Limboa Online Tv

Limboa Online Tv Under iBin Media Management company
For any Promo Booking Now
Via [email protected]
#0625948651

26/05/2025

KAGOMA KAPIGWA KADI NYEKUNDU NDO HAPO MCHEZO UKASNZA KUA MGUMU NA MFUMO MZIMA WA FORMATION UKABADILIKA

CHAMPIONS. HISTORY. RS BERKANE! πŸ†A historic moment for the Moroccans, winning the 2024/25   title! πŸ‡²πŸ‡¦
26/05/2025

CHAMPIONS. HISTORY. RS BERKANE! πŸ†

A historic moment for the Moroccans, winning the 2024/25 title! πŸ‡²πŸ‡¦

β€œTuna furaha kucheza mchezo huu dhidi ya Simba na tumejiandaa vya kutosha japo tunafahamu hautakuwa mchezo rahisi kwa ti...
24/05/2025

β€œTuna furaha kucheza mchezo huu dhidi ya Simba na tumejiandaa vya kutosha japo tunafahamu hautakuwa mchezo rahisi kwa timu zote mbili.

Kucheza ugenini bila idadi kubwa ya mashabiki kwetu si jambo geni kwa sababu tayari tumeshacheza mechi nyingi. Jambo muhimu ni maandalizi na utayari wa wachezaji.

Mambo yaliyotokea uwanja wa ndege wakati tunawasili sitaki kuyaongelea kwa sababu tunatakiwa kuwa makini na mchezo uliopo mbele yetu” β€”Mouin Chaabani, Kocha RS Berkane kwenye mkutano na waandishi wa habari.

NANI ANAJUA ATUAMBIE ??
24/05/2025

NANI ANAJUA ATUAMBIE ??

Tizama Tabasamu la Hamisa akicheza na mtoto wa Aziz k  zupendo mkubwa huo ❀️
24/05/2025

Tizama Tabasamu la Hamisa akicheza na mtoto wa Aziz k zupendo mkubwa huo ❀️

πŸ†•οΈ Wachezaji wote wa RS Berkane   πŸ‡²πŸ‡¦ wamesafiri na mito yao ya kulalia ambayo imewekwa dawa aina ya Melatonin na wengine...
24/05/2025

πŸ†•οΈ Wachezaji wote wa RS Berkane πŸ‡²πŸ‡¦ wamesafiri na mito yao ya kulalia ambayo imewekwa dawa aina ya Melatonin na wengine Diphenhydramine ambazo zitawasaidia kwenye upumuaji wakati wa kulala na

pia kutokupata usingizi kwa tabu katika siku 3 ambazo watakuwa visiwani Zanzibar kwa ajili ya mchezo wa fainali dhidi ya Simba πŸ‡ΉπŸ‡Ώ. Berkane watawasili Tanzania usiku wa leo wakitokea Morroco.

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameanza mchakato mkubwa wa kupunguza idadi ya wafanyakazi wa Baraza la Usalama wa Taifa ...
24/05/2025

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameanza mchakato mkubwa wa kupunguza idadi ya wafanyakazi wa Baraza la Usalama wa Taifa (NSC), chombo muhimu kinachoratibu na kusimamia sera za usalama wa taifa na sera za kigeni katika Ikulu ya Marekani. Hatua hii imejiri wakati ambapo Ikulu ya White House inaendelea na mabadiliko ya ndani yanayolenga kubadilisha uelekeo wa sera na kuimarisha usimamizi wa ndani.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa maafisa waandamizi, wafanyakazi kadhaa walitakiwa kuondoka mara moja ofisini, huku wengine wakipewa likizo ya kiutawala bila taarifa ya muda wa kurejea. Wengi wao walipewa chini ya saa mbili kuondoka, hali ambayo imezua mjadala kuhusu namna mchakato huo ulivyotekelezwa bila tahadhari ya kutosha kwa wahusika.

Wachambuzi wa masuala ya usalama wa taifa wameeleza wasiwasi wao juu ya hatua hiyo, wakidai kuwa inaweza kudhoofisha uwezo wa Marekani kushughulikia kwa haraka na ufanisi masuala nyeti ya kimataifa. NSC imekuwa mhimili mkuu wa uamuzi katika nyakati za migogoro ya kimataifa, na kupunguzwa kwake kunaweza kuathiri ushauri wa kisera unaotolewa kwa rais.

Hata hivyo, maafisa wa karibu na Rais Trump wameitetea hatua hiyo wakisema inalenga kupunguza urasimu na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya Baraza hilo. Kwa sasa, bado haijafahamika ni wafanyakazi wangapi wataondolewa kwa jumla, lakini mabadiliko haya yanaonekana kuwa mwanzo wa mageuzi makubwa katika mfumo wa usalama wa taifa wa Marekani.

Mwimbaji wa nyimbo za Injili na Malkia wa Muziki wa Injili Tanzania  amechukua tuzo ya heshima ya TGMA kwa kuwa Mwanamuz...
24/05/2025

Mwimbaji wa nyimbo za Injili na Malkia wa Muziki wa Injili Tanzania amechukua tuzo ya heshima ya TGMA kwa kuwa Mwanamuziki aliyeleta mapinduzi kwenye muziki wa Tanzania- Rose Muhando kuanzia mwaka 2004.

Andika neno la hongera kwa Malkia wa Nyimbo za Injili Tanzania.

Katika taarifa ya kushangaza kutoka kwa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, imeelezwa kuwa kuna mazungumzo yanayoendelea amb...
24/05/2025

Katika taarifa ya kushangaza kutoka kwa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, imeelezwa kuwa kuna mazungumzo yanayoendelea ambayo huenda yakamshuhudia Cristiano Ronaldo akichezea moja ya vilabu vitakavyoshiriki Kombe la Dunia la Vilabu. Taarifa hiyo imechapishwa na mwandishi maarufu wa habari za soka, Fabrizio Romano, kupitia ukurasa wake wa Facebook.

Ingawa bado haijathibitishwa rasmi Ronaldo atajiunga na timu gani, uwepo wake katika mashindano hayo utakuwa ni wa kuvutia ikizingatiwa hadhi yake k**a mmoja wa wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea katika historia ya soka.

Mashabiki duniani kote sasa wanangoja kwa hamu zaidi taarifa rasmi kuhusu suala hili huku matarajio yakizidi kupanda. Je, Ronaldo atarudi tena katika ulingo mkubwa wa kimataifa? Muda utaongea.

Bunge la Ulaya linaanza mjadala wa dharura leo hii ukijikita zaidi kuhusu hali ya kisiasa inayoendelea nchini Tanzania, ...
07/05/2025

Bunge la Ulaya linaanza mjadala wa dharura leo hii ukijikita zaidi kuhusu hali ya kisiasa inayoendelea nchini Tanzania, kwa kuilenga kesi inayoendelea inayomkabili kiongozi wa upinzani wa CHADEMA, Tundu Lissu.

Wabunge wa Bunge la Ulaya watalipigia kura rasmi azimio namba 2025/2690(RSP) tarehe 8 Mei. Azimio hilo si kwamba litashughulikia kesi ya Lissu bali pia hali pana ya mwenendo wa kisiasa nchini Tanzani.

Come with my New bland Log , Trust the Process πŸ‘πŸ€²πŸ“Š
27/06/2022

Come with my New bland Log , Trust the Process πŸ‘πŸ€²πŸ“Š

Don't give up pull up ur socks an move on ...✍
23/06/2022

Don't give up pull up ur socks an move on ...✍

Address

Nachingwea

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Limboa Online Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Limboa Online Tv:

Share