Tumainimedia

Tumainimedia Tumaini Media is Catholic Media Based in Tanzania

Ratiba ya soka leo Jumatano Oktoba 29, 2025Italy 🇮🇹 Serie A20:30 AS Roma Vs Parma20:30 Como 1907 Vs Hellas Verona20:30 J...
29/10/2025

Ratiba ya soka leo Jumatano Oktoba 29, 2025

Italy 🇮🇹 Serie A
20:30 AS Roma Vs Parma
20:30 Como 1907 Vs Hellas Verona
20:30 Juventus Vs Udinese
22:45 Bologna Vs Torino
22:45 Genoa Vs Cremonese
22:45 Inter Vs Fiorentina

France 🇫🇷 Ligue 1
21:00 Le Havre Vs Brest
21:00 Lorient Vs PSG
21:00 Metz Vs Lens
21:00 Nice Vs Lille
23:05 Marseille Vs Angers
23:05 Nantes Vs AS Monaco
23:05 Paris FC Vs Lyon
23:05 Strasbourg Vs Auxerre
23:05 Toulouse Vs Rennes

(Imeandikwa na )



Kikosi cha Simba SC kimeanza safari leo asubuhi kuelekea mkoani Tabora kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ...
28/10/2025

Kikosi cha Simba SC kimeanza safari leo asubuhi kuelekea mkoani Tabora kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya TRA United utakaopigwa siku ya Alhamisi Oktoba 30, 2025 katika dimba la Ali Hassan Mwinyi, mkoani humo.



Ratiba ya soka leo Jumanne Oktoba 28, 2025Tanzania 🇹🇿 Premier League16:00 Yanga SC Vs Mtibwa SugarItaly 🇮🇹 Serie A20:30 ...
28/10/2025

Ratiba ya soka leo Jumanne Oktoba 28, 2025

Tanzania 🇹🇿 Premier League
16:00 Yanga SC Vs Mtibwa Sugar

Italy 🇮🇹 Serie A
20:30 Lecce Vs Napoli
22:45 Atalanta Vs AC Milan

(Imeandikwa na )



Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Musomba OSA, amewataka Waamini kuepuka kiburi na majivuno, huku ...
27/10/2025

Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Musomba OSA, amewataka Waamini kuepuka kiburi na majivuno, huku wakijiona kwamba wao ni bora kuliko wengine, kwani kiburi hufunga milango ya Neema ya Mungu katika maisha yao.

Ameyasema hayo katika homilia yake wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti ya Kipaimara katika Parokia ya Mtakatifu Toma - Muungano, jimboni humo.

“Tutambue kwamba kiburi kinafunga milango ya Neema ya kumwona Mungu. Na kwa sababu hiyo, k**a tunafunga milango ya Neema ya Mungu, maana yake Mungu atashindwa kusikiliza hata sala zetu.

“Kwa upande mwingine, unyenyekevu unatufanya tutambue uhitaji wa huruma ya Mungu na Neema yake katika maisha yetu,” amesema Askofu Musomba.



Liverpool wamepoteza mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Uingereza (EPL) msimu huu wa 2025/26.Unadhani shida ni Kocha, wache...
27/10/2025

Liverpool wamepoteza mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Uingereza (EPL) msimu huu wa 2025/26.

Unadhani shida ni Kocha, wachezaji, Uongozi wa timu, au ni kitu gani?



Ratiba ya soka leo Jumatatu Oktoba 27, 2025Spain 🇪🇸 LaLiga23:00 Real Betis Vs Atletico Madrid(Imeandikwa na )
27/10/2025

Ratiba ya soka leo Jumatatu Oktoba 27, 2025

Spain 🇪🇸 LaLiga
23:00 Real Betis Vs Atletico Madrid

(Imeandikwa na )



Malkia Mstaafu wa Thailand, Sirikit, ambaye pia ni mama wa Mfalme wa sasa wa Taifa hilo, Mfalme Vajiralongkorn, amefarik...
27/10/2025

Malkia Mstaafu wa Thailand, Sirikit, ambaye pia ni mama wa Mfalme wa sasa wa Taifa hilo, Mfalme Vajiralongkorn, amefariki dunia usiku wa Ijumaa, 24 Oktoba 2025 katika hospitali ya King Chulalongkorn Memorial Hospital, Bangkok akiwa na umri wa miaka 93.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa imeelezwa kwamba chanzo cha kifo chake ni kutokana na maambukizi ya damu (blood-stream infection) baada ya kuugua na kulazwa hospitalini tangu Oktoba 17, 2025.

