Elimu ya Tiba

Elimu ya Tiba Dunia yetu ninzuri sana ungana na asili ya mwafrica kufurahia ukuu waurimwengu huu

UTABILI WA NYOTA YAKO LEO IJUMAA SEP 26/2025:UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO TANGA VIJIJIN NAPATIKANA KIL...
25/09/2025

UTABILI WA NYOTA YAKO LEO IJUMAA SEP 26/2025:

UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO TANGA VIJIJIN NAPATIKANA KILA SIKU OFISINI KWANGU KUANZIA SAA 12 ASUBUHI MPAKA SAA 12 JIONI.

MAALIM ANAPATIKANA MUDA WOTE.

Kumbuka kwamba nyota zina athari ya moja kwa moja katika maisha yetu na yeyote asiyefuata nyota yake hawezi kamwe kusonga mbele kwa maana anaishi nje ya asili yake

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na utabiri huu basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ems_copy_t

☣️PUNDA– (March 21– Aprili 20)

K**a nyota yako ni punda ijumaa hii utapata ufumbuzi wa matatizo yako kwani unavifungo vya kinyota mambo yako mengi yamesimama maradhi Mbali mbali yanakusumbuwa katika mwili wako ijumaa hii utapata mtabibu mzuri atakusaidia shida yako.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Inaonyesha una mtafaruku baina yako na mpenzi wako kwa muda mrefu hadi umekata tamaa unashauriwa kukutana na wataalamu wa nyota waweze kukusaidia kwani ugomvyi wako wa kimapenzi unatokana na nyota zenu.

☣️NG'OMBE– (April 21– May 20)

K**a nyota yako ni ng'ombe 🐄 ijumaa hii unashauriwa usitumie pesa hovyo hovyo kwani ijumaa hii kipato chako hakitaongezeka kwahiyo fedha ulio ipata ijumaa iliopita nivyema ukaitumia vuzuri ili kuepuka hasara isio ya lazima.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Inaonekana umechoshwa na tabia mbaya na chafu za mpenzi wako ulie nae ingawa hukati tamaa kusubiri lakini endelea kusubiri kwani utabiri unaonyesha ijumaa hii utapata mpenzi mpya na utasahau matatizo yote yanayo sababishwa na mpenzi wako wa sasa.

☣️MAPACHA– (May 21– Juni 20)

K**a nyota yako ni mapacha ♈ ijumaa hii kwako ni nzuri kibiashara kuna wateja wako wa zamani watakukumbuka nivyema ukawa makini na shuhuli zako maana ukina uwezekano pia wa kudanganywa katika makubaliano ya kibiashara.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Uwamuzi unao taka kuchukuwa kuhusu mpenzi wako unatakiwa utafakari mara tatu bila kutumia hasira ulizo nazo kwani endepo utakurupuka kumuacha mpenzi ulie nae itasababisha baadhi ya mambo yako kusimama.

☣️KAA– (Juni 21– Julai 22)

K**a nyota yako ni kaa 🦀 ijumaa hii tegemea malengo yako mengi kukamilika pia kipato chako kitaongezeka utapata wageni wapya katika kazi zako biashara mpya utaipata zidisha dua kwani huenda ndio wakati wako wa mafanikio.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Mpenzi mpenzi ulie nae anakupenda kwa dhati na anakurudhisha kwa matendo yake endelea kumpa mapenzi ya kweli kwani upendo wako kwake ndio sababu ya kuongezeka kwa mapenzi take kwako ingawa kuna changamoto ndogo ndogo lakini hazitakuwa kikwazo katika mapenzi yenu.

☣️SIMBA LEO– (Julai 23– Agosti 22)

K**a nyota yako ni simba 🦁 ijumaa hii utapata safari ingawa huna uhakika ni safari ya kikazi lakini k**a utasafiri utapata kuwango cha fedha usio itegemea nivyema ukapata ushauri kwa wataalamu wa nyota ili uweze kuondowa vifungo vilivyo tawala katika nyota yako.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Ijumaa hii nivyema ukafanya kikao na mpenzi wako ili uweze kujuwa mambo yanayo msibu nivyema zaidi ukafanya hivyo tena kwa huruma na upendo kwani ukuendelea kuwa busy kuna uwezekano mkubwa wa kuachana.

☣️MASHUKE– (Agosti 23– September 23)

K**a nyota yako ni mashuke ijumaa hii utapata taarifa za kushtuwa za msiba wa mtu wa karibu yako au taarifa za ajali au kufukuzwa kazi au kupotea kwa fedha nivyema ukachukuwa tahdari mapema pia kipato chako leo hii kitakuwa cha kawaida sana.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Unashauriwa uwe na msimamo katika mapenzi kwani tabia hiyo itachangia heshima yako kushuka na unaweza kupelekwa kwenye vyombo vya sharia polic kutokana na hiyo tabia ni vyema ijumaa hii ukachukuwa tahadhari kubwa kwani ijumaa hii si nzuri kwako.

