RAMMY MEDIA

RAMMY MEDIA Welcome All in RAMMY MEDIA kuwa wa kwanza kupata New Updates za kutosha anytime karibu sana usisahau ku like page yetu

Msanii au brand kubwa Duniani ambayo nimeona inatumia IG k**a ambavyo ilipaswa na ndivyo ilikuwa inatumiwa ni Justin Bie...
21/08/2025

Msanii au brand kubwa Duniani ambayo nimeona inatumia IG k**a ambavyo ilipaswa na ndivyo ilikuwa inatumiwa ni Justin Bieber.

Tembelea akaunti yake, kijana ana share kwa kiasi kikubwa just picha randomly– tena ambazo ni unfiltered, halafu ni ana share moments zake tu mbalimbali.

Sasa, I’m sure it’s marketing angle ambayo ameamua kupita nayo na ni kitu kizuri, baadhi ya brand zinaweza ku adapt… ila angalizo!

Kushare moments mbalimbali tena unfiltered haina maana quality iwe chini, so make sure unatumia camera nzuri au unaweza tumia hata vifaa vizuri na ukazivuruga kuonekana ziko ‘raw’ nayo ni sawa.

Lengo ni kuleta uhalisia, maana sikuhizi kila kona contents ziko polished. IG wakati inapata umaarufu ndicho watu walikua wanafanya but mabadiliko ndio yametufikisha hapa.

!!Wanaume kuna ujumbe wenu hapa...✍Ripoti mpya ya Taasisi ya Vinasaba ya Smart DNA iliyo na makao yake nchini Nigeria im...
21/08/2025

!!Wanaume kuna ujumbe wenu hapa...

✍Ripoti mpya ya Taasisi ya Vinasaba ya Smart DNA iliyo na makao yake nchini Nigeria imefichua kuwa kati ya watoto wanne, mmoja anakuwa sio mtoto halali wa baba anayedhaniwa na hivyo kuchochea kile ambacho wengi sasa wanakielezea k**a mgogoro wa uzazi.

✍Ripoti ya Mwaka 2025 ya Uchunguzi wa DNA inaonyesha kuwa asilimia 25 ya vipimo vilivyofanywa kati ya Julai 2024 na Juni 2025 vilithibitishwa kuwa baba waliodhaniwa hawana uhusiano wa kibayolojia na watoto hao. Maombi mengi ya vipimo vya DNA yaliwasilishwa na wanaume ambao karibu nusu yao walikuwa na umri wa miaka 41 na zaidi.

✍Jambo la kustaajabisha zaidi ni kwamba, asilimia 64 ya vifungua mimba—hasa wavulana—waligunduliwa kutokuwa na uhusiano wa kibiolojia na waliodhaniwa kuwa baba zao, kiwango kikubwa zaidi kuliko cha watoto waliozaliwa baadaye.

Source : DW SWAHILI

Mnakumbuka kipindi Marioo yupo moto, Mondi alileta pigo k**a hizi hizi kwenye maongezi yake alisema ‘Marioo alimuomba ye...
18/08/2025

Mnakumbuka kipindi Marioo yupo moto, Mondi alileta pigo k**a hizi hizi kwenye maongezi yake alisema ‘Marioo alimuomba yeye amsaini akakataa’ 😀

Okay inaweza kuwa kweli lakini why unasema moment k**a hiyo? Nini unataka? Ishu ilikua ni private kwani haiwezi kubaki hivyo? Now wote ni biashara tofauti.. nini sasa unataka 🤷‍♂️

Uzuri Marioo aliruka futi 6, sasa Mbosso k**a sio kiki hizi na anacheka cheka.. subiri 😀

AMEANDIKA DIAMOND PLATNUMZ ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻NAONA UNALAZIMISHA KUHITILAFIANA NA MIMI NIKUONGEZEE MWENDO, OKAY WACHA NIKURIDHISHE....
18/08/2025

AMEANDIKA DIAMOND PLATNUMZ ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻

NAONA UNALAZIMISHA KUHITILAFIANA NA MIMI NIKUONGEZEE MWENDO, OKAY WACHA NIKURIDHISHE...KWANZA KABISA SIKUTAKA MITANDAO NILIKUPIGIA SIMU NA KUKUTUMIA MESSAGES NA TULIPOKUTANA NILIONGEA NA WEWE KWA HEKIMA NA USHAHIDI NAMNA GANI NIMEKUA SIPENDEZEWI NA NIMEKUA NIKIMSEMA BABA LEVO ANACHOKIFANYA TENA NIKIKUONESHA KWA USHAHIDI NA NIKIKUAMBIA KUWA HAKINA FAIDA KWANGU ZAIDI YA KUNITIA TU UBAYA!..LAKINI PIA NILIKUAMBIA MSANII ΑΝΑΡΟΤOKA KWENYE LEBO USITEGEMEE WOTE WATAKUA NA REACTION ZA KUFANANA, WENGINE WATAKUA NA REACTION MBALIMBALI, KUNA WENGINE WANAWEZA WAKAWA WANAREACT VITU AMBAVYO SIO VIZURI KWA MAUMIVU YA KUKUPENDA TU KUONA DAH NDUGU YETU KWAIO KATOKA KWENYE TEAM...

