GOOD ONE TV

GOOD ONE TV I am journalist

Kuna wadada wamenifata inbox 📥 wakisema  kwanini wanaume wengi wa Sasa hivi kwenye tendo la ngono wanataka uwape nyuma n...
04/05/2026

Kuna wadada wamenifata inbox 📥 wakisema kwanini wanaume wengi wa Sasa hivi kwenye tendo la ngono wanataka uwape nyuma na sio mbele .......
👇
WANAWAKE ...m fikiria mwanaume hajalala nae .Wala hajui rangi ya chupi yako ........amekuomba no ya simu ili muongee mpatane ....unampa majukumu vocha yeye.kodi yeye .kulipa umeme yeye .kula yeye.yaani Kila kitu unamtupia yeye kisa tu kakutongoza ili ulale na yeye ...lakini kabla hujalala na yeye unamugeuza duka la jumla shida zote wamutupia yeye........na wanaume walivyo akikupenda na kukuhitaji kimapenzi akitaka alale na wewe hujitoa ufahamu Kila unachomuomba atakupa ili uingie kingi ale apite hivi......maana ata ningekua Mimi ntatumia gharama nikupate ukishanipa uchi wako nakaa pembeni siwezi det na omba omba .............. matokeo yake Yule mwanaume aliyetulia gharama kukupata siku unampa mapenzi k yako inatoa.....halfu .usafi huzingatiii......k ata K**a safi ni kubwa maana inatumika sana.....Koo mwanaume anaona ili kufidia gharama zangu kubwa anagomba kukufumuwa marinda.maana mbele hakufai.............Koo Mimi nawapongeza wanaume wanao wakula nyuma maana mmezidi tamaa ...kazi hamtaki .mna kazi ya kutumia mili yenu vibaya . . ...wapumuzisheni wanaume Wana mengi ya kufanya
👇
GOOD ONE TV

Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha mwigizaji mkongwe wa filamu nchini, Hashim Kambi kilichotokea leo, Dar es S...
28/04/2026

Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha mwigizaji mkongwe wa filamu nchini, Hashim Kambi kilichotokea leo, Dar es Salaam. Taifa limepoteza kipaji adhimu kilichochangia kwa kiasi kikubwa kukuza na kuitangaza tasnia ya filamu nchini.

Ninatoa pole kwa Shirikisho la Filamu Tanzania, Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), wasanii wa filamu nchini, familia ya marehemu, wadau wa filamu, ndugu, jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huu.

Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.
GOOD ONE TV

K**a ungekuwa na mtoto wako, ungemwita jina gani?Wote muandike kwenye maoni.”GOOD ONE TV
22/04/2026

K**a ungekuwa na mtoto wako, ungemwita jina gani?
Wote muandike kwenye maoni.”

GOOD ONE TV

Kati ya hawa watoto wawili unafikili ninani MatiGOOD ONE TV
04/02/2026

Kati ya hawa watoto wawili
unafikili ninani Mati

GOOD ONE TV

Kikosi hatari cha mbwa vita cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kinajulikana k**a Kikosi cha '1K9', kinac...
22/01/2026

Kikosi hatari cha mbwa vita cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kinajulikana k**a Kikosi cha '1K9', kinachojumuisha mbwa waliofunzwa vizuri kupambana na wahalifu, kuvuka vikwazo, na kufanya operesheni mbalimbali, na wamekuwa wakionyesha umahiri wao katika maonyesho mbalimbali ya jeshi, wakiwemo waliofundishwa kushuka kutoka helikopta.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimba...
08/01/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka,

Mhe. Paul Christian Makonda (Mb.) ameteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Kabla ya uteuzi huu, Mhe. Makonda alikuwa Naibu Waziri katika Wizara hiyo;

Mkuu wa Makampuni Binafsi ya Ulinzi na Polisi Wasaidizi Tanzania, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ulrich Matei, Leo Janua...
07/01/2026

Mkuu wa Makampuni Binafsi ya Ulinzi na Polisi Wasaidizi Tanzania, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ulrich Matei, Leo Januari 07, 2026, akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya K**anda wa Polisi Mkoa wa Mtwara kwa ajili ya ufunguzi wa mafunzo kwa Wakuu wa Polisi Jamii wa Mikoa, Vikosi na Wilaya.

