WeListen

WeListen public figure

Fongokaaaaa fongokaaaaa fongokaaaaaAcheaaaaa acheaaaaa acheaaaaaKwa jena la yeeeesoooo,Kela uchawe AcheaaaaKela oshereke...
18/04/2023

Fongokaaaaa fongokaaaaa fongokaaaaa
Acheaaaaa acheaaaaa acheaaaaa
Kwa jena la yeeeesoooo,Kela uchawe Acheaaaa
Kela osherekena Vonjeka,Kela vefongo vya kepepoo Acheaaaaa,Kela ngovo za geza acheaaaaaaaaaa,Kela vefongo vya keshetane acheaaaaaaaaa,Raababa sakaaaaa Pokea Ozema na MBENGO ZETAFONGOKA πŸ‘‡

Fongokaaaaaaa

πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
09/04/2023

πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯

MCHONGO WA PESA "Kodi Fremu Eneo Lenye Msongamano Wa watu  Kwa Laki tatu miezi Mitatu. Nunua Mzani na Friza Jumla Laki n...
14/03/2023

MCHONGO WA PESA

"Kodi Fremu Eneo Lenye Msongamano Wa watu Kwa Laki tatu miezi Mitatu. Nunua Mzani na Friza Jumla Laki nne Vyote. Nenda Dodoma Ndani Ndani Nunua Ngo'mbe mkubwa wa kilo 300 kwa Tsh Laki nne na Nusu . Chinja Kisha lete Mjini Nauli 30000/= Tafuta Kijana mwenye uchungu na Maisha Mpe 40000 Kila Mzigo ukiisha. Baada Ya Mzigo Kuisha Utatengeneza Milioni 2 na Laki 4 . Ukitoa Gharama K**a Pesa ya Afisa Mifugo sabuni ushuru Umeme Maji Ni Laki mbili Utabaki na Milioni Mbili na Laki Mbili Kisha Toa Laki nne Na Nusu Ya Mtaji Na Elfu 30 Ya Usafiri Utabaki na Faida ya Milioni Moja Laki Saba na Ishirini. 1720000/= Fanya Hivyo Mara Kumi Kwa Mwezi Utatengeneza Milioni Kumi na Saba. Nina Experience na Hii Kitu. Nyama ina Pesa

Cc Alex Mandax

Follow ukurasa wetu wa Instagram πŸ‘‡

https://www.instagram.com/mudumohtz


Wakiiona motivation speaker timeshareπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Wanawake wa dar hawana adabu kabisa 😏😏😏😏
14/03/2023

Wanawake wa dar hawana adabu kabisa 😏😏😏😏

Mwambie anipigie ni mimi mama yake!!mwambie sina simu ila nimeona picha zake kwenye simu ya kupalaza ya khamisi/mwambie ...
25/12/2022

Mwambie anipigie ni mimi mama yake!!mwambie sina simu ila nimeona picha zake kwenye simu ya kupalaza ya khamisi/mwambie amenenepa sana ..mwambie nimeona gari lake ni zuri sana !!ila mwambie mama yake bado naishi kwenye lile banda pamoja na kuku/mwambie nimeumwa sana ila nikapona bila hata kutumia dawa/mwambie mzee juma bado ananidai pesa zake nilizokopa ili nimlipie ada amechukua kile kishamba nilichokuwa nakitegemea kufidia deni lake/mwambie mimi mama yake nimebaki pekee yangu tangu baba yake afariki sina hata wa kunisogezea kuni motoni/mwambie leo nimetamani sana nyama😭 zile mboga zilizoota zenyewe upenuni zimenichosha mpka mdomo umekuwa mchungu/mwambie wale vijana walitaka wanipige eti mimi mchawi eeh/mwambie mama yake nimekuwa mzee sana nahesabu siku tu aje hata nishike mikono yake nimuoneshe mipaka ya nyumba yetu/!!salio limeisha mwambie mama anampenda sana😭!ila huku kijijini nimebaki pekee yangu wenzangu wote wameenda mjini kusherekea kwa watoto wao...
Copy and paste

Unapicha yoyote ya mshua!!?? Lete  Tuone
12/12/2022

Unapicha yoyote ya mshua!!?? Lete
Tuone

Uzuri sasaiv maisha yanatupiga woteπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ et acha waisome namba kina nan?!!?πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
05/12/2022

Uzuri sasaiv maisha yanatupiga woteπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ et acha waisome namba kina nan?!!?πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† sjui nlitaka kusema nn au basiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
04/12/2022

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† sjui nlitaka kusema nn au basiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

W**d language,humu konde kapiga kikohosi mwanzo mwisho na goma Linaenda fresh.  Hivi haka kajamaa kanatuoanajeπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†  Hivi...
03/12/2022

W**d language,humu konde kapiga kikohosi mwanzo mwisho na goma Linaenda fresh.
Hivi haka kajamaa kanatuoanajeπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Hivi harmonise anatuoanajeπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’

26/11/2022

Twende mbele na tuludi nyuma hii collaboration ya chipsi Yai na milinda nyeusi dah πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹Acha tu dada zetu wapate mimba

QATAR Kunakofanyikia World  Cup.       Kweli WAHUNI wako kila corner ya Dunia aisee.Baada Serikali ya .QATAR kupiga maru...
20/11/2022

QATAR Kunakofanyikia World Cup.

Kweli WAHUNI wako kila corner ya Dunia aisee.
Baada Serikali ya .QATAR kupiga marufuku aina yeyote ya KILEVI huko Nchini Qatar.

Basi Wazee wa gambe aka Wahuni wakabuni MBINU. Ya kuweka lebo za Heineken za kopo zikawekwa Lebo ya Pepsi. Lakini still imekula kwao mzigo unedakwa airport.
Hahahaha unyama Sana waisa πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Address

Songea

Telephone

+255713851801

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when WeListen posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share