Kilindi 24 - Zaidi ya Habari

Kilindi 24 - Zaidi ya Habari Kilindi 24 ni ukurasa maalum kwa ajili ya habari mbalimbali, elimu, burudani na fursa mbalimbali zil

*PONGEZI KWA UTEUZI WA NDG. UMMY MWALIMU KUWA MSHAURI WA RAIS MASUALA YA AFYA YA UZAZI, MAMA NA MTOTO*Jumuiya ya Umoja w...
02/06/2026

*PONGEZI KWA UTEUZI WA NDG. UMMY MWALIMU KUWA MSHAURI WA RAIS MASUALA YA AFYA YA UZAZI, MAMA NA MTOTO*

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) ikiongozwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) unampongeza Ndg. Ummy Mwalimu kufuatia kuaminiwa na kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwa Mshauri wa Rais katika masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto.

Uteuzi huu ni uthibitisho wa uzoefu wake mkubwa, weledi, uzalendo na mchango wake uliotukuka katika sekta ya afya nchini. Katika nyadhifa mbalimbali alizowahi kuzitumikia, ameonesha uwezo wa kipekee katika kusimamia na kuimarisha huduma za afya, hususani zinazohusu afya ya uzazi, mama na mtoto.

Tunaamini kuwa kupitia nafasi hii mpya, ataendelea kutoa ushauri wenye tija utakaosaidia kuimarisha sera, mipango na huduma za afya kwa manufaa ya wananchi, hususani wanawake, watoto na familia kwa ujumla.

Hongera sana Ndg. Ummy Mwalimu kwa uteuzi huu muhimu na wa heshima. Mungu akubariki na akuongoze katika utumishi wako.

02/06/2026
31/05/2026

Diddy heard DMX rap and said no.“His voice too rough and you’re not marketable.”He said it to DMX’s face. The Ruff Ryder...
30/05/2026

Diddy heard DMX rap and said no.

“His voice too rough and you’re not marketable.”

He said it to DMX’s face. The Ruff Ryders executive had told Diddy: “If you like The Lox, you’re gonna love X.” Diddy wasn’t convinced.

DMX didn’t hold a grudge.

“One thing I respect about Puff is that at least he told me to my face what he felt.”

Irv Gotti at Def Jam was the only one who believed. His own associates laughed at the suggestion. He threatened to quit his job if they didn’t sign DMX. They signed him.

In 1998, DMX released It’s Dark and Hell Is Hot. Number 1 on the Billboard 200. Months later he released Flesh of My Flesh, Blood of My Blood. Number 1 again. First rapper in history to release two number 1 debut albums in the same year.

When Diddy heard Def Jam was about to sign him he called DMX immediately and offered double the money.

DMX turned him down.

The voice Diddy called unmarketable sold over 30 million records worldwide.


📌 Sources: Drink Champs · Vibe · Cheat Sheet · FandomWire · Yahoo Entertainment

Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana Mag...
26/05/2026

Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana Magufuli amefariki dunia Mei 25, 2026, Chato Mkoani Geita baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Address

Tanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kilindi 24 - Zaidi ya Habari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share