Famara Media

Famara Media Famara Media - Inform, Entertain and Educate.

05/01/2026

Sisi ndio Arsenal...Parade la nguvu kwa mashabiki wa Arsenal Sudan Kusini..😀 Mtafukuza makocha sana. Sisi haooo.

Tanzania imefungwa 1 - 0 na Morocco katika mechi ya raundi ya 16 na kuondolewa kwenye mashindano ya Afcon 2025 pale Moro...
04/01/2026

Tanzania imefungwa 1 - 0 na Morocco katika mechi ya raundi ya 16 na kuondolewa kwenye mashindano ya Afcon 2025 pale Morocco.

Gumzo kubwa ni maamuzi ya refarii uwanjani yameancha maswali mengi yasiokuwa majibu..Wengi wanasema amewaumiza Tanzania huko akiipendelea Morocco.

Wewe umeonaje mechi na maamuzi ya refarii huyu raia wa Mali?

04/01/2026

1 Mambo ya Nyakati 18:13

Naye BWANA akampa Daudi kushinda, kila alikokwenda.

02/01/2026

Francis Kahata, who has been training with KCB FC for the past few weeks, is likely to sign for the Bankers when the mid-season transfer window opens on Monday.

02/01/2026

Junior Khanye on Hugo Broos 👀😳

“If Hugo Broos loses to Cameroon on Sunday, he may be forced to leave Bafana Bafana.

"Because the pressure from former players, the media, and the fans would be overwhelming, along with the relentless questioning.”😬

MAKILAGI SPORTS WEAR YATOA SHUKRANI KWA WATEJA WAKE.Duka la vifaa vya michezo la Makilagi Sports Wear, lililopo katika o...
02/01/2026

MAKILAGI SPORTS WEAR YATOA SHUKRANI KWA WATEJA WAKE.

Duka la vifaa vya michezo la Makilagi Sports Wear, lililopo katika ofisi za Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, limetoa shukrani za dhati kwa wateja wake wote waliounga mkono huduma na bidhaa zake kwa kipindi cha mwaka 2025.

Akizungumza mwanzoni mwa mwaka mpya 2026, Mkurugenzi wa Makilagi Sports Wear, Bi. Sophia Makilagi, amesema mafanikio yaliyopatikana yametokana na imani na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wateja wao wa ndani ya Mkoa wa Mwanza na nje ya mkoa.

Bi. Makilagi amesema katika mwaka 2025, duka hilo lilifanikiwa kuuza bidhaa mbalimbali za michezo zikiwemo jezi, mipira pamoja na vifaa vya mazoezi kwa wadau wengi wa michezo, hali iliyochangia ukuaji na uimara wa biashara hiyo.

“Tunamshukuru Mungu kwa kutuvusha salama mwaka 2025 na kutuwezesha kuanza mwaka mpya 2026 kwa mafanikio. Tunatoa shukrani za dhati kwa wateja wetu wote waliotufikia dukani pamoja na wale waliokuwa mbali waliotuamini kwa kuagiza bidhaa zetu. Tunaomba ushirikiano huu uendelee na uwe mkubwa zaidi katika mwaka huu wa 2026,” amesema Bi. Makilagi.

Katika wateja waliotoa mchango mkubwa kwa kununua mizigo kwa wingi mwaka 2025, Bi. Makilagi amewataja Mwenyekiti wa Copco FC, Simon Romli, Nyaitato Stephano Mwenyekiti wa Alliance Sports Academy Augustino Yassaya Mbogo ambaye ni Katibu wa CCM Wilaya ya Ngorongoro, pamoja na Wilbert Mweta Mkurugenzi wa Mweta Sports Centre, akisema walionesha mfano mzuri wa kuunga mkono biashara za ndani.

Aidha, Makilagi Sports Wear imeeleza mpango wake wa kuwaandalia Vyeti vya Shukrani wadau hao k**a sehemu ya kutambua mchango wao katika kusaidia kukuza duka hilo na maendeleo ya vifaa vya michezo Mkoa wa Mwanza.

Cc

01/01/2026

Hello

01/01/2026

Happy New Year 2026.

The easier way to Political heroism is to do opposition Politics. You oppose everything, take no responsibility and deli...
31/12/2025

The easier way to Political heroism is to do opposition Politics. You oppose everything, take no responsibility and deliver nothing. For years that is what has placed us where we are.

Strategic Politics requires that you choose your community over yourself, choose your battles strategically and lower when it benefits your larger community and raise your antennae when it calls for attention.

The Kikuyu have mastered that art. The Luo on the other hand will dramatize the opposition but partake in the Govt selfishly.
My solemn cry, we are missing an opportunity of our lifetime as a community.

We cheered Uhuru in the funeral of CJ maybe because he came to mourn with us. But who sold Panpaper? Who had killed Sugar Industry? Give me one road we completed during Uhurus reign, Any major Project we achieved?

What exactly do we want?

Source:

-------

Njia rahisi ya umaarufu wa kisiasa ni kufanya siasa za upinzani: unapinga kila kitu, hubebi wajibu wowote, na hutekelezi chochote. Kwa miaka mingi, mtazamo huu ndio umetufikisha tulipo leo.

Siasa za kimkakati zinahitaji uamue kulitanguliza jamii yako kuliko nafsi yako, uchague mapambano yako kwa busara, ujinyenyekeze pale panaponufaisha jamii yako kwa ujumla, na uinue sauti pale panapohitaji uangalizi na hatua.

Wakikuyu wamebobea katika sanaa hii. Kwa upande mwingine, Waluo huonesha upinzani kwa makelele na drama, lakini wakati huohuo hushiriki serikalini kwa maslahi binafsi.

Kilio changu cha dhati ni kwamba tunapoteza fursa ya maisha yetu k**a jamii.
Tulimshangilia Uhuru kwenye mazishi ya Jaji Mkuu (CJ) labda kwa sababu alikuja kuomboleza nasi.

Lakini ni nani aliyeuza Panpaper? Ni nani aliyeua Sekta ya Sukari? Taja barabara hata moja tuliyokamilisha wakati wa utawala wa Uhuru. Ni mradi gani mkubwa tulioutekeleza?

Kwa kweli, tunataka nini hasa?

Chanzo:

31/12/2025

Furaha baada ya Taifa Stars kufuzu hatua ya 16 Afcon! Jipe raha.

Address

Nyamagana
Mwanza
994

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Famara Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Famara Media:

Share