Exquiz /Hip hop icon

Exquiz /Hip hop icon Hip hop artist/actor/storyteller/songwriter/rastafarian culture/fashionister/ DJ

Tuna Ndugu wenye   Ila 2nasaidiwa na   wenye
08/09/2024

Tuna Ndugu wenye Ila 2nasaidiwa na wenye

08/09/2024

WE HAVE RELATIVES WITH MONEY
BUT
WE ARE SUPPORTED BY FRIEND WITH HEART.

 Siogopi kufa ila Naogopa kile kilicho ndani yangu kufa kabla mi sijafa.   (Hapo Akili kumkichwa) Kujipambania ndilo jam...
05/11/2023


Siogopi kufa ila Naogopa kile kilicho ndani yangu kufa kabla mi sijafa.
(Hapo Akili kumkichwa)

Kujipambania ndilo jambo la msingi,
Hakuna mwanadamu hasiyekuwa na Ndoto kila mtu ana-wish kuishi ktk Ndoto anayo-wish kuwa
(Hapo Akili kumkichwa)

🎀🎀Moja kati ya Ndoto zangu ni kuja kuwa Mwana-HIP HOP atakaeleta mapinduzi ktk game ya HIP HOP Tz. 🎀🎀

🎀🎀Half sijawahi kutamani kutoa korabo na wasanii wa kizazi hiki,
Mi Tamaa yangu ni kufanya korabo na Akina , , , ,na wengine wote wa kitambo 🎀🎀

🎀🎀Mungu Awalaze mahali pema peponi waliotangulia/
Huwa Nafikiria mpaka kwa nini mlikufa mapema, mkaiacha HOP inateseka /
Si mngenisubiria mimi, ona leo natamani kuwa Nanyi, Nanyi hampo tena kwenye hii sayari/😭😭😭😭🎀🎀

MAPENZI ya siku hizi bila kugombana yanakua hayana SITIM/Pia ni rukhusa kushikana kisa kushikiana SIMU/Inanipa WAZIMU ku...
14/10/2023

MAPENZI ya siku hizi bila kugombana yanakua hayana SITIM/
Pia ni rukhusa kushikana kisa kushikiana SIMU/
Inanipa WAZIMU kusikia kimwana kuachana na SHEMU na bado wanawasiliana, mmh! Unampango wa kuchanganya Timu.
🎀🎀

MAISHA NI MCHEZO WA KUIGIZA Akiwa na miaka 5 Alifiwa na Baba yake...Akiwa na miaka 16 aliamua kuacha shule.Akiwa na miak...
11/10/2023

MAISHA NI MCHEZO WA KUIGIZA

Akiwa na miaka 5 Alifiwa na Baba yake...

Akiwa na miaka 16 aliamua kuacha shule.

Akiwa na miaka 17 tayari alikua kapoteza ajira 4.

Akiwa na miaka 18 aliamua kuoa.

Akiwa na miaka 19, alifanikiwa kuwa Baba.

Akiwa na miaka 20, Mke aliamua kuondoka na mtoto.

Alishindwa hata katika jaribio la kumpata mwanae, na kuamua kumshawishi mkewe kurejea nyumbani.

Akiwa na miaka kati ya 18-22, alikua msimazi wa njia za reli lakini alishindwa akafukuzwa.

Baadae alijiunga na Jeshi lakini akafukuzwa pia.

Akatuma maombi shule ya sheria ila hakupata nafasi.

Akawa muuzaji wa Bima lakini alishindwa pia.

Hatimaye akapata ajira k**a mpishi na mwosha vyombo wa mgahawa mdogo.

Akiwa na miaka 65 alistaafu ajira yake ya kupika na kuosha vyombo katika mgahawa,

Baada ya kustaafu alipata mafao yake kutoka serikalini dola 105$, k**a Tsh 262,500.

Alidhani serikali imemuona k**a hajiwezi kabisa.

Akafanya jaribio la kujiua, akiamini hakuna thamani ya kuishi tena na kwamba ameshashindwa sana.

Hakufanikiwa hata katik jaribio lake hilo.

Akaamua kukaa chini ya mti na kuandika matarajio yake, Ila aliona ayaandike yale aliyoyakamilisha tayari.

Akagundua kuna mambo mengi hakuyafanya bado.

Akagundua lipo jambo moja ambalo anaweza kulifanya vizuri zaidi kuliko mtu yeyote yule anayemfahamu.

Na ilikua ni namna gani ya kupika.

Akaamua kuchukua dola 87$ k**a Tsh 217,500 kutoka kwenye Hundi yake ya pensheni na kununua kuku.

Akawakaanga kwa kuwachanganya na viungo anuai akapata mchanganyiko wa aina yake (unaovutia).

Akaamua kupita mlango kwa mlango kuwauza kwa majirani zake huko Kentucky.

Mchanganyiko ule ukapendwa sana na akaamua kuanzisha mgahawa wake uitwao Kentucky Fried Chicken (KFC)...
..uliokua ukitengeneza mchanganyiko wa kuku alioubuni.

Hatimaye biashara yake ikakua na akafungua migahawa mingi ya KFC nchini Marekani.

Mchanganyiko ule ukazidi kupendwa na kutanua wigo wa biashara yake.
INAENDELEA chini kwenyw comment......

