Rasilimali Zetu Plus Tv

Rasilimali Zetu Plus Tv Tunatoa maarifa yanayosaidia jamii wa utunzaji wa rasilimali na kutafuta suluhisho zinazohusiana na mazingira. Kauli Mbiu: "Elimu kwa Maendeleo Endelevu"

Lengo letu ni kukuza uelewa wa umma kuhusu matumizi endelevu ya rasilimali na athari za mazingira.

18/11/2025

Sauti ya melckion Ndofi enzi za uhau wake ukizungumza Katika halfla ya kuambiana cup Ludewa

18/11/2025

Pumzika salama mdau maendeleo ludewa ulipambana vyema Katika sekta ya michezoo na burudan

12/11/2025

Mwakilishi wa Jimbo la Ludewa Mh.Joseph Kamonga amekula kiapo tayar kwa kuwatumikia Wana Ludewa .kamonga

๐Ÿšจ ๐‚๐€๐… ๐‚๐ก๐š๐ฆ๐ฉ๐ข๐จ๐ง๐ฌ ๐‹๐ž๐š๐ ๐ฎ๐ž ๐๐ซ๐š๐ฐ:๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐€:๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ RS Berkane ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Rivers United๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Power Dynamos ๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al Ahly๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Youn...
03/11/2025

๐Ÿšจ ๐‚๐€๐… ๐‚๐ก๐š๐ฆ๐ฉ๐ข๐จ๐ง๐ฌ ๐‹๐ž๐š๐ ๐ฎ๐ž ๐๐ซ๐š๐ฐ:

๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐€:

๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ RS Berkane
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Rivers United
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Power Dynamos

๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al Ahly
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Young Africans
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ ASFAR
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ JS Kabylie

๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐‚:

๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Mamelodi Sundowns
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Al Hilal
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ MC Alger
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ FC St Eloi Lupopo

๐†๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐ƒ:

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Esperance
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Simba SC
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Petro de Luanda
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Stade Malien

21/10/2025

Kwa niaba

16/10/2025

mgombea Diwani wa kata ya Luana kupitia chama Cha ccm Mh. akiwa katika studio za akizungumza mipango ijayo ya uongozi wake katika kata hiyo .
Pia akiomba kura zake pamoja na madiwani wengine wa ccm bila kusahau kura A Mh.Rais kupitia chama icho

Ujumbe wa Nyerere Day โ€“ 14 Oktoba ๐Ÿ•Š๏ธLeo tunakumbuka maisha, fikra, na mchango mkubwa wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Ka...
14/10/2025

Ujumbe wa Nyerere Day โ€“ 14 Oktoba ๐Ÿ•Š๏ธ

Leo tunakumbuka maisha, fikra, na mchango mkubwa wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere โ€“ kiongozi aliyeweka misingi ya Umoja, Amani, na Maadili ya Taifa letu.

Kwa hekima na maono yake, alitufundisha kuwa:

> "Uongozi ni dhamana, si nafasi ya kujinufaisha."

Katika siku hii ya kihistoria, tunakumbushwa:

Kudumisha amani na mshikamano tulioachiwa.

Kuweka mbele maslahi ya taifa kuliko ya mtu binafsi.

Kuendeleza juhudi za kupigania haki, usawa na maendeleo ya kweli.

Tujifunze, tuenzi, na tuendeleze maono ya Mwalimu.

๐Ÿ•ฏ๏ธ Mwalimu Nyerere ataendelea kuwa mwanga wa fikra na mshikamano wa Taifa letu.

13/10/2025

Ujumbe

13/10/2025

TBT

11/10/2025

Kwetu

โœ… TAARIFA MUHIMUNdugu zangu, poleni na majukumu.Tunapenda kuwajulisha kwamba mtoto wetu mpendwa, ANDREW CHRISTOPHER KAMO...
28/09/2025

โœ… TAARIFA MUHIMU

Ndugu zangu, poleni na majukumu.
Tunapenda kuwajulisha kwamba mtoto wetu mpendwa, ANDREW CHRISTOPHER KAMONGA, tayari amepatikana salama.

Familia ya Kamonga inatoa shukrani za dhati kwa ndugu, jamaa, marafiki, viongozi wa eneo la Lugarawa-Ludewa, pamoja na vyombo vyote vya usalama kwa mshikamano, upendo na msaada wenu katika kipindi hiki kigumu.

Mungu awabariki na awazidishie mema.

Mgombea Udiwani wa Kata ya Ludewa Mjini kupitia ACT-Wazalendo, Ndugu Fredric Mhagama, ametoa wito kwa wananchi wa Ludewa...
23/09/2025

Mgombea Udiwani wa Kata ya Ludewa Mjini kupitia ACT-Wazalendo, Ndugu Fredric Mhagama, ametoa wito kwa wananchi wa Ludewa kubadilisha fikra na mtazamo wao kuelekea uchaguzi mkuu.

Mhagama amesema hayo katika mkutano wake katika kitongoji Cha mdonga ludewa pia akisisitiza wakat umefika kwa wananchi wa Ludewa kuangalia sera zenye tija na zenye uwezo wa kuleta maendeleo ya kweli kwa jamii, badala ya kushikilia imani kwamba upinzani ni chachu ya chuki kati ya wananchi na serikali.

โ€œACT-Wazalendo tuna sera madhubuti na zenye mwelekeo wa kuharakisha maendeleo. Tunataka kuona Ludewa inasonga mbele kwa kasi mpya, bila ubaguzi, bila kugawanyika kwa misingi ya vyama,โ€ alisema Mhagama.

Aidha, amewataka wananchi wa Ludewa kutoa ushirikiano na kuiunga mkono ACT-Wazalendo katika nafasi zote za uongozi zinazowaniwa, akisisitiza kuwa chama hicho kimejipanga kusimama bega kwa bega na wananchi katika kuhakikisha huduma bora na maendeleo yanapatikana kwa wote.

โ€œTusibaki nyuma, tusikubali kurudishwa nyuma na siasa za mazoea. Wakati ni huu โ€“ ni wakati wa mabadiliko, ni wakati wa ACT-Wazalendo,โ€ alisisitiza.

Akieleza sera mpya ya Ludewa ya maendeleo ni pamoja na Ludewa ya wote, maslahi ya wote
kwa kasi na kwa wakati,
Chagua Fredrick Alexanda Mhagama

Address

Ludewa
Njombe

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255755666795

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rasilimali Zetu Plus Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Rasilimali Zetu Plus Tv:

Share