Ihsaan Fm Radio

Ihsaan Fm Radio Ihsaan Fm Radio broadcasting live from Tanga Tanzania

Faidika kupitia Qauli za Wanazuoni.    1447H  .1
04/06/2026

Faidika kupitia Qauli za Wanazuoni.


1447H

.1

KHUTBA YA IJUMAA MASJID ANSAAR 19.
04/06/2026

KHUTBA YA IJUMAA MASJID ANSAAR 19.


RIPOTI YA MBIO ZA KILOMITA 10 KATIKA MAADHIMISHO YA EIDLeo tarehe 29 Mei 2026, ikiwa ni siku ya tatu ya maadhimisho ya E...
29/05/2026

RIPOTI YA MBIO ZA KILOMITA 10 KATIKA MAADHIMISHO YA EID

Leo tarehe 29 Mei 2026, ikiwa ni siku ya tatu ya maadhimisho ya Eid (Eid 3), Taasisi ya Ansaar Muslim Youth Centre (AMYC) imeandaa mbio za kilomita 10 jijini Tanga k**a sehemu ya michezo na shughuli mbalimbali za kusherehekea sikukuu hiyo.

Mbio hizo zilianzia Barabara ya 20 Taifa Road, ambapo washiriki wengi kutoka maeneo mbalimbali walijitokeza kushiriki katika mashindano hayo yaliyofanyika kwa ushindani mkubwa na nidhamu ya hali ya juu.

Lengo la mbio hizo lilikuwa kuhamasisha afya bora, kuimarisha mshik**ano wa jamii na kuibua vipaji vya michezo miongoni mwa vijana.

Katika hafla ya kufunga mashindano hayo, washindi watatu wa kwanza walitunukiwa zawadi, huku washiriki kumi bora pia wakikabidhiwa zawadi mbalimbali kwa kutambua juhudi zao na kuwahamasisha kuendelea kushiriki katika michezo.

Washiriki na wananchi waliohudhuria walipongeza maandalizi ya tukio hilo, wakieleza kuwa limechangia kuimarisha afya, umoja na mshik**ano katika jamii.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mawasiliano
Ansaar Muslim Youth Centre

MAELFU WAKUSANYIKA BUKOBA KUSWALI EID kWA UMOJA NA MSHIKAMANOWaumini wa Kiislamu mjini Bukoba wamejitokeza kwa wingi kat...
27/05/2026

MAELFU WAKUSANYIKA BUKOBA KUSWALI EID kWA UMOJA NA MSHIKAMANO

Waumini wa Kiislamu mjini Bukoba wamejitokeza kwa wingi katika Swala ya Eid iliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kashai, huku maelfu ya waumini wakihudhuria kwa pamoja katika hali ya utulivu, mshik**ano na furaha.

Swala hiyo imewakutanisha Waislamu kutoka taasisi mbalimbali za Kiislamu ikiwemo Ansaar Muslim Youth Centre (AMYC), Jamaat Ansaar Sunna Tanzania (JASUTA), The Islamic Foundation (TIF), pamoja na Markaz Tambihi, jambo lililoonesha umoja na ushirikiano mkubwa wa jamii ya Kiislamu katika mji huo.


27/05/2026

6.SALAMU ZA EID
"Tusherehekee kwa Umani na Upendo"..... Hii ni video kutoka Whatsapp kwa Tangazo la salamu za Eid ....


27/05/2026

5.SALAMU ZA EID

"Tusherehekee kwa Amani na Upendo"
..... Hii ni video kutoka katika Uwanja wa Lamore Tanga mjini ....


27/05/2026

EID YA LEO ILIVYOKUWA TANGA MJINI || AKH.JUMA NJAMA & AKH. RAJAB INTERVIEW.

27/05/2026

4.SALAMU ZA EID

"Tusherehekee kwa Umani na Upendo"
..... Hii ni video kutoka Whatsapp kwa Tangazo la salamu za Eid ....



Address

1542
Tanga
21105

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ihsaan Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share