☣️MIZANI– (September 24– Oktoba 23)

K**a nyota yako ni mizani ⚖️ ijumaa hii ni nzuri kwako kwa kuweza kufunguwa miradi mipya pia kipato chako kitakuwa kizuri leo hii ingawa unashauriwa kupata dua nzito nzito kutokana na mitihani ulio nayo.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Isimamie ndoa yako vuzuri mpenzi wa inje asikupe kiburi maana unako elekea utaivunja ndowa yako na hatakusaidia chochote zaidi ya kukukimbia.

☣️NG'E– (Oktoba 24– November 21)

K**a nyota yako ni ng'e 🦂 ijumaa hiu chukuwa tahadhari unaweza kupigana na mtu usie mtegemea pia unaweza kupelekwa polic kutokana na madeni yalio kuandama nivyema ukachukuwa tahadhari mapema na uwe mpole unaweza kuepuka hatari hiyo.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Nivyema ukasikiliza ushauri unaotoka kwa wazazi wako kuhusiana na mpenzi wako wa sasa kwani ushauri wao unamaana kubwa kuliko unavyo fikiria.

☣️MSHALE– (November 22– December 21)

K**a nyota yako ni mshale 🏹 ijumaa hii ni nzuri kibiashara ongeza ubinifu katika biashara yako pia k**a huna kazi fuatilia ahadi za kazi huku ukipata doa nyingi kwani leo hii una uwezekano mkubwa wa kupata ajira.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

nivyema ukasikiliza ushauri wa mpenzi wako kwani huenda kwa ushari wake mnaweza kupata njia ya kutatuwa mgogoro uliotawala katika mapenzi yenu.

☣️MBUZI– (December 22– January 20)

Ijumaa hii kwako ni nzuri kiasi kipato chako hakitakaa vile ulivyo tegemea kaa na watu unao wajuwa watakusaidia kukuuza kipato chako na watakufanya uwe mbunifu katika mambo mbali mbali ya kibiashara.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Zidisha mbwe mbwe na vionjo vipya katika mapenzi yako kwani mpenzi ulie nae ni mtu anaependa mambo mapya kila wakati unashauri uwe mbunifu ili uweze kumridhisha na kumuongezea furaha mpenzi wako.

☣️NDOO– (January 21– February 19)

K**a wewe nyota yako ni ndoo ijumaa hii mambo hayatakuwa mazuri kwako kipato chako kitashuka sana kwani nyota yako inaonekana ina vifungo vingi unashauriwa kupata ushauri wa kinyota kwa walimu wa nyota huenda ukapata ahueni.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Kaa vyema na mpenzi wako huyo mpya uliempata asikufanye ukamdharau mpenzi wako wa awali elewa ulie nae ni mpenzi alie tawaliwa na tamaa hautadumu nae nivyema umuache mapema ili kuweza kuepuka aibu itakayo kukuta.

☣️SAMAKI– (February 20– March 20)

K**a nyota yako ni samaki 🐟 una malengo mengi sana ulio yapanga ijumaa ilio pita na ijumaa hii tegemea mafanikio makubwa katika mipango yako unapanga kufunguwa biashara mpya lakini huna pesa tegemea kufanikisha lengo lako kwani leo hii unaweza kupata pesa ya ghafla na ukakusaidia katika kutekeleza malengo yako.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Mpenzi mpya ulie nae ni mzuri sana kwako yeye huenda akawa sababu ya kipato chako kuongezeka ingawa bado una changamoto ya kusumbuliwa na mpenzi wako wa zamani unashauriwa kufanya mamuuzi sahihi kwa maslahi ya maisha yako.

★★★★★★★★★★★★★★★
Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim niwatakie siku njema na mafanikio mema

MAALIM MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU KARIBU KUTAZAMA NYOTA YAKO ILI KUJUA MAISHA YAKO YOTE KWAUJUMLA

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ems_copy_t

Nyota yako na  maajabu inayoweza kuvuta utajiri na bahati za kila aina.Nyota ya mwanadamu imepewa uwezo mkubwa sana wa k...
25/09/2025

Nyota yako na maajabu inayoweza kuvuta utajiri na bahati za kila aina.

Nyota ya mwanadamu imepewa uwezo mkubwa sana wa kumsaidia mwanadamu aweze kufikia lengo ambalo linamfanya aishi.

Miili yetu ni majumba tu ambayo yanaongozwa kutoka katika ulimwengu wa kiroho, katika ulimwengu wa kiroho ndipo ilipo asili ya mwanadamu ambayo humuongoza na kumfanya aishi ndani ya malengo yake maalum aliyoumbiwa.

