Kungi online news

Kungi online news please like our page for good information, jocks and sports

15/04/2022
  Aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai, akiwa bungeni hii leo.
13/04/2022

Aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai, akiwa bungeni hii leo.

12/04/2022

Watumishi mpo!!๐Ÿ˜ฌ

12/04/2022

Watumishi mpo??๐Ÿ˜ฌ

Inakadiliwa kufikia mwaka 2025 coin moja ya RENEC itauzwa kwa 100$ na kwa sasa inapatikana  bure kabisa ikiwa tu utajisa...
12/04/2022

Inakadiliwa kufikia mwaka 2025 coin moja ya RENEC itauzwa kwa 100$ na kwa sasa inapatikana bure kabisa ikiwa tu utajisajili kupitia๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ https://remitano.net/renec/tz/join/2828039
Na kudownlod app ya remitano ili uanze ku-main RENEC COIN bure kabisa.

What is renec token of Remitano? Learn to invest in renec project information and how to get free remitano exchange coin? Get free airdrop right away!

SHULE ZA MSINGI KUNAHITAJIKA WALIMU 40,458, WALIOPO 23,881CAG Charles Kichere: Shule za msingi kunahitajika walimu 40,45...
12/04/2022

SHULE ZA MSINGI KUNAHITAJIKA WALIMU 40,458, WALIOPO 23,881

CAG Charles Kichere: Shule za msingi kunahitajika walimu 40,458 lakini waliopo ni 23,881, hivyo kuwa na upungufu wa asilimia 41.

CAG Charles Kichere: Mamlaka za Serikali za Mitaa tano (5) zimewekeza fedha kwenye benki ya biashara yenye mwenendo mbaya na hisa zake zimeshuka.

CAG Charles Kichere: Mamlaka za Serikali za Mitaa 25 zimelipa fedha kwa watumishi waliofariki dunia, waliostaafu na wasiostahiki. Ninapendekeza TAMISEMI izisimamie ipasavyo.

CAG Charles Kichere:Kuna miradi mingi ya RUWASA imechelewa kukamilika na hivyo kuwakosesha huduma wananchi.

CAG Charles Kichere: Miradi ya barabara yenye thamani ya Sh. bilioni 1.9 imetelekezwa na TARURA.

CAG Charles Kichere: Mamlaka za Serikali za Mitaa 24 zimefanya ununuzi wa bidhaa za Sh. bilioni 3.4 nje ya mpango wa ununuzi wa mwaka.

CAG Charles Kichere: Serikali haikutoa Sh. bilioni 4.25 kwa ajili ya ruzuku ya kugharamia Mpango wa Elimu Msingi bila Malipo.

Kungi online news

03/04/2022

Hivi yuko wapi huyu,, maana tunammiss sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ni tafsiri yako kwa hii picha??
03/04/2022

Ni tafsiri yako kwa hii picha??

02/04/2022

Nchi ngumu sana hii!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Anaupiga mwingi sana hadi raha yani ๐Ÿคฃ๐ŸคจKila siku Wananchi Wanalalamika Vitu Vinapanda Bei Rais hajasema Chochote "Who is ...
30/03/2022

Anaupiga mwingi sana hadi raha yani ๐Ÿคฃ๐Ÿคจ

Kila siku Wananchi Wanalalamika Vitu Vinapanda Bei Rais hajasema Chochote "Who is RAIS...?

Urais ni Taasisi kila sekta huko chini iwaambie wananchi kila kinachojiri, Niwaombe wabunge Muwaambie wananchi vita ya Russia na Ukraine imechangia kwa Kiasi kikubwa Bei ya mafuta kupanda na Kutokana na hilo kila kitu kitapanda Bidhaa zote zitapanda" Rais Samia Suluhu
Kungi online news

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
30/03/2022

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

USIYOYAJUA KUHUSU RAIS VLADIMIR PUTIN, HANA MKE HAAMINI MTU Rais wa Russia, Vladimir Putin alizaliwa mwaka wa 1952 huko ...
28/03/2022

USIYOYAJUA KUHUSU RAIS VLADIMIR PUTIN, HANA MKE HAAMINI MTU

Rais wa Russia, Vladimir Putin alizaliwa mwaka wa 1952 huko St. Petersburg (wakati huo ikiitwa Leningrad). Baada ya kuhitimu katika Chuo Kikuu cha Jimbo la Leningrad, Putin alianza taaluma yake katika shirika la kijasusi la Russia (KGB) k**a afisa wa ujasusi mwaka 1975.

Putin alipanda vyeo haraka katika Serikali ya Russia baada ya kujiunga na utawala wa Rais Boris Yeltsin mwaka 1998, na kuwa waziri mkuu mwaka 1999 kabla ya kuwa rais. Putin aliteuliwa tena kuwa waziri mkuu wa Urusi mwaka 2008, na mwaka 2012 alichaguliwa kuwa Rais wa Urusi.

