Healing by Faith Page

Healing by Faith Page WE DEALS WITH MEDIA ONLINE

Wafanyakazi wa Kampuni ya Twitter wameanza kupunguzwa kazi kutokana na mpango mpya wa kubana matumizi. Mpango huo umeanz...
05/11/2022

Wafanyakazi wa Kampuni ya Twitter wameanza kupunguzwa kazi kutokana na mpango mpya wa kubana matumizi. Mpango huo umeanza baada ya kampuni hiyo kununuliwa na tajiri namba moja Duniani Elon Musk.

Baadhi ya wafanyakazi waliamka leo asubuhi na kukuta wamefungiwa kuingia kwenye komputa zao za kazi pamoja na kuona barua pepe za kazi, vilevile walijikuta wametolewa kwenye programu kadhaa za kazi.

Wafanyakazi hao walipewa taarifa za kupunguzwa kazi kupitia barua pepe.

Twitter imekuwa na wafanyakazi takribani 7500 ,taarifa zinadai kuwa kati ya hao asilimia 25 hadi 50 wanaweza wakapoteza kazi chini ya mpango huo.

03/11/2022
Msanii wa muziki kutokea Nigeria  amempoteza Mtoto Wake Wa Kiume “Ifeanyi Adeleke” Mtoto wake   amefariki akiwa na umri ...
01/11/2022

Msanii wa muziki kutokea Nigeria amempoteza Mtoto Wake Wa Kiume “Ifeanyi Adeleke”
Mtoto wake amefariki akiwa na umri wa miaka mitatu na kwa mujibu wa taarifa za awali zinasema kuwa Ifeanyi amefariki akiwa kwenye bwawa la kuogelea (Swimming Pool) Siku Chache baaday ya Birthday Yake Oktoba 20 hadi kufariki siku ya Jumatatu Oktoba 31.

Address

Njombe

Telephone

+255755151522

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healing by Faith Page posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Healing by Faith Page:

Share