Kilindi 24 - Zaidi ya Habari

Kilindi 24 - Zaidi ya Habari Kilindi 24 ni ukurasa maalum kwa ajili ya habari mbalimbali, elimu, burudani na fursa mbalimbali zil

26/08/2026

19/08/2026
πŒπ€ππŽπŠπ„π™πˆ π‘π€π’πŒπˆ π˜π€ π–π€π‰π”πŒππ„ 𝐖𝐀 π’π„πŠπ‘π„π“π€π‘πˆπ„π“πˆ π˜π€ π‚π‚πŒ π“π€πˆπ…π€Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinawapokea na  kuwakaribisha Rasmi Waju...
06/08/2026

πŒπ€ππŽπŠπ„π™πˆ π‘π€π’πŒπˆ π˜π€ π–π€π‰π”πŒππ„ 𝐖𝐀 π’π„πŠπ‘π„π“π€π‘πˆπ„π“πˆ π˜π€ π‚π‚πŒ π“π€πˆπ…π€

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinawapokea na kuwakaribisha Rasmi Wajumbe wapya wa Sekretarieti ya CCM Taifa,Makao makulu ya Chama cha Mapinduzi jijini Dodoma, leo Agosti 6, 2026, kwa ajili ya kuendelea kutekeleza majukumu rasmi ya Chama na kuwatumikia wananchi.

KARIBUNI SANA WAJUMBE!

Tembelea: www.ccm.or.tz
_____________


05/08/2026

Junior atavumiliwa au ubabe wa zamani utahusika πŸ˜ƒ?

Fatilia Zogo la wiki hii ukipata madini katika kuwakuza na kuwalea wakina Junior kutoka kwa Justine Kakoko na jinsi ya kumwandaa junior katika nyanja za kifedha kutoka kwa Bi Kinavi Seff.

Usikose Alhamisi hii kuanzia saa 3 Usiku ndani ya Clouds TV.



28/07/2026

Karagwe District Council

28/07/2026
πŸ§¨πŸ‡ΊπŸ‡Έ Donald Trump apongeza mafanikio ya Kombe la Dunia 2026, adai limevunja rekodi za mashindano yaliyopita. πŸ†Rais wa Mar...
21/07/2026

πŸ§¨πŸ‡ΊπŸ‡Έ Donald Trump apongeza mafanikio ya Kombe la Dunia 2026, adai limevunja rekodi za mashindano yaliyopita. πŸ†

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Kombe la Dunia 2026 limekuwa na mafanikio mara nne zaidi kuliko Kombe lolote la Dunia lililowahi kuandaliwa, na kuongeza kuwa taarifa alizopewa zinaonyesha mafanikio hayo yanaweza kuwa hata mara tano zaidi.

πŸ—£οΈ β€œKombe hili la Dunia limekuwa na mafanikio mara nne zaidi kuliko Kombe lolote la Dunia lililowahi kuandaliwa. Nimeambiwa leo kwamba huenda ni mara tano zaidi. Tunajivunia sana nchi yetu na kazi kubwa iliyofanywa na kila mmoja.” πŸ‡ΊπŸ‡Έ

Trump alihitimisha kwa kusema:

πŸ—£οΈ β€œHili limekuwa moja ya matukio makubwa zaidi kuwahi kuandaliwa katika historia, bila kujali aina ya tukio.” βœ¨πŸ†

πŸ‡ͺπŸ‡ΈπŸ† Mabingwa wapya wa Kombe la Dunia 2026, Hispania, sasa wamepanda hadi nafasi ya kwanza katika viwango vya ubora vya F...
21/07/2026

πŸ‡ͺπŸ‡ΈπŸ† Mabingwa wapya wa Kombe la Dunia 2026, Hispania, sasa wamepanda hadi nafasi ya kwanza katika viwango vya ubora vya FIFA/Coca-Cola (FIFA World Ranking).

Baada ya kutwaa taji la Kombe la Dunia kwa kuifunga Argentina fainali, Hispania imeiondoa Argentina kileleni na kurejea kuwa taifa namba moja duniani kwa mujibu wa viwango vipya vya FIFA.

Huu ni uthibitisho wa msimu bora wa Hispania, iliyofanikiwa kutwaa ubingwa wa dunia na sasa kutawala rasmi soka la kimataifa kwa mujibu wa viwango vya FIFA. 🌍⚽

Address

Tanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kilindi 24 - Zaidi ya Habari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share