Nuru Nuru - Sambaza Mwangaza

12/05/2020



Rais wa , Andry Rajoelina amesema dawa ya kutibu corona iliyogunduliwa nchini humo inakosolewa kwa sababu inatokea Afrika, ila ingetoka Ulaya hakuna ambaye angekuwa na mashaka na uwezo wake. Amesema watu 105 waliopona nchini mwake walitumia dawa hiyo pekee.

02/05/2020

Rais Dkt. Magufuli amemteua Mbunge wa Iramba, Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Uteuzi wa Dkt. Nchemba unaanza leo tarehe Mei 2, 2020.

Dkt. Nchemba anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Augustine Mahiga ambaye amefariki dunia.

Total confirmed cases in East Africa02 may 2020๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ  - 11 cases๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช  - 411 cases๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ  - 249 cases๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ธ  - 45 cases๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ  - 480 cases...
02/05/2020

Total confirmed cases in East Africa
02 may 2020

๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ - 11 cases
๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช - 411 cases
๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ - 249 cases
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ธ - 45 cases
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ - 480 cases
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ - 85 cases

02/05/2020

Shirika la Habari la Korea Kaskazini (KCNA) limechapisha picha zinazomuonesha kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong Un akizindua kiwanda cha mbolea eneo la Sunchon katika Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi). Kwa siku za hivi karibuni kumekuwapo taarifa kuwa kongozi huyo alikuwa mahututi.

08/04/2020
08/04/2020
08/04/2020
Welcome | Karibu
08/04/2020

Welcome | Karibu

08/04/2020

Address

StoneTown
Stone Town
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nuru posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share