Kings FM Radio

Kings FM Radio 🔻Tunagusa Kila nyanja unayotamani kuisikia👂89.5-Njombe 🔻www.kingsfm.co.tz Chaugingi Street:
Njombe, Tanzania. http://tunein.com/radio/Kings-FM-1043-s263641/

Chaguo La Watu: Kings FM Radio Inatangaza Kutoka Njombe Tanzania, Ikiwa Na Lengo La Kuiweka Jamii Katika Level Ya Usawa Katika Burudani, Elimu Na Maadili.

 : Matokeo Kura za Wajumbe Ubunge Viti Maaluumu mkoa wa Njombe.1. Balozi Dkt. Pindi Chana - 7002. 2.Rebecca Sanga Nsemwa...
30/07/2025

: Matokeo Kura za Wajumbe Ubunge Viti Maaluumu mkoa wa Njombe.

1. Balozi Dkt. Pindi Chana - 700
2. 2.Rebecca Sanga Nsemwa - 588
3. 3.Neema Mgaya - 263
4. 4.Dkt. Anna Mwalongo - 53
5. 5.Dkt. Scholastika Kivela - 47
6.Tegemea Mbogela - 22 7.Magreth Kyando - 5
7. 8.Tulalumba Mloge - 3

Jumla ya kura zilizopigwa ni 841 , kura moja (1) imeharibika.

📸| Msanii Tikiciara na B Alone wakitumia sanaa ya muziki katika kuhamasisha Wakazi wa Kifanya kupima ardhi na kuwa na ha...
30/07/2025

📸| Msanii Tikiciara na B Alone wakitumia sanaa ya muziki katika kuhamasisha Wakazi wa Kifanya kupima ardhi na kuwa na hati miliki leo Julai 30, 2025 muda mfupi baada ya Uzinduzi wa Kliniki ya Ardhi katika Kata ya Kifanya Halmashauri ya Mji Njombe.

📸| Matukio mbalimbali katika picha uzinduzi wa Kliniki ya Ardhi kata ya Kifanya uliofanyika leo Julai 30, 2025 kwa lengo...
30/07/2025

📸| Matukio mbalimbali katika picha uzinduzi wa Kliniki ya Ardhi kata ya Kifanya uliofanyika leo Julai 30, 2025 kwa lengo la kutoa elimu inayoambatana na upamaji na ugawaji hati kwa Wananchi.

Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi. Kuruthumu Sadick ambapo amesema matarajio ni kuwa na Kliniki ya Ardhi kwa Kata hiyo Siku Tano mfululizo ili Wananchi wapate nafasi ya kuuliza na kujibiwa maswali yao, kupimiwa ardhi na kupata hati.

Kwa Upande wa Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Mji Njombe, Amos Luhamba amesema Kliniki hiyo ni mwendelezo wa kutoa elimu kuhusu upimaji ardhi na faida za kumiliki ardhi kihalali kwa kuwa na hati.

-

Orodha ya Walioteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) katika hatua ya awali kuwania Udiwani katika kata mbalimbali mkoa wa...
30/07/2025

Orodha ya Walioteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) katika hatua ya awali kuwania Udiwani katika kata mbalimbali mkoa wa Njombe.

29/07/2025

KIZAZI CHA SASA KINAPENDA VITU LAINI_____

29/07/2025

Kwenye Hip Hop Tuesday ya Fire Beats hapa Ufalmeni leo Julai 29, 2025 amedondoka Mkali na k**a kawaida salamu yetu huwa ni ‘Kuchanika’.

29/07/2025

Tupate Burudani kidogo 😂

🎥|

29/07/2025

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewateua Wagombea Nane (8) kuwania Ubunge Viti Maalumu mkoa wa Njombe.

Wagombea hao ni Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana, Neema William Mgaya, Rebecca Sanga Nsemwa, Dkt. Scholastica Christian Kevela, Anna Edward Mwalongo, Tegemea Leah Mbogela, Magreth Newton Kyando na Tulalumba Humphrey Mloge.

Majina hayo yametangazwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Amos Makalla leo Julai 29, 2025.

29/07/2025

Katika Jimbo la Lupembe Sita (6) wameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye mchujo wa awali uliofanywa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM - Taifa.

Majina hayo yametangazwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Amos Makalla leo Julai 29, 2025.

29/07/2025

Katika Jimbo la Makete Wagombea Watano (5) wameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye mchujo wa awali uliofanywa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM - Taifa.

Majina hayo yametangazwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Amos Makalla leo Julai 29, 2025.

29/07/2025

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepitisha majina Matano (5) ya Wagombea Jimbo la Wanging’ombe kwenye mchujo wa awali uliofanywa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM - Taifa.

Wagombea hao ni Dkt. Festo Dugange, Enock Token Kiswaga, Eunice Isaack Wilomo, Eliud Tawi Nyauhenga na Malumbo Philip Mangula.

Majina hayo yametangazwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Amos Makalla leo Julai 29, 2025.

Address

Magereza Road, Chaugingi Street
Njombe

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kings FM Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kings FM Radio:

Share

Category