Kufuatia kuanguka kwa Umoja wa Kisovieti mwaka 1991, alistaafu kutoka KGB akiwa na cheo cha kanali, na akarudi Leningrad k**a mfuasi wa Anatoly Sobchak (1937-2000), mwanasiasa huria. Katika uchaguzi wa mwisho k**a Meya wa Leningrad (1991), Putin alikua mkuu wake wa kitengo cha uhusiano wa mambo ya nje na Naibu Meya wa kwanza (1994).

Baada ya kushindwa kwa Sobchak mwaka 1996, Putin alijiuzulu wadhifa wake na kuhamia Moscow. Mwaka 1998 aliteuliwa kuwa Naibu Mkuu wa Usimamizi katika utawala wa Rais wa Boris Yeltsin, akisimamia uhusiano wa Kremlin na Serikali za Mkoa.

Muda mfupi baadaye, aliteuliwa kuwa mkuu wa Usalama wa Shirikisho, ambalo awali lilikuwa ni tawi la iliyokuwa KGB, na Mkuu wa Baraza la Usalama la Yeltsin.

Agosti 1999 Yeltsin alimfukuza Waziri Mkuu, Sergey Stapashin pamoja na Baraza lake la Mawaziri, na kumpandisha cheo Putin kuchukua nafasi yake.

Desemba 1999 Yeltsin alijiuzulu urais, na kumteua Putin kukaimu nafasi yake hadi uchaguzi rasmi ulipofanyika mapema mwaka 2000. Alichaguliwa tena mwaka wa 2004. Aprili 2005 alifanya ziara ya kihistoria nchini Israeli kwa mazungumzo na Waziri Mkuu Ariel Sharon, na hiyo ilikuwa ni ziara ya kwanza kwa kiongozi yeyote wa Kremlin.

Kwa sababu ya ukomo wa muda, Putin alilazimishwa kuacha urais mwaka 2008. Lakini alirudi kuhudumu k**a waziri mkuu wa Dmitry Medvedevhadi 2012 alipochaguliwa tena kuwa Rais wa Urusi.

Rais Vladimir Putin ni jasusi hatari Mtaalamu na mbobezi wa 'counterintelligence'

- Yuko single Hana Mke, aliachana na Mkewe Lyudmila Shkrebneva mwaka 2014 wakiwa na Watoto wawili, Maria na Katerina

Putin ana watoto Wawili, wote ni MABINTI. Binti yake Mkubwa anaitwa Maria(35) ni Daktari Bingwa wa Mifumo ya Homoni kwa watoto (pediatric endocrinologist) na mdogo wake anaitwa Katerina(33) ni Mruka sarakasi (acrobatic dancer).
:
Walikua siri kwa miaka mingi, wamefahamika miaka ya 2010's, Imekuwa k**a desturi ya Majasusi ama Viongozi wengi wakubwa duniani kuficha sana Historia za watoto wao.

- Ni Mtaalamu wa Martial Arts : Anashikilia mkanda mweusi wa Kyokushin. Pia yupo vizuri kwenye Judo na Sambo.

- Ni Rafiki mkubwa wa Roman Abrahmovich, Mmiliki wa klabu ya Chelsea Abrahmovich, ni mmoja ya Watu waliomsaidia Putin kuchukua madaraka Urusi na ni Mmoja Wafadhili wake muhimu.

Putin haamini mtu yeyote linapokuja suala la usalama hata mak**anda na viongozi wake waandamizi akikutana nao hukaa nao mbali mara zote hutumia meza ndefu mno ambayo huwatenga kwa umbali usiopungua mita tano. Huyo ndio Vladimir Putin.

Baada ya kuzidiwa mkakati wa kimapambano ardhini nchini Ukraine vikosi vyake vinarusha makombora ovyo kwenye mashule, hospitali na makazi ya watu na kuua raia wasio na hatia ikiwemo watoto. Anaendelea kukosa uungwaji mkono kitaifa na kimataifa jambo linalohatarisha hatima ya uongozi wake ikiwemo kuwepo tetesi za waandamizi wake kufikiria kumpindua.

Kungi online news

TETESI Kutoka klabu ya Simba.Kocha Pablo franco huenda akafungashiwa virago, endapo atashindwa kuifunga US Gendermarie n...
27/03/2022

TETESI Kutoka klabu ya Simba.
Kocha Pablo franco huenda akafungashiwa virago, endapo atashindwa kuifunga US Gendermarie na kuifikisha klabu hiyo hatua ya Robo fainali ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika.

Hii ni kufuatiwa na alichoambiwa na Bodi ya wakurugenzi wa klabu hiyo kuwa ataondolewa klabuni endapo tu hatoifikisha Simba Robo fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho balani Afrika

Ikumbukwe awali wakati Pablo anasaini Kandarasi na Mabingwa hao watetezi wa Ligikuu Tanzania bara ilikuwa ni Kuifikisha Simba Nusu fainali ya Klabu bingwa Afrika,kitu ambacho hajatimiza pia.

