18/04/2018
Wakina Dada Mnaohudumia Saloon za Kiume Punguzeni Kidogo...Wengine Tuna Wake Nyumbani...
Hakika nawaambieni sisi wanaume kwa hizi Barbershop kuzikimbia inataka k**a kuwa ngumu hivi?
Kwanza hawa kina dada wa Saloon za kiume wameteka sana soko then wanapenda sana Tip. Yaani imekuwa k**a lazima kumbe ni hiari ya mtolewa huduma.
Halafu hawa Dada wajanja sana akitaka kukuhudumia mfano scrub anakufungua vishkizo vya juu then anapitisha mikono yake kifuani huku anakuburuzia na kucha zake ndefu kwa Nippon zako aise seriously lazima unyegeke tuu, then anamalizia kwenye masikio then anakuulizia vipi Una- Enjoy?
Huwa wanamikono lainiiiiiii hatari sana akikushika lazima utoe pesa tuu hata 30,000/= walahi. Kuna Barbershop hapo Sinza nilienda nikanyoa fresh baada ya kumaliza kuna huyo Sister akaniuliza unahitaji scrub? Nikakubali akasema twende ndani nimekaa tu kwenye kiti anarembua hatari, kanisugua masikioni, shingoni, akaniambia nitoe shati litachafuka daah nikatoa basi kanisuguaa hadi kifuani huku mmmmh nikaanza k**a kusahau shida, baada ya hapo ananiuliza do u need extra service plz ni nzuri nitakuonesha aisee nilimpa pesa nikakurupuka ndukiii kubwa.
Nawaonea huruma wanawake waliiolewa wanaibiwa sana duuuh jifunzeni kuwafanyia scrub waume zenu nyumbani mnaibiwaa sana huku..
Je ni ya Kweli Hayo?
Comment na SHARE