
24/09/2025
Jamaa anajua sana boli....ana utulivu mkubwa sana pale katikati. Kadri anavyokuaa ndio anazidi kuwa mtamu zaidi uwanjani.
Atasaidia sana kwenye ujenzi wa Azam chini ya Florent Ibenge "Re Profesaire" Mwalimu wa walimu kwenye ukocha.
Anaitwa Yahya Zaid...... Remember the Name. Haimbwi kwa sababu hayuko Kariakoo!!
FT | Azam FC 2 - 0 Mbeya City