Mikoa inayoshiriki katika Mafunzo hayo ni Mtwara, Lindi na Ruvuma.

AAH! SHEMEJI... ACHA!SEHEMU YA 01Aisha alijiona k**a mtu mwenye bahati ya mtende kwa kutongozwa na shemeji yake. Nafsi y...
06/01/2026

AAH! SHEMEJI... ACHA!

SEHEMU YA 01

Aisha alijiona k**a mtu mwenye bahati ya mtende kwa kutongozwa na shemeji yake. Nafsi yake ilikuwa njia panda; aliwaza amkubalie au amkatalie kwa kigezo cha undugu wa shemeji. Hata hivyo, akili yake iligubikwa na taswira ya utajiri wa shemeji yake huku akilinganisha na hali duni aliyokuwa nayo.

“Endapo nikikubali na dada akigundua, itakuwaje?” alijiuliza moyoni. “Aah! Lakini si amenitongoza mwenyewe? Siwezi kupiga teke fuko la pesa... Potelea mbali.”

Siku iliyofuata, Aisha alikutana na shoga yake kipenzi, Anita. Bila kusita, Aisha alimsimulia Anita kuhusu yaliyojiri kati yake na shemeji yake.

“Shoga yangu, basi ngoja nikupe mkanda kamili.”
Anita alichekelea kwa hamu. “Hapo ndipo ninapokupendea! Tukikutana barazani huchangamka kwa stori. Haya shoga, hebu nipe huo ubuyu.”

Aisha akaanza kuelezea, “Jana usiku wakati tunakula, dada aliwahi kushiba akaenda zake kulala. Sebuleni tukabaki mimi na shemeji tukipata chakula cha usiku. Basi shoga yangu, shemeji si ndio akaanza... ‘Ooh Aisha unajua wewe ni mzuri sana kuliko hata dada yako.’ Mimi nikabaki kucheka tu.

Dakika chache zikapita mara akaanza tena, ‘Aisha, najua wewe ni mtu mzima na unaweza kutunza siri. Mimi nataka uwe mpenzi wangu lakini dada yako asijue.’”

Aisha alivuta pumzi kidogo kisha akaendelea, “Shoga, nilishtuka! Kwani sikutegemea hata siku moja k**a shemeji atakuja kunitamkia maneno k**a yale, ukizingatia jinsi ninavyomheshimu.”

“Shuu! Atabeba mimba huyo!” Anita alidakia kwa mshangao uliochanganyika na furaha ya umbea. “Heshima hiyo weka pembeni, kwani yule ni baba yako mzazi?” Wote kwa pamoja waliangua vicheko vya umbea.

Anita akaendelea kumpa darasa, “Sasa sikiliza shoga yangu nikwambie; maisha ndiyo hayo yanaanza kukunyookea. Ukizingatia shemeji yako alivyo na utajiri, kumuacha ni sawa na kukataa kuolewa na mfalme ili uje kuwa malkia.”

📣🔈🔉SIMULIZI HII HAIJAFIKA MWISHO

Rais Magufuli k**a unamkumbuka weka ❤️❤️
06/01/2026

Rais Magufuli k**a unamkumbuka weka ❤️❤️

Ulinzi imara ndio  Msingi wa Amani.
03/01/2026

Ulinzi imara ndio Msingi wa Amani.

Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walionyesha kwa mafanikio ujuzi wao wa hali ya juu wa kurusha I...
03/01/2026

Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walionyesha kwa mafanikio ujuzi wao wa hali ya juu wa kurusha ICV, uliopatikana hatua kwa hatua kupitia mafunzo ya kina kwenye MIC & S.

Address

Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when GOOD ONE TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share