NIKAKUAMBIA JITAHIDI KUTUMIA BUSARA MAANA HAYO NI MAMBO YA KAWAIDA NA UNAPASWA KUJUA BINADAM WAKO HIVYO USIPOKUA MAKINI UTAONA KILA MTU KATUMWA NA DIAMOND THEN UTAISHIA KUNICHUKIA NA KUGOMBANA NA MIMI BILA SABABU...NA NIKAKUTOLEA MFANO HAI KUA ATA WEWE ALIPOTOKA RAYVANNY ULIKUJA NYUMBANI KWANGU NA HASIRA KUNIAMBIA ΜΑΝΕΝΟ KEDEKEDE YA KUMCHUKIA RAYVANNY NA ULIPINGA KABISA NISIFANYE NAE NYIMBO YA "NITONGOZE" NA WALA NISISHIRIKIANE NAE KWA LOLOTE ... NIKAKUAMBIA HAPANA SI VYEMA, MTU KUTOKA KWENYE LEBO SIO UADUI NI JAMBO LA KAWAIDA KUNA TIME ITAFIKA ATA WEWE UTAPASWA PIA KUTOKA KWA LEBO KUANZA MAISHA YA KUJITEGEMEA... HAIKUISHIA HAPO NA KILA NILIPOFANYA NAE WIMBO ULINUNA NA MARA ZOTE KUCHUKIA KWANINI NAMPASUPPORT KAZI ZAKE

"PILI BABA LEVO NI MTU MZIMA MWENYE FAMILIA NA WATOTO JUU, HIVYO KI HEKIMA NINA KIWANGO CHA KUMWAMBIA KITU, ANAPOAMUA KUENDELEA INAMAANA HAPO NI YEYE KADHAMIRIA NA JUKUMU LANGU NI KUONESHA SIKUBALIANI NALO HADHARANI ΝΑ AKIZIDI KUJIEPUSHA NAE, NA NDIOMAANA UMEONA NIMEFANYA HAYO KWA HEKIMA YA KUSEMA SINA MSEMAJI LAKINI PILI YALIPOZIDI NIKAMUAMBIA NDUGU YANGU UNALAZIMISHA NIKUPUNGUZE, UNLESS OTHERWISE ULIKUA UNATAKA NIMWAMABIE KWA USERIOUS GANI LABDA NIMPIGE MAKOFI AU NIMPELEKE POLISI?.....

TATU: NITAKUA NI MPUMBAVU KUAMINI YA KUA KILA ANALOSEMA MWIJAKU KATUMWA NA ALIKIBA AMA HARMO KISA ANAFANYA KAZI NAO AMA WAKATI MWINGINE KUSAFIRI NAO.

NADHANI POINT UNAYOIFICHA NI KUA VIJANA MKITOKAGA WASAFI ATA MFANYIWE WEMA GANI MNAPENDAGA KUJITAFTISHAGA VIBIFU USHUZI NA KUJITILISHA HURUMA MUONEKANE K**A MNAONEWA ILI KUPATA VISHABIKI MAANDAZI VINAVYOICHUKIA WASAFI!

"UMETOKA WASAFI LICHA YA SIJAKUTOZA ATA SHILINGI MIA NILIKUA NAKUDAI MILIONI MIATATU, ISHIRINI NA TATU NA LAKI MBILI NA HAMSINI (323, 250,00/=) YA KUKUKOPESHA TOKA MFUKONI MWANGU... NA VYOTE NILIKUACHIA NIKAKUAMBIA MDOGO ANGU HUO NI MCHANGO WANGU KWAKO KAANZIE MAISHA... THEN UNASEMA NAKUONEA WIVU, KISA KITU GANI ASA EP? EP YA BONGO FLEVA, NYIMBO AMBAZO ZIMEJAA NDANI KWANGU KIBAO SITAKI KUZITOA KWAKUA HAZITAKUA NA MSAADA KIMATAIFA NAISHIA KUGAWA NYIMBO NA KUWAANDIKIA WATU...