Ili mwanadamu afikie malengo yake lazima aishi kufuatana na kile nyota yake inataka. Nyota ni matumaini yaliyofungwa katika ulimwengu wa kiroho ili kumuongoza mwanadamu katika safari yake ya kimaisha.

Katika nyota yako kuna maandiko ama maagano kuhusu, mafanikio yako na safari zako zote za kimaisha hapa duniani. Kumbuka kwamba nyota haipo mwilini, bali katika ulimwengu usioonekana kwa macho ya nyama zaidi ya jicho la tatu.

Ikiwa unahitaji kutazama nyota karibu whatsapp kwa sh 10000 nakutazama nyota yako na matatizo yote, unapaswa kupiga picha kiganja chako cha mkono wa kushoto kisha tuma inbox yangu kisha lipia sadaka 10000, majibu dk 45

Nyota ipo katika ulimwengu wa kiroho ambapo inalete taarifa katika miili yetu na kutupa mwongozo fulani kupitia ndoto, Ndiyo maana mtu ambaye haoti ndoto ama anasahau ndoto ama anaota ndoto za kutisha, basi moja kwa moja mtu huyu amefungwa kiroho, kwani ndoto na nyota zinauhusiano mkubwa na ndoto ni kijumbe wa nyota kwa binadamu.

Iko hivi, nyota hutuma taarifa kwa mwanadamu kupitia ndoto na taarfa hizi mara nyingi huja wakati nafsi zetu zimetulia yaani wakati tukiwa tumelala ndipo ndoto huja k**a taarifa kutoka katika nyota iliyo katika ulimwengu wa kiroho ama ulimwengu wa 3D.

Kikawaida mwanadamu anapaswa kuota ndoto si chini ya 5 kila siku na anapaswa kuzikumbuka zote ili azifanyie kazi, kila ndoto ina maana yake nazo huja k**a fumbo unalopaswa kulifumbua.

Wachawi wamekuwa na ujanja mwingi, wanaingilia ulimwengu wa kiroho wa mtu na kuuchafua ili tu asipate taarifa kutoka katika ulimwengu wake wa kiroho, mchawi atazuia ndoto ama kuzichafua ama kukusahaulisha ili tu usipate taarifa.

Ikiwa mtu hapati ndoto halisi ama anasahau ama anaota za kutisha, mtu huyu amefungwa kiroho na wakati mwingine mchawi anaingilia ndoto zako na kubadilisha uhalisia wa ndoto zako na unajikuta unaota ndoto ambazo si zako.

Nyota inabeba kila kitu cha mwanadamu na mwanadamu anapaswa kuifuata nyota yake ili aishi katika lengo alilowekewa na Mwenyezi Mungu.

Hakuna nyota yoyote duniani inayotazamwa kwa njia ya tarehe sababu tarehe haioneahi nyota ya mtu na tarehe ni kitu kilichobuniwa na mwanadamu.

Hakuna nyota yoyote duniani ambayo inatazamwa kwa kutumia jina, sababu jina linabadilika wakati wowote.

Nyota hutazamwa kwa kutumia kiganja chako tu cha mkononi ama unyayo wako.

Wengi huishi nje ya nyota zao wakiamini jina ama tarehe kwamba huleta nyota kumbe si kweli.

Ukiijua funguo yako ya maisha ni ishara tosha ya mafanikio makubwa katika maisha yako yote na hiyo ndiyo dira yako

Utulivu wa nafsi ni mafanikio.. Sasa ni wakati sahihi wa kutazama upya nyota yako kwa kutumia kiganja chako ili ujijue wewe ni nani na upo njia ipi sasa.

Usomaji wa alama za mkononi hufanyika kwa kuangalia mistari, umbo la kiganja na rangi pia ambapo tutaweza kujua nyota yako, halisi, aura yako na majaaliwa yako hapa duniani ikiwa ni pamoja na kujua njia ipi ya kupita.

Mistari ya mkononi inawakilisha vitu vifuatavyo✋

💚Life line: huu mstari unasimamia afya na uhai. ( Rangi ya Kijani)💚💚

💓Heart line: huu mstari unasimamia mapenzi(upendo) na hisia (rangi ya pink)💓💓

👟Money line: huu mstari unasimamia kazi na bahati. (rangi ya Zambarau)💜

💙Head line: huu mstari unasimamia akili. (rangi ya Bluu)

❤Marriage line: maisha ya ndoa na mahusianio. (Rangi ya Nyekundu)❤❤

Kuna msemo usemao kwamba mkono wa kulia ni wa k**e na wa kushoto ni wa wanaume katika usomaji wa viganja.

