Dreams Tz

Dreams Tz Telling untold stories, opinions, innovation, news and trending topics, seven days a week.
(2)

FC Barcelona ni mabingwa wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga)FC Barcelona imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga) kwa m...
11/05/2026

FC Barcelona ni mabingwa wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga)

FC Barcelona imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga) kwa mara ya pili mfululizo kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu wao wakubwa, Real Madrid kwenye mchezo wa El Clasico katika dimba la Nou Camp. Barca imetwaa ubingwa huo kwa mara ya 29 kihistoria kwa namna ya kipekee kwani imetwaa ubingwa huo baada ya kuwafunga mahasimu wao hao na ni kwa mara ya kwanza bingwa wa Laliga amepatikana kwenye mchezo wa El Clasico. FT: Barcelona 2-0 Real Madrid⚽ 09' Rashford ⚽ 18' Torres

FC Barcelona imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga) kwa mara ya pili mfululizo kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu wao wakubwa, Real Madrid

Tanzania yafuzu kombe la dunia 2026Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 (Tanzanite Queens) imefuzu Kombe la Dunia...
11/05/2026

Tanzania yafuzu kombe la dunia 2026

Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 (Tanzanite Queens) imefuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, kwa faida ya goli la ugenini. Katika mchezo wa kwanza nchini Cameroon mchezo ulimalizika kwa Tanzania kufungwa 3-1, na katika mchezo wa marudiano imeshinda 2-0.

Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 (Tanzanite Queens) imefuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, kwa faida ya goli la ugenini.

Hans Flick: mama alinipigia simu na kuniambia, baba amefariki dunia.Hansi Flick: “Nitawaambia jambo… si jambo la kawaida...
11/05/2026

Hans Flick: mama alinipigia simu na kuniambia, baba amefariki dunia.

Hansi Flick: “Nitawaambia jambo… si jambo la kawaida, ni zito sana.” “Asubuhi hii mama yangu alinipigia simu na kuniambia kuwa baba yangu amefariki dunia.” “Nilikuwa najiuliza k**a niwaambie wachezaji au la. Lakini wao ni k**a familia yangu, hivyo niliwaambia.” “Sitawasahau walichokifanya baada ya hapo. Kilikuwa kitu cha ajabu sana. Sitakisahau maisha yangu yote.” “Nina furaha na fahari kubwa kwa kila mmoja. Kila mchezaji, kila mtu wa benchi la ufundi, kila mtu ndani ya klabu. Kwangu mimi, hii ni familia ya kweli.”

Hansi Flick: “Nitawaambia jambo… si jambo la kawaida, ni zito sana.”

Simba sc wajivunia Mafanikio ya Timu baada ya kufuta uteja na yanga scANAANDIKA MENEJA HABARI NA MAWASILIANO WA KLABU YA...
04/05/2026

Simba sc wajivunia Mafanikio ya Timu baada ya kufuta uteja na yanga sc

ANAANDIKA MENEJA HABARI NA MAWASILIANO WA KLABU YA SIMBA - AHMED ALLY "....Hii ndio timu tunayotakiwa kujivunia, Timu ambayo imetutoa kwenye unyonge, imetutoa kwenye uteja na imeturejeshea heshima yetu na ukubwa wetu Kutoka kwenye kufungwa mfululizo, Sasa hivi mpinzani anafurahia sare Tumefanikiwa kuifanya Yanga kuwa k**a Dodoma Jiji au Mtibwa ambazo hua zinashangalia sare dhidi ya Simba Tumeshaondoa unyonge kilichobaki na kusimika ufalme na utawala wetu na hili haliko mbali Wana Simba Kitu cha uhakika mpaka sasa ni kwamba Yanga hawana uwezo wa kutufunga kilichobaki ni Simba kuifunga Yanga.."

ANAANDIKA MENEJA HABARI NA MAWASILIANO WA KLABU YA SIMBA - AHMED ALLY

ISRAH PATRICK MWENDA – awaomba msamaha mashabiki Wa Klabu Ya Yanga> Sikua na siku nzuri kazini nimekosea na kuigharimu T...
04/05/2026

ISRAH PATRICK MWENDA – awaomba msamaha mashabiki Wa Klabu Ya Yanga

> Sikua na siku nzuri kazini nimekosea na kuigharimu TEAM nimewaangusha wachezaji wenzangu na mashabiki hakunakisingizio na ntawajibika na kupokea lawama zote kwa mchezo wa leo. Wananchi hamkustaili kuona juhudi zenu na sapoti zikiishia bila furaha. > Nimejifunza kwa makosa na ntapambana zaidi kurudi nikiwa bora kuliko leo.

