James Kabuche

James Kabuche Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from James Kabuche, Digital creator, Ilemela, Mwanza.
(2)

Hᴀʙᴀʀɪ,sᴀɴᴀᴀ ɴᴀ ᴍɪᴄʜᴇᴢᴏ

𝗰𝗼𝗻𝘁𝗮𝗰𝘁𝘀:
0 7 8 4 7 9 4 2 1 5


Tiktok
https://www.tiktok.com/?_t=ZM-8uMyxImLE0d&_r=1

Klabu ya Yanga SC imetangaza  kumwajiri kocha wa zamani wa vilabu vya Sporting Lisbon,De Agosto na timu ya taifa ya Ango...
25/10/2025

Klabu ya Yanga SC imetangaza kumwajiri kocha wa zamani wa vilabu vya Sporting Lisbon,De Agosto na timu ya taifa ya Angola,Pedro Valdemar Soares Gonçalves (49).

Kocha huyo raia wa Ureno aliifikisha Angola hatua ya robo fainali kwenye Afcon iliyopita.

Klabu ya Young Africans Sc imetangaza kuvunja mkataba wa Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz ikiwa masaa kadhaa...
18/10/2025

Klabu ya Young Africans Sc imetangaza kuvunja mkataba wa Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz ikiwa masaa kadhaa baada ya klabu hiyo kupokea kichapo cha 1-0 dhidi ya Silver Striker Fc ya Malawi kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)

Taarifa ya leo Oktoba 18, 2025 iliyotolewa na Uongozi wa klabu hiyo imeeleza kuwa katika kipindi hiki kikosi hicho kitakuwa chini ya Kocha Msaidizi Patrick Mabedi huku mchakato wa kutafuta Kocha Mkuu ukiendelea.

“Uongozi wa Young Africans SC unamshukuru kocha Romain Folz kwa mchango wake ndani ya Klabu yetu na unamtakia kila la kheri katika majukumu yake yanayofata.” — imesema taarifa hiyo.

Wananchi, Young Africans Sc wameanza hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kwa kipigo kwenye mchezo wa mkondo...
18/10/2025

Wananchi, Young Africans Sc wameanza hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kwa kipigo kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza katika uwanja wa Taifa wa Bingu, Malawi.

Mchezo wa marudiano utakaopigwa Oktoba 25, 2025 katika dimba la Benjamin Mkapa utaamua timu itakayokata tiketi ya hatua ya makundi ya CAFCL msimu wa 2025/26.

FT: Silver Striker 🇲🇼 1-0 🇹🇿 Yanga Sc
⚽ 76' Andrew Joseph

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Misri, Al Ahly wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Zamalek kwenye Dabi ya Jiji la Cair...
29/09/2025

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Misri, Al Ahly wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Zamalek kwenye Dabi ya Jiji la Cairo, Al Ahly wakipindua meza kibabe wakitoka nyuma 1-0 kushinda katika dimba la AI Salam, Cairo.

FT: Al Ahly 2-1 Zamalek
⚽ 71’ El Shahat
⚽ 78’ Trezeguet (P)

⚽ 32’ Abdelmaguid (P)

Mwanaume Usimtumie Mwanamke Meseji Hizi. Mwanaume Kuwa ngangari, ukikosa Emotional intelligence utafanya mambo ya ajabu ...
28/09/2025

Mwanaume Usimtumie Mwanamke Meseji Hizi.

Mwanaume Kuwa ngangari, ukikosa Emotional intelligence utafanya mambo ya ajabu sana katika Mahusiano. Ujumbe uliojaa udhaifu utashusha hadhi Yako ya Kiume na Utadharaulika.

Epuka Text za namna hii.

1. Kwanini Hupokei Simu zangu. ??
Tulia k**anda k**a mdada Yuko bize atakutafuta, k**a alipuuzia makusudi utajua pia. Relax💆‍♂️

2 " Huyu ni nani ??"
Usionyeshe wivu kwenye meseji haitokusaidia kitu. K**a una mashaka Kutana nae uso kwa uso mzungumze.

3. "Siwezi kuishi bila wewe "
Usikabidhi uhai wako mikononi mwa mwanamke. Aina hii ya meseji haionyeshi uko romantic bali inaonyesha umepotea ki uanaume.