Kipindi cha maisha yake Sirikit alikuwa mke wa mfalme wa zamani mfalme Bhumibol Adulyadej (Rama IX) ambaye alitawala kwa muda mrefu, na baada ya kifo cha mumewe huyo Mwanawe Mfalme Maha Vajiralongkorn (RamaX) akawa Mfalme na yeye akawa Mama Malkia.



Tangu Aprili 2023, Sudan imekumbwa na mgogoro mkubwa unaoendelea, ambao umesababisha mamilioni ya watu kukimbia makazi y...
27/10/2025

Tangu Aprili 2023, Sudan imekumbwa na mgogoro mkubwa unaoendelea, ambao umesababisha mamilioni ya watu kukimbia makazi yao.

Kauli ya hivi karibuni ya Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Ted Chaiban, imethibitisha kwamba Sudan kwa sasa ndiyo janga kubwa zaidi la kibinadamu duniani, na mapigano yanaendelea kuongezeka, ambapo wanaoteseka zaidi ni watoto.

Baada ya kutembelea maeneo ya Darfur na Khartoum, Chaiban ameeleza jinsi vurugu zinavyoendelea kupasua jamii na kusababisha mateso makubwa.

Alizungumza na wanawake na watoto waliolazimika kukimbia makazi yao katika mji wa Al Fasher kutokana na mzingiro unaoendelea.

Wamesimulia jinsi walivyolazimishwa kupita kwenye vizuizi vya wenye silaha, kuibiwa mali zao, na kudhalilishwa au kushambuliwa.

Familia nyingi zimeishi kwa siku kadhaa bila chakula.



Full Time:Simba SC 0-0 Nsingizini(Aggregate: 3-0)
26/10/2025

Full Time:
Simba SC 0-0 Nsingizini

(Aggregate: 3-0)



Ratiba ya soka leo Jumapili Oktoba 26, 2025CAF Champions League16:00 Simba SC Vs Nsingizini16:30 Mamelodi Sundowns FC Vs...
26/10/2025

Ratiba ya soka leo Jumapili Oktoba 26, 2025

CAF Champions League
16:00 Simba SC Vs Nsingizini
16:30 Mamelodi Sundowns FC Vs Remo Stars
19:00 Esperance Vs Rahimo FC
19:00 Ethiopian Insurance Vs Pyramids FC
19:00 Stade Malien Vs FC Nouadhibou
21:00 Al-Ahli Tripoli Vs RS Berkane
22:00 MC Alger Vs Colombe

CAF Confederation Cup
16:00 Kaizer Chiefs Vs Simba
16:00 Stellenbosch FC Vs FC 15 de Agosto Guinea
18:30 AS Otoho Vs Ferroviario de Maputo
19:00 Djoliba AC Vs US Forces Armees
20:00 Etoile du Sahel Vs Nairobi United
21:00 Al Masry Vs Al-Ittihad

England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Premier League
17:00 AFC Bournemouth Vs Nottingham Forest
17:00 Arsenal Vs Crystal Palace
17:00 Aston Villa Vs Manchester City
17:00 Wolves Vs Burnley
19:30 Everton Vs Tottenham Hotspur

Spain 🇪🇸 LaLiga
16:00 Mallorca Vs Levante
18:15 Real Madrid Vs Barcelona
20:30 Osasuna Vs Celta Vigo
23:00 Rayo Vallecano Vs Deportivo Alaves

Germany 🇩🇪 Bundesliga
17:30 Bayer Leverkusen Vs Freiburg
19:30 VfB Stuttgart Vs Mainz 05

Italy 🇮🇹 Serie A
14:30 Torino Vs Genoa
17:00 Hellas Verona Vs Cagliari
17:00 Sassuolo Vs AS Roma
20:00 Fiorentina Vs Bologna
22:45 Lazio Vs Juventus

France 🇫🇷 Ligue 1
17:00 Lille Vs Metz
19:15 Angers Vs Lorient
19:15 Auxerre Vs Le Havre
19:15 Rennes Vs Nice
22:45 Lyon Vs Strasbourg

(Imeandikwa na )



Full Time:Singida Black Stars 2-1 Flambeau du Centre(Aggregate: 3-1)
25/10/2025

Full Time:
Singida Black Stars 2-1 Flambeau du Centre

(Aggregate: 3-1)



Full Time:Yanga SC 2-0 Sylver Strikes(Aggregate: 2-1)
25/10/2025

Full Time:
Yanga SC 2-0 Sylver Strikes

(Aggregate: 2-1)



Address

Kristo Mfalme Tabata
Tabata
9916

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 14:30
Sunday 08:00 - 14:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tumainimedia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tumainimedia:

Share

Category