17/03/2021
MAISHA YA KUZIMU
Sehemu ya kwanza
Ilikua siku ya jumatatu katika kijiji cha iyenge wilayani mpwapwa mkoa wa dodoma siku iyo anga lilitanda wingu zito na ngurumo za radi iliashilia ujio wa mvua kubwa katika kijiji icho
Alionekana kijana mmoja ameketi chini ya mti akiwa na mawazo alikua kwenye dimbwi la mawazo ata asijue kinachoendelea wanakijiji walikua wakitimua mbio kuwai majumbani kwao kwa kua hali ya hewa ilikua sio shwali mda wowote mvua kubwa ingenyesha kila mtu alikua anajiami na kuwai ili mvia isimkute kijana yule aliendea kukaa pale mpaka mama ake akaja kumgus bega
Mama:mwanangu
Gafra alishtuka kutoka kweny dimbwi la mawazo nahaam mama
Mama:ebu tuwai nyumbani mvua isije ikatukuta
Kijana alie itwa emily mkingule alinyanyuka nakuelekea nyumbani wakiongozana na mama yake
Mvua kubwa ilinyesha siku ile mpaka hasubuhi
Walipo fika nyumbani kijana emily aliingia jikoni nakutaalisha chakula
Alipo maliza akatenda chakula sebleni wakala basi mama ake akamuuliza mwanangu leo unaonekana unamawazo sana shida nini mwanangu niambie mim usipo niambia mimi utamwambia nani mwanangu Emilly alimwambia mama mimi niko sawa ata usijali mama
Mama :mwanangu me nakujua vizuri leo aupo sawa shida nini mwanangu
Emilly alivuta pumzi kidogo kisha akaanza kuongea kwa uchungu mama huu mwaka wa tano(5) tunalima lakini sioni mafanikia zaidi ya kuendelea kua maskini
Mama:mwanangu aitakiwi kukata tamaa kiasi hicho we ongeza juhudi utafanikiwa mwanangu
Emilly akumjibu mama ake alinyanyuka akaelekea chumbani kwake kulala
Usiku ule Emilly aliota amepelekwa mahari asipo pajua alisikia sauti ikisema karibu kuzimu....itaendelea wiki ijayo sehemu ya pili usikose kufatilia