza fika nchi yo yote, na hakuna shaka kuwa nchi nyingi hazina vifaa vya utambuzi wa ugonjwa huo. Hivyo, tumia kiasi kikubwa cha Vitamini C asili ili kuimarisha mfumo wako wa kinga. Usijali, Vitamin C inaondoa virusi kwa kiasi kikubwa na ni nzuri. Pia hakikisha unatumia zaidi " "yellow wood"

Aidha jieleze wewe mwenye na watoto wako mjihisi kuwa mnaukimwi na msimguse mtu ye yote na msijutie kufanya hivyo.

Kwa bahati mbaya hadi sasa virusi havina chanjo wala tiba kutokana na mabadiliko ya maumbile yanayo fanya virusi hivyo kuwa hatari.

Ugonjwa huu unaonekana kusababishwa na muungano wa kimaumbile wa nyoka na popo na umejijengea uwezo wa kushambulia wanyama na binadamu.

Ni muhimu kuiweka taarifa hii katika ufahamu wako. Profesa Chen Horin, Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Jeshi ya Beijing, alisema,
"Vipande vya limao katika kikombe cha maji ya vuguvugu vinaweza kuokoa maisha yako."

Hata k**a una kazi ni muhimu uisome taarifa hii na uwasambazie wengine. Limao la moto linaweza kuua viini vya saratani! Limao likikatwa vipande vitatu na kuwekwa katika kikombe, kisha ukaweka maji ya moto kuyafanya yawe maji ya "alkaline" na mkayanywa kila siku hakika kila mtu atanufaika. Limao la moto linaweza kutoa dawa ya kupinga saratani pia. Sharubati ya moto ya limao ilionekana kwenye uvimbe wa saratani na kuponya aina zote za saratani. Tiba kwa mfumo huu inaharibu viini vibaya tu na haidhuru viini vyenye afya.

Pili "acids" na "carboxylic acid" zinazo patikana katika sharubati ya limao hurekebisha "Blood Pressure," hulinda mishipa myembamba, hurekebisha msukumo wa damu na kupunguza mgando wa damu.

Baada ya kuisoma taarifa hii zungumza na mtu mwingine, uisambaze kwa umpendaye na ulinde afya yako binafsi.

Profesa Chen Horin anahisi ye yote atakaye pokea taarifa hii ana uhakika wa kuokoa maisha ya mtu.

Nimetimiza wajibu wangu; nategemea unaweza kunisaidia kuiendeleza pia.

Ilichapishwa katika makundi ya taaluma.

Ili uwe wa kwanza kupata video mpya naomba sapot zenu kwa subscribe ku share na Ku comment 🙏
14/02/2021

Ili uwe wa kwanza kupata video mpya naomba sapot zenu kwa subscribe ku share na Ku comment 🙏

Live perfomance, Malaika wanaimba-kwaya ya vijana Madizini Turiani.

14/02/2021

malaika wanaimba-kwaya ya vijana Madizini Turiani

Address

MADIZINI TURIANI
Morogoro

Telephone

+255652725706

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ukweli Kuhusu Mungu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ukweli Kuhusu Mungu:

Share

Category