Mhana

Mhana MHANA STORE
Where Quality, Style & Technology meet. Get the best modern products for your daily life📦✨
☎️ +255682075410

Ebu k**a hujalala Mwelezee Huyu Mwamba kwa Maneno Mawili tu
03/01/2026

Ebu k**a hujalala Mwelezee Huyu Mwamba kwa Maneno Mawili tu

Arsenal Mwaka huu sijui k**a ataliacha hili Kombe sijui wala sifikirii kabisaa maana naona hataki Mzaha yani anakupokea ...
03/01/2026

Arsenal Mwaka huu sijui k**a ataliacha hili Kombe sijui wala sifikirii kabisaa maana naona hataki Mzaha yani anakupokea vile Utakuja

K**a kuna Timu inataka kuliiba basi ikaliibe mapema k**a sio hivyo elewa washika Bunduki wameshika Mabomu

Je nani  kanuna Clement Mzize kurudi Uwanjani ?Baada ya kukosekana kwa Mda Mrefu kutokana na Majeraha ya Mguu rasimi Leo...
03/01/2026

Je nani kanuna Clement Mzize kurudi Uwanjani ?

Baada ya kukosekana kwa Mda Mrefu kutokana na Majeraha ya Mguu rasimi Leo Mzize kaonekana kuambatana na Timu yake ya Yanga kuelekea Zanzibar

Ikumbukwe kuwa Zanzibar ndiko kunafanyika Mashindano ya kombe la Mapinduzi na Yanga ikiwa ni Moja ya Timu inayoshiriki katika hayo Mashindano

Ndoto ya Kila Binti wa Kitanzania basi nihuo Udevu sasa Leo nataka nikuulize Jambo  wewe unasikia story gani kuhusu watu...
03/01/2026

Ndoto ya Kila Binti wa Kitanzania basi nihuo Udevu sasa Leo nataka nikuulize Jambo wewe unasikia story gani kuhusu watu wanaojari huo Udevu

Maoni ... Yako pia nasoma comment

03/01/2026

Mwaka wa Mavuno huu

゚viralシ

Kikosi cha Yanga hicho Kikielekea Zanzibar kwa Ajiri ya Mapinduzi Cup
03/01/2026

Kikosi cha Yanga hicho Kikielekea Zanzibar kwa Ajiri ya Mapinduzi Cup

02/01/2026
Leo Tuizungumzie Nyashi kitu kinachowapatia Dada zetu Kiburi cha utafutaji hata k**a hawana Elimu 😂😂🫵aisee sijui niseme ...
02/01/2026

Leo Tuizungumzie Nyashi kitu kinachowapatia Dada zetu Kiburi cha utafutaji hata
k**a hawana Elimu 😂😂🫵

aisee sijui niseme nini Juu ya hili ili upate kuelewa tulipo fikia kwa sasa

Naam Dunia imebadirika Sana Vijana kwa wazee hapa nazungumzia Wanaume wakubwa kwa Wadogo ambao wamepevuka

Wanaopenda kuiona Nyashi au kwajina lingine Matufunyungu ñdio kimekuwa kivutio kikubwa kwa hivi sasa pale anapopita Mdada au Mama basi akiwa amefungasha k**a wanavyodai Vijana basi Lazima watageuka na wengine kusema umeona huo mzigo

Basi wadada pia wakisikia hivyo ndio hupandwa na Maluwani nàkujikuta basi wanajiachia kweli kweli na wajiona Malkia nwenye falme zao mwenyewe

Hivi mnajua nilikuwa nataka kusema nini basi hii Hadithi fupi inayoelezea Maisha ya Dada zetu Shangazi zetu na hata Mama zetu wenye Nyashi, au Wowowo lakutisha
Hivi mpaka hivi sasa kuna Mtu hafahamu kuwa Dada zetu hao wanajiamini kuliko hata wasomi wa Vyuo Vikuu

Wanakwambia hivi sasa kuwa na Nyashi au Zigo basi hiyo inawezakuwa Asilimia 85 ya CV yake

Itaendelea Kesho ngoja nipike wakubwa Niko single

Hizo ndio Timu zangu pendwa Yani Liverpool na Yanga ukiniona nashabikia Timu nyingine basi hicho kiherehere cha ushabiki...
02/01/2026

Hizo ndio Timu zangu pendwa Yani Liverpool na Yanga ukiniona nashabikia Timu nyingine basi hicho kiherehere cha ushabiki but Mimi nishaniki hizo Timu zangu mashabiki wa hizi Timu weka Comment hapo

Nilikuwa Nashangaa sana mbona Mtoto wa Will Smith ambaye ni Jaden Smith anafanya hayo Baba anachukulia poa kumbe Mtoto k...
02/01/2026

Nilikuwa Nashangaa sana mbona Mtoto wa Will Smith ambaye ni Jaden Smith anafanya hayo Baba anachukulia poa kumbe Mtoto kalisi kwa Baba nachoka Mimi aisee

Hii nik**a Movie basi naomba isiwe kweli k**a nikweli basi Will Smith alichangia kuharibika kwa Mtoto wake kwa Asilimia kubwa

Soma hiyo story Kwa ufupi 🙆🙆😭

Muigizaji wa Marekani Will Smith na kampuni yake Treyball Studios Management Inc wanakabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa kingono iliyofunguliwa na mpiga violin Brian King Joseph.

Brian anadai kuwa Will Smith alimualika kujiunga na ziara ya dunia iitwayo “Based on a True Story: 2025” na wakati huo kulikuwa na vitendo vya kumwandaa kwa lengo la kumtumia kingono.

Aidha Brian anadai kuwa baada ya Will Smith kufanya majaribio ya kumtongoza kimapenzi bila ridhaa yake alifutwa kazi, hata ivyo aliripoti tukio chumba chake cha hoteli kuingiliwa mwezi march 2025. Tukio hilo linadaiwa lilihusika kuachwa kwa ujumbe wa maudhui ya kishawishi, vitu binafsi na nyaraka za vipimo vya kitabibu.

Hata ivyo kesi hiyo tayari ipo katika mahak**a ya Los Angeles inasubiri kusikilizwa.

K**a ni hivi nachoka Mimi Mjukuu wa Clemence Mwandambo,Maana naona Mimi Mambo yashakuwa mazito kwakweli Emmanuel Mwaneng...
02/01/2026

K**a ni hivi nachoka Mimi Mjukuu wa Clemence Mwandambo,
Maana naona Mimi Mambo yashakuwa mazito kwakweli

Emmanuel Mwanengo akiwa na TRA UNITED

Mechi 7️⃣
Magoli 0️⃣
Assist 1

Marouf Tchakei akiwa na Singida Black Stars

Mechi 5️⃣
Magoli 0️⃣
Assist 0️⃣

Damaro Cama yeye Tangu Khalid Aucho asajiliwe amekuwa ni wa benchi.

Unadhani Yanga wameona nini kwa hawa Wachezaji...?

K**a leo ndio Tarehe 2 /1/2026 tayari umelala na Wanaume zaidi ya Mmoja au Mwanamke zaidi ya Mmoja Basi Kipaji chako Sis...
02/01/2026

K**a leo ndio Tarehe 2 /1/2026 tayari umelala na Wanaume zaidi ya Mmoja au Mwanamke zaidi ya Mmoja

Basi Kipaji chako Sisi tumekifahamu kilichobaki tukuungnishe na Yule Jamaa anajiita John Sins
Usitumike tu Bure bila Pesa au bila kuacha Record kwenye Vitabu vya Guinness

Address

Mwanza
16112

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mhana posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mhana:

Share