Jambo FM Tanzania

Jambo FM Tanzania The official page for Jambo FM Radio

Ukurasa rasmi wa Jambo FM Radio


📻 92.7 Shinyanga
(1)

Klabu ya Pamba Jiji, ya jijini Mwanza leo tarehe 30 Julai, 2025 kupitia taarifa yao iliyocahpushwa kwenye kurasa zao za ...
30/07/2025

Klabu ya Pamba Jiji, ya jijini Mwanza leo tarehe 30 Julai, 2025 kupitia taarifa yao iliyocahpushwa kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii imemtangaza Francis Baraza k**a kocha wake mkuu kwa msimu ujao ikiwa ni siku chache tangu timu hiyo itemane n la aliyekuwa kocha wake msimu wa 2024/2025, Mwalimu Fredy Felix Minziro.

"Pamba imepata bahati ya kuwa na kocha wa mpira wa miguu, zipo timu zinaleta watalii, ligi itakapoanza tutakuja tuulizane kwa nini sisi tulileta kocha wa mpira na wengine wanaleta watalii" - Moses William, Msemaji wa klabu ya Pamba Jiji akizungumza na wanahabari leo.



Baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, na kupitisha majina ya wanachama wake w...
29/07/2025

Baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, na kupitisha majina ya wanachama wake walioomba kupendekezwa kuwania nafasi za ubunge, yapo majina ya wanasiasa wakubwa ambao wqmetupwa nje ya mchakato na majina yao hayajarudi.

Hawa ni baadhi ya wanasiasa maarufu waliozua gumzo mitandaoni kufuatia majina yao kutoonekana kati ya wale walioteuliwa na k**ati kuu ya chama hicho, licha ya kwamba walikuwa wakitetea nafasi zao kwenye majimbo yao.

Picha za matukio mbalimbali yanayojiri hapa kwenye viwanja vya Leaders Club katika mapambano ya   yanayodhaminiwa na    ...
27/07/2025

Picha za matukio mbalimbali yanayojiri hapa kwenye viwanja vya Leaders Club katika mapambano ya yanayodhaminiwa na

Picha za matukio mbalimbali yanayojiri hapa kwenye viwanja vya Leaders Club katika mapambano ya   yanayodhaminiwa na 📸  ...
26/07/2025

Picha za matukio mbalimbali yanayojiri hapa kwenye viwanja vya Leaders Club katika mapambano ya yanayodhaminiwa na

📸

Picha Za Matukio Mbalimbali Katika Zoezi La Mabondia Kupima Uzito Na Kuonana Ana Kwa Ana Leo Kwenye Viwanja Vya Leaders ...
25/07/2025

Picha Za Matukio Mbalimbali Katika Zoezi La Mabondia Kupima Uzito Na Kuonana Ana Kwa Ana Leo Kwenye Viwanja Vya Leaders Club Kinondoni Jijini Dar es Salaam Kuelekea Pambano La Dar Boxing Derby Linalopewa Nguvu Kubwa Na Bidhaa Za Jambo Group.

Address

P. O. BOX 71
Shinyanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jambo FM Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jambo FM Tanzania:

Share

Category