Rj News

Rj News KWA MATANGAZO YA BIASHARA , MUSIC PROMO 'PAGE PROMOTION TUCHEKI DM ORπŸ‘‡πŸ‘‡

WhatsApp number 0620621787
(2)

Anauliza Roma 😁
23/08/2025

Anauliza Roma 😁

Moja kati yangoma kali na Ambazo zimehit na zinaendelea kuhit  ndani ya Huu Mwaka 2025  ni Ngoma Ya Harmonize inaitwa FU...
10/08/2025

Moja kati yangoma kali na Ambazo zimehit na zinaendelea kuhit ndani ya Huu Mwaka 2025 ni Ngoma Ya Harmonize inaitwa FURAHA Na Ngoma ya Mwanamuzik Mbosso ZOTE NI KALI JE ? KWA upande wako hadi SASA unahisi ni UPI unafaa kuwa wimbo Bora ....?

Asalam alykum Ndugu zangu Nyumba Banda inauzwa  location   ZANZIBAR KWA KICHUPA Nyumba inavyumba 3 Kimoja master , Ukumb...
05/08/2025

Asalam alykum Ndugu zangu Nyumba Banda inauzwa location ZANZIBAR KWA KICHUPA Nyumba inavyumba 3
Kimoja master , Ukumbi Jiko, choo cha public 1 kenop 2 ,Huduma Zote za kijami zipo fitting Zote za Umeme Zote Tayari , Umbali kutoka kwenye Nyumba hadi ilipo Barbara ya Lami Kutembea Dk 3 Usafir Dk 1 . Kwa Mahitaji
Wasiliana +255620621787
Whatsapp 0620621787 KARIBUNI

 :  Mwanamuzik wa Bongofleva Mbosso Ambaye KWA Sasa anafanya vizur na ngoma yake ya   kupitia ukurasa wake wa instagram ...
05/08/2025

: Mwanamuzik wa Bongofleva Mbosso Ambaye KWA Sasa anafanya vizur na ngoma yake ya kupitia ukurasa wake wa instagram Ameandika maelezo haha
"Msani namba moja Kwa sasa kwenye Digital platform hadi Mtaani na Mawe yote ya Ep Yanalia..

Wimbo Namba 1 kwa sasa na ndio wimbo unapendwa Mno kati ya nyimbo zote zilizotoka Mwaka Huu" Mtaani hadi speed ya namba zake kwenye Digital platform Zote na ndio huo Unaelekea kuwa Wimbo bora wa Mwaka
EP/Album Bora KWA sasa kwenye Digital platform hadi Mtaani ni Number 3
K**a Kuna mtu Anabisha Mwambie Kuny Mbosso AtazoaπŸ˜…
✍️✍️ Ameandika Msani Mbosso je Unakubaliana Naye......?

  πŸ“·πŸ“· Last Born wa TAIFA Dogo patten Unakipi  cha KUMSHAURI Kuusu Mziki wake ....????
28/07/2025

πŸ“·πŸ“· Last Born wa TAIFA Dogo patten Unakipi cha KUMSHAURI Kuusu Mziki wake ....????

  Staa wa Bongofleva Juma JUX Ameshea picha akiwa na Mpenzi Tumbo wazi πŸ“· ikionesha ni ujauzito  Ishara inayonesha wanata...
28/07/2025

Staa wa Bongofleva Juma JUX Ameshea picha akiwa na Mpenzi Tumbo wazi πŸ“· ikionesha ni ujauzito Ishara inayonesha wanatajia kupata MTOTO Hivi karibuni

 :Staa wa Muziki wa Bongofleva  Ametangaza kukamilika Kwa Album yake itwayo 31 Ambayo anatarajia kuiachia hivi karibuni ...
23/07/2025

:Staa wa Muziki wa Bongofleva Ametangaza kukamilika Kwa Album yake itwayo 31 Ambayo anatarajia kuiachia hivi karibuni Aidhaa Msani huyo Amesema kuwa Album hiyo Itakuwa na Hadhi ya kuchukuwa Tuzo hiyo ya Grammy kwasabb ina kila vigezo kutokana na Mikwaju iliyomo ndani ya Album hiyo.
Ikumbukwe Harmonize Alishawahi kusema Kuwa Mwaka 2025 atakuwa Msani wa kwanza Tanzania kuileta Tuzo ya Grammy.

πŸ“ΈπŸ“Έ Mfalme wa Bongofleva Alikiba Pamoja na Msani Mwenzake Nandy African princess
18/07/2025

πŸ“ΈπŸ“Έ Mfalme wa Bongofleva Alikiba Pamoja na Msani Mwenzake Nandy African princess

Umeshamtambua ni Msani gani huyu ...?
16/07/2025

Umeshamtambua ni Msani gani huyu ...?

17/12/2024

Nyumba inauzwa Tsh.45,000000 Arubani na Tano Ina vyumba 4 vitatu master Publick choo 1 Mikumbi 2 Majiko mawil ndani na nje Nyumba ina Fensi
Location Kwarara kwangurangwa
Tell:0620621786

Nyumbaina  inauzwa Kwarara KWANGURANGWA Zanzbar Nyumba ipo karibu na barabara ni dakik 5 kufka kituo cha dalala kw kutem...
16/12/2024

Nyumbaina inauzwa Kwarara KWANGURANGWA Zanzbar Nyumba ipo karibu na barabara ni dakik 5 kufka kituo cha dalala kw kutembea kwa miguu usafiri unafika had chini ya nyumba
Sifa za nyumba
Inavyumba 4 vitatu master
Ina majiko 2 ndani na nje
Public choo 1
Store 1
Mikumbi 2
Ina fensi
Bei Million 45000000 Milion Arobani na tano Mawasiliano 0620621787 call or whatsap

πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚
21/10/2024

πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚

Address

Zanzibar
Same

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rj News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Rj News:

Share