Hii ni kwa sababu upande wa mkono wa kushoto unahusishwa na wanaume na upande wa kulia na wanawake katika mila za Kichina📍

Katika usomaji wa mistari hiyo, jinsia hupuuzwa. Wengi huamini kwamba mkono wa kulia ndio mkono mkuu kwa watu wengi na unawakilisha wakati wa sasa na siku zijazo, wakati mkono wa kushoto unawakilisha siku za nyuma na sifa ambazo mtu alizaliwa nazo🔶

Ni muhimu zaidi kusoma mikono yote, kwani mikono ya watu wengi ni linganifu (yenye tofauti ndogo ndogo)🌼

Sasa nyosha kiganja na tusome mistari mitano mikuu mmoja baada ya mwingine.

Ikiwa unahitaji kutazama nyota karibu whatsapp kwa sh 10000 nakutazama nyota yako na matatizo yote, unapaswa kupiga picha kiganja chako cha mkono wa kushoto kisha tuma inbox yangu kisha lipia sadaka 10000, kisha subiri majibu dk 45.

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ems_copy_t

NYOTA YAKO LEO ALHAMIS SEP 25/2025MAALIM MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU K...
24/09/2025

NYOTA YAKO LEO ALHAMIS SEP 25/2025

MAALIM MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU KARIBU KUTAZAMA NYOTA YAKO ILI KUJUA MAISHA YAKO YOTE KWAUJUMLA

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ems_copy_t

☣️PUNDA– (March 21– Aprili 20)

K**a nyota yako ni punda alhamis hii utabiri wako unaonyesha kuna mtu atakuletea habari ya kukushtua unashauriwa uwe makini maana unaweza kuaacha kile unacho kifanya na ukapata hasara katika biashara yako au kazi zako.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

furaha ilio toeka kwa muda mrefu inaweza kurejea kutoka kwa mpenzi mpya ulie mpata alhamis hii na kuendelea inaweza kuwa jumanne ya furaha kwako ila usisahau kwamba una uwadui na fitina zilizo kuzunguuka.

☣️NG'OMBE– (April 21– May 20)

K**a nyota yako ni ng'ombe 🐄 alhamis hii utapata mgeni au taarifa mpya zenye faida kwako kuna mtu utakutana nae gafla atakupa habari nzuri zenye maana pia tegemea kuitwa serikalini kupata ajira nzuri au tegemea kufanya biashara na mtu mkubwa wa serikali ingawa itachukuwa muda ni vyema ukashaurina na mtaalam wa nyota katika hili.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

usimfikirie mpenzi wako vibaya anacho kuambia ni ukweli muamini ili usije ukapoteza mapenzi yake kwako.

☣️MAPACHA– (May 21– Juni 20)

K**a nyota yako ni mapacha ♈ alhamis hii imekaa vizuri kwako jitahidi kuomba mungu unapotaka kufanya kazi zako ingawa inaonekana umetawaliwa na matumizi mabaya ya pesa na pesa zako hazina baraka yani hazikai lakini alhamis hii itakuwa nzuri kwako jitahidi kupata ushauri kwa wataalamu Wa nyota.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Ingawa penzi lako limeonekana kuwa na misuko suku hakuna maelewano mazuri wewe na mwenza wako unashauriwa kutokuwa na haraka katika kufanya maamuzi maana huenda ni upepo tu umekupitia jitahidi kufusha mafusho ya nyota yako huenda mambo yakakaa vizuri .

☣️KAA– (Juni 21– Julai 22)

K**a nyota yako ni kaa 🦀 alhamis hii utabiri unaonyesha ni alhamis nzuri sana kwako utafanya vizuri katika biashara zako ingawa kutakuwa na changamoto za Hapa na pale lakini haitakuwa tatizo kwako jitahidi kuomba mungu na kuchoma mafusho ya nyota yako mambo yako yatanyooka kiukweli nyota hii inaonyesha mafanikio makubwa utapata wageni wapya katika kazi zako na huenda ukapata fedha ya ghafla usioitegemea.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Endelea na misimamo yako ya kimapenzi itakusaidia na mambo yataendelea kukaa vyema zaidi ingawa inaonyesha una mafanikio mazuri katika upande wa mapenzi unashauriwa usijisahau kwani usipokuwa makini huenda mambo yakawa tafauti kinyume na matarajio yako.

☣️SIMBA LEO– (Julai 23– Agosti 22)

K**a nyota yako ni simba 🦁 unashauriwa leo hii jambo lolote utakalotaka kulifanya usilitie shaka uwe mtu mwenye kujiamini ikiwa unatarajia kufanya mambo Fulani au kazi yoyote ya kibiashara basi leo hii nyota yako inakupa matumaini kwamba unaweza kufanya jambo lolote na ukapata mafanikio makubwa.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Kuwa mkweli kwa mwenza wako pia unashauriwa ujiweke wazi na huenda owoga wako Wa kujieleza huenda ukakuletea matatizo baadae kuwa mkweli mueleze mwenza wako kile unachokihisi kwenye akili yako huenda ukaipata faraja na furaha.

