31/12/2025
GOLIE Yakoub Suleiman wa Simba huenda akawa nje ya uwanja kwa muda wa siku 60 mpaka 90 yaani miezi miwili mpaka mitatu akiuguza majeraha yake ila hatofanyiwa upasuaji bali atakuwa chini ya uangalizi wa Madaktari.
Simba bila shaka wataingia sokoni kusaka Golikipa Mbadala kwasasa maana Makipa wawili tegemeo ni Majeruhi.