Ihsaan Fm Radio

Ihsaan Fm Radio Ihsaan Fm Radio broadcasting live from Tanga Tanzania

MTANANGE WA KIMATAIFA.Mtanange utachezwa kati ya Timu mbili Tanzania na Kenya, Alhamis tarehe 25/09/2025 kuanzia saa 03:...
24/09/2025

MTANANGE WA KIMATAIFA.

Mtanange utachezwa kati ya Timu mbili Tanzania na Kenya, Alhamis tarehe 25/09/2025 kuanzia saa 03:00 asubuhi - saa 12:00 jioni. Mubashara 102.1 Redio Ihsaan fm na Ihsaan Tv YouTube.

CHANGIA MTANANGE KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO:

- NAMBA YA WANAUME 0677 042 878
- NAMBA YA WANAWAKE 0652 182 615
- KENYA +254 740 424 803

KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU:
NO. 0717451077


Faidika kupitia Qauli za Manabii.     1447H  .1
23/09/2025

Faidika kupitia Qauli za Manabii.


1447H

.1

22/09/2025

MAONYESHO YA SWALA YA KUPATWA KWA JUA/MWEZI.

MAONYESHO HAYA YAMEANDALIWA NA WANAFUNZI WA TAWHEED ISLAMIC ENGLISH MEDIUM PRE & PRIMARY SCHOOL KIGOMBE MUHEZA YA PWANI TANGA.



Kaimu Katibu mkuu Taasisi ya vijana Ansaar Tanzania (AMYC) Mwl, Shekeba Gilah amewaomba wazazi kuendeleza na kutunza ‎ta...
20/09/2025

Kaimu Katibu mkuu Taasisi ya vijana Ansaar Tanzania (AMYC) Mwl, Shekeba Gilah amewaomba wazazi kuendeleza na kutunza ‎tabia njema za wanafunzi zilotengenezwa kwa muda mrefu katika shule arafah primary school. ‎

‎Akizungumza katika mahafali ya 26 ya wanafunzi wahitimu wa elimu ya msingi wa shule ya arafah English medium primary school, Mwl Shekeba amesema katika kutengeneza tabia hizo amewapongeza waalimu kwa kazi kubwa walioifanya kwa kuwatengeneza wanafunzi hao kutoka katika shule hiyo wakiwa bora na imara kitabia na kitaaluma. ‎

‎Kwa upande wake Afisa afya kata Masiwani ambae ni mwenyekiti wa kamati ya shule ya Arafah English medium primary school bwana Yombo Shelufumo amewaomba wazazi kugharamia elimu kwa wakati ili kuepusha kukwamisha maendeleo yao kwa kusimamishwa masomo. ‎ ‎

Naye Afisa elimu wa kata ya Msambweni Bi Fatuma Kinyemi amewasisitiza wazazi kuendeleza kuwalea na kuwatunza wanafunzi wahitimu hao katika misingi na maadili waliotunzwa na waalimu wao pindi walipokuwa shuleni.



*Mudir wa Taasisi ya Ansaar Muslim Youth Centre Sheikh Salim Barahiyan ameupongeza Uongozi wa tawi la Kigombe kwa juhudi...
20/09/2025

*Mudir wa Taasisi ya Ansaar Muslim Youth Centre Sheikh Salim Barahiyan ameupongeza Uongozi wa tawi la Kigombe kwa juhudi za kukuza ufaulu wa wanafunzi wa shule ya Tawheed kukua kwa kasi na kuifanya shule hiyo kuwa bora.*

Akizungumza katika mahafali ya 17 ya shule ya Tawheed iliyopo kata ya Kigombe wilaya Muheza mkoa wa Tanga, ameupongeza uongozi na kuwataka kujipanga kwa ajili ya mfumo mpya wa elimu ambao unatarajiwa kuanza huku akisisitiza kuboresha mawasiliano kati yao na makao makuu ya taasisi ili kuweza kuleta maboresho ya pamoja.

Naye Afisa Elimu Kata Kigombe Seif Ally Mahiku amewataka wakazi wa Kigombe haswa wazazi wa wanafunzi kujitahidi kulipa michango kwa wakati ikiwemo ada za shule ili kutowapa wakati mgumu waendeshaji wa shule ya Tawheed sanjari na kufika shuleni ili kuweza kujadili maendeleo ya wanafunzi, kuboresha maadili na kutatua changamoto kwa pamoja.

Kwa upande wake Kiongozi wa tawi la Kigombe Sheikh, Yusuph Muhammad amewahimiza waumini kujitolea katika mambo ya kheri ili kujitengezea amali njema mbele ya mola wao, ikiwemo kuchangia ujenzi wa madarasa ya Tawheed ambayo yatatumika kujifunza dini.


.1

19/09/2025

WAZEE WAELEZEA HARAKATI ZA AMYC KIGOMBE.

20/09/2025 - GRADUATIO YA WAHITIMU WA DARASA LA SABA TAWHEED ISLAMIC PRIMARY SCHOOL.



18/09/2025

MALENGO YA TAASISI YA AMYC KUHUSU ELIMU SALIM BARAHIYAAN (Allah amuhifadhi).



“Tafautianeni na washirikina; punguzeni masharubu na fugeni (acheni) ndevu.”Faidika kupitia Qauli za Manabii.     1447H ...
17/09/2025

“Tafautianeni na washirikina; punguzeni masharubu na fugeni (acheni) ndevu.”

Faidika kupitia Qauli za Manabii.


1447H

.1

15/09/2025

TAWI LA KWAMICHI LAFANYA ZIARA YA KIELIMU - KANGE KASERA - SIKILIZA WATOTO WANAVYOWAKILISHA MADRASA ZAO.

AVICENNA IMEPENDEZA MASHAALLAH!
13/09/2025

AVICENNA IMEPENDEZA MASHAALLAH!

Address

1542
Tanga
21105

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ihsaan Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share