Dens tv

Dens tv Dens tv hapa ndio pa kupata habari zote za uhakika michezo,burudani,uchumi,siasa na mahojiano mbalimbali

31/07/2025

Hii kitu ni burudani lakini inamtaka umakini sana😭😭😭😭😭

31/07/2025

ILa mapenzi............ama kweli mapenzi hinsia 🀣🀣.....

Tujikumbushe kidogo


.........

Ila mda mwingine ikibidi 🀣🀣🀣🀣
31/07/2025

Ila mda mwingine ikibidi 🀣🀣🀣🀣

Ukiwa chini ya miaka 21 Kamunyweso  Kenya unakisikia tuπŸ₯‚πŸΉπŸΉ
31/07/2025

Ukiwa chini ya miaka 21 Kamunyweso Kenya unakisikia tuπŸ₯‚πŸΉπŸΉ

  Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan amezindua usafiri wa Treni ya umeme ya SGR ya kubeba ...
31/07/2025

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan amezindua usafiri wa Treni ya umeme ya SGR ya kubeba mizigo kutoka Dar es salaam hadi Dodoma eneo la Kwala Marshallingi Yard mkoani Pwani

follow

  Gari aina ya TATA lililobeba mshabiki wa Taifa stars kutoka Mwanza kwenda Dar es salaam lateketea kwa moto πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯Gari hil...
31/07/2025

Gari aina ya TATA lililobeba mshabiki wa Taifa stars kutoka Mwanza kwenda Dar es salaam lateketea kwa moto πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Gari hilo lenye usajili T 284 EJF Mali ya chama Cha walimu wilaya ya Misungwi Mkoa wa Mwanza limeteketea kwa moto πŸ”₯ maeneo ya kata ya Bushi wilaya Kwimba mkoani Mwanza hakuna majeruhi Wala vifo

Kwa taarfa zaidi follow



31/07/2025

Bodaboda huyo anabeba kila kitu isipokuwa Simba tyu🀣🀣🀣

31/07/2025

Mmmmh jamani πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±

Leo nipo uruguruni naangalia Mazingira πŸ’πŸ’πŸ’
31/07/2025

Leo nipo uruguruni naangalia Mazingira πŸ’πŸ’πŸ’

Please! πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
31/07/2025

Please! πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

Mmmmh πŸ₯±πŸ₯±
31/07/2025

Mmmmh πŸ₯±πŸ₯±

  Serikali yapiga marufuku kwa wageni kufanya biashara Ndogo Ndogo sawa na wenyeji,Serikali imepitia rasmi Amri ya lesen...
31/07/2025

Serikali yapiga marufuku kwa wageni kufanya biashara Ndogo Ndogo sawa na wenyeji,

Serikali imepitia rasmi Amri ya leseni za biashakwa shughuli za biashara kwa wasio Raia wa Tanzania ambapo inazuia Raia wa kigeni kufanya shughuli mbalimbali za kibiashara ikiwa ni kulinda fursa na kipato kwa wazawa .

Kwa mujibu wa Amri hiyo biashara ambazo hazitofanywa na wageni ni pamoja na uuzaji bidhaa kwa rejareja , kufanya uwakala wa fedha, udalali katika sekta ya biashara na ardhi , kushughulikia matengenezo ya simu na vifaa vya electronic , usafi wa majumbani, huduma za foloza na usafirishaji , uchimbaji mdogo wa madini na ununuzi wa mazao moja kwa moja toka mashambani.

Mamlaka za utoaji wa lesseni zitakuwa kutoendelea kutoa lessen au kuhusisha leseni kwa wageni wanaojiusisha na shughuli hizo

Ni follow kwa taarfa zaidi


Address

166
Morogoro
67

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dens tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category