Kighei Company Limited

Kighei  Company Limited THE LEADING COMPANY IN EAST AFRICA FOR LEATHER PRODUCTS, MEDIA, INVESTMENT AND SERVICES

Nikiwa na viongozi waandamizi wa Kamati ya kudhibiti ukatili kwa wanawake na watoto ya Umoja wa Wanawake Tanzania chini ...
23/03/2024

Nikiwa na viongozi waandamizi wa Kamati ya kudhibiti ukatili kwa wanawake na watoto ya Umoja wa Wanawake Tanzania chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum pamoja na Makamu Mwenyekiti Bara Mhe Mwamtumu ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali Katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwemo uwaziri, ukuu wa Mkoa, na Sasa Pia Ni Rais wa Scout Tanzania na Mwenyekiti wa baraza la NGO nchini Tanzania.

Na hapa ilikuwa ni kwenye kikao cha siku mbili mkoani Dar Es Salaam kwa dhima ya kutengeneza mpango kazi utakao tumiwa na UWT k**a muongozo na dira ya mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia.

Florah Magabe
Florah Magabe
Florah Magabe
Florah Magabe Iron Lady
Friends of Florah Magabe Iron Lady
Friends of Iron Lady Florah Magabe

LONG LIVE PRINCESS KIZIMKAZI ’ DIRECTORWISHING YOU MORE LIFE MORE HAPPINESSFlorah MagabeFlorah MagabeFlorah MagabeFlorah...
26/02/2024

LONG LIVE PRINCESS KIZIMKAZI ’ DIRECTOR
WISHING YOU MORE LIFE MORE HAPPINESS

Florah Magabe
Florah Magabe
Florah Magabe
Florah Magabe Iron Lady
Friends of Florah Magabe Iron Lady

NIPO NA HAWA WATUMISHI WA MUNGU NA WANANCHI BIG BOSS MHE Stanslaus Mabula MBUNGE NYAMAGANA NA MHE MSTAHIKI MAYOR JIJI LA...
23/02/2024

NIPO NA HAWA WATUMISHI WA MUNGU NA WANANCHI BIG BOSS MHE Stanslaus Mabula MBUNGE NYAMAGANA NA MHE MSTAHIKI MAYOR JIJI LA MWANZA Sima Constantine Sima

Florah Magabe
Florah Magabe
Florah Magabe
Florah Magabe Iron Lady
Friends of Florah Magabe Iron Lady

17/02/2024

Please follow Florah Magabe Iron Lady channel on WhatsApp
Florah Magabe
Florah Magabe
Florah Magabe

17/02/2024

‎Follow the FLORAH MAGABE IRON LADY channel on WhatsApp:

*🎉HaPpY NeW YeAR 2023 🎉🎉.  💰ThE GoLD YeAR💸💶💵*Tukiwa pamoja na Mkuu wa Wilaya Magu Mhe SALUM Kalli, Mkuu wa Wilaya NYamag...
01/01/2023

*🎉HaPpY NeW YeAR 2023 🎉🎉. 💰ThE GoLD YeAR💸💶💵*

Tukiwa pamoja na Mkuu wa Wilaya Magu Mhe SALUM Kalli, Mkuu wa Wilaya NYamagana Mhe Amina Makilagi, Manager NBC Mwanza, Mwenyekiti wa MPC Edwin Soko, Mr Abubakry Karsan Mkurugenzi mstaafu wa Union of Tanzania Press Club pamoja na Florah Magabe Iron Lady tunawatakia Kheri ya Mwaka MPYA.

Happy New Year folks 2023

Kighei Company Limited

*NDUGU MWANANCHI MZALENDO KATIKA NCHI YA TANZANIA KARIBU KATIKA KIKUNDI SOGONZI CHA KONZI LA MOYO TV SHOW CHENYE MAUDHUI...
12/09/2022

*NDUGU MWANANCHI MZALENDO KATIKA NCHI YA TANZANIA KARIBU KATIKA KIKUNDI SOGONZI CHA KONZI LA MOYO TV SHOW CHENYE MAUDHUI AU USHAURI WA KUDHIBITI UKATILI WA KIJINSIA*

LIKE
SHARE
JOIN IN AND STAY CONNECTED

*KM TV*
*Konzi La Moyo TV Show*
‎Open this link to join my WhatsApp Group:

WhatsApp Group Invite

*RC MALIMA ATAKA KIGHEI COMPANY KUONGEZA UZALISHAJI WA BIDHAA ZA NGOZI ILI KUPUNGUZA GHARAMA ZA UTENGENEZAJI WA VIATU VY...
30/08/2022

*RC MALIMA ATAKA KIGHEI COMPANY KUONGEZA UZALISHAJI WA BIDHAA ZA NGOZI ILI KUPUNGUZA GHARAMA ZA UTENGENEZAJI WA VIATU VYA NGOZI KWAAJILI YA FAMILIA ZENYE KIPATO DUNI*

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Adam Malima amepongeza kazi zinazofanywa na Kwenye uzinduzi wa maonesho ya Biashara ya 17 Afrika Mashariki yanayoandaliawa na *TCCIA* Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Mkoa wa Mwanza Viwanja vya NYamagana alipotembelea Banda la Konzi la Moyo TV Show.

Mhe. Malima amesema viatu vya Kighei Company Limited vina ubora hivyo ipo haja ikaongeza uzalishaji wake ili kuweza kupunguza bei ya bidhaa zake ili kuwafikia jamii kubwa yenye pato duni. Kadharika Mhe Malima akiwa bandani hapo hapo alipata Fursa ya kufikisha ujumbe kwa Jamii kupitia bango maalum na amepongeza Konzi la Moyo TV Show kuwa Vinara kwenye Dhamira ya dhati ya kutokomeza ukatili.

Naye Mkurugenzi wa Konzi La Moyo TV Show Bi. Florah Magabe amesema kipindi hicho ni matunda ya utafiti uliofanya na Yeye kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge Jimbo la NYamagana iliyobaini Kati ya wanafunzi 10 Sita Kati Yao ni Wahanga a wa ukatili. Hivyo kwa Sasa inatekeleza Miradi mitatu ikiwemo ugawaji wa Viatu vya ngozi pamoja na TAULO za k**e kwa Wanafunzi wanaotoka Katika familia zenye kipato duni. Uzalishaji wa Vipindi vyenye maudhui ya Kutokomeza ukatili wa kijinsia ikiwemo mkakati maalum wa Hamasa ya matumizi ya namba 116 inayoratibiwa na TAMISEMI sanjari na kutoa ushauri nasaha BURE.

Mhe Malima aliambatana na k**ati ya ulinzi na usalama Mkoa, Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Mkuu wa Wilaya Nyamagana Bi. Amina Makilagi. MAKAMU wa Rais TTCIA, Mwenyekiti wa TCCIA Mwanza Robert Mugini Chacha Kinene, Mwenyekiti UWT Mkoa wa Mwanza Bi. Ellen Bogohe. Maonesho hayo yaliyaanza tarehe 26.08.2022 yamezinduliwa tarehe 29.08.2022 yanatahitimishwa tarehe 04.09.2022.

Like
Share
Subscribe

*KM TV*
*Konzi La Moyo TV Show*



















22/08/2022

Address

Mwanza

Telephone

+255736975666

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kighei Company Limited posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kighei Company Limited:

Share