
15/09/2025
TAARIFA YA KUPOTEA KWA MTOTO 🔴
Tunatoa taarifa kwa umma kuhusu kupotea kwa mtoto wetu mpendwa:
👦 Jina: Andrew Christopher Kamonga
📍 Alipotelea: Kata ya Lugarawa, Wilaya ya Ludewa
📅 Tarehe: 03.09.2025
Licha ya jitihada mbalimbali za kumtafuta, bado hajapatikana. Tunaomba ushirikiano wa wananchi wote kumsaidia kurejea nyumbani salama.
👉 Iwapo utamuona au kuwa na taarifa zozote, tafadhali wasiliana nasi kupitia:
📞 0625 838 000 – Christopher Kamonga (Charles)
📞 0769 392 240 – Fransisco
📞 0693 716 220 – Mtendaji Kata Lugarawa
Au toa taarifa kwenye kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe.
🙏 Tunawaomba msaada wenu na dua zenu ili Andrew apatikane salama.
Taarifa imetolewa na
Ndugu Christopher Charse Kamonga
Wa Ludewa Mjini