☣️MASHUKE– (Agosti 23– September 23)

K**a nyota yako ni mashuke inaonyesha alhamis hii sio mbaya kwako ingawa umekuwa mtu mwenye huzuni na usiekuwa na furaha kutokana matatizo na mitihani ulionayo lakini alhamis hii inaonyesha utapata muongozo Fulani katika maisha yako na huenda ukaona jambo ambalo hujalitarajia lakini litakuwa na faida kubwa sana kwako.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Jitahidi kuitumia fursa vizuri kwani kwenye mahusiano yako ya kimapenzi imeonekana mwenye bahati ingawa bado hujajijua kwamba una bahati unashauriwa kuitumia bahati hiyo vizuri kabla haijakutoka.

☣️MIZANI– (September 24– Oktoba 23)

K**a nyota yako ni mizani ⚖️ alhamis hii itakuwa njema kwako ingawa umeandamwa na madeni unashauriwa kukaa mbali na wadeni wako ama kupunguza deni ulilonalo maana inaweza kuwa tatizo kwako.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Jitahidi kupunguza maneno mengi yasio na maana kwa mwenza wako kuwa makini na kauli zako ingawa inaonyesha una uwadui katika mahusiano yako ya kimapenzi lakini kusikufanye uwe mtu Wa kuropoka ropoka huenda ukazidi kujiongezea matatizo tafuta njia sahihi ya kuweza kuondowa uwadui ulio nao katika mahusiano yako ya kimapenzi.

☣️NG'E– (Oktoba 24– November 21)

K**a nyota yako ni ng'e 🦂 alhamis hii sio mbaya kwako ni jumanne nzuri huenda ukapata matumaini mapya katika maisha yako na inawezekana ulikuwa mtu uliejikatia tamaa lakini rafiki yako mpya huenda akakupa msaada mkubwa usio utarajia jitahidi uwe mtu mwenye furaha huenda ukafanikiwa katika mipango yako mingi unayo ipanga.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Subra yako na imani yako katika mahusiano ya kapenzi huenda ikakuweka sehemu salama na ukairudisha furaha yako iliopotea jitahidi kuomba dua na kuhangaika kwa njia yoyote ili kuendelea kupata ufumbuzi wa tatizo lako la kimapenzi huenda ukafanikiwa kwa kiasi kikubwa.

☣️MSHALE– (November 22– December 21)

K**a nyota yako ni mshale 🏹 alhamis hii sio mbaya kwako utaonana na wateja wapya katika shuhuli zako malengo yako huenda yakaendelea kutimia ingawa vikwazo havikosekani lakini nyota yako inaonyesha mafanikio makubwa sana kwako.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Subra katika mapenzi ni jambo muhimu kwako jitahidi kuwa karibu na mwenza wako na kumuamini na kumshirikisha katika mambo yako k**a unavyo mshirikisha mengine yaliopita ukiendelea kuwa nae karibu utapata mafanikio makubwa usio yatarajia kikubwa usiwe mvivu katika kuweza kutekeleza majukumu yako.

☣️MBUZI– (December 22– January 20)

K**a nyota yako ni mbuzi 🐐 alhamis hii ni nzuri sana kwako ingawa unatakiwa uwombe dua sana ili uweze kufanikiwa jambo Fulani linalokusumbua unashauriwa usikate tamaa pia jitahidi kupata ushauri Wa kinyota kwa mtabiri Wa nyota.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Fanya masmuzi sahihi usiwe mtu Wa kigeu geu inawezekana ukapata faraja kubwa kwa mpenzi mpya endapo utaweza kumpatia nafasi na kumuonyesha mapenzi ya kweli Fanya maamuzi sahihii huenda ukapata mikono salama.

☣️NDOO– (January 21– February 19)

Ukiwa una nyota ya ndoo alhamis hii inaonyesha ni siku nzuri sana kwako pesa utapata unao wadai watakulipa jaribu kufuatilia ahadi ulizo pewa na watu watakufurahisha pia kuwa makini katika

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Alhamis hii sio nzuri kwako kimapenzi inaonekana kuna wengi wapenzi watakukumbuka kuwa makini usije ukakosa amani.

☣️SAMAKI– (February 20– March 20)

K**a nyota yako ni samaki 🐟 alhamis hii utapata wakati mgumu wa kuwakwepa wadai yani una madeni mengi na uwezo wa kulipa hiyo pesa huna kikubwa uwe mkweli na jaribu kukaa karibu na wale wanao kupa matumaini kwa maana ni watu wazuri kwako kuna mtu ame kuahidi kukusaidia ili furaha yako irudi endelea kuwa karibu nae atakusaidia.

💕 *UPANDE WA MAPENZI*

Alhamis hii mpenzi wako mke wako atakuwa mkali sana kutokana na mitihani ilio kukuta ila jaribu kuwa mpile atakuelewa.

