Kilindi 24 - Zaidi ya Habari

Kilindi 24 - Zaidi ya Habari Kilindi 24 ni ukurasa maalum kwa ajili ya habari mbalimbali, elimu, burudani na fursa mbalimbali zil

28/11/2025

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi majina ya waamu*i watakaosimamia michezo ya Fainali za Kombe la...
27/11/2025

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi majina ya waamu*i watakaosimamia michezo ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zitakazofanyika Morocco πŸ‡²πŸ‡¦.

Waamu*i hawa wanatoka katika nchi mbalimbali barani Afrika, wakionyesha wigo mpana wa uzoefu na uwezo wa kusimamia mashindano makubwa ya kimataifa.

Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ na Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ ni miongoni mwa mataifa ambayo hayajapata nafasi ya kuwa na waamu*i kwenye michuano hii. Unadhani Kipi Kinapaswa Kuboreshwa Na Waamu*i Wetu?

Ni mara ya pili tu kwa Everton kuibuka na ushindi dhidi ya Manchester United katika safari zao 33 zilizopita kwenye Uwan...
25/11/2025

Ni mara ya pili tu kwa Everton kuibuka na ushindi dhidi ya Manchester United katika safari zao 33 zilizopita kwenye Uwanja wa Old Trafford.

Zaidi ya hapo, walifanikiwa hilo wakiwa na wachezaji 10 uwanjani kwa sehemu kubwa ya mchezo! 🍾πŸ”₯

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Futsal imefanya mazoezi katika uwanja wa Ynares Arena, Philippines kujiandaa na mchezo dhid...
25/11/2025

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Futsal imefanya mazoezi katika uwanja wa Ynares Arena, Philippines kujiandaa na mchezo dhidi ya Newzeland, fainali za Kombe la Dunia utakaochezwa Novemba 26, 2025.

Mchezo wa kwanza walipoteza kwa mabao 10 kwa 0 kutoka kwa timu ya Taifa ya Ureno.

Kwa MUJIBU wa Mario Cortegana anaripoti kuwa mazungumzo ya kuongeza mkataba kati ya Real Madrid na VinΓ­cius Jr yamekwama...
24/11/2025

Kwa MUJIBU wa Mario Cortegana anaripoti kuwa mazungumzo ya kuongeza mkataba kati ya Real Madrid na VinΓ­cius Jr yamekwama.

Klabu imekabidhi ofa ya kumongeza mshahara hadi takribani €20 milioni, lakini mchezaji amekataa. Baada ya hapo, uongozi wa Madrid ulimtaka Vini Jr atoa pendekezo lake, naye akataka mkataba mkubwa zaidi katika historia ya klabu, sawa na ule aliowahi kupata Cristiano Ronaldo.

24/11/2025
Hakuna mwenyeji aliyepoteza mechi ya kwanza ya Makundi ya CAF CL:Al Hilal πŸ‡ΈπŸ‡©2-1πŸ‡©πŸ‡Ώ Mc AlgerMamelodi πŸ‡ΏπŸ‡¦3-1πŸ‡¨πŸ‡© LupopoYanga πŸ‡Ή...
23/11/2025

Hakuna mwenyeji aliyepoteza mechi ya kwanza ya Makundi ya CAF CL:

Al Hilal πŸ‡ΈπŸ‡©2-1πŸ‡©πŸ‡Ώ Mc Alger
Mamelodi πŸ‡ΏπŸ‡¦3-1πŸ‡¨πŸ‡© Lupopo
Yanga πŸ‡ΉπŸ‡Ώ1-0πŸ‡²πŸ‡¦ AS FAR
EspΓ©rance πŸ‡ΉπŸ‡³0-0πŸ‡²πŸ‡± S.Malien
Al Ahly πŸ‡ͺπŸ‡¬4-1πŸ‡©πŸ‡Ώ Kabylie
Pyramids πŸ‡ͺπŸ‡¬3-0πŸ‡³πŸ‡¬ Rivers Utd
Berkane πŸ‡²πŸ‡¦3-0πŸ‡ΏπŸ‡² P.Dynamos

LEO:
Simba πŸ‡ΉπŸ‡Ώ vs πŸ‡¦πŸ‡΄ Petro De Luanda

Unayaona Magoli Mangapi?

Msimamo wa Kundi BπŸ‡ͺπŸ‡¬ Ahly - Pts 3πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Yanga - Pts 3πŸ‡©πŸ‡Ώ Kabylie - Pts 0πŸ‡²πŸ‡¦ AS FAR - Pts 0
23/11/2025

Msimamo wa Kundi B

πŸ‡ͺπŸ‡¬ Ahly - Pts 3
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Yanga - Pts 3
πŸ‡©πŸ‡Ώ Kabylie - Pts 0
πŸ‡²πŸ‡¦ AS FAR - Pts 0

21/11/2025

Rais Dkt. Samia amewasili Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) tarehe 21 Novemba, 2025 tayari kuelekea Arusha kwa ajili ya kutunuku kamisheni kwa Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kesho tarehe 22 Novemba, 2025 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli.

Klabu ya Yanga SC imetoa u*i wake itakaoutumia kwa mechi za Klabu Bingwa Barani Afrika kwa msimu wa 2025/26.U*i upi mkal...
19/11/2025

Klabu ya Yanga SC imetoa u*i wake itakaoutumia kwa mechi za Klabu Bingwa Barani Afrika kwa msimu wa 2025/26.

U*i upi mkali hapa?

A. 🟒U*i wa nyumbani
B. 🟑 U*i wa ugenini
C : Jezi Namba 3

 *i
17/11/2025

*i

Address

Tanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kilindi 24 - Zaidi ya Habari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share