AU WIVU WA NINI LABDA PAWA? PAWA AMBAYO KILA ANAEPOST ANAPOST KIPANDE CHANGU? AS MATTEER OF FACT NGOMA YA PAWA SI TULIIFANYA UKIWA USHATOKA LEBO WASAFI, K**A NINGEKUA NA ROHO MBAYA STUDIO SI NINGEJIKAUSHA TU, BUT NILIONA NYIMBO HAIKO SAWA NIKAAMUA KUSAIDIA UPATE NGOMA KALI IKAFANYE VIZURI, NA SI TU MELODY NA MANENO JUU!...JE CHORUS YAKO YA PAWA ULIKUA UNAIMBA VILE? NO! NIKAKUSAIDIA KUTENGENEZA CHORUS ITAYOHIT NA KUINGIZA SAUTI JUU"

"UMEKAMILISHA EP UMEKUJA HOME TUNASHAURIANA NAMNA YA PROMOTION, LOGO YA KHAN MUSIC, TAREH YA KURELEASE EP, MEDIA COVERAGE ΝΑ KILA KITU ILI NAWE EP YAKO IKAFANYE VIZURI, LEO UKASEME NAKUONEA WIVU YANI NILIKUA NA SABABU IPI YA KUWEKA MAWAZO YANGU KWENYE EP IKIWA USHATOKA WASAFI SASA, AU NAKUONEA GERE YANI KWA HIT HIT IPI LABDA UNAYOFIKIRI WEWE ILOHIT KULIKO KOMASAVA, WAH, INAMA, BABA LAO, NUMBER ONE, JEJE, AFRICAN BEAUTY ETC...!

ACHANA NA MABONGO FLEVA YA KINA MBAGALA, UKIMUONA, ZUWENA, SIKOMI YENYE MAVIEWERS YA MPAKA MILIONI 70 YOUTUBE, MAKOLABO FROM YOPE, LOVE YOU DIE, TETEMA, ENJOY ETC? YANI NIKUONEE WIVU KWA KIPI LABDA AMBACHO MIE NAKITAMANI KWAKO?? MZIKI NI SAFARI NDEFU MDOGO ANGU USIKUBALI KUPUMBAZWA NA WAJINGA UKAGOMBANA NA WATU WENYE UPENDO WA KWELI KWAKO NA KUKUPAMBANIA PINDI WENGI HAWAKUTHAMINI!...SI WALIKUA WANAKUKATAA NA KUSEMA HUNA UWEZO KIPAJI ANACHO ASLAY NA DAFTARI KAONDOKA NALO, LEO UMEKUA WA MAANA SANA EEH? JIFUNZE KUIJUA DUNIA NA WATU WAKE! JIFUNZE KUJUA WANAFIKI NA WATU REAL KWENYE MAISHA!"

Weka Maoni Yako ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻

Hebu tuzijadili fast and furious kidogo , ni muvi popular ambazo najua karibu wote k**a si wote kabisa tunazijua .Hakuna...
18/08/2025

Hebu tuzijadili fast and furious kidogo , ni muvi popular ambazo najua karibu wote k**a si wote kabisa tunazijua .
Hakuna anayepinga kwamba hizi muvi zina action za kibunifu sana haswa ktk ishu za vyombo vya moto haswa magari ila changamoto zake sijui k**a hata nyinyi mnaliona au mnaangalia tu ilimrad

Ya kwanza ndo muvi ambazo mastaa hawafi toka imeanza part one mpaka leo zaid ya kufake kifo tu 🤣mfano demu wa vin dieasel , han na demu wake pia , mr nobody na wengine na wengine nimesahau ambao tulijua wamekufa ila wakaja kuonekana tena .
Si ajabu hata john cena na kina tyrese ukawaona tena ktk hii ijayo wakati tumeshuhudia wanakula chuma .

Pili ndo muvi ambazo maadui wanageuka kuwa mastaa so technically ni k**a hazinaga adui 🤣mfano jason na mdogo wake , john cena , hata demu wa vin diesel alikua adui k**a kumbukumbu zangu hazikosei ktk muvi za awali , na wengine nimesahau .

Tatu tukija kwa bwana mkubwa mwenyewe vin yaani yeye kakutatana na ajali 1999.99999999999999 lakini sikumbuki k**a aliwahi kuwekwa hata ogo , utadhani kijukuu cha mtume 🤣🤣kusema yeye ni robot ama 😄

Wanatuonaje hawa jamaa kwan!!!? Action sawa tunaenjoy mpaka tumezoea ss ila watuwekee uhalisia hata asilimia 0.5 inatosha 😁

Mbosso kamjibu Diamond 😄😄
18/08/2025

Mbosso kamjibu Diamond 😄😄

Breaking News 🚨🚨🚨Mtoto wa Trump, Baron amemuomba sana baba yake asisitishe misaada kwa nchi za Kiafrika kwa kuwa kuna wa...
13/02/2025

Breaking News 🚨🚨🚨

Mtoto wa Trump, Baron amemuomba sana baba yake asisitishe misaada kwa nchi za Kiafrika kwa kuwa kuna watu wengi watakufa.