MAALIM MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU KARIBU KUTAZAMA NYOTA YAKO ILI KUJUA MAISHA YAKO YOTE KWAUJUMLA

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ems_copy_t

NYOTA YAKO LEO JUMATANO SEP 24/2025:Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim niwatakie siku njema na mafanikio memaM...
23/09/2025

NYOTA YAKO LEO JUMATANO SEP 24/2025:

Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim niwatakie siku njema na mafanikio mema

MAALIM 💀☠️MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU KARIBU KUTAZAMA NYOTA YAKO ILI KUJUA MAISHA YAKO YOTE KWAUJUMLA

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ems_copy_t

★NG'OMBE– TA**US 🐂 (Aprili 21– May 20)

Utajihisi kuwa na hasira na utakasirika hovyo bila ya kuchokozwa na mtu yoyote jizuie kushiriki katika ubishani wowote ni afadhali uonekane mjinga kuliko ukiwa hasira.

•Mahusiano yako ni mazuri na utazidi kupata marafiki wapya zaidi na utastawi kibiashara au kikazi.

★MAPACHA– GIMINI ♊ (May 21– Juni 20)

Siku nzuri sana tumia siku ya leo kufanya mambo yako mwenyewe yale yote ambayo unayaona ni ya muhimu Jitahidi kujenga umoja wako na wa familia yako.
Ukikutana na mtu Leo kavaa viatu tofauti basi utagombanishwa na bosi wako jitahidi kutokuwaamini watu na kuwapa Siri zako.

★KAA– CANCER 🦀 (Juni 21– Julai 22)

Siku njema kwako fikiria kuhusu maisha yako weka pembeni mambo ambayo unayaona hayana maana kwa sababu maisha yako ni muhimu sana kuliko jambo lolote jingine linalokukabili.

•Mahusiano yako ni mazuri na yatazidi kuwa mazuri.

★SIMBA LEO 🦁 (Julai 23– Agosti 22)

Jitahidi kutekeleza ahadi ulizowaahidi watu K**a ikiwa ni vigumu kwako kutimiza ahadi basi waambie wasubiri lakini kamwe usighairi.

•Haja zako nzuri hazitotimia leo ila mbaya tu ndo zitatimia Kwa Leo Kuwa makini sana.

★MASHUKE– VIRGO ♍ (Agosti 23– September 23)

Mahusiano yako au maswala ya mapenzi kwako bado hayapo vizuri na unashauriwa utulize akili zaidi na maisha yako mahusiano yako yatatulia baada ya wewe kutulia kupunguza lawama na kelele nyingi kwa watu wako kinyota inaonekana una bahati ya kupata watu watulivu na wapole sana tatizo kubwa ni kutokuaminika kwao au huishi kuwahisi vibaya hili linaweza kuwa kikwazo sana kwako unashauriwa punguza kuhisi penda kulifuatilia na usilifanyie maamuzi ya ghafla jambo lako pengine bahati yako kubwa hukimbia kwa kelele zako tu badilika.

•Ni siku nzuri ya kujumuika na watu na kuwasaidia watakaohitaji msaada wako Leo una uwezo wa kufanya jambo lolote unalotaka kulifanya na hutopata pingamizi zozote.

★MIZANI– LIBRA ⚖️ (September 24– Oktoba 23)

Kazi zako Leo zina khasara ongeza umakini na ikiwa kazi binafsi basi zidisha ustaarabu Leo ukali kidogo utapoteza vyote Leo na kuna mtu atahitaji mgombane basi jizuie na hasira zako na ikiwezekana jishushe kupitiliza Leo kwakuwa kuna hali ya kudhalilishana au kufedheheshana kati yako na huyo adui yako.

•Siku mbili zijazo Utakutana na ndugu ambaye atakuhitajia sana umsaidie katika jambo la faragha mpe anachohitaji kwa sababu ameteseka sana.

★NG'E– SCORPION 🦂 (Oktoba 24– November 21)

Utapokea habari mbaya leo juu ya mtu kutoweka au kitu chako fulani kuharibika stahmili yote yanapita na ni kawaida tu usiwe na khofu.

•Kuna mambo muhimu ya kwako na ya watu wengi ambayo unataka kuyafanya na yanahitaji busara unahitaji msaada wa watu wengine.

★MSHALE– SAGITTARIUS 🏹 (November 22– December 21)

Kaa na mtu wako wa karibu na mzungumze yaliyo moyoni kwako ili ipatikane suluhu Kwa njia hii utapata majawabu kwa matatizo yanayokukabili.

•Kazi zako au biashara zako zinaonekana katika hali nzuri Leo na unashauriwa usiache kwenda kazini leo ikiwa hauna sababu ya msingi kwakuwa kuna vitu vitaharibika kwa kosa dogo tu na vitazua makubwa juu yako.

★MBUZI– CAPRICORN 🐐 (December 22– January 20)

Fanya kila njia usiwe mpweke kaa karibu na jamaa zako wape mawazo yako na waombe wakupe ushauri kutokana na changamoto zinazokukabili.

