James Kabuche

James Kabuche Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from James Kabuche, Digital creator, Ilemela, Mwanza.

Hᴀʙᴀʀɪ,sᴀɴᴀᴀ ɴᴀ ᴍɪᴄʜᴇᴢᴏ

𝗰𝗼𝗻𝘁𝗮𝗰𝘁𝘀:
0 7 8 4 7 9 4 2 1 5


Tiktok
https://www.tiktok.com/?_t=ZM-8uMyxImLE0d&_r=1

08/03/2026

majibu ya kwanini matokeo ya usaili wa orally hayatolewi? sikilizia video hii hadi mwisho

08/03/2026
07/03/2026

wanawake day

Guess huo uwanja unaitwaje na upo wapi??
04/03/2026

Guess huo uwanja unaitwaje na upo wapi??

K**a unaifahamu location hapa ni wapi??
25/02/2026

K**a unaifahamu location hapa ni wapi??

🌟   (Pichani)Sauti yake ilianza kusikika kupitia Radio Free Africa chini ya mwavuli wa Sahara Media Group.Ni mmoja wa wa...
24/02/2026

🌟 (Pichani)

Sauti yake ilianza kusikika kupitia Radio Free Africa chini ya mwavuli wa Sahara Media Group.
Ni mmoja wa watangazaji mahiri nchini Tanzania. Rebecca Mulesi amekuwa hodari katika vipindi vyote anavyopewa kuvitangaza, lakini amefiti zaidi kwenye vipindi vya MICHEZO NA BURUDANI pamoja na USHAURI WAKO. Wakati mwingine pia amekuwa akitangaza taarifa ya habari au muhtasari wake. Rebecca Mulesi ana sauti ya kuvutia, inayopambwa na lafudhi yenye weledi na tamshi safi linaloliacha sikio lako likiwa limeridhika kabisa. Ni mmoja wa sports lady wa kutisha nchini hili halina ubishi. Ameonyesha uthabiti (consistency) wa hali ya juu kwa miaka mingi ndani ya Radio Free Africa, hasa katika vipindi vya michezo.
K**a umewahi kumsikia, utakubaliana nami kuwa si rahisi mtu kuzima redio anapokuwa hewani. Anavutia kumsikiliza, hachoshi wala haboi uwezo wake wa kuwasilisha unakufanya ubaki hadi mwisho wa kipindi.

🎙️ Wadau na Majina Yaliyotikisa RFA Zamani
Kulikuwa pia na majina makubwa yaliyowika ndani ya Radio Free Africa:
Roy Mlariki Maganga
Stellah Situmbi
Charles Mwibeya
Gabri Yota
Deo Kiduduye
Basil Mbakile

Wengine walihama na kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine k**a:
PJ
Godwin Gondwe
Double G
Kid Bway
Baruan Muhuza

Wapo pia waliotangulia mbele ya haki:
Marehemu Deo Kiduduye
Marehemu Isaac Gamba
Marehemu Zuber Msabaha
Marehemu Juma Galagaza
Marehemu Fred Fideris Fredwaa
Marehemu Prince Baina Kamukuru

Pia DJ Young Milionea na Fred Bundara maarufu k**a Sky Walker walikuwa sehemu ya historia hiyo.

Watangazaji wa Radio Free Africa miaka ya nyuma k**a:
Ladhalo Matalange
Mikament Juma
Roy Mlariki Maganga
Nao wako wapi siku hizi?

Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 -Jiji la 5 Afrika kwa idadi kubwa ya watu-Jiji la 5 Afrika kwa ukubwa wa eneo-Jiji la 1 Afrik...
22/02/2026

Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿

-Jiji la 5 Afrika kwa idadi kubwa ya watu
-Jiji la 5 Afrika kwa ukubwa wa eneo
-Jiji la 1 Afrika mashariki kwa ukubwa wa eneo
-Jiji la 2 Duniani katika orodha ya majiji yanayokua kwa kasi zaidi.

Ni kweli huyu ndiye aliyeikuza tasnia ya bongo movie?
21/02/2026

Ni kweli huyu ndiye aliyeikuza tasnia ya bongo movie?

Mwanza,  Tanzania 🇹🇿♥️It is known as the "Rock City" due to the large granite boulders that dot the landscape.
21/02/2026

Mwanza, Tanzania 🇹🇿♥️

It is known as the "Rock City" due to the large granite boulders that dot the landscape.

Address

Ilemela
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when James Kabuche posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share