02/06/2026
Timu ya taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 maarufu k**a Serengeti Boys imeshindwa kutwaa ubingwa wa michuano ya mataifa ya Afrika AFCON 2026 nchini Morocco baada ya kupoteza kwa mikwaju ya penalti minne kwa miwili kufuatia sare ya kufungana bao moja kwa moja kwenye kipindi cha dakika 90 za mchezo huo.
Follow Us On Social Media
Instagram -
Facebook -
X(Twitter) -
TikTok -
Thread -