•Maswala yako ya kikazi Leo yatakuwa na uzito mwingi pia utafedheheshwa hivyo usilazimishe lolote kwakuwa tu siku haijakaa vizuri kwa upande wako.

★NDOO– AQUARIUS 🏺 (January 21– February 19)

Jishughulishe na mambo ambayo watu wanayasema kwa sababu shida na matatizo waliyonayo hivi sasa ni makubwa jambo la muhimu kwako ni kuwa muangalifu.

•Mahusiano yako yatakuwa mazuri hakuna shida juu ya hili na ulilolikusudia ndani yake endelea nalo halina tatizo.

★SAMAKI– PISCES 🐟 (February 20– March 20)

Shirikiana na watu kwa sababu unaweza kupata maarifa ya kufanikisha shughuli zako muhimu ulizonazo kwa sasa kuwa macho wadanganyifu ni wengi na wanafikiria namna ya kukudhuru.

•Haja zako zitatimia kwa shida mno au baada ya kupotezewa muda au kupata hasara.

★PUNDA– ARIES 🐏 (March 21– Aprili 20)

Leo itakuwa siku ya bahati kwa sababu mipango yako itakwenda k**a unavyotarajia Hali hii ni ya muda tu baadae mambo yatakuwa mazuri.

•Safari zako leo zina mashaka lakini utaenda salama na kurudi salama.

★★★★★★★★★★★★★★★
Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim niwatakie siku njema na mafanikio mema

MAALIM 💀☠️MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU KARIBU KUTAZAMA NYOTA YAKO ILI KUJUA MAISHA YAKO YOTE KWAUJUMLA

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ems_copy_t

NDAGU YA NGUO YACHIZI AU KICHAAHakuna tajiri hapa duniani sadaka yake haiyendi kwayatima we fuatilia matajiri wote dunia...
23/09/2025

NDAGU YA NGUO YACHIZI AU KICHAA

Hakuna tajiri hapa duniani sadaka yake haiyendi kwayatima we fuatilia matajiri wote duniani lazima watoa msaada kwa masikini yote haya yanatokana na ndagu yao pamoja na mashari ya ndagu zao

tugusie kidogo kuna ndangu ya nguo ya chizi ndagu hii k**a utaengenezewa basi utakuwa mfanya biashara maarufu sana kwasababu chizi hakai sehemu moja sasa k**a utatengenezewa vizuri ndagu hii hakika utakuja kuwa mtu mkubwa sana yaani watu watazizungumzia sana biashara zako utazungumzwa kila mahali

ndagu hii kafara yake ni kutoa msaada kwayatima kila unavyozidi kutoa basi kwakopesa ndio zina zidi kuongezeka biashara zitazidi kukua na wateja watazidi kumiminika

kwaiyo usishangae kila siku watu maalufu wakitoa sadaka kwenye vituo vya watoto yatima utajiri wao upo huko nakila wanavyozidi kutoa ndio nawao huzidi kuongeza makampuni

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ac_t

UTABILI WA NYOTA YAKO LEO JUMANNE SEP 23/2025:UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA ASILI NIPO TANGA VIJIJINI NAPATIK...
22/09/2025

UTABILI WA NYOTA YAKO LEO JUMANNE SEP 23/2025:

UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA ASILI NIPO TANGA VIJIJINI NAPATIKANA KILA SIKU OFISINI KWANGU KUANZIA SAA 12 ASUBUHI MPAKA SAA 12 JIONI

MAALIM ANAPATIKANA MUDA WOTE.

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ac_t

★KAA– CANCER 🦀 (Juni 21– Julai 22)

Jaribu sana kufanya utafiti katika mambo yako kabla hujachukua hatua zozote na hasa kuhusiana na ndoa au mahusiano yako ya kimapenzi inaonekana unamshuku mpenzi wako kuwa sio muaminifu tafuta ukweli.

•Kazi zako leo zitakusababishia fedheha au maudhi na ukiona nafsi nzito basi ujue kuna shida leo ikiwa umeajiriwa basi heshimu wakubwa zako na sheria za mazingira hayo ili kuepuka maudhi hayo.

★SIMBA LEO 🦁 (Julai 23– Agosti 22)

Matatizo uliyonayo kwa sasa yanasababishwa na madeni yako uliyonayo jaribu kwa kila njia kuyalipa angalau hata nusu ili ujihisi kwamba uko huru vinginevyo utapata taabu sana.

•Utapata bahati mbaya leo na habari mbaya mbaya zitakufikia leo jitahidi kuwa mpole kwa kila kitu kuna vitu vibaya vibaya vinakufuatilia kwenye mambo yako kwa ujumla hivyo umakini ni muhimu zaidi na usiwe muongeaji sana leo.

