Jembefmtz

Jembefmtz Jembe FM was created with one goal in mind: to bring the world’s most popular music and creative

Dkt, Catherine Joachim ,Mjumbe wa Kamati ya Afya na Mazingira Umoja wa wazazi Tanzania Jumuiya ya CCM  ,Dr Catherine Tar...
30/07/2025

Dkt, Catherine Joachim ,Mjumbe wa Kamati ya Afya na Mazingira Umoja wa wazazi Tanzania Jumuiya ya CCM ,Dr Catherine Tarehe 29 June 2025 Alikabidhiwa fomu ya kuomba ridhaa ya Ubunge Viti Maalum Wazazi Tanzania Bara , hatimaye Kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake Dr Samia Suluhu Hassan ,wakamuamini na wamelirejesha jina lake kwa Upande wa Tanzania Bara.

Ripoti ya Michezo iko hewani sasa!⚽🏀 Usikose matukio moto moto kutoka ulimwengu wa michezo 🔥📻
30/07/2025

Ripoti ya Michezo iko hewani sasa!⚽🏀 Usikose matukio moto moto kutoka ulimwengu wa michezo 🔥📻

Ripoti ya Michezo iko hewani sasa!⚽🏀 Usikose matukio moto moto kutoka ulimwengu wa michezo 🔥📻
30/07/2025

Ripoti ya Michezo iko hewani sasa!⚽🏀 Usikose matukio moto moto kutoka ulimwengu wa michezo 🔥📻

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Kiwanda cha Majaribio cha Kuchenjua Uran...
30/07/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Kiwanda cha Majaribio cha Kuchenjua Urani cha Mantra Tanzania Limited kilichopo katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, tarehe 30 Julai, 2025.

Muonekanano wa Kiwanda cha Majaribio cha Kuchenjua Urani cha Mantra Tanzania Limited kilichopo katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, tarehe 30 Julai, 2025.

Anaandika  Hakuna kitu kinaumiza Roho k**a kusikia hii Jezi haiuzwi ni maaalumu kwa ajili ya Wachezaji tuu tena Pre Seas...
30/07/2025

Anaandika Hakuna kitu kinaumiza Roho k**a kusikia hii Jezi haiuzwi ni maaalumu kwa ajili ya Wachezaji tuu tena Pre Season tuu

30/07/2025
WEDNESDAY ON HITZONE Join Team Hitzone via  Leo tunapiga STORY na mkali   moja ya Mwanamuziki  Kwenye ulimwengu wa Bongo...
30/07/2025

WEDNESDAY ON HITZONE

Join Team Hitzone via Leo tunapiga STORY na mkali moja ya Mwanamuziki Kwenye ulimwengu wa Bongo fleva Tanzania stay tuned in.
______________________________
Host :
📻 93.7

Klabu ya Simba imemtambulisha Beki wa Kati, raia wa Afrika Kusini Rushine De Reuck aliyekuwa akikipiga Mamelodi Sundowns...
29/07/2025

Klabu ya Simba imemtambulisha Beki wa Kati, raia wa Afrika Kusini Rushine De Reuck aliyekuwa akikipiga Mamelodi Sundowns.

Unaupa ngapi usajili huu wa De Reuck

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imerudisha jina la aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Nachingwea na Mkuu wa wilay...
29/07/2025

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imerudisha jina la aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Nachingwea na Mkuu wa wilaya ya Ilemela Ndugu , Hassan Massala, pamoja na wagombea wengine watano, kupigiwa kura za maoni katika harakati za kuwania Ubunge wa Jimbo hilo.

Wagombea waliopitishwa pamoja na Hassan Massala ni, Amandus Julius Chinguile, Fadhili Ali Liwaka, Mohamed Hamis Ungele,Issa Mohamed Mkalinga na Maimuna Ahmad Pathani
Na mchakato wa kura za maoni unatarajiwa kufanyika hivi karibuni katika ngazi ya jimbo ili kumpata mgombea atakayewakilisha CCM katika uchaguzi mkuu ujao.

Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimemteua Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Hayati John Pombe Magufuli Magufuli, Jessica Magufuli ...
29/07/2025

Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimemteua Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Hayati John Pombe Magufuli Magufuli, Jessica Magufuli (.jmagufuli) na Wagombea wengine 30 kugombea Ubunge Viti Maalum kupitia kundi la UVCCM

Halima Nassor ni miongoni mwa  watia nia 6 walioteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kuwania kuteuliwa kugombea ubunge wa Viti...
29/07/2025

Halima Nassor ni miongoni mwa watia nia 6 walioteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kuwania kuteuliwa kugombea ubunge wa Viti Maalum kundi la wafanyakazi.

Address

Jembe FM/Makongoro Road/Makongoro Street
Mwanza
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jembefmtz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jembefmtz:

Share

Category