History And Amazing Things

History And Amazing Things A reference site for Historical events, Amaizing nature, Herbs, News Updates, Affairs & Sports tips.

  SAYARI YETUInakadiriwa kwanzia 02 August hadi September16, dunia itapitia kipindi cha kupatwa kwa jua.Tukio ambalo lin...
22/07/2025

SAYARI YETU
Inakadiriwa kwanzia 02 August hadi September16, dunia itapitia kipindi cha kupatwa kwa jua.

Tukio ambalo linatukia kwa mwezi kukatisha usawa wa jua, na baadhi ya maeneo kukumbwa na giza mchana litakalodumu kwa takribani dakika6-10.


Lakini pia, kipindi k**a hicho mwezi utashuhudiwa ukiwa mzima "full" kwa muonekano wa rangi nyekundu tofauti na rangi yake iliyozoeleka.
Wakiita (Blood moon)

 Today in HistoryπŸ”„1951- July15, Amezaliwa nguli wa muziki wa Reggae mzaliwa wa Jamaica wakuitwa  .Huyu kwasasa ni hayati...
15/07/2025


Today in History
πŸ”„
1951- July15, Amezaliwa nguli wa muziki wa Reggae mzaliwa wa Jamaica wakuitwa .

Huyu kwasasa ni hayati, (Mwaka 2010 ndio umauti ulimfika).

  Today Birthday!πŸ”„Anaitwa , Dj na mwimbaji wa Reggae waki-Jamaika amezaliwa tarehe na siku k**a ya Leo, Mwaka1973.
15/07/2025

Today Birthday!
πŸ”„
Anaitwa
, Dj na mwimbaji wa Reggae waki-Jamaika amezaliwa tarehe na siku k**a ya Leo, Mwaka1973.

 πŸ‘‰ This month: Helgoland-Zanzibar Treaty, (July 1, 1890), arrangement between Great Britain and Germany that defined the...
15/07/2025


πŸ‘‰ This month: Helgoland-Zanzibar Treaty, (July 1, 1890), arrangement between Great Britain and Germany that defined their respective spheres of influence in eastern Africa and established German control of Helgoland,
(Zanzibar)

The Islamic New Year is also known as the Hijri New Year. The day marks the beginning of the new lunar Hijri year and also the day on which the year count is increased. Most Muslims around the globe mark the first day of the month of Muharram as the start of the Islamic year. This year the first day of the Islamic New Year will be marked on July 7(tentative)

World chocolate day: The day is observed on July 7 as on this date in 1550, chocolate was first brought to Europe. World Chocolate Day is celebrated in different countries on different days.

Global Forgiveness Day on July 7, also known as International Forgiveness Day, is a relatively new observance dedicated to promoting forgiveness and reconciliation on a global scale. The exact origin and history of Global Forgiveness Day are not well-documented, but forgiveness as a concept has deep roots in various cultures and religions.

World Population Day is observed annually on 11 July to focus attention on the urgency and importance of population issues.

World Youth Skills Day is celebrated on 15 July every year to raise awareness about the importance of technical, vocational education & training and the development of other skills relevant to both local and global economies.

World Day for International Justice is observed annually on 17 July every year. It is also known as the Day of International Criminal Justice or International Justice Day. This day recognises the emerging system of international criminal justice.

death July 19, 1898, Iringa Region, 9july 1954 skull return, now preserved at kalenga museum iringa.

  TODAY IN HISTORY:Happy World Swahili Day" LEO ni siku ya lugha ya   duniani, ambapo huadhimishwa sambamba na sikukuu y...
07/07/2025

TODAY IN HISTORY:
Happy World Swahili Day"


LEO ni siku ya lugha ya duniani, ambapo huadhimishwa sambamba na sikukuu ya kibiashara (SABASABA) 07/07.

Nchi zinazozungumza Lugha hii kwa ufasaha katika mawasiliano, ni:
(Lugha ya taifa)


Burundi
Congo
Malawi nk.

  ARCHITECTUREIt is Apartmentbuilt under highway bridge, or  Highway bridge built over apartments in Nanming District, 🀷...
15/06/2025

ARCHITECTURE

It is Apartment
built under highway bridge, or Highway bridge built over apartments in Nanming District, πŸ€·β€β™‚οΈ Guyana, ChinaπŸ‡¨πŸ‡³

This project, Surprising many tourists visiting in that place in china!

  HII YA RONALDO NI OFFSIDE AU SIO OFFSIDE!?Christiano Ronaldo alionekana kabisa kuwepo eneo la kuotea kulikaribia lango...
09/06/2025

HII YA RONALDO NI OFFSIDE AU SIO OFFSIDE!?

Christiano Ronaldo alionekana kabisa kuwepo eneo la kuotea kulikaribia lango zaidi ya mlinzi wa timu ya Ujerumani, Hivyo kusubiri hadi VAR ithibitishe vinginevyo.

Lakini ni kuwa wakati akitengewa pasi na mchezaji mwenza wa ureno, alionekana yupo nyuma ya mpira, ingawa katika muonekano wa macho alikuwa kwenye eneo linalomzidi mlinzi wa mwisho wa ujerumani (offside position).

wa sheria za FIFA zinazosimamia mpira wa miguu (football) ni kuwa: Endapo mchezaji atakuwa nyuma ya mpira wakati akipewa pass atakuwa yupo ONSIDE" hivyo mpira ulikuwa mbele ya ronaldo ingawa alipatikana eneo linalotafsiriwa k**a offside..

(FIFA rules: "A player is not offside if he is behind the ball when the ball is being passed.)
πŸ“Š VAR checked β€” the result: Ronaldo ONSIDE!
Cc: Marlick

KWA AFRIKA TIMU ZIMEDHULUMIWA SANA KWA HILI...πŸ˜‚βœ
tujifunze kwa hili jamani!

πŸ‘€   LAW THAT DEFINE GRAVITY: πŸ‘‰ Is this possible, without pump or electricity drive....πŸ€·β€β™‚οΈπŸ˜‚Source: "A plastic barrel can...
07/06/2025

πŸ‘€ LAW THAT DEFINE GRAVITY: πŸ‘‰ Is this possible, without pump or electricity drive....πŸ€·β€β™‚οΈπŸ˜‚

Source: "A plastic barrel can draw deep well water without electricity or a pump."

  HERBS AND HEALTH TIPS:Pichani ni mmea uitwao mgunga (Kitaalamu - Acacia Nilotica) huu wenye mauwa ya njano.Ipo mingine...
14/05/2025

HERBS AND HEALTH TIPS:
Pichani ni mmea uitwao mgunga (Kitaalamu - Acacia Nilotica) huu wenye mauwa ya njano.

Ipo mingine ya aina nyingine ila kwa dawa nayokueleza tumia huu: Mgunga huu ni ya afya ya uzazi kwa jinsia zote, kwa wanaume huondoa shida ya kumaliza tendo upesi (premature eja**lation) kurekebisha homoni testosterone, na kwa wanawake husaidia kurekebisha pia homoni (hormone) ya estrogen pamoja na kusaidia kurekebisha mzunguko wa kila mwezi.

Pia mmea huu, unaeleza kitaalamu kusaidia na kutibu maradhi mbalimbali ya kwenye mwili hususani yale yahusuyo viungo vya mwili na maumivu.

Matumizi: Chukua majani yake yatwange, na uweke kwenye sufuria uchemshe jikoni na utumie k**a chai, mara mbili (asubuhi kabla hujala chochote, na usiku ukilala lisaa1 baada yakula na kabla