Dreams Tz

Dreams Tz Telling untold stories, opinions, innovation, news and trending topics, seven days a week.
(2)

Mlinzi wa kati wa Simba SC Abdulrazack Hamza amekamilisha matibabu ya upasuaji wa goti uliofanyika nchini Morocco.Nyota ...
09/12/2025

Mlinzi wa kati wa Simba SC Abdulrazack Hamza amekamilisha matibabu ya upasuaji wa goti uliofanyika nchini Morocco.

Nyota huyo aliyefanya vyema msimu uliopita akiwa na kikosi hicho alikuwa na jeraha hilo alilocheza nalo kwa muda mrefu.

Hamza amefanyiwa upasuaji huo Disemba mosi mwaka huu kufuatia kupata majeraha katika mchezo wa Ngao ya Jamii uliofanyika Septemba 16 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Upasuaji huo umefanyika katika Kliniki ya Zerktouni ambayo pia mlinda mlango wa Simba SC, Moussa Camara alifanyiwa upasuaji wake hapo mwezi uliopita.

Sasa ni rasmi mlinzi huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi nane kuendelea kuuguza jeraha hilo.

Orodha ya wachezaji 28 wa Taifa Stars watakaoiwakilisha Tanzania katika michuano ya AFCON 2025 nchini Morocco ni hii hap...
09/12/2025

Orodha ya wachezaji 28 wa Taifa Stars watakaoiwakilisha Tanzania katika michuano ya AFCON 2025 nchini Morocco ni hii hapa.

Taifa Stars ipo chini ya Kocha Miguel Gamondi, na ipo Kundi ‘C’ linalojumuisha nchi za Uganda, Nigeria na Tunisia.

Michuano hiyo ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), itakayofanyika Morocco kuanzia Desemba 21 hadi Januari 2026.

09/12/2025

Taarifa ya jeshi la polisi

09/12/2025

hahaha � teknolojia kubwa Sana hapa

09/12/2025

ila vibonge

"Kheri ya Miaka 64 ya Uhuru wa nchi yetu. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa hatua hii kubwa. Tunapoadhimisha siku ...
09/12/2025

"Kheri ya Miaka 64 ya Uhuru wa nchi yetu. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa hatua hii kubwa. Tunapoadhimisha siku hii muhimu, tukumbushane umuhimu wa kuendelea kulinda tunu za Taifa letu za amani, umoja na mshikamano. Tunu hizi ndizo msingi wa mafanikio ya safari yetu ambayo ni mfano wa kipekee Afrika na dunia kwa ujumla.

Matunda ya Uhuru wetu yanaendelea kudhihirika katika uwezo wetu wa kuamua, kupanga na kutekeleza mipango yenye manufaa kwa wananchi na yenye kulinda maslahi ya Taifa letu. Haya ndiyo matunda ambayo waasisi wa Taifa letu waliyapigania na ambayo daima tutayalinda.

Tuufurahie, tujivunie, tuulinde na tuuthamini Uhuru wetu. Mungu Ibariki Tanzania." - Rais Samia Suluhu

08/12/2025

Viongozi wa simba sc wakimbia mahojiano

08/12/2025

Wamefungwa wanaimba embe dodo

*Ligi Kuu Ya NBC 2025/2026* ➡️ Mchezo Umemalizika Simba SC 🦁3⃣Mbeya City FC 🟣0⃣⚽ Morice⚽ Sowah⚽ Bajaber                 ...
04/12/2025

*Ligi Kuu Ya NBC 2025/2026*

➡️ Mchezo Umemalizika

Simba SC 🦁3⃣
Mbeya City FC 🟣0⃣

⚽ Morice
⚽ Sowah
⚽ Bajaber

Yanga SC imepata ushindi wa 2-0 leo dhidi ya Fountain Gate FC, magoli yakifungwa Dube dakika ya 29 kwa mkwaju wa penati ...
04/12/2025

Yanga SC imepata ushindi wa 2-0 leo dhidi ya Fountain Gate FC, magoli yakifungwa Dube dakika ya 29 kwa mkwaju wa penati na Pacome Zouzoua dakika ya 81 ya mchezo.

*Matokeo Ya Mechi Za Jana Ligi Mbalimbali Duniani 🌍* CAF Champions League • AS FAR 🇲🇦 1-1 Al Ahly 🇪🇬• MC Alger🇩🇿 0-0 Mam...
29/11/2025

*Matokeo Ya Mechi Za Jana Ligi Mbalimbali Duniani 🌍*

CAF Champions League
• AS FAR 🇲🇦 1-1 Al Ahly 🇪🇬
• MC Alger🇩🇿 0-0 Mamelod Sundowns 🇿🇦
• JS Kabylie🇩🇿 0-0 Young Africans🇹🇿
• Rivers United🇳🇬 1-2 RS Berkane 🇲🇦

CAF Confederation Cup
• Zesco United🇿🇲 2-3 Al Masry 🇪🇬
• Azam FC 🇹🇿 0-1 Wydad🇲🇦
• Olympic Safi🇲🇦 0-1 USM Alger 🇩🇿

Tanzania Premier league 🇹🇿
• Mashujaa FC 0-0 Dodoma Jiji

South Africa Premiership 🇿🇦
• Richard Bay 2-0 Amazulu

“Ni mchezo wa pili katika hili kundi gumu zaidi, tumefanikiwa kupata pointi 3 za kwanza nyumbani na kesho tuna mechi nyi...
27/11/2025

“Ni mchezo wa pili katika hili kundi gumu zaidi, tumefanikiwa kupata pointi 3 za kwanza nyumbani na kesho tuna mechi nyingine ngumu hapa dhidi ya JS Kabylie.

“Ni mpinzani mgumu sana na ana nguvu kubwa ya mashabiki. Hii ni mara yangu ya nne nakuja hapa Algeria kuwaona JS Kabilie. Ni Klabu yenye hamasa na mashabiki wengi sana”

“Kwetu Yanga ni mazingira mazuri kuwepo hapa, kucheza dhidi ya Klabu mbele mbele ya mashabiki wengi pia uwanjani, tumekuja kupambana kupata pointi 3 hapa na sio kitu kingine.”

“Tunakwenda kucheza na mpinzani tofauti na yule tuliokutana nae kwenye mchezo wa kwanza.

Mwananchi panga kikosi chako cha ushindi cha mchezo wa kesho dhiid ya JS Kabylie

Address

Singida

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dreams Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dreams Tz:

Share