Ameandika Farhan Kihamu  Katika transformation kubwa ambayo Simba wameifanya kwa misimu mitatu nyuma ni eneo la usajili ...
27/03/2022

Ameandika Farhan Kihamu

Katika transformation kubwa ambayo Simba wameifanya kwa misimu mitatu nyuma ni eneo la usajili na uhamisho wa wachezaji, eneo wamejifunza vingi

Afrika Mashariki hii timu nyingi zinafanya sajili za kujuana, za kishkaji na kwenda mbali zaidi zina mikono ya watu ndani ya system ya timu (SYSTEMIC REGISTRATION)

Sajili hizo mara nyingi haziendi kutibu shida ya timu bali kutibu matatizo kwenye mifuko ya watu, kupitia 10% ndio maana sajili nyingi za kimataifa zilikuwa zinafeli sana nchini, Simba ikiwemo

Hakuna njia iliyosalia ya kubadili upepo zaidi ya kukubali kujifunza, kupata EE BALANCE yaan Exposure na Experience, ndipo CEO alipopaswa kusafiri kufahamu wenzao wanafanyaje

Alifika Al Ahly pale Misri, TP Mazembe (alipata kuonana na Viongozi) pamoja na Mamelodi Sundowns, yote hii ni miamba Afrika ambayo imebobea kwenye biashara za wachezaji

Katika darasa kubwa alilopata CEO ni networking, kati ya Klabu na AGENCIES (Mawakala) ambao wapo kwenye mfumo wa Kampuni, yes ndio njia rahisi zaidi ya kupata wachezaji wazuri kwa gharama nzuri kisha kufanya biashara kubwa

Simba kupitia Agencies wakapata faida ya kuwa na Scouts zaidi ya 62 Afrika nzima, ni rahisi wao kumpata Sakho mwingine kutoka Bambali, Peter Banda mwingine kutoka Lilongwe au Kanoute mwingine kutoka Mali

Hii biashara ni WIN WIN, kwakuwa walichowin Simba ni kuwa na uwanja mzuri wa mazungumzo kabla ya biashara (PHATIC FUNCTION PER BUSINESS) ndio urahisi huu walimpata Peter Banda mbele ya Sherrif Tiraspol

Wamejifunza kitu, hata ukitazama sajili zao za kimataifa msimu huu, watoto wengi wana misimu zaidi ya nane mbele na biashara kubwa mbele, zoezi kubwa walilosalia nalo ni dirisha la ndani, kuna sehemu padogo pana shida, JE NI WAPI HAPO?

Lets end here, but tomorrow we shall continue tackling some more problems concerning this case ๐Ÿ™ ITAENDELEA

VISIT MOROGORO ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kwa msisitizo kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin "hatakiwi kubaki madarakani" kau...
27/03/2022

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kwa msisitizo kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin "hatakiwi kubaki madarakani" kauli ambayo baadae Ikulu ya White House imesema haikuwa imeandikwa kwenye hotuba yake.

"Kwa ajili ya Mungu, Mtu huyu hawezi kubaki madarakani" alisema Biden wakati wa kuhitimisha ziara yake ya Ulaya akiwa kwenye Jumba la Kifalme huko Warsaw, Poland.

"Hoja ya Rais ilikuwa kwamba Putin hawezi kuruhusiwa kutumia mamlaka juu ya majirani zake au eneo, Rais Biden hakuwa akijadili uwezo wa Putin ndani ya Nchi yake ya Urusi au mabadiliko ya Serikali, mstari aliosema Putin hawezi kubaki madarakani haukuwepo kwenye hotuba yake iliyotayarishwa na kuandikwa" amesema Afisa mmoja wa Ikulu ya White House ambapo pia Maafisa wengine wa Marekani walisema hapo awali kwamba kumuondoa Putin madarakani halikuwa lengo lao.

"Kwetu sisi sio kuhusu mabadiliko ya Serikali, Watu wa Urusi wanapaswa kuamua ni nani wanataka awaongoze" alisema Waziri wa Mambo ya Nje Antony Blinken.

Msemaji wa Serikali ya Urusi amesema kauli hii ya Biden sio sahihi kwani maamuzi ya Putin kubaki madarakani yanapaswa kufanywa na Watu wa Russia.

HADI SASA NI KUNDI D PEKEE NDILO AMBALO HALINA TIMU ILIYOFUZU KUCHEZA ROBO FAINAL YA CONFEDERATION CUP!Group A๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ Ahli Tr...
22/03/2022

HADI SASA NI KUNDI D PEKEE NDILO AMBALO HALINA TIMU ILIYOFUZU KUCHEZA ROBO FAINAL YA CONFEDERATION CUP!

Group A
๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ Ahli Tripoli 12ptsโœ…
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids 10ptsโœ…
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ CS Sfaxien 4pts*
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Zanaco 3pts*

Group B
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Orlando Pirates 12ptsโœ…
๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ Al-Ittihad Tripoli 10pts
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ JS Saoura 7pts
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ Royal Leopards 0pt*

Group C
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al-Masry 10ptsโœ…
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ TP Mazembe 8ptsโœ…
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ AS Otoho 5pts*
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ Coton Sport 3pts*

Group D
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ ASEC Mimosas 9pts
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ RS Berkane 7pts
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Simba 7pts
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ช USGN 5pts

20/03/2022

Kinachoendelea Ukraine ni kichapo kwa Russia sasa.

20/03/2022

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Address

Songea
Ruvu
1024

Telephone

+255763511516

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kungi online news posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share