★MASHUKE– VIRGO ♍ (Agosti 23– September 23)

Leo inaonekana itakuwa siku ya mashaka na wasiwasi unatakiwa uwe makini sana unaweza kujiingiza katika hatari kubwa au kupata maradhi yatakayoharibu afya yako.

•Safari zako zina kheri na usipuuzie mambo kila kitu kitaenda vizuri.

★MIZANI– LIBRA ⚖️ (September 24– Oktoba 23)

Siku ya leo itakuwa ni siku njema pamoja na kwamba una hali ngumu sana ya kimaisha na matatizo ya kukosa kazi au kile ambacho unakitegemea mambo hayo yatakuwa ya muda tu mwishowe utafanikiwa.

•Utapata habari njema sana leo na mahusiano yako yatafunguka zaidi na utapata marafiki wapya zaidi na haja zako zitatimia kwa wepesi mkubwa zaidi.

★NG'E– SCORPION 🦂 (Oktoba 24– November 21)

Leo Jitahidi kadri uwezavyo elewa kwamba kuharibika au kushuka kwa mambo yako kunasababishwa na ulegevu wako na upungufu wa bidii yako jitahidi na mambo yatakuwa mazuri.

•Mahusiano yako yapo vizuri na utazidi kufanikiwa dhidi yake.

★MSHALE– SAGITTARIUS 🏹 (November 22– December 21)

Leo jitahidi yale yote ambayo umefanikiwa kuyapata kwa taabu yasikutoke kirahisi Jiandae kupata mgeni wakati wowote akitaka msaada k**a uwezo unao msaidie.

•Mahusiano yako yatakuwa na kutokuelewana ila yote yanapita.

★MBUZI– CAPRICORN 🐐 (December 22– January 20)

Leo shughuli za biashara au za utafutaji wa mkopo k**a ulikuwa nazo hutafanikiwa kwa wakati huu hata hivyo usikate tamaa Baadae mambo yatakuwa mazuri tu.

•Safari zako sio nzuri utapoteza kitu muhimu ila utafika salama na kurudi salama.

★NDOO– AQUARIUS 🏺 (January 21– February 19)

Kuwa makini na achana na hiyo tabia yako ya kuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja unaweza ukapata matatizo makubwa fanya uwezavyo kurudisha uhusiano na rafiki yako uliyekosana naye.

•Usiwe wa kwanza kwa lolote leo utafedheheshwa safari zako sio nzuri Kwa Leo k**a unasafiri panga siku nyingine

★SAMAKI– PISCES 🐟 (February 20– March 20)

Leo ni siku ambayo utapata furaha na mialiko mingi itakayokunufaisha jitahidi kudumisha furaha hii kwa faida yako ya baadae siku njema kwako kibiashara na kikazi.

•Pia haja zako zitatimia na hautapata madhara yoyote kwenye kazi zako.

★PUNDA– ARIES 🐏 (March 21– Aprili 20)

Leo itakuwa siku ya taabu sana kwako k**a usipokuwa makini katika utekelezaji wa majukumu yako unaweza kukumbana na changamoto nyingi zitakazokukatisha tamaa pambana utafanikiwa tu.

•Safari zako ni nzuri endelea kujiamini.

★NG'OMBE– TA**US 🐂 (Aprili 21– May 20)

Leo rafiki yako atakufuata kukupa ushauri wenye maana kuhusiana na maisha yako tafadhali msikilize na fuata ushauri huo kuna faida utapata katika kuteleza hayo utakayoshauriwa.

•Uhuru unaoutaka utaupata na haja zako zitatimia.

★MAPACHA– GEMINI ♊ (May 21– Juni 20)

Biashara utakayifanya leo ni nzuri na yenye faida kubwa unachotakiwa kukifanya ni kuboresha mazingira ya biashara hiyo na utaona ajabu mambo yatakavyokuwa leo ni siku ya mabaha mpe nafasi umpendae.

•Haja zako zitatimia lakini kwa uzito uzito safari zako ni nzuri.

★★★★★★★★★★★★★★★
Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim niwatakie siku njema na mafanikio mema

MAALIM 💀☠️MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU KARIBU KUTAZAMA NYOTA YAKO ILI KUJUA MAISHA YAKO YOTE KWAUJUMLA

Matatizo ni mengi katika dunia lakini kila wakati tutashinda ikiwa tutaamua ndani ya nafsi zetu kushinda basi tutashinda

unaweza kuja inbox kwa msaada zaidi +255680249697

Ikiwa unavutiwa na masomo yaya basi jiunga nasi whatsapp kwa kubonyeza link ya group letu la whatsapp hapo chini

https://chat.whatsapp.com/Ln5DnmS977RHqM4Yx2KX3w?mode=ac_t

Address

Tanga
11000

Telephone

+255758669940

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Elimu ya Tiba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Elimu ya Tiba:

Share