James Kabuche

James Kabuche Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from James Kabuche, Digital creator, Ilemela, Mwanza.
(2)

Hᴀʙᴀʀɪ,sᴀɴᴀᴀ ɴᴀ ᴍɪᴄʜᴇᴢᴏ

𝗰𝗼𝗻𝘁𝗮𝗰𝘁𝘀:
0 7 8 4 7 9 4 2 1 5


Tiktok
https://www.tiktok.com/?_t=ZM-8uMyxImLE0d&_r=1

GOLIE Yakoub Suleiman wa Simba huenda akawa nje ya uwanja kwa muda wa siku 60 mpaka 90 yaani miezi miwili mpaka mitatu a...
31/12/2025

GOLIE Yakoub Suleiman wa Simba huenda akawa nje ya uwanja kwa muda wa siku 60 mpaka 90 yaani miezi miwili mpaka mitatu akiuguza majeraha yake ila hatofanyiwa upasuaji bali atakuwa chini ya uangalizi wa Madaktari.

Simba bila shaka wataingia sokoni kusaka Golikipa Mbadala kwasasa maana Makipa wawili tegemeo ni Majeruhi.

"Hili Heshima kwa yalio ikuta Tanzania Tarehe 29, natoa hesima zangu za Dhati kwa wale wote walio poteza Maisha Yao "Koc...
31/12/2025

"Hili Heshima kwa yalio ikuta Tanzania Tarehe 29, natoa hesima zangu za Dhati kwa wale wote walio poteza Maisha Yao "

Kocha Miguel Gamondi Via BBC

Kamata Ratiba Ya Kandanda Leo AFRICA – Africa Cup of Nations19:00 Equatorial Guinea - Algeria19:00 Sudan - Burkina Faso2...
31/12/2025

Kamata Ratiba Ya Kandanda Leo

AFRICA – Africa Cup of Nations
19:00 Equatorial Guinea - Algeria
19:00 Sudan - Burkina Faso
22:00 Gabon - Ivory Coast
22:00 Mozambique - Cameroon

DR CONGO – Ligue 1
16:00 Blessing - Manika
16:00 Don Bosco - Tshinkunku
16:00 Saint-Luc - St Eloi Lupopo
21:00 Maniema - Dauphins Noirs

EGYPT – League Cup
18:00 Ceramica Cleopatra - Pharco
18:00 Petrojet - National Bank Egypt
21:00 ZED - Haras El Hodood

GHANA – Premier League
18:00 Bibiani Gold Stars - Medeama

SAUDI ARABIA – Saudi Professional League
18:25 Neom SC - Al Ittihad
20:30 Al Kholood - Al Hilal
20:30 Al Shabab - Al Qadsiah

Matokeo Ya Kandanda Jana

AFRICA – Africa Cup of Nations
FT Tanzania 1:1 Tunisia
FT Uganda 1:3 Nigeria
FT Benin 0:3 Senegal
FT Botswana 0:3 DR Congo

ENGLAND – Premier League
FT Burnley 1:3 Newcastle
FT Chelsea 2:2 Bournemouth
FT Nottingham Forest 0:2 Everton
FT West Ham 2:2 Brighton
FT Arsenal 4:1 Aston Villa
FT Manchester United 1:1 Wolves

DR CONGO – Ligue 1
FT US Panda 2:1 Sanga Balende

EGYPT – League Cup
FT Al Ahly 0:3 Arab Contractors
FT El Gaish 1:0 Ghazl El Mahallah
FT Smouha 2:2 Kahrabaa Ismailia

ENGLAND – National League
FT Aldershot 4:1 Wealdstone
FT Altrincham 1:2 York City
FT Boreham Wood 2:1 Solihull Moors
FT Boston United 1:2 Brackley Town
FT Carlisle 1:0 Morecambe
FT Forest Green 1:1 Truro
FT Rochdale 1:2 Hartlepool
FT Scunthorpe 2:0 Gateshead
FT Southend 1:0 Sutton
FT Tamworth 0:2 FC Halifax
FT Woking 0:1 Braintree
FT Yeovil 1:1 Eastleigh

SCOTLAND – Premiership
FT Dundee FC 2:1 Kilmarnock
FT Hibernian 2:0 Aberdeen
FT Livingston 1:3 Dundee United
FT Rangers 2:1 St Mirren
FT Motherwell 2:0 Celtic

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imepangwa kukipiga na Morocco katika hatua ya 16 ya Mashindano ya AFCON 2025.Mtana...
30/12/2025

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imepangwa kukipiga na Morocco katika hatua ya 16 ya Mashindano ya AFCON 2025.

