10/05/2026
LIGANGA NA MCHUCHUMA KUONGEZA MEGAWATI 600 ZA UMEME ____
Ni Taarifa ya msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa akitoa Taarifa ya serikali akiwa mkoani Njombe amezungumzia mchango wa mradi wa Liganga na mchuchuma utakapoanza kitekelezwa ndani ya miezi mitatu ijayo.
Msigwa amesema mradi huo utachangia uzalishaji wa umeme wa megawati 600 kutoka Liganga na mchuchuma.