
30/07/2025
Dkt, Catherine Joachim ,Mjumbe wa Kamati ya Afya na Mazingira Umoja wa wazazi Tanzania Jumuiya ya CCM ,Dr Catherine Tarehe 29 June 2025 Alikabidhiwa fomu ya kuomba ridhaa ya Ubunge Viti Maalum Wazazi Tanzania Bara , hatimaye Kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake Dr Samia Suluhu Hassan ,wakamuamini na wamelirejesha jina lake kwa Upande wa Tanzania Bara.