Hitra mwalongo

Hitra mwalongo Tanzanian 🇹🇿 politician East Africa. human rights activist Mwana siasa mpenda haki

 : Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya mgawanyo wa rasilimali usio sawa ndani ya Chama c...
28/05/2026

: Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya mgawanyo wa rasilimali usio sawa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baina ya Bara na Zanzibar.

Kesi hiyo ya madai namba 8323 ya mwaka 2025 ilifunguliwa na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chadema, Said Issa Mohamed na wajumbe wawili wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema kutoka Zanzibar, Ahmed Rashid Khamis na Maulida Anna Komu.

Jaji wa Mahakama Kuu, David Ngunyale ameifuta kesi hiyo baada ya kuridhika kuwa hati ya madai ina kasoro kwani haielezi mgogoro huo wa madai ya ukiukwaji wa sheria katika mgawanyo wa rasilimali uliodaiwa na walalamikaji ulianza lini.

wana simba sasa mambo ni 🔥🔥 bora
24/05/2026

wana simba sasa mambo ni 🔥🔥
bora

✈️
18/05/2026

✈️

Tunasonga mbele
18/05/2026

Tunasonga mbele

ARUSHA CHADEMA
08/05/2026

ARUSHA CHADEMA

IRAN: Kamandi kuu ya pamoja ya kijeshi ya Iran inasema kuwa Marekani ilikiuka usitishaji mapigano kwa kulenga meli ya ma...
07/05/2026

IRAN: Kamandi kuu ya pamoja ya kijeshi ya Iran inasema kuwa Marekani ilikiuka usitishaji mapigano kwa kulenga meli ya mafuta ya Iran na meli nyingine, na kuongeza kuwa haitasita kujibu kwa nguvu shambulio lolote,

Shirika la utangazaji la Iran la IRIB, likimnukuu afisa wa kijeshi, linasema jeshi la Iran lilirusha makombora kwa "vite...
07/05/2026

Shirika la utangazaji la Iran la IRIB, likimnukuu afisa wa kijeshi, linasema jeshi la Iran lilirusha makombora kwa "vitengo vya maadui" kufuatia kile afisa huyo alichoeleza kuwa ni shambulio la Marekani kwenye meli ya mafuta ya Iran katika Mlango wa bahari wa Hormuz.

Afisa huyo alisema "vitengo vya adui" vilipata uharibifu na kuondoka eneo hilo

Rais Donald Trump amesisitiza kwamba Marekani 🇺🇸 itaichukua uranium ya Iran 🇮🇷 iliyorutubishwa.Kauli ya Trump imejiri wa...
06/05/2026

Rais Donald Trump amesisitiza kwamba Marekani 🇺🇸 itaichukua uranium ya Iran 🇮🇷 iliyorutubishwa.

Kauli ya Trump imejiri wakati huu nchi hizo zikiendelea kujaribu kuafikia makubaliano ya kukomesha vita Mashariki ya
kati.

Trump amekuwa akirejelea msimamo wake kwamba Tehran haiwezi kuruhusiwa kumiliki silaha za nyuklia.

nyuma mwiko uvumilivu zero 🤣
06/05/2026

nyuma mwiko uvumilivu zero 🤣

Address

Njombe

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hitra mwalongo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share