Mtanange huo wa kukata na shoka utapigwa Januari 4,2026 ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufuzu hatua ya 16 bora tangu ishiriki AFCON kwa mara ya kwanza mwaka wa 1980.

Katika mashindano hayo ambayo yanaendelea nchini Moroccco, Tanzania imefuzu hatua hiyo kwa kapu la ‘best loser’ baada ya kutoka sare ya bao 1-1 na timu ya taifa ya Tunisia.

Kwa upande mwingine Uganda imetupwa nje ya mashindano ya AFCON baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Nigeria.

Timu ya Taifa ya Tanzania imeweka historia kwa kufuzu kwenda hatua ya 16 ya michuano ya kombe la Mataifa Afrika AFCON k*...
30/12/2025

Timu ya Taifa ya Tanzania imeweka historia kwa kufuzu kwenda hatua ya 16 ya michuano ya kombe la Mataifa Afrika AFCON k**a 'best loser' ikiwa miongoni mwa timu bora zilizomaliza nafasi ya tatu kwenye makundi yao.

Stars imeungana na Nigeria na Tunisia kwenye hatua ya 16 kutoka Kundi C la AFCON 2025.

FT: Tanzania 🇹🇿 1-1 🇹🇳 Tunisia
⚽ 48' Feitoto
⚽ 43' Gharbi

FT: Uganda 🇺🇬 1-3 🇳🇬 Nigeria
🟥 56' Magoola
⚽ 75' Mato
⚽ 28' Onuachu
⚽ 62' Onyedika
⚽ 67' Onyedika

Bondia maarufu wa Uingereza na Nigeria,Anthony Joshua amepata ajali ya barabarani katika eneo la Makun, jimbo la Ogun, n...
29/12/2025

Bondia maarufu wa Uingereza na Nigeria,Anthony Joshua amepata ajali ya barabarani katika eneo la Makun, jimbo la Ogun, nchini Nigeria. Ajali hiyo imetokea katika barabara kuu ya Lagos-Ibadan, ambapo gari lake aina ya Lexus Jeep liligongana na gari lingine ambalo lilikuwa limesimama.

Joshua alipata majeraha madogo, lakini watu wawili waliokuwa kwenye gari hilo wamefariki. Polisi ma mamlaka za afya wamethibitisha kuwa Joshua anaendelea vizuri.

Idrissa Gana Gueye wa Senegal anasema “Lazima tuipongeze Morocco kwa maandalizi mazuri ya jambo hili. Miundombinu ni nzu...
29/12/2025

Idrissa Gana Gueye wa Senegal anasema

“Lazima tuipongeze Morocco kwa maandalizi mazuri ya jambo hili. Miundombinu ni nzuri sana, na viwanja vya michezo ni bora, ambayo inatuwezesha kucheza soka la kuvutia. Kwa kawaida, vitu k**a hivi vinainua kiwango cha mashindano. Hivi ndivyo tunavyotarajia kutoka kwa mataifa mengine ambayo yatakuwa mwenyeji wa Kombe la Afrika siku zijazo.”

********************************

Morocco ina viwanja zaidi ya 15 ambavyo vinaweza kutumika kwenye michuano mikubwa ya CAF. (Tazama picha 👇)

NB : Kumbuka waandaaji wanaofuata wa AFCON ni Tanzania, Kenya na Uganda, je tutatoboa?

“Siamini sana kwenye mifumo kuna muda unakutana na timu inayokulazimisha kubadili mfumo, binafsi mfumo wangu pendwa ni 4...
29/12/2025

“Siamini sana kwenye mifumo kuna muda unakutana na timu inayokulazimisha kubadili mfumo, binafsi mfumo wangu pendwa ni 4-3-2-1 na ndio huwa ninautumia” - Kocha wa Tanzania Miguel Gamondi akijibu swali la mwandishi wa habari kuhusu mfumo gani atautumia dhidi ya Tunisia.

