UVCCM Wilaya ya Njombe

UVCCM Wilaya ya Njombe Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from UVCCM Wilaya ya Njombe, Digital creator, 577, Njombe.

20/06/2025
*ZIARA YA KATIBU HAMASA YA PAMBA MOTO WADAI MABADILIKO*📍Ikiwa ni muendelezo wa ziara ya Katibu wa Idara ya Uhamsishaji n...
16/06/2025

*ZIARA YA KATIBU HAMASA YA PAMBA MOTO WADAI MABADILIKO*

📍Ikiwa ni muendelezo wa ziara ya Katibu wa Idara ya Uhamsishaji na chipukizi wilaya ya Njombe, Ambapo Leo ziara hiyo ilihusisha kata za Majengo na Mlowa.

📍Katika ziara hiyo Vijana wamemuhakikishia katibu Hamasa kuwa kwa Sasa wanakilasababu za kuchukua Fomu na kugombea lakini pia hawana Budi kuungana na wagombea ambao ni vijana wenzao.

📍Aidha vijana hao wanaendelea kushukuru kwa wadau ambao wanaendelea kuwaunga Mkono hususani katika masuala ya sare Kwan wanasema hawajawahi kupata sare zenye ubora Toka wawe wanachama wa Chama Cha Mapinduzi, na baadhi yao wanamshukuru Ndugu *Daniel Chongolo* kwakutambua umuhimu wa sare kwa vijana hao.

📍Sambamba na hayo baadhi ya madiwani wamepongezwa na vijana hao na vijana wamesema wapo tayari kuwachukulia fomu Madiwani hao Ili waendele kwa kipindi Cha miaka Mitano mingine ambapo miongoni mwa madiwani hao ni pamoja na *ODILO FUTE* Wa Kata ya Mlowa na Diwani wa kata ya Majengo Mhe. LWIVA

16/06/2025

*ZIARA YA KATIBU HAMASA YA PAMBA MOTO WADAI MABADILIKO*

📍Ikiwa ni muendelezo wa ziara ya Katibu wa Idara ya Uhamsishaji na chipukizi wilaya ya Njombe, Ambapo Leo ziara hiyo ilihusisha kata za Majengo na Mlowa.

📍Katika ziara hiyo Vijana wamemuhakikishia katibu Hamasa kuwa kwa Sasa wanakilasababu za kuchukua Fomu na kugombea lakini pia hawana Budi kuungana na wagombea ambao ni vijana wenzao.

📍Aidha vijana hao wanaendelea kushukuru kwa wadau ambao wanaendelea kuwaunga Mkono hususani katika masuala ya sare Kwan wanasema hawajawahi kupata sare zenye ubora Toka wawe wanachama wa Chama Cha Mapinduzi, na baadhi yao wanamshukuru Ndugu *Daniel Chongolo* kwakutambua umuhimu wa sare kwa vijana hao.

📍Sambamba na hayo baadhi ya madiwani wamepongezwa na vijana hao na vijana wamesema wapo tayari kuwachukulia fomu Madiwani hao Ili waendele kwa kipindi Cha miaka Mitano mingine ambapo miongoni mwa madiwani hao ni pamoja na *ODILO FUTE* Wa Kata ya Mlowa na Diwani wa kata ya Majengo Mhe. LWIVA

*ZIARA YA KATIBU HAMASA NA MSISITIZO WA VIJANA KUGOMBEA UCHAGUZI MKUU*📍Ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara ya katibu wa ida...
14/06/2025

*ZIARA YA KATIBU HAMASA NA MSISITIZO WA VIJANA KUGOMBEA UCHAGUZI MKUU*

📍Ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara ya katibu wa idara ya uhamsishaji na chipukizi wilaya Njombe Ndugu Godfrey Tweve imeanza katika kata ya Kitandililo na Mahongole kwa KISHINDO kikubwa.

📍Ambapo katika ziara hiyo Ndg Godfrey Tweve amewakumbusha vijana kuwa ni haki ya kikatiba kuchukua Fomu na kugombea nafasi ya Ubunge na Udiwani Kwan I chama Cha Mapinduzi kilianzisha jumuhiya ya umoja wa vijana kwa lengo la kuwaanda wanachama safi na viongozi Bora ambao ni Taifa la Leo na kesho.

📍Aidha katika hotuba yake amewambia vijana kuwa ifikapo mwezi Oktoba vijana wote Ni kupiga kura wasisikilize propaganda za vikundi vya wahuni wanaoshawishi watu wasipige kura Kwan kwakufanya hivyo ni kosa kisheria.


KATIBU HAMASA CCM WILAYA YA NJOMBE KUANZA ZIARA YA KUIMARISHA CHAMA NA UMOJA WA VIJANAKatibu wa Hamasa wa Chama Cha Mapi...
13/06/2025

KATIBU HAMASA CCM WILAYA YA NJOMBE KUANZA ZIARA YA KUIMARISHA CHAMA NA UMOJA WA VIJANA

Katibu wa Hamasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Njombe, Ndugu Godfrey Tweve, anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya kikazi ndani ya wilaya hiyo kuanzia tarehe 11 hadi 21 Juni 2025. Ziara hiyo inalenga kuimarisha mshikamano wa vijana wa chama pamoja na kuendeleza jitihada za kukijenga chama kwa maslahi mapana ya taifa.

KAZI NA UTU ...................OKTOBATUNATIKI
13/06/2025

KAZI NA UTU ...................
OKTOBATUNATIKI

21/05/2025
KAWAIDA HATUJAMALIZANA📍Njombe tunasema hatujamalizana na Mwenyekiti kesho vijana wanataka walete viazi, Mbao, Ngano na P...
13/04/2025

KAWAIDA HATUJAMALIZANA

📍Njombe tunasema hatujamalizana na Mwenyekiti kesho vijana wanataka walete viazi, Mbao, Ngano na Parachichi umpelekee Mama Dkt Samia Suluhu Hassan
Aongeze Afya kuelekea Oktoba

📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢
Vijana Mje Mje

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa ameendelea na ziara yake katika mkoa wa Njombe, akite...
13/04/2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa ameendelea na ziara yake katika mkoa wa Njombe, akitembelea wilaya za Wanging'ombe na Makete. Ziara hiyo imelenga kukutana na vijana, kusikiliza changamoto zao na kuhamasisha ushiriki wa vijana katika shughuli za maendeleo na siasa.

Katika ziara hiyo, Mwenyekiti ameambatana na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka mkoa wa Njombe, wakiongozwa na viongozi wa UVCCM mkoa na wilaya husika.

Address

577
Njombe

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when UVCCM Wilaya ya Njombe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share