James Kabuche

James Kabuche Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from James Kabuche, Digital creator, Ilemela, Mwanza.
(2)

Hᴀʙᴀʀɪ,sᴀɴᴀᴀ ɴᴀ ᴍɪᴄʜᴇᴢᴏ

𝗰𝗼𝗻𝘁𝗮𝗰𝘁𝘀:
0 7 8 4 7 9 4 2 1 5


Tiktok
https://www.tiktok.com/?_t=ZM-8uMyxImLE0d&_r=1

Ameandika ✍️ BIN KAZUMARI MTIPAFT: Yanga 1-0 Simba. Mnyama kafa mara 6 mfululizo, walichofanikiwa leo ni walau kuonyesha...
16/09/2025

Ameandika ✍️ BIN KAZUMARI MTIPA

FT: Yanga 1-0 Simba.

Mnyama kafa mara 6 mfululizo, walichofanikiwa leo ni walau kuonyesha wamefungwa lakini Yanga hawakuwa so dominant, vinginevyo wana safari ndefu dhidi ya Yanga na hawa akina KANTE wao, labda wapate wakina DE.REUICK 5 ndo watawafunga Yanga.

Bado Yanga ni imara mbele ya Simba hata k**a siku hiyo hawakutawala mchezo ila wanauwezo wa kushinda, maana yake bado Yanga watatawala ligi tena na ile ahadi ya ubingwa mara 10 mfululizo ISIDHARAULIKE.

Mohamed Mkono Mwamuzi msaidizi namba 1 wa mchezo wa leo ambaye ni FIFA referee AMEWAUA Simba, ile ni OFFSIDE kabisa, hakupaswa kuruhusu lile bao. Pacome alikuwa offside position akaja kufanya obstruction kwa De.REUICK ambaye alikuwa anamkimbiza Max, Kisha akaukuta mpira akafunga, kufanya obstruction ukitoka kwenye offside position ni KOSA na Mkono anajua hilo.

Mara Sita Mfululizo klabu ya Simba inafungwa na Yanga FT' Yanga 1-0 Simba
16/09/2025

Mara Sita Mfululizo klabu ya Simba inafungwa na Yanga

FT' Yanga 1-0 Simba

ILA WANAWAKE  🙌🏾 CHEKI HII👇🏾Huyo mwanaume hapo anaitwa Vinicius Tobias raia wa Brazil, amecheza timu ya vijana ya Real M...
14/09/2025

ILA WANAWAKE 🙌🏾 CHEKI HII👇🏾

Huyo mwanaume hapo anaitwa Vinicius Tobias raia wa Brazil, amecheza timu ya vijana ya Real Madrid (Castilla). Kwa sasa anakipiga Shaktar Donetsk

Hizo tattoo alizochora mkononi aliandika jina Meite ikiwa ni jina la mwanae ambae alimtaraji baada ya kuwa penzini na huyo msichana wa mbele hapo aitwae Ingrid Lima

Siku si nyingi Lima ameshea ujumbe kwenye mitandao ya kijamii kuwa mtoto sio wa Vini Tobias baada ya vipimo vya
DNA. Hata hivyo amejifungua wakiwa wameshaachana
lakini ujauzito aliupata wakiwa pamoja

kuweni makini na mapenzi! Yatawauaaaa🤣

Follow James Kabuche

Mdhamini wa klabu ya Simba Sc  Jayrutty kupitia jezi zao amewaahidi wachezaji wa klabu hiyo kiasi cha Tshs Milioni 100 e...
14/09/2025

Mdhamini wa klabu ya Simba Sc Jayrutty kupitia jezi zao amewaahidi wachezaji wa klabu hiyo kiasi cha Tshs Milioni 100 endapo wataifunga Yanga Sc Jumanne ya Septemba 16 kwenye mechi ya Ngao ya Jamii 2025.

Jayrutty pia ameahidi kutoa kiasi cha Tshs Milioni 10m kwaajili ya Golikipa endapo atamaliza mechi bila kuruhusu goli.