03/10/2023

π—ͺπ—”π—žπ—”π—§π—œ π—ͺ𝗔 π— π—¨π—‘π—šπ—¨, π—‘π——π—œπ—’ π—ͺπ—”π—žπ—”π—§π—œ π—¦π—”π—›π—œπ—›π—œ.

Hii kauli inapendwa sana hasa na wale watu ambao waliofanikiwa kiasi fulani.

Utasikia, Never give up, fanya kazi kwa bidii/
Kisha omba sana mungu, kwasababu wakati wa mungu ndio wakati sahihi/
Ila ni ukweli wanachokisema si uwongo.
Ila watoe na njia walizotumia mpaka kufika hapo😁😁.

Usione mtu maarufu kafanikiwa au ana pesa nyingi ukadhani pesa zote anazipatia kwenye icho unamjua, HAPANA kuna mengi nyuma ya PAZIA πŸ‘‡πŸ‘‡

SHORTY STORYπŸ‘‡Demu baada ya kufika getto akukutwa ana chat na mshkaji mwingine,Akitoka hapo anenda kulala huko mpaka asub...
02/10/2023

SHORTY STORYπŸ‘‡

Demu baada ya kufika getto akukutwa ana chat na mshkaji mwingine,
Akitoka hapo anenda kulala huko mpaka asubh,
Jamaa akaamua kumshushia kichapo
huku akimwambia "N hapa utatoka sasa wiki nzima πŸ˜‚πŸ˜‚ siwezi tuma nauli kila siku unaharaka tu πŸ˜‚πŸ˜‚"

26/09/2023

Bro, Jitafute UJIPATE Ndipo UTAFUTE MWANAMKE Ili Akusaidie Kukua Kwenye ULICHOJIPATA.

Usitafute Mwanamke Kabla Hujajipata, HAUTOJIPATA KAMWE.
Soma mpaka mwisho utanishukhuruπŸ‘‡πŸ‘‡

❌Mwanamke Hakuumbwa Ili Akusaidie Kujitafuta, Ila Aliumbwa Akusaidie KUKUA na KUSITAWI Katika Eneo Ulilojipata na kutumia kile ulichokipata kwa maangaiko yako mwenyewe,. Usioe k**a hujafanikiwa eti ili utafute nae ndugu utaachwa sana

❌Sawa kuoa ni kuzuri ila kabla hujaoa chunguza kwanza maisha yako, jiulize "unaweza kuimili mahitaji na shida zote zitakazokukabiri wew na familia yako/mke wako??
Na AKILI yako ina uwezo wa kuongoza familia??
Hakikisha unajicontrol Akili,mawazo na hisia za mwili wako kwa sababu huwezi kuongoza AKILI na HISIA za watu wengne kwenye familia yako k**a we mwenyew unashindwa kujicontrol. (hapo akili kumkichwa)

❌Mwanamke ni kiumbe dhaifu ila hatari sana,
Ebu fikiria kila mtu anaishi katika maadili aliolelewa na wazazi wake na ule msemo unaosema "kichwa cha mtu ndo serikali yake"
Fikiri, unaweza vp kuibadili Akili ya mwanamke ili aweze kuishi katika matakwa na misingi yako unayoitaka/ ni kazi sana na inahitaji AKILI ya ziada kutoka kwa wengine walokutangulia KUOA/
Mara nyingi familia nyingi mjini & vijijini zimedumu na nyingine zimeshindwa kudumu sababu ya changamoto ya NDOA/
Hii NDOA ni nini?? ndilo swali unatakiwa kujiuliza na kulipatia majibu kabla HUJAOA/

❌Kwangu mimi mwanamke ndio kiumbe hatari zaidi duniani kuliko viumbe wote,
Iko sababu inayofanya nawachukia wanawake na kuwachukulia k**a vyombo vya starehe tu ila si mtu wa kuweka naye kabisa malengo, ideal na mali zako si mtu wa kushare nae chochote kile kutoka Akilini mwako.

Ipo siku nitashare na nyie hapa sababu gani inanifanya nawachukia wanawake.

How are you my country people MUSOMA family ✌️✌️Mwanza.Arusha.Mbeya.DSM.Dodoma.Kigoma.Singida.Morogoro.Kilimanjaro.IRing...
26/09/2023

How are you my country people
MUSOMA family ✌️✌️

Mwanza.
Arusha.
Mbeya.
DSM.
Dodoma.
Kigoma.
Singida.
Morogoro.
Kilimanjaro.
IRinga.
Tabora.
Shinyanga.
Katavi.
Manyara.
Kagera.
Lindi.
Mtwara.
Tanga.
Pwani.
Zanzibar.
Mara.
Njombe.
Songea.
Rukwa.

Drop Sehemu ulipo

+255626044705 njoo tubishane kimichanoUkiniuliza nakujibu kirasta/half sichelewi nafanya fasta/Kujiamini ndo ishakua mai...
25/09/2023

+255626044705 njoo tubishane kimichano
Ukiniuliza nakujibu kirasta/
half sichelewi nafanya fasta/
Kujiamini ndo ishakua maisha/
Never give up kijana ndo nguvu ya taifa/🎡🎡

Address

Nyakato
Musoma

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 08:00 - 11:30

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Exquiz /Hip hop icon posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share