> Sikua na siku nzuri kazini nimekosea na kuigharimu TEAM nimewaangusha wachezaji wenzangu na mashabiki hakunakisingizio na ntawajibika na kupokea lawama

AS FAR have officially written to CAF to protest the referee Jean-Jacques Ngambo Ndala against Mamelodi Sundowns.AS FAR ...
04/05/2026

AS FAR have officially written to CAF to protest the referee Jean-Jacques Ngambo Ndala against Mamelodi Sundowns.

AS FAR have officially written to CAF to protest the appointment of referee Jean-Jacques Ngambo Ndala for their CAF Champions League final first leg against Mamelodi Sundowns on May 17. Key concerns: - Ndala’s controversial performance in the AFCON final between Morocco and Senegal - His exclusion from the 2026 FIFA World Cup referees list - Lack of balance in officiating appointments (same-nationality referees for first leg vs mixed team for second leg) The club is calling for fairness, neutrality, and equal conditions in the final.

AS FAR have officially written to CAF to protest the appointment of referee Jean-Jacques Ngambo Ndala for their CAF Champions League final first leg against

04/05/2026

The Board of Directors of Wydad Athletic Club resign

The Board of Directors of Wydad Athletic Club announces its resignation, to take effect during the upcoming ordinary electoral General Assembly, out of respect for responsibility and current obligations. The Board also announces the opening of membership registration for the 2026/2027 sporting season, from May 5, 2026 to June 5, 2026, in accordance with the club’s internal rules and regulations. Additionally, the club confirms the opening of applications for candidates wishing to run for the presidency of Wydad Athletic Club, from June 5, 2026 to June 20, 2026, in preparation for the ordinary electoral General Assembly.

The Board of Directors of Wydad Athletic Club announces its resignation, to take effect during the upcoming ordinary electoral General Assembly, out of

03/05/2026

Mechi tano za mwisho za Kariakoo Derby katika Ligi Kuu ya Nbc

Yanga 5️⃣ ➖ 1️⃣ SimbaSimba 1️⃣ ➖ 2️⃣ YangaSimba 0️⃣ ➖ 1️⃣ YangaYanga 2️⃣ ➖ 0️⃣ SimbaYanga 0️⃣ ➖ 0️⃣ Simba Mara ya mwisho kwa Simba kuifunga Yanga ni Aprili 16, 2023 waliposhinda mabao 2-0

Yanga 5️⃣ ➖ 1️⃣ SimbaSimba 1️⃣ ➖ 2️⃣ YangaSimba 0️⃣ ➖ 1️⃣ YangaYanga 2️⃣ ➖ 0️⃣ SimbaYanga 0️⃣ ➖ 0️⃣ Simba

02/05/2026

Zanzibar: mshahara kwa waajiriwa wapanda kutoka laki tatu hadi laki tano

Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko hilo leo Mei Mosi, 2026, katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Viwanja vya Maonesho ya Kilimo Kizimbani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Amesema kiwango hicho kipya cha mshahara kitaanza kutumika Januari 2027 na kueleza kuwa hatua hiyo imezingatia hali ya uchumi wa nchi, gharama za maisha na kuwapatia motisha Wafanyakazi ili watekeleze majukumu yao kwa ufanisi.

Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko hilo leo Mei Mosi, 2026, katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika

Mchezaji Nathaniel chilambo kujiunga na Simba sc✅Klabu ya Simba SC Tanzania 🇹🇿imefikia makubaliano na beki wa kulia wa A...
02/05/2026

Mchezaji Nathaniel chilambo kujiunga na Simba sc

✅Klabu ya Simba SC Tanzania 🇹🇿imefikia makubaliano na beki wa kulia wa Azam FC Nathaniel Chilambo✅ Chilambo ambaye anamaliza mkataba wake na Azma Fc mwishoni mwa msimu huu, Tayari amesaini Pre - Contract ya misimu miwili na Simba Huyu ni mnyama mpya unyamani🔴⚪💰🇹🇿🔐

✅Klabu ya Simba SC Tanzania 🇹🇿imefikia makubaliano na beki wa kulia wa Azam FC  Nathaniel Chilambo✅

Ipswich Town wamepanda daraja kwenda Premier League!🚨 𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜: Ipswich Town wamepandishwa daraja kwenda Premier League! 😲B...
02/05/2026

Ipswich Town wamepanda daraja kwenda Premier League!

🚨 𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜: Ipswich Town wamepandishwa daraja kwenda Premier League! 😲Baada ya Ipswich Town kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya QPR FC Leo sasa wanaunga na Coventry City kupanda Ligi kuu Uingereza Premier League msimu ujao

🚨 𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜: Ipswich Town wamepandishwa daraja kwenda Premier League!

Address

Singida

Telephone

+255786013219

Website

Https://wwe.youtube.com/@dreams_tz

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dreams Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dreams Tz:

Share