Rasilimali Zetu Plus Tv

Rasilimali Zetu Plus Tv Tunatoa maarifa yanayosaidia jamii wa utunzaji wa rasilimali na kutafuta suluhisho zinazohusiana na mazingira. Kauli Mbiu: "Elimu kwa Maendeleo Endelevu"

Lengo letu ni kukuza uelewa wa umma kuhusu matumizi endelevu ya rasilimali na athari za mazingira.

MCHANGO MKUBWA KWA JAMII YA LUDEWA WHATSAPP GROUP WABADILISHA MAISHA GEREZA LA IBIHI NA SHULE YA MAHITAJI MAALUM MUNDIND...
06/01/2026

MCHANGO MKUBWA KWA JAMII YA LUDEWA WHATSAPP GROUP WABADILISHA MAISHA GEREZA LA IBIHI NA SHULE YA MAHITAJI MAALUM MUNDINDI, ZAIDI YA MILIONI 3.2 ZACHANGIWA

Kundi la WhatsApp la โ€œWilaya ya Ludewaโ€ limetumia jumla ya Shilingi Milioni 3.28 kufanikisha sadaka yake ya mwaka 2025, ambapo limekabidhi mabuti ya mvua 160 yenye thamani ya Shilingi Milioni 1.6 kwa wafungwa wa Gereza la Ibihi pamoja na mashine ya kufulia na kukausha nguo yenye thamani ya Shilingi Milioni 1.78 kwa Shule ya Watoto Wenye Ulemavu Mundindi.

Makabidhiano hayo yalifanyika tarehe 5 Januari 2026 kupitia msafara wa wanakikundi, ambapo msaada wa mabuti ya mvua ulikabidhiwa na kupokelewa na Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Ludewa la Ibihi kwa niaba ya uongozi na wafungwa, huku uongozi wa Shule ya Mundindi ukipokea mashine hiyo kwa shukrani kubwa.

Kiongozi wa msafara huo, Bw. Vasco Mgimba, alisema kundi hilo limekuwa na utamaduni wa kutoa sadaka kila mwisho wa mwaka, huku michango ikitolewa na wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya Wilaya ya Ludewa. Alitoa wito kwa wadau wengine na makundi ya kijamii kuiga mfano huo kwa kutoa msaada kwa wahitaji mbalimbali ili kuendelea kuleta faraja na kuunga mkono maendeleo ya jamii.

Kwa mwaka 2025, wanakikundi waliamua kugusa makundi mawili muhimu katika jamii โ€” wafungwa na watoto wenye ulemavu โ€” wakitambua changamoto wanazokutana nazo na umuhimu wa kuwasaidia. Uwakilishi wa kundi ulihusisha wanachama mbalimbali akiwemo Bi. Christer Nyenza pamoja na wajumbe wengine wakiwemo Ally Ponda Shaula, Damian Kunambi na Wise Mgina.

Uongozi wa Gereza la Ibihi pamoja na ule wa Shule ya Watoto Wenye Ulemavu Mundindi waliwashukuru kwa msaada huo, wakisema utaongeza ufanisi katika mazingira ya huduma na maisha ya walengwa.

Aidha, wanakikundi hao walimshukuru kwa dhati Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, Ndugu Sunday Deogratias, kwa ushirikiano wake mkubwa na mchango wake chanya katika kundi hilo, hatua ambayo imekuwa kichocheo cha umoja, mshik**ano na utekelezaji wa shughuli za kijamii zenye manufaa kwa wananchi.

Hatua hii imeendelea kuthibitisha Kundi la WhatsApp la Wilaya ya Ludewa k**a jukwaa linalochochea mshik**ano, huruma na uwajibikaji wa kijamii zaidi

28/12/2025

TUSIWAKATISHE TAMAA wanaleta maendeleo

28/12/2025

TULIME MAZAO YA BIASHARA

28/12/2025

Ludewa washauliwa kulima kilimo cha biashara

18/11/2025

Sauti ya melckion Ndofi enzi za uhau wake ukizungumza Katika halfla ya kuambiana cup Ludewa

18/11/2025

Pumzika salama mdau maendeleo ludewa ulipambana vyema Katika sekta ya michezoo na burudan

12/11/2025

Mwakilishi wa Jimbo la Ludewa Mh.Joseph Kamonga amekula kiapo tayar kwa kuwatumikia Wana Ludewa .kamonga

๐Ÿšจ ๐‚๐€๐… ๐‚๐ก๐š๐ฆ๐ฉ๐ข๐จ๐ง๐ฌ ๐‹๐ž๐š๐ ๐ฎ๐ž ๐๐ซ๐š๐ฐ:๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐€:๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ RS Berkane ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Rivers United๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Power Dynamos ๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al Ahly๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Youn...
03/11/2025

๐Ÿšจ ๐‚๐€๐… ๐‚๐ก๐š๐ฆ๐ฉ๐ข๐จ๐ง๐ฌ ๐‹๐ž๐š๐ ๐ฎ๐ž ๐๐ซ๐š๐ฐ:

๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐€:

๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ RS Berkane
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Rivers United
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Power Dynamos

๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al Ahly
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Young Africans
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ ASFAR
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ JS Kabylie

๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐‚:

๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Mamelodi Sundowns
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Al Hilal
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ MC Alger
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ FC St Eloi Lupopo

๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐ƒ:

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Esperance
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Simba SC
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Petro de Luanda
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Stade Malien

21/10/2025

Kwa niaba

16/10/2025

mgombea Diwani wa kata ya Luana kupitia chama Cha ccm Mh. akiwa katika studio za akizungumza mipango ijayo ya uongozi wake katika kata hiyo .
Pia akiomba kura zake pamoja na madiwani wengine wa ccm bila kusahau kura A Mh.Rais kupitia chama icho

Ujumbe wa Nyerere Day โ€“ 14 Oktoba ๐Ÿ•Š๏ธLeo tunakumbuka maisha, fikra, na mchango mkubwa wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Ka...
14/10/2025

Ujumbe wa Nyerere Day โ€“ 14 Oktoba ๐Ÿ•Š๏ธ

Leo tunakumbuka maisha, fikra, na mchango mkubwa wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere โ€“ kiongozi aliyeweka misingi ya Umoja, Amani, na Maadili ya Taifa letu.

Kwa hekima na maono yake, alitufundisha kuwa:

> "Uongozi ni dhamana, si nafasi ya kujinufaisha."

Katika siku hii ya kihistoria, tunakumbushwa:

Kudumisha amani na mshik**ano tulioachiwa.

Kuweka mbele maslahi ya taifa kuliko ya mtu binafsi.

Kuendeleza juhudi za kupigania haki, usawa na maendeleo ya kweli.

Tujifunze, tuenzi, na tuendeleze maono ya Mwalimu.

๐Ÿ•ฏ๏ธ Mwalimu Nyerere ataendelea kuwa mwanga wa fikra na mshik**ano wa Taifa letu.

13/10/2025

Ujumbe

Address

Ludewa
Njombe

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255755666795

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rasilimali Zetu Plus Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Rasilimali Zetu Plus Tv:

Share