Radio Kwizera

Radio Kwizera The Official page of Radio Kwizera
97.7 Kagera, Geita and Mwanza | 93.7 Kigoma | 89.5 Shinyanga.
(205)

Community Radio, seeks to restore hope, peace and development in the North-West Tanzania.

07/12/2025

SPORTS CORNER WIKI HII : Habari za kimichezo kupitia Kona ya Kwanza na ya Pili yaani kuanzia ndani ya nchi hadi kimataifa.

06/12/2025

SPORTS CORNER: Habari za kimichezo kupitia Kona ya Kwanza na ya Pili yaani kuanzia ndani ya nchi hadi kimataifa.

🔥 TOP 20 WIKI HII! 🎶 DEC 06, 2025🔥Kuanzia namba 20 hadi namba 1, hizi ndizo ngoma kali zinazotikisa mitaa kwa sasa! 🚀Je,...
06/12/2025

🔥 TOP 20 WIKI HII! 🎶 DEC 06, 2025🔥

Kuanzia namba 20 hadi namba 1, hizi ndizo ngoma kali zinazotikisa mitaa kwa sasa! 🚀

Je, ngoma yako ipo kwenye countdown ya 🔝20 hii wiki? 👀

Host:

MICHEZO: Makundi ya Kombe la Dunia 2026 A: Mexico, South Korea, South Africa + Winner Playoff DB: Canada, Switzerland, Q...
06/12/2025

MICHEZO: Makundi ya Kombe la Dunia 2026

A: Mexico, South Korea, South Africa + Winner Playoff D
B: Canada, Switzerland, Qatar + Winner Playoff A
C: Brazil, Morocco, Scotland, Haiti
D: USA, Australia, Paraguay + Winner Playoff C
E: Germany, Ecuador, Ivory Coast, Curação
F: Netherlands, Japan, Tunisia + Winner Playoff B
G: Belgium, Iran, Egypt, New Zealand
H: Spain, Uruguay, Saudi Arabia, Cabe Verde
I: France, Senegal, Norway + Winner Playoff 2
J: Argentina, Austria, Algeria, Jorgan
K: Portugal, Colombia, Uzbekistan + Winner Playoff 1
L: England, Croatia, Panama, Ghana

Nani unampa nafasi yakuwa Bingwa?

DAR ES SALAAM: Aliyekuwa Mgombea wa Urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhanga Mpina, ameibuka na kutoa tuhuma dhidi...
05/12/2025

DAR ES SALAAM: Aliyekuwa Mgombea wa Urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhanga Mpina, ameibuka na kutoa tuhuma dhidi ya Serikali, vyombo vya dola na taasisi za uchaguzi, akidai kuwapo kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, mauaji na uonevu uliodaiwa kutokea wakati wa uchaguzi na maandamano yaliyofuatia.

Akizungumza Jijini Dar es Salaam, Mpina amesema matukio ya vurugu na vifo vya raia vinavyodaiwa kutokea siku ya uchaguzi “haviwezi kufumbiwa macho”

Katika hatua nyingine, Mpina ameishukuru jumuiya ya kimataifa, mashirika ya haki za binadamu na vyombo vya habari vya kimataifa kwa kulaani kile alichokiita ukiukwaji wa haki za binadamu, huku akizipongeza balozi 17 zilizotoa taarifa zao kuhusu matukio hayo.

Katika mapendekezo yake, Mpina ameitaka Serikali kuchukua hatua kadhaa ikiwamo, Kufuta uchaguzi ndani ya siku 90 na kurudia uchaguzi upya, Kuwajibisha viongozi wa juu akiwamo Rais, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais,Kuundwa kwa tume mpya huru ya uchaguzi,

Kuitishwa kwa kikao cha dharura cha EAC, SADC na AU,Kuvunjwa kwa tume ya uchunguzi iliyoanzishwa na Serikali kwa madai kwamba “haina uhalali wala imani ya wananchi.”

05/12/2025

SPORTS CORNER: Habari za kimichezo kupitia Kona ya Kwanza na ya Pili yaani kuanzia ndani ya nchi hadi kimataifa.

05/12/2025

Habari kuu usiku wa leo, kitaifa na kimataifa pamoja na Ujumbe kupitia Waza Wazua.

05/12/2025

MSETO LEO: Habari kwa kina jioni ya leo kupitia Mseto Leo katika Furushi.

Je unafahamu uhusiano uliopo baina ya mazingira na mlipuko wa magonjwa? 🌳🤮Usikose kusikiliza   - Tuandikie maoni yako!  ...
05/12/2025

Je unafahamu uhusiano uliopo baina ya mazingira na mlipuko wa magonjwa? 🌳🤮

Usikose kusikiliza - Tuandikie maoni yako!



05/12/2025

MSETO LEO: Ujumbe huu ukufikie wewe mhusika katika jambo hili muhimu.

05/12/2025

Balozi 17 kutoka umoja wa ulaya zatoa mapendekezo kwa Tanzania- Dakika 1 ya Habari | Dec 5, 2025

05/12/2025

MSETO LEO: Ujumbe huu ukufikie wewe mhusika katika jambo hili muhimu.

Address

P. O. Box 154
Ngara

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Kwizera posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Kwizera:

Share