LikuNews

LikuNews

KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO AMPA KICHEKO BWANA YOHANA YUSUPH MKAZI WA KOROGWE MJIN...
03/02/2024

KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO AMPA KICHEKO BWANA YOHANA YUSUPH MKAZI WA KOROGWE MJINI KWA KUMPATIA KITI MWENDO CHA UMEME.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu Paul Makonda ametimiza Ahadi yake kwa Kumpatia Kiti Mwendo cha Umeme Bwana Yohana Yusuph ambaye ni Mkazi wa Korogwe Mjini Mkoani Tanga .

Ahadi hiyo kutoka kwa Ndugu Paul Makonda aliitoa tarehe 21 Januari 2024 alipokuwa kwenye Mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Mpira Sokoni Manundu .

26/11/2023

MBUNGE AWESO AANZA MCHAKATO WA KUJENGWA KWA ZAHANATI KATIKA KATA YA UBANGAA

26/11/2023

KUTOKA JIMBONI

Mbunge wa Jimbo la Pangani, Mhe. Jumaa Aweso wakiimba kwa pamoja na Wananchi wa Jimboni kwake wakati wa Ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero .

Address

Tanga
Muheza
8591

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LikuNews posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share