25/10/2025
Klabu ya Yanga SC imetangaza kumwajiri kocha wa zamani wa vilabu vya Sporting Lisbon,De Agosto na timu ya taifa ya Angola,Pedro Valdemar Soares Gonçalves (49).
Kocha huyo raia wa Ureno aliifikisha Angola hatua ya robo fainali kwenye Afcon iliyopita.