Follow James Kabuche

Viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii 2025
14/09/2025

Viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii 2025

Kipa la Dunia wa kumuita nani vile??🤣
14/09/2025

Kipa la Dunia wa kumuita nani vile??🤣

Kamata Ratiba Ya Kandanda LeoENGLAND: Premier League16:00 Burnley vs Liverpool18:30 Manchester City vs Manchester UtdFRA...
14/09/2025

Kamata Ratiba Ya Kandanda Leo

ENGLAND: Premier League
16:00 Burnley vs Liverpool
18:30 Manchester City vs Manchester Utd

FRANCE: Ligue 1
16:00 Lille vs Toulouse
18:15 Brest vs Paris FC
18:15 Metz vs Angers
18:15 PSG vs Lens
18:15 Strasbourg vs Le Havre
21:45 Rennes vs Lyon

GERMANY: Bundesliga
16:30 St. Pauli vs Augsburg
18:30 B. Monchengladbach vs Werder Bremen

ITALY: Serie A
13:30 AS Roma vs Torino
16:00 Atalanta vs Lecce
16:00 Pisa vs Udinese
19:00 Sassuolo vs Lazio
21:45 AC Milan vs Bologna

NETHERLANDS: Eredivisie
13:15 Excelsior vs Sparta Rotterdam
15:30 Heracles vs AZ Alkmaar
15:30 Utrecht vs Groningen
17:45 Telstar vs Sittard

SPAIN: LaLiga
15:00 Celta Vigo vs Girona
17:15 Levante vs Betis
19:30 Osasuna vs Rayo Vallecano
22:00 Barcelona vs Valencia

EGYPT: Premier League
17:00 El Gaish vs Modern Sport
20:00 Enppi vs Al Ahly
20:00 Kahrabaa Ismailia vs Wadi Degla

MOROCCO: Botola Pro
20:00 Difaa El Jadidi vs COD Meknes
22:00 Maghreb Fez vs Renaissance Zemamra

SOUTH AFRICA: Betway Premiership
16:00 Mamelodi Sundowns vs Magesi

Klabu ya Azam Fc imetangaza kumsainisha kiungo Faisal Salum 'Feitoto' nyongeza ya mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaombak...
12/09/2025

Klabu ya Azam Fc imetangaza kumsainisha kiungo Faisal Salum 'Feitoto' nyongeza ya mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2027.

Mkataba wa awali wa nyota huyo wa zamani wa Young Africans Sc ulikuwa utamatike Juni 2026 lakini sasa kiungo huyo aliyekuwa akihusishwa kwenda Simba Sc ameongeza mwaka mmoja zaidi.

Tamasha la Simba Day limetamatika kwa Mnyama kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika dimba la Benja...
10/09/2025

Tamasha la Simba Day limetamatika kwa Mnyama kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika dimba la Benjamin Mkapa kwenye kilele cha siku ya Simba Day 2025.

Abdulrazack Hamza aliipatia Simba Sc bao la uongozi mapema kipindi cha kwanza akiukwamisha wavuni mkwaju wa mpira uliokufa kutoka kwa mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu uliopita, Jean Charles Ahoua.

Mapema kipindi cha pili, Steven Desse Mukwala alikwamisha wavuni krosi maridadi kutoka Ladaki Chasambi ambaye alicheza k**a beki wa kulia.

Maingizo mapya yameonesha kiwango hususani golikipa Yakoub Suleiman, beki wa kati Rushine De Reuck, beki wa kushoto, Anthony Mligo na kiungo kiraka Naby Camara.

FT: Simba Sc 🇹🇿 2-0 🇰🇪 Gor Mahia
⚽ 06' Hamza
⚽ 48' Mukwala

Hivi ndivyo alivyotinga uwanjani meneja wa habari wa Simba Ahmed .
10/09/2025

Hivi ndivyo alivyotinga uwanjani meneja wa habari wa Simba Ahmed .

"Msimu uliopita ulikuwa ni msimu wa kujenga msingi, msimu huu ni kwa ajili ya kubeba mataji, msimu wa kushindania mataji...
10/09/2025

"Msimu uliopita ulikuwa ni msimu wa kujenga msingi, msimu huu ni kwa ajili ya kubeba mataji, msimu wa kushindania mataji," — Kocha wa Simba Sc, Fadlu Davids kwenye tamasha la Siku ya Simba (Simba Day 2025).

Bongo movie wanaferi wapiMbosso amebuni kitu ambacho bongo movie sijawahi kukiona kabisa.
10/09/2025

Bongo movie wanaferi wapi

Mbosso amebuni kitu ambacho bongo movie sijawahi kukiona kabisa.

Address

Ilemela
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when James Kabuche posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share