Ihsaan Fm Radio

Ihsaan Fm Radio Ihsaan Fm Radio broadcasting live from Tanga Tanzania

Faidika kupitia Qauli za Wanazuoni.     1447H  .1
26/11/2025

Faidika kupitia Qauli za Wanazuoni.


1447H

.1

SEMINA YA KIELIMU JIJINI TANGA.
26/11/2025

SEMINA YA KIELIMU JIJINI TANGA.



Faidika kupitia Qauli za Manabii.     1447H  .1
26/11/2025

Faidika kupitia Qauli za Manabii.


1447H

.1

24/11/2025

JE! JOTO NI KATIKA ALAMA ZA QIYAAMAH SALIM BARAHIYAAN (ALLAH AMUHIFADHI).

22/11/2025

KALIMA YA SHEIKH SALIM BARAHIYAAN - CHUO CHA UALIMU ARAFAH NI MFANO WA KUIGWA.

Mudir Markaz Kuu wa Taasisi ya Ansaar Muslim Youth Centre (AMYC), Sheikh Salim Barahiyan, amepongeza Chuo cha Ualimu Arafah kwa kuzalisha walimu mahiri na wenye nidhamu, na kukifanya kuwa miongoni mwa vyuo vya kuigwa nchini. Akizungumza leo Novemba 22, kwenye mahafali ya wahitimu wa mwaka 2025, Sheikh Barahiyan amesema chuo hicho kimeendelea kuipa heshima AMYC kutokana na walimu wake kuonesha uwezo mkubwa katika ufundishaji na maadili ya kazi.

Amefafanua kuwa mara kwa mara amekuwa akipokea pongezi kutoka maeneo mbalimbali, ikiwemo idara za serikali. Miongoni mwa pongezi hizo ni kutoka kwa Msimamizi wa Elimu Kanda ya Kaskazini, ambaye amesema umahiri wa walimu wanaozalishwa na chuo hicho umeendelea kurahisisha kazi kwa watendaji wa elimu kutokana na nidhamu yao pamoja na kiwango cha juu cha taaluma wanachokionesha.

Katika salamu zake kwa wahitimu, Sheikh Barahiyan amewahimiza kuongeza elimu ili waendane na mabadiliko ya sifa za ajira, akieleza kuwa ajira nyingi katika sekta ya elimu, hususan mashuleni, sasa zinahitaji kiwango cha kuanzia Diploma.

.1

Mudir Markaz Kuu wa Taasisi ya Ansaar Muslim Youth Centre (AMYC), Sheikh Salim Barahiyan, amepongeza Chuo cha Ualimu Ara...
22/11/2025

Mudir Markaz Kuu wa Taasisi ya Ansaar Muslim Youth Centre (AMYC), Sheikh Salim Barahiyan, amepongeza Chuo cha Ualimu Arafah kwa kuzalisha walimu mahiri na wenye nidhamu, na kukifanya kuwa miongoni mwa vyuo vya kuigwa nchini. Akizungumza leo Novemba 22, kwenye mahafali ya wahitimu wa mwaka 2025, Sheikh Barahiyan amesema chuo hicho kimeendelea kuipa heshima AMYC kutokana na walimu wake kuonesha uwezo mkubwa katika ufundishaji na maadili ya kazi.

Amefafanua kuwa mara kwa mara amekuwa akipokea pongezi kutoka maeneo mbalimbali, ikiwemo idara za serikali. Miongoni mwa pongezi hizo ni kutoka kwa Msimamizi wa Elimu Kanda ya Kaskazini, ambaye amesema umahiri wa walimu wanaozalishwa na chuo hicho umeendelea kurahisisha kazi kwa watendaji wa elimu kutokana na nidhamu yao pamoja na kiwango cha juu cha taaluma wanachokionesha.

Katika salamu zake kwa wahitimu, Sheikh Barahiyan amewahimiza kuongeza elimu ili waendane na mabadiliko ya sifa za ajira, akieleza kuwa ajira nyingi katika sekta ya elimu, hususan mashuleni, sasa zinahitaji kiwango cha kuanzia Diploma.

Kwa upande wake, Mkuu wa Chuo hicho, Mwl. Salim Mohamed Salim, amesema uongozi wa kitaaluma utaendelea kuimarisha utoaji wa elimu na kuhakikisha chuo kinaendelea kuwa ngazi muhimu ya kuzalisha walimu wanaoendana na mahitaji ya sasa. Amesema kwa kuwa sehemu kubwa ya jamii imechelewa kupata elimu, chuo kimejipanga kuongeza nguvu katika vitengo vya kitaaluma ili kuhakikisha kila mhitimu anakuwa tayari kushindana katika soko la ajira la ndani na nje ya nchi.

.1

MAHAFALI YA WAHITIMU WA UALIMU  CHUO CHA UALIMU ARAFAH TANAGA STREET 18 - TAREHE 22/11/2025.
21/11/2025

MAHAFALI YA WAHITIMU WA UALIMU CHUO CHA UALIMU ARAFAH TANAGA STREET 18 - TAREHE 22/11/2025.


21/11/2025

๐Ÿ’ซ KHUTBA YA IJUMAA

โ€ผUMUHIMU WA KUHIFADHI HESHIMA YA MTU NA MADHARA YA KUIVUNJA.
โ–ชNdani ya Khutba hii kuna kissa cha Watoto watatu waliozungumza wakiwa bado wachanga kwa ajili ya kuilinda heshima ya mwanadamu..... Pia imegusia watu wenye tabia ya kuvunja heshima za watu kwa sababu ya ukabila na madhara yake.

๐ŸŽค๐ŸŽ™
SHEIKH YAAKUB KOMBO
(Allah Amhifadhi)
๐Ÿ“๐Ÿ“ Masjid Ansaar bar ya 19 Tanga.
๐Ÿ—“ 30 - Jumadal-Ula - 1446H
๐Ÿ—“ 21 - November - 2025M

AMYC - Markaz Kuu


Address

1542
Tanga
21105

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ihsaan Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share