4. "K**a Ukiniacha Nita...."
Wengine husema wakiachwa watakunywa sumu na wanatishia vingi. Mwanamke anaetaka kuwa na wewe atabaki TU huku akivumilia yote na akichoka ataondoka TU hutoweza kumzuia. Usishushe thamani Yako kumlazimisha abaki.

Kuwa makini sana meseji Yako inaweza kuongeza au kupunguza hadhi Yako ya Kiume.

Jithamini, Na Jipende Mwanaume.

26/09/2025
Ameandika ✍️ BIN KAZUMARI MTIPAFT: Yanga 1-0 Simba. Mnyama kafa mara 6 mfululizo, walichofanikiwa leo ni walau kuonyesha...
16/09/2025

Ameandika ✍️ BIN KAZUMARI MTIPA

FT: Yanga 1-0 Simba.

Mnyama kafa mara 6 mfululizo, walichofanikiwa leo ni walau kuonyesha wamefungwa lakini Yanga hawakuwa so dominant, vinginevyo wana safari ndefu dhidi ya Yanga na hawa akina KANTE wao, labda wapate wakina DE.REUICK 5 ndo watawafunga Yanga.

Bado Yanga ni imara mbele ya Simba hata k**a siku hiyo hawakutawala mchezo ila wanauwezo wa kushinda, maana yake bado Yanga watatawala ligi tena na ile ahadi ya ubingwa mara 10 mfululizo ISIDHARAULIKE.

Mohamed Mkono Mwamuzi msaidizi namba 1 wa mchezo wa leo ambaye ni FIFA referee AMEWAUA Simba, ile ni OFFSIDE kabisa, hakupaswa kuruhusu lile bao. Pacome alikuwa offside position akaja kufanya obstruction kwa De.REUICK ambaye alikuwa anamkimbiza Max, Kisha akaukuta mpira akafunga, kufanya obstruction ukitoka kwenye offside position ni KOSA na Mkono anajua hilo.

Mara Sita Mfululizo klabu ya Simba inafungwa na Yanga FT' Yanga 1-0 Simba
16/09/2025

Mara Sita Mfululizo klabu ya Simba inafungwa na Yanga

FT' Yanga 1-0 Simba

ILA WANAWAKE  🙌🏾 CHEKI HII👇🏾Huyo mwanaume hapo anaitwa Vinicius Tobias raia wa Brazil, amecheza timu ya vijana ya Real M...
14/09/2025

ILA WANAWAKE 🙌🏾 CHEKI HII👇🏾

Huyo mwanaume hapo anaitwa Vinicius Tobias raia wa Brazil, amecheza timu ya vijana ya Real Madrid (Castilla). Kwa sasa anakipiga Shaktar Donetsk

Hizo tattoo alizochora mkononi aliandika jina Meite ikiwa ni jina la mwanae ambae alimtaraji baada ya kuwa penzini na huyo msichana wa mbele hapo aitwae Ingrid Lima

Siku si nyingi Lima ameshea ujumbe kwenye mitandao ya kijamii kuwa mtoto sio wa Vini Tobias baada ya vipimo vya
DNA. Hata hivyo amejifungua wakiwa wameshaachana
lakini ujauzito aliupata wakiwa pamoja

kuweni makini na mapenzi! Yatawauaaaa🤣

Follow James Kabuche

Mdhamini wa klabu ya Simba Sc  Jayrutty kupitia jezi zao amewaahidi wachezaji wa klabu hiyo kiasi cha Tshs Milioni 100 e...
14/09/2025

Mdhamini wa klabu ya Simba Sc Jayrutty kupitia jezi zao amewaahidi wachezaji wa klabu hiyo kiasi cha Tshs Milioni 100 endapo wataifunga Yanga Sc Jumanne ya Septemba 16 kwenye mechi ya Ngao ya Jamii 2025.

Jayrutty pia ameahidi kutoa kiasi cha Tshs Milioni 10m kwaajili ya Golikipa endapo atamaliza mechi bila kuruhusu goli.

Follow James Kabuche

Viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii 2025
14/09/2025

Viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii 2025

Address

Ilemela
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when James Kabuche posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share