Gray Star Media

Gray Star Media Gray Star Media inafanya kazi zote zinazohusu habari na burudani mbali mbali, Tunazo movie ya kivita,

23/03/2022
Mlipuko mkubwa umetokea katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, Agosti 4,2020.Salamu za rambi rambi kwa watu wa Lebanon zime...
05/08/2020

Mlipuko mkubwa umetokea katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, Agosti 4,2020.

Salamu za rambi rambi kwa watu wa Lebanon zimetumwa kutoka sehemu mbali mbali Duniani, ikiwemo jirani zake Israel ambao walisema haraka kwamba hawajahusika na mlipuko huo

Rais wa Lebanon, Michel Aoun anatoa wito kwa baraza la mawaziri kutangaza wiki mbili za hali ya dharura ya kitaifa huko Beirut baada ya mlipuko mkubwa mapema Jumanne ulioharibu sehemu kubwa ya bandari ya mji huo na kuuwa angalau watu 70 na kuwajeruhi zaidi ya 3,500.

Japokuwa chanzo rasmi cha mlipuko huo hakijulikani, Aoun aliandika kwenye mtandao kwamba sitapumzika hadi tunampata mtu aliyehusika na kile kilichotokea na kumfikisha kwenye vyombo vya sheria na kumhukumu

Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mzee Benjamin Mkapa, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 24/07/...
24/07/2020

Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mzee Benjamin Mkapa, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 24/07/2020. Mauti haya yamemkuta akiwa hosptalin alikolazwa jijini Dar es salaam. Taarifa hii imetolewa na Dk. John Pombe Magufuli - Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Serikali ya Tanzania pia imepiga marufuku kila aina ya mkusanyiko ikiwemo mziki (Club), mikutano, semina n.k. Hii ni kut...
17/03/2020

Serikali ya Tanzania pia imepiga marufuku kila aina ya mkusanyiko ikiwemo mziki (Club), mikutano, semina n.k. Hii ni kutokana na ugonjwa wa Corona. Taarifa hii imetolewa na waziri mkuu wa Tanzania Kasim Majaliwa

Serikali ya Tanzania kupitia waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, imefunga shule zote kuanzia shule za awali hadi ki...
17/03/2020

Serikali ya Tanzania kupitia waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, imefunga shule zote kuanzia shule za awali hadi kidato Cha sita kwa muda wa siku 30 kuanzia tarehe 17/03/2020 ili kuwepo tahadhali juu ya ugonjwa wa CORONA uliotangazwa kufika nchini Tanzania

Address

ILEMELA
Mwanza
33000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gray Star Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Gray Star Media:

Share