RCB MEDIA

RCB MEDIA Rcb Media Official Facebook Account. Follow Us Instagram YouTube MEDIA

09/10/2023

Singida Fountain Gate Fc 0 - 1 Simba Sc.Saido Ntibazonkiza 26’
08/10/2023

Singida Fountain Gate Fc 0 - 1 Simba Sc.
Saido Ntibazonkiza 26’

08/10/2023
Nchi ya Israel imejibu mashambulizi kwa kurusha makombora ya anga katika ukanda wa Gaza nchini Palestina yaliyoua watu z...
08/10/2023

Nchi ya Israel imejibu mashambulizi kwa kurusha makombora ya anga katika ukanda wa Gaza nchini Palestina yaliyoua watu zaidi ya 300 Kutoka Sehemu Mbalimbali

Kwa mujibu wa tovuti ya Hindustan Times imeripoti mashambulizi yameanza tangu jana Jumamosi Oktoba 7, 2023 yamefanyika Khan Younis, kusini mwa ukanda wa Gaza ambapo Wizara ya Afya ya Palestina imesema karibu watu wengine 2, 000 wamejeruhiwa na shambulizi Hilo zito.

Taarifa kutoka Palestina zinasema wanaendelea kutafuta majeruhi walionasa kwenye vifusi vya nyumba zilizoharibiwa katika mashambulizi hayo ya kulipiza kisasi yaliyopewa jina la operesheni ya Upanga wa Chuma.

05/10/2023

Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam Albert Chalamila Leo Akiwa Kwenye Mkutano wa Hadhara na Walimu Shule Tofautitofauti amewaasa walimu Kufanya Kazi Kwa Bidii Haswa kwani Rais wa awamu ya Sita Dkt.Samia Suluhu amewekeza Kwa asilimia nyingi Kwenye sekta ya Elimu.

“Nimewataka walimu kuchapa kazi kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt anawapenda walimu na dhamira yake inajidhihirisha wazi kutokana na uwekezaji mkubwa anaoufanya katika sekta ya elimu, k**a uboreshaji mkubwa wa miundombinu ya elimu, kupandisha mishahara, ajira kwa walimu, elimu bila malipo, mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu na sasa ameshafungua dirisha kwa wanafunzi wa astashahada nao wanayo fursa za mikopo.....”----- Albert Chalamila

05/10/2023

Eng. Hersi Said ambaye ni Rais wa Klabu ya Yanga leo ameshiriki kikao cha Umoja wa Klabu za Mpira wa Miguu Afrika ACA kupitia njia ya mtandao, ambapo Rais wa CAF Patrice Motsepe alikuwa kiongozi Wa kikao hicho.

Motsepe amempongeza rais wa yanga Kwa Kazi Nzuri anayoifanya Ndani ya klabu Hiyo ikiwa Wanajangwani tayari wamefuzu Kuingia Hatua ya Makundi Kwenye mashindano ya klabu Bingwa Barani Afrika.

Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam Albert Chalamila Leo Akiwa Kwenye Mkutano wa Hadhara na Walimu Shule Tofautitofauti amewaa...
05/10/2023

Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam Albert Chalamila Leo Akiwa Kwenye Mkutano wa Hadhara na Walimu Shule Tofautitofauti amewaasa walimu Kufanya Kazi Kwa Bidii Haswa kwani Rais wa awamu ya Sita Dkt.Samia Suluhu amewekeza Kwa asilimia nyingi Kwenye sekta ya Elimu.

“Nimewataka walimu kuchapa kazi kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt anawapenda walimu na dhamira yake inajidhihirisha wazi kutokana na uwekezaji mkubwa anaoufanya katika sekta ya elimu, k**a uboreshaji mkubwa wa miundombinu ya elimu, kupandisha mishahara, ajira kwa walimu, elimu bila malipo, mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu na sasa ameshafungua dirisha kwa wanafunzi wa astashahada nao wanayo fursa za mikopo.....”----- Albert Chalamila


Powered By

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Waziri Mkuu  wa zamani wa U...
05/10/2023

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Mhe.Tony Blair Leo Kwenye ikulu Zanzibar.

Ambapo Mazungumzo yao yamegusia fursa katika uchumi wa buluu ikiwemo sekta ya utalii wa fukwe, urithi ,michezo, mikutano , pamoja na uwekezaji, bandari, biashara, teknolojia, mafuta na gesi,huduma za kijamii ikiwemo afya, elimu , na mafunzo ya kujenga uwezo.


Powered By .mwanza.tz

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RCB MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to RCB MEDIA:

Share