06/08/2023
Ziwezi kurusha live kwa sasa labda k**a zitakuwa interview za wasemaji au mikutona live kwanini sitoweza kurusha live kutokana hata nikirusha live Azam wataishusha tu kutokana na hivyo bc nitajitahidi angalau kuleta highlights za mechi so naombeni radhi kutokana na sababu hizo