“Tunisia wana wachezaji wazuri sana, wana uzoefu wa kutosha, hivyo tunapaswa kuwa nao makini. Suala la kuichambua Tunisia nadhani ni kazi yako k**a mwandishi wa habari kuichambua, kuikosoa au kuisifia, kazi yetu ni kuhakikisha tunashinda kesho.” - Kocha Miguel Gamondi akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mechi ya kesho dhidi ya Tuni

Mechi itapigwa kesho kwenye dimba la Olympic pembeni kidogo ya Prince Moulay Abdellah jijini Rabat kuanzia saa 1:00 usiku

MATOKEO YA KANDANDA JANAAFRICA – Africa Cup of NationsFT Benin 1–0 BotswanaFT Senegal 1–1 D.R. CongoFT Uganda 1–1 Tanzan...
28/12/2025

MATOKEO YA KANDANDA JANA

AFRICA – Africa Cup of Nations
FT Benin 1–0 Botswana
FT Senegal 1–1 D.R. Congo
FT Uganda 1–1 Tanzania
FT Nigeria 3–2 Tunisia

ENGLAND – Premier League
FT Nottingham 1–2 Manchester City
FT Arsenal 2–1 Brighton
FT Brentford 4–1 Bournemouth
FT Burnley 0–0 Everton
FT Liverpool 2–1 Wolves
FT West Ham 0–1 Fulham
FT Chelsea 1–2 Aston Villa

ITALY – Serie A
FT Parma 1–0 Fiorentina
FT Lecce 0–3 Como
FT Torino 1–2 Cagliari
FT Udinese 1–1 Lazio
FT Pisa 0–2 Juventus

ALGERIA – Ligue 1
FT Olympique Akbou 1–1 USM Alger
FT Paradou 1–0 Rouisset
FT Kabylie 2–1 A*O Chlef

BELGIUM – Jupiler Pro League
FT Antwerp 2–1 Waregem
FT RAAL La Louviere 0–0 Leuven
FT KV Mechelen 1–1 Dender
FT Gent 2–0 Westerlo

DR CONGO – Ligue 1
FT US Panda 0–1 Simba

EGYPT – Egypt Cup
FT Modern Sport 1–0 Al Qanah (AET)
FT Al Ahly 1–2 WE SC (AET)

RWANDA – Premier League
FT Kiyovu 0–0 Amagaju
FT Rayon Sports 1–1 Etincelles

SAUDI ARABIA – Saudi Pro League
FT Al Qadsiah 1–1 Damac
FT Al Nassr 3–0 Al Okhdood
FT Al Ittihad 2–0 Al Shabab

Uganda na Tanzania wamegawana pointi baada ya kutoka sare ya mabao 1-1 katika mchezo wao wa AFCON 2025.
27/12/2025

Uganda na Tanzania wamegawana pointi baada ya kutoka sare ya mabao 1-1 katika mchezo wao wa AFCON 2025.

Kuvaa hivyo , kubinuka hivyo ni kwa ajili kuwavutia wanaume ambao ni watazamaji..Wanaume hao  ambao ni watazamaji hata w...
27/12/2025

Kuvaa hivyo , kubinuka hivyo ni kwa ajili kuwavutia wanaume ambao ni watazamaji..

Wanaume hao ambao ni watazamaji hata wenyewe vichwani kwao wanajisema " hayo makalio hayawezi kulea watoto"..

Wanaume ambao wanafanya hawa mabinti wawe hivyo wanajua kabisa malezi yanafanywa na mwanamke mwenye heshima na sio hawa...

Hapo dada zetu wamebinuka ili waivutie jamii kwa muda mfupi , hapo wenyewe hawajui ni kiasi gani wanaishusha thamani yao ..

Dada zetu hawajui wapo wanajiroga wenyewe bila ya hata kucha kwenda kwa mganga, wapo wanaitengeneza leo ambayo itawawinda kesho..

Kesho wanaijenga wenyewe, alafu mbeleni wataenda kumsumbua Mwamposa afanye miujiza au sangoma...
.

TUNAMMiSS MANURA STARSMoja ya dhambi ambayo itaendelea Kututafuna leo Hadi kesho basi ni hii ya Aishi  Air Manula.Tunaen...
26/12/2025

TUNAMMiSS MANURA STARS

Moja ya dhambi ambayo itaendelea Kututafuna leo Hadi kesho basi ni hii ya Aishi Air Manula.Tunaenda AFCON bila Air Manula kwa Taarifa ambazo zimetolewa Yakubu Selemani ameumia Mazoezi na wenda Asicheze Mchezo wowote wa AFCON 🙆 Moja ya kosa ambalo tumelifanya basi ni kumpuuza Aishi Salum Manula,katika Makipa wote wazawa hakuna hata Mmoja anaeweza kufika nusu ya Manula hayupo.Manula amedaka AFCON 2019-2023,amedaka Michuano ya amedaka Michuano ya Bado Hana uzoefu??
Au basiii tweeee ntuoneer🙆

Address

Ilemela
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when James Kabuche posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share