Kilindi 24 - Zaidi ya Habari

Kilindi 24 - Zaidi ya Habari Kilindi 24 ni ukurasa maalum kwa ajili ya habari mbalimbali, elimu, burudani na fursa mbalimbali zil

Your holiday, simplified. From booking to special requests, our Twiga Holiday Desk makes every getaway seamless.Email us...
08/10/2025

Your holiday, simplified. From booking to special requests, our Twiga Holiday Desk makes every getaway seamless.

Email us at [email protected]

🌟 *KONGAMANO KUBWA* 🌟 Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binaf...
07/10/2025

🌟 *KONGAMANO KUBWA* 🌟

Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) wanakuletea kongamano la kitaaluma lenye hamasa kubwa!

🗓 Tarehe: Alhamisi, 9 Oktoba 2025

📍 Mahali: Ukumbi wa RUCU Main Hall – Iringa

🕒 Muda: Kuanzia saa 3:00 asubuhi

🎙 Mwongoza Mada: Tido Mhando

Watoa Mada: Prof. Musa Assad (MUM).
Prof. Humphrey Mushi (UDSM)
Sr. Prof. Chrispine Lekule (RUCU)
Prof. Samwel Wangwe (Daima)
David Kafulila (PPPC)
Mwajuma Hamza (TWCC)

Kaulimbiu: “Je, tunajenga Uchumi Jumuishi?”

🔥 Usikose! Tukutane RUCU - Iringa kujadili mustakabali wa Tanzania kuelekea Dira 2050.

Kamweneee Iringa! 🌄

02/10/2025
NBCPL 25/26 ➡️⚽Mchezo Umemalizika Simba SC 3⃣Namungo FC 0⃣⚽ Chamou⚽ De Reuck⚽ Mwalimu *Kwa Emoji Moja Hapa Umeyapokeaje ...
01/10/2025

NBCPL 25/26

➡️⚽Mchezo Umemalizika

Simba SC 3⃣
Namungo FC 0⃣

⚽ Chamou
⚽ De Reuck
⚽ Mwalimu

*Kwa Emoji Moja Hapa Umeyapokeaje Matokeo Haya?*⤵️

 🤣 🐸
30/09/2025

🤣 🐸

Kocha wa zamani wa klabu ya Simba SC, Al Ahli Tripoli na timu ya Taifa ya Botswana, Didier Gomes amefutwa kazi ya kuwa k...
22/09/2025

Kocha wa zamani wa klabu ya Simba SC, Al Ahli Tripoli na timu ya Taifa ya Botswana, Didier Gomes amefutwa kazi ya kuwa kocha wa Al Khor inayo shiriki ligi daraja la pili nchini Qatar baada ya Mfurulizo wa Matokeo mabaya ya klabu hiyo.

Arudi Msimbazi?
✅ Ndiyo
❎ Hapana

Mchezo wa kwanza Kwa siku ya Leo Wa NBCPL 25/26 umemaliza kwa Sokwe kutoka Kigoma klabu ya Mashujaa kutafuna miwa ya Mti...
21/09/2025

Mchezo wa kwanza Kwa siku ya Leo Wa NBCPL 25/26 umemaliza kwa Sokwe kutoka Kigoma klabu ya Mashujaa kutafuna miwa ya Mtibwa katika uwanja wa Lake Tanganyika.

Timu za Tanzania 🇹🇿 katika mechi za CAF:✅ Wiliete 0️⃣ ➖ 3️⃣ Yanga✅ El Merriekh 0️⃣ ➖ 2️⃣ Azam✅ Gaborone 0️⃣ ➖ 1️⃣ Simba✅...
20/09/2025

Timu za Tanzania 🇹🇿 katika mechi za CAF:

✅ Wiliete 0️⃣ ➖ 3️⃣ Yanga
✅ El Merriekh 0️⃣ ➖ 2️⃣ Azam
✅ Gaborone 0️⃣ ➖ 1️⃣ Simba
✅ Rayon 0️⃣ ➖ 1️⃣ Singida Bs

Msimamo wa Goli la Mama:
1️⃣ Yanga - Tshs 15m
2️⃣ Azam - Tshs 10m
3️⃣ Simba - Tshs 5m
4️⃣ Singida - Tshs 5m

Tanzania Ya Moto Kwenye Boli Kimataifa ⚽🔥

CAFCC ➡️ Rayon Sports 0⃣      Singida BS 1⃣⚽ TchakeiUmeuonaje Mchezo Wa Leo?
20/09/2025

CAFCC

➡️ Rayon Sports 0⃣
Singida BS 1⃣

⚽ Tchakei

Umeuonaje Mchezo Wa Leo?

INAELEZWA KUWA Klabu ya Ligi Kuu ya TABORA UNITED imeuzwa rasmi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na itajulikana k**a...
19/09/2025

INAELEZWA KUWA Klabu ya Ligi Kuu ya TABORA UNITED imeuzwa rasmi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na itajulikana k**a TRA UNITED SPORTS CLUB.

Timu itakuwa bado chini ya Manager wa TRA Mkoa wa Tabora mpaka mwezi Januari 2026 ambapo itahamia Dar es Salaam. Mameneja na watumishi wa TRA mikoa ambayo timu itacheza Ligi Kuu wamehamasishwa kuiunga mkono timu kwa kuipa hamasa. Timu hii ni mahususi kuhamasisha ulipaji wa kodi kwa hiari.

*Kwa Emoji Moja Hapa Umeipokeaje Taarifa Hii?*⤵️

Address

Tanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kilindi 24 - Zaidi ya Habari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share