Mshua anasema hawaamini viongozi wa Afrika kwa kuwa misaada hiyo inakwenda kufanya mambo mengine ambayo hawakukubaliana.

Dogo anamwambia basi k**a inawezekana misaada hiyo ipitishwe moja kwa moja kwa wahusika na isipitie kwa viongozi kwa sababu wengi ni wala rushwa. Yaani anamaanisha kile wanachokitaka wananchi wa Afrika, Marekani ije kukifanya moja kwa moja ila si kuwakabidhi pesa.

Dogo anaendelea kusema kwamba wananchi wasio na hatia barani Afrika hawatakiwi kupitia msoto kisa tu ya viongozi ambao ni wala rushwa na wenye tamaa. Na k**a inawezekana, hao viongozi waadabishwe.

Moral lesson: Baron is right.

Credit;nyemo

Ndoa na talaka imekuwa biashara kubwa kwa Wanawake nchini Marekani, haimaanishi ukiolewa na Tajiri ndio uondoke na mali ...
24/01/2025

Ndoa na talaka imekuwa biashara kubwa kwa Wanawake nchini Marekani, haimaanishi ukiolewa na Tajiri ndio uondoke na mali zake punde mkiachana nataka niikomeshe tabia hii kwamba mkiachana kuna kiasi tu itabidi upewe na hakuna sababu ya kusema ni kidogo kwakuwa hukuhangaikia, k**a unahisi huwezi kuwalea watoto basi niachie Mimi niwalee”

- Donald Trump, Rais wa Marekani.

Je wewe unaweza kuwa rafiki na mume au mke wa Ex wako?
24/01/2025

Je wewe unaweza kuwa rafiki na mume au mke wa Ex wako?

Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, K...
23/01/2025

Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini mwa Los Angeles, California nchini Marekani.

Moto huo uliopewa jina la The Hughes Fire, unatajwa kuwa mkubwa kwa theluthi mbili ukilinganishwa na Moto wa Eaton ulioiteketeza vibaya Los Angeles.

TRUMP KUREKEBISHA SHERIA YA TALAKA Rais wa 47 wa Marekani Donald Trump amesema anataka kurekebisha sheria ya Talaka Nchi...
23/01/2025

TRUMP KUREKEBISHA SHERIA YA TALAKA

Rais wa 47 wa Marekani Donald Trump amesema anataka kurekebisha sheria ya Talaka Nchini humo akisema imekuwa ikiwatesa wanaume nchini Marekani na kuwafaidisha wanawake licha ya wanawake kuwa wameolewa wamezikuta Mali

"Kwa sababu tu unaolewa na mtu tajiri haimaanishi kwamba unapaswa kupata nusu ya mali yake na hatimaye kuwa tajiri baada ya talaka.

Talaka imekuwa biashara yenye faida kubwa kwa wanawake wengi nchini Marekani na nitaikomesha. Ikiwa mwanamke ataolewa na mwanamume tajiri, haimaanishi kwamba ataondoka k**a mwanamke tajiri baada ya talaka. Ikiwa baada ya talaka mwanamke anahitaji pesa, mwanamume anaweza kumuazima kiwango cha juu cha $1-milioni ikiwa ana dhamana. $1-milioni sio pesa nyingi kwa tajiri lakini inapaswa kuwa nyingi kwa mwanamke kwa sababu hakuifanyia kazi.
Ikiwa nina thamani ya $50-milioni, sitakupa $25-milioni baada ya talaka.

Ni pesa yangu na niliifanyia kazi kwa bidii sana. Sijali k**a tumeoana kwa miaka 6 au hata miaka 25 au hata tuna watoto. Ikiwa huna pesa za kutosha kuwatunza watoto wetu, niachie mimi. Nafikiri kwamba kwa sababu tu mtu fulani anaoa mtu ambaye alijenga kitu kikubwa, haimaanishi kwamba kwa sababu tu anapata talaka, wanapaswa kuishia k**a Malkia wa Sheba." ~ Donald Trump

Justin Bieber na mke wake Hailey wameachana baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa kipindi cha miaka saba , Hailey ameweka w...
23/01/2025

Justin Bieber na mke wake Hailey wameachana baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa kipindi cha miaka saba , Hailey ameweka wazi kuwa Bieber hasomeki ana tabia ya kuripuka ovyo kutokana na mambo aliyoyapolitia utotoni

Justin bieber amemuachia Hailey na mtoto kwenye jumba lake la kifahari kwa usalama zaidi

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RAMMY MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to RAMMY MEDIA:

Share