Kilindi 24 - Zaidi ya Habari

Kilindi 24 - Zaidi ya Habari Kilindi 24 ni ukurasa maalum kwa ajili ya habari mbalimbali, elimu, burudani na fursa mbalimbali zil

Edmund John amejiunga na Young Africans akitokea Singida Black Stars.Edmund tayari yupo nchini Rwanda na Kikosi cha Yang...
14/08/2025

Edmund John amejiunga na Young Africans akitokea Singida Black Stars.

Edmund tayari yupo nchini Rwanda na Kikosi cha Yanga kwa ajili ya tamasha la RAYON SPORTS DAY itakayofanyika Agosti 15 katika uwanja wa Amahoro.

Unauonaje Usajili Huu?

Azam FC wamethibitisha Kukamilisha usajili wa Kiungo Sadio Kanoute.Kanoute ni Mali ya Azam FC hadi 2027.
12/08/2025

Azam FC wamethibitisha Kukamilisha usajili wa Kiungo Sadio Kanoute.

Kanoute ni Mali ya Azam FC hadi 2027.

➑️ Droo ya Kombe la Shirikisho barani Afrika Kwa Timu za Tanzania Hatua Ya AwaliEl Merriekh Bentiu πŸ‡ΈπŸ‡Έ πŸ†š πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Azam FcRayon ...
09/08/2025

➑️ Droo ya Kombe la Shirikisho barani Afrika Kwa Timu za Tanzania Hatua Ya Awali

El Merriekh Bentiu πŸ‡ΈπŸ‡Έ πŸ†š πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Azam Fc
Rayon Sports πŸ‡·πŸ‡Ό πŸ†š πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Singida Black Stars
As Port πŸ‡©πŸ‡― πŸ†š KMKM (Znz)

➑️ Droo Ya Ligi Ya Mabingwa Afrika Kwa Timu za Tanzania Hatua Ya Awali

Eth. Insurance πŸ‡ͺπŸ‡Ή πŸ†š Mlandege (Znz)
Gaborone Utd πŸ‡§πŸ‡Ό πŸ†š πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Simba Sc
Wiliete Benguela πŸ‡¦πŸ‡΄ πŸ†š πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Yanga Sc

Unadhani itakua michezo ya namna gani?

AFRICAN NATIONS CHAMPIONSHIP 2024➑️ Mchezo Umemalizika πŸ‡²πŸ‡·0οΈβƒ£πŸ‡ΉπŸ‡Ώ1βƒ£βš½ KapombeUmeuonaje Mchezo Wa Leo?
06/08/2025

AFRICAN NATIONS CHAMPIONSHIP 2024

➑️ Mchezo Umemalizika

πŸ‡²πŸ‡·0️⃣
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ1⃣

⚽ Kapombe

Umeuonaje Mchezo Wa Leo?

Kwa Mujibu wa Fabrizio Romano anaripoti kuwa Benjamin Ε eΕ‘ko amekubaliana kikamilifu na Manchester United kuhusu masharti...
06/08/2025

Kwa Mujibu wa Fabrizio Romano anaripoti kuwa Benjamin Ε eΕ‘ko amekubaliana kikamilifu na Manchester United kuhusu masharti binafsi ya mkataba. Mkataba huo utaendelea hadi Juni 2030.

Ε eΕ‘ko anataka kujiunga na United, jambo hilo limeonekana wazi tangu jana hapa. Hajawahi kutoa ishara k**a hiyo kwa klabu nyingine.

Unauonaje Usajili Huu? Una Kipi Cha Kuzungumza Shabiki wa Man United

06/08/2025
Mahak**a ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imemhukumu kifungo cha maisha jela Isacka Masheku (33), mkulima na mkazi wa k...
06/08/2025

Mahak**a ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imemhukumu kifungo cha maisha jela Isacka Masheku (33), mkulima na mkazi wa kijiji cha Malya, wilayani humo baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kulawiti watoto wawili wa kiume wenye umri wa miaka 7 na 9.

Mshtakiwa huyo kwa mara ya kwanza alifikishwa mahak**ani Julai 23, 2025 na kusomewa mashtaka na wakili wa Serikali, Juma Kiparo katika kesi ya jinai namba 17942/2025, ikielezwa kuwa alitenda makosa hayo mwezi Mei, 2025 katika kijiji cha Malya, wilayani Kwimba kwa nyakati tofauti.

Credit

Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania,  Mbwana Samatta ametangazwa rasmi kujiunga na Klabu ya Havre inayoshiriki Ligi Kuu...
05/08/2025

Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta ametangazwa rasmi kujiunga na Klabu ya Havre inayoshiriki Ligi Kuu nchini Ufaransa πŸ‡«πŸ‡· akitokea Klabu ya POK FC iliyopo Ugiriki πŸ‡¬πŸ‡·.

Samatta ameweka rekodi ya kuwa Mchezaji wa kwanza kutokea Tanzania kusajiliwa na timu ya Ligi Kuu nchini Ufaransa.

Wajumbe arusha jimbo 10186 na waliopiga kura ni 9276, kura zilizoharibika ni 11 na kura halali zilizopigwa ni 9265Paul m...
04/08/2025

Wajumbe arusha jimbo 10186 na waliopiga kura ni 9276, kura zilizoharibika ni 11 na kura halali zilizopigwa ni 9265

Paul makonda 9056
Mustafa 83
Gonga 46 ali babu 28 aminata 26 mgweno 16 kishumbua 10

Team ushindi imeshinda tukutane arusha πŸ”₯πŸ”₯

Matokeo ya mechi zote za jana za AFRICAN NATIONS CHAMPIONSHIP (CHAN2024)
04/08/2025

Matokeo ya mechi zote za jana za AFRICAN NATIONS CHAMPIONSHIP (CHAN2024)

Address

Tanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kilindi 24 - Zaidi ya Habari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share