Ihsaan Fm Radio

Ihsaan Fm Radio Ihsaan Fm Radio broadcasting live from Tanga Tanzania

12/01/2026

KUKUSANYIKA USIKU WA ISRAA NA MI’RAJI NI UZUSHI HUSSEIN ABUBAKARI.

Faidika kupitia Qauli za Manabii.     1447H  .1
12/01/2026

Faidika kupitia Qauli za Manabii.


1447H

.1

Ofisi ya Katibu mkuu Ansaar Muslim Youth Centre imefanya kikao cha kiutendaji tarehe 10/01/2026 jijini Tanga kilichojumu...
10/01/2026

Ofisi ya Katibu mkuu Ansaar Muslim Youth Centre imefanya kikao cha kiutendaji tarehe 10/01/2026 jijini Tanga kilichojumuisha Kurugenzi ya Elimu,Wakuu wa shule,Wataaluma,Wahasibu,Idara ya hisba na Ofisi ya Mawasiliano Markaz Kuu kwa lengo la kuimarisha mikakati ya utendaji kazi mashuleni mwaka 2026.

Katibu mkuu wa AMYC Akhy Shekeba Gilah ametoa shukrani za dhati kwa viongozi wote waliohudhuria kikao na kuwataka wawe na umoja katika utekelezaji majukumu ya kusimamia shule zote Tanga mjini.
"Nisiposhukuru kwa hili nitakuwa nawakosea sana".

Kwa upande wake mkurugenzi wa elimu ya dini Sheikh Abubakar Qassim amewataka viongozi hao kuwa na Uadilifu,Usawa na haki kwa watendaji,Uwajibikaji,Ufuatiliaji wa Sheria, Uongozi wa Mfano,Uwezo wa kusimamia nidhamu.

Amemalizia kwa kuelezea umuhimu wa mkuu wa shule:
"Mkuu wa shule ni msimamizi na kiongozi wa muhimu sana anayehakikisha shule inakuwa na nidhamu,ufaulu wa kitaaluma na Malezi bora ya wanafunzi. Bila uongozi thabiti wenye nidhamu za uongozi na ujasiri wa mkuu wa shule, taasisi ya elimu hushindwa kufikia malengo yake na kitaasisi.




09/01/2026

💫 KHUTBA YA IJUMAA.

‼BIDAA ZIFANYWAZO NDANI YA MWEZI WA RAJÀB.
▪Sheikh awatahadharisha waislamu kutozidhulumu nafsi zao ndani ya mwezi mtukufu wa Rajabu na wajiepushe na bidaa zinazofanywa ndani ya mwezi huo.

🎤🎙
SHEIKH HUSSEIN ABUBAKARI
(Allah Amhifadhi)
📍📍 Masjid Ansaar bar ya 19 Tanga.
🗓 20 - Rajab - 1446H
🗓 09 - January - 2026M

AMYC - Markaz Kuu


08/01/2026

MAADUI HAWA NI HATARI SANA KWAKO ISMAIL RAJAB

06/01/2026

ONESHA SHUKRANI KWA ULIVYONAVYO UTAISHI KWA RAHA SANA || SHEIKH KOMBO ALLY FUNDI (Allah amuhifadhi).

Faidika kupitia Qauli za Wanazuoni.     1447H  .1
06/01/2026

Faidika kupitia Qauli za Wanazuoni.


1447H

.1

Address

1542
Tanga
21105

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ihsaan Fm Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share