MTC

MTC AIC MWANZA TOWN CHOIR - MTC
Tangu 1959/kanisa kuu/Makongoro/Mwanza. Waimbaji nyimbo za Asili za sifa, ibada na injili. *Tunajenga 'SAUTI MPYA YA MTC'

Ministry in Nairobi AIC Ziwani. Mwanza Town choir mwezi wa 8, 2026
03/09/2026

Ministry in Nairobi AIC Ziwani. Mwanza Town choir mwezi wa 8, 2026

Mwaka 2004 wanamziki walikuwa wakirekodi video album ya 2 inayoitwa UTAVUNA. Hii ni kumbu kumbu.
01/09/2026

Mwaka 2004 wanamziki walikuwa wakirekodi video album ya 2 inayoitwa UTAVUNA. Hii ni kumbu kumbu.

29/08/2026

AIC Mwanza Town choir wimbo wao wa YAHUZUNISHA ambao upo YOUTUBE., subscribe, view na ku comment hapo. Kwa neema ya Mungu kesho Jumapili tarrhe 30/08/2026 watahudumu ibada ya Jumapili kanisani AICT Makongoro cathedral hapo ndipo kanisani kwao.KARIBUNI TUMWABUDU MUNGU

28/08/2026
Kumbu kumbu mwaka 2017 Mwanza Town choir walialikwa Bwiro kisiwani wilaya ya Ukerere kwa huduma ya uimbaji. Hapa ni baad...
28/08/2026

Kumbu kumbu mwaka 2017 Mwanza Town choir walialikwa Bwiro kisiwani wilaya ya Ukerere kwa huduma ya uimbaji. Hapa ni baada ya huduma wanarudi nyumbani kwa kutumia mtumbwi. Injili inasonga mbele

Mwanza Town choir Leo Jumapili ya tarehe 23/08/2026 tumeabudu kanisani Makongoro ila hatukuwa zamu ya huduma. Baada  ya ...
24/08/2026

Mwanza Town choir Leo Jumapili ya tarehe 23/08/2026 tumeabudu kanisani Makongoro ila hatukuwa zamu ya huduma. Baada ya huduma tulikwenda kutoa faraja kwa Dada wa marehemu mama Mary Louise Shushu ambaye hakuwapo wakati wa msiba. Neno linesman " LIENI NA WANAOLIA....'

Mwanza Town choir jana tarrhe 16/08/2026 jumapili tulihudumu kanisani kwetu Makongoro tunamshukuru Mungu. Picha hapo chi...
17/08/2026

Mwanza Town choir jana tarrhe 16/08/2026 jumapili tulihudumu kanisani kwetu Makongoro tunamshukuru Mungu. Picha hapo chini ni baadhi ya waimbaji wakati wa ziara ya injili huko Makueni Kenya

Mwanza Town choir baada ya ziara ya Injili nchini Kenya huko Makueni na Nairobi kwa takribani siku 10 kesho Jumapili tar...
15/08/2026

Mwanza Town choir baada ya ziara ya Injili nchini Kenya huko Makueni na Nairobi kwa takribani siku 10 kesho Jumapili tarrhe 16/08/2026 tutahudumu kanisani kwetu Kanisa kuu la AICT Makongoro. Karibuni tuabudu Mungu wetu

Kumbukumbu ya mwaka jana mwezi.August 2025. Mwanza Town choir tukiwa safarini kwenda Naisambu Kitale kwenye mkutano wa i...
14/08/2026

Kumbukumbu ya mwaka jana mwezi.August 2025. Mwanza Town choir tukiwa safarini kwenda Naisambu Kitale kwenye mkutano wa injili wa mashirikiano ya kwaya nne Neema.kwaya ya Ziwani AICk, Mwanza Town kutoka Makongoro Mwanza, Dareslaam choir toka Magomeni AICT Dar na Naisambu choir toka Naisambu Kitale Kenyaa (NEMWADA), tulipitia Sotik AICK na kupata neema ya kutembelea gereza la.hapo.

Mwanza Town walipata neema ya kukutana na Rev Christopher Mutai katika kanisa la AICK Milimani tarehe 9/8/26 hapa Mr Mut...
13/08/2026

Mwanza Town walipata neema ya kukutana na Rev Christopher Mutai katika kanisa la AICK Milimani tarehe 9/8/26 hapa Mr Mutai baada ya ibada akisalimiana na maaskofu wa kanisa hilo

Address

AIC Mwanza Town Choir/MTC
Mwanza

Telephone

+255754094448

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MTC posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MTC:

Shortcuts

Share