Dens tv

Dens tv Dens TV by Dens Media Group

AK**ATIKA K**A SAMSONTaarifa kubwa duniani kwa sasa ni kifo cha Nemesio Oseguera Cervantes(El Mencho) ambae alikuwa mlan...
24/02/2026

AK**ATIKA K**A SAMSON

Taarifa kubwa duniani kwa sasa ni kifo cha Nemesio Oseguera Cervantes(El Mencho) ambae alikuwa mlanguzi mkubwa wa madawa ya kulevya na kiongozi wa genge la Jalisco New Generation Cartel(CJNG) nchini Mexico ambae aliuawa na Jeshi la nchi hiyo. Leo Februari 24,2026 Waziri wa Ulinzi wa Mexico, Ricardo Trevilla Trejo amesema walipata kujua alipokuwa El Mencho kupitia mshirika wa karibu wa mwanamke wake ambae alikuwa amekutana nae Februari 20, 2026.

Akizungumza na vyombo vya habari leo Trevilla amesema “Tarehe 20 Februari, kupitia kazi ya ujasusi wa kijeshi, mshirika wa kuaminika wa mmoja wa wapenzi wa Mecho alitambuliwa. Mshirika huyo alimpeleka kwenye kituo kilichopo katika kijiji cha Talpa, Jalisco. Huko Mencho alikutana naye pamoja na huyo mwenzi wake.” Anaeleza Trevilla kuwa baada ya taarifa hizo kujulikana kikosi kilichojumuisha helikopta sita na askari wa vikosi maalum kiliwasili kimyakimya katika eneo la operesheni ili kudumisha usiri na watu kushtukia tukio.

Anaeleza zaidi kuwa El Mencho aliondoka eneo hilo na kuacha kundi lililokuwa na kiasi kikubwa cha silaha na shambulio lilikuwa la vurugu sana lililofanywa na watu wahalfu waliopangwa ambapo wanajeshi wa vikosi maalum walifanikiwa kuzuia mashambulizi hayo. Baada ya hali kudhibitiwa wahudumu wa afya wa kijeshi walielekea mahali alipokuwa El Mencho na walinzi wake ambapo walinzi wawili waliojeruhiwa. Kutokana na hali aliyokuwa nayo El Mencho waligundua kuwa ilikuwa lazima kuwahamisha kwa sababu walikuwa katika hali mbaya sana.

Msaada wa helikopta uliombwa ili kuwapeleka katika kituo cha matibabu huko Jalisco. Na baadae El Mencho, walinzi wake wawili na afisa aliyejeruhiwa walihamishwa. Kwa bahati mbaya, walifariki dunia wakiwa njiani. Funzo: Usimwamini mwanamke .

04/02/2026

🇹🇿🇰🇪🇺🇬

🤣🤣🤣
01/02/2026

🤣🤣🤣

  Al Ahly yawapa urahis yanga Emam Ashour ametozwa faini ya pauni milioni 1.5 za Misri, sawa na Shilingi milioni 82.1 za...
31/01/2026

Al Ahly yawapa urahis yanga
Emam Ashour ametozwa faini ya pauni milioni 1.5 za Misri, sawa na Shilingi milioni 82.1 za kitanzania na kusimamishwa kazi kwa wiki mbili pia ametakiwa kufanya mazoezi peke yake. Na hataungana na kikosi chake kuja Tanzania kukabiliana na Yanga sports club

  Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andy Lentz, ameelezea kutoridhishwa kwake na jinsi Serikali ya Tanzania na v...
30/01/2026

Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andy Lentz, ameelezea kutoridhishwa kwake na jinsi Serikali ya Tanzania na vyombo vya habari vilivyolishughulikia suala la kuk**atwa kwa raia wa Marekani aliyekuwa na silaha katika mpaka wa Sirari.

Akizungumza hivi katika mahojiano maalum yaliyochapishwa na The Citizen tarehe 29 Januari, 2026, Balozi Lentz ameuita mchakato wa kuweka wazi tukio hilo kwenye vyombo vya habari kuwa ni “jambo la kusikitisha” na “lisilofaa.” Amesema kuwa suala hilo limekuzwa kupita kiasi na viongozi wa serikali, huku akisisitiza kuwa masuala ya faragha ya raia wa Marekani yanapaswa kuheshimiwa.

Ilisikitisha sana jinsi ambavyo taarifa hiyo yote ilivyokuzwa kwenye vyombo vya habari na baadhi ya maoni yaliyotolewa na maafisa wa serikali. Kuna masuala ya faragha yanayohusu raia wa Marekani na hayo yanapaswa kuheshimiwa. Hivyo, nataka nianze na hilo kwanza kabisa. Lakini hiyo ilikuwa habari ambayo kiukweli haikupaswa kuwa habari kubwa”, ameeleza.

Sakata hilo linahusu kuk**atwa kwa Charles Onkuri Ongeta (30), raia mwenye uraia pacha wa Marekani na Kenya, ambaye pia ni mwanajeshi wa Marekani mwenye cheo cha Sajenti. Ongeta alik**atwa Novemba 16, 2025, katika mpaka wa Sirari akijaribu kuingia Tanzania kutokea Kenya akiwa na gari aina ya Toyota Land Cruiser (KDP 502Y).

Taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Tarime Rorya ilibainisha kuwa Ongeta alikutwa na mabomu ya kurushwa kwa mkono aina ya CS M68. Kamanda wa Polisi alisisitiza wakati huo kuwa mabomu hayo ni silaha ambazo hata k**a mtuhumiwa angeomba kibali, asingereuhusiwa kuingia nazo nchini kwa mujibu wa sheria za Tanzania.

Balozi Lentz amekiri kuwa ni kweli raia wa Marekani alivuka mpaka, lakini akasisitiza kuwa tukio hilo lilikuwa ni “lisilo na uzito wa kuwa habari”. Ameeleza kuwa ubalozi umefanya mazungumzo mazito na Serikali ya Tanzania kuhusu usalama na faragha za Wamarekani takriban 140,000 wanaozuru Tanzania kila mwaka k**a watalii.

“Kukuza suala hadharani halikuwa jambo la kufaa,” amesema Balozi Lentz. Ameongeza kuwa ni muhimu kwa Marekani kuhakikisha kuwa raia wake wanapata haki zao, ikiwemo ulinzi wa faragha na msaada wa kisheria wanapokuwa kizuizini bila kudhalilishwa hadharani.

28/01/2026

Shinyanga moja hiyo hawashindwi na lololote😂🚛🚲

27/01/2026

Dunia inamaajabu sana angalia hii👇

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
12/01/2026

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kijijini moja hiyo 😂😂😂😂😂
12/01/2026

Kijijini moja hiyo 😂😂😂😂😂

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
12/01/2026

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

10/01/2026
Mambo ni 🔥🔥🔥
10/01/2026

Mambo ni 🔥🔥🔥

Address

166
Morogoro
67

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dens tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category