
30/07/2025
: Matokeo Kura za Wajumbe Ubunge Viti Maaluumu mkoa wa Njombe.
1. Balozi Dkt. Pindi Chana - 700
2. 2.Rebecca Sanga Nsemwa - 588
3. 3.Neema Mgaya - 263
4. 4.Dkt. Anna Mwalongo - 53
5. 5.Dkt. Scholastika Kivela - 47
6.Tegemea Mbogela - 22 7.Magreth Kyando - 5
7. 8.Tulalumba Mloge - 3
Jumla ya kura zilizopigwa ni 841 , kura moja (1) imeharibika.