mara press club

mara press club habari

Wakuu na wawakilishi wa Taasisi mbalimbali za kihabari na zisizo za kihabari wakiwemo Raisi wa UTPC Bw Deo nsokolo Mkuru...
04/05/2023

Wakuu na wawakilishi wa Taasisi mbalimbali za kihabari na zisizo za kihabari wakiwemo Raisi wa UTPC Bw Deo nsokolo Mkurugenzi wa UTPC Bw Kenneth Simbaya Mkurugenzi wa ojadact Bw Edwin Soko Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Misa Tanzania Bi Kitomari Salome na ofisa utawala kutoka MCT Bi Ziada Kilobo wakifuatilia matukio mbalimbali katika maadhimisho ya 30 ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani

Baadhi ya wadau wa maswala ya habari na mawasiliano walioweza kushiriki katika maadhimisho ya miaka 30 ya uhuru wa vyomb...
03/05/2023

Baadhi ya wadau wa maswala ya habari na mawasiliano walioweza kushiriki katika maadhimisho ya miaka 30 ya uhuru wa vyombo vya habari ambayo kitaifa yamefanyika visiwani Zanzibar

Kilele Cha maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Tanzania
03/05/2023

Kilele Cha maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Tanzania

Baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa Nchini pamoja na wawakilishi wa umoja wa mataifa wakiwa katika picha ya ...
03/05/2023

Baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa Nchini pamoja na wawakilishi wa umoja wa mataifa wakiwa katika picha ya pamoja na wageni rasmi katika kilele Cha Cha maadhimisho ya miaka 30 ya uhuru wa vyombo vya habari ambayo kitaifa maadhimisho hayo yamefanyika visiwani Zanzibar

Kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani Mei 3 2023
02/05/2023

Kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani Mei 3 2023

Dotto Bulendu akizungumza katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari yanayofanyika visiwani Zanzibar
02/05/2023

Dotto Bulendu akizungumza katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari yanayofanyika visiwani Zanzibar

Waziri wa habari michezo utamaduni na vijana wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Mhe Thabia Mwita akisaliniana na viong...
02/05/2023

Waziri wa habari michezo utamaduni na vijana wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Mhe Thabia Mwita akisaliniana na viongozi katika maadhimisho ya miaka 30 ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani ambayo kitaifa itafanyika Zanzibar

Mkurugenzi Mtendaji wa UTPC Bw Kenneth Sembaya Akiongea kwenye mafunzo ya Waratibu wa klabu za waandishi wa habari mafun...
29/04/2023

Mkurugenzi Mtendaji wa UTPC Bw Kenneth Sembaya Akiongea kwenye mafunzo ya Waratibu wa klabu za waandishi wa habari mafunzo hayo yamefanyika jijini Dar es salaam katika hotel ya jamirex

Kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani Mei 3,2023
29/04/2023

Kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani Mei 3,2023

Leo April 28 2023 UTPC imetembelea studio za Radio Mwangaza Fm jijini Dodoma ikiwa ni katika kufanya uchechemuzi wa kuel...
29/04/2023

Leo April 28 2023 UTPC imetembelea studio za Radio Mwangaza Fm jijini Dodoma ikiwa ni katika kufanya uchechemuzi wa kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani itafanyika Mei 3,2023 ambayo kitaifa itafanyika Zanzibar kaulimbiu Kwa mwaka huu ni "kuunda mustakabali wa haki uhuru wa kujieleza k**a kichecheo Cha haki nyingine zote za binadamu"

Afisa wa UTPC Hilda Kileo akifanya maazimio katika kazi na Waratibu wa klabu za waandishi wa habari Mikoa yote ya Tanzan...
27/04/2023

Afisa wa UTPC Hilda Kileo akifanya maazimio katika kazi na Waratibu wa klabu za waandishi wa habari Mikoa yote ya Tanzania bara na Zanzibar

Address

590
Musoma
00000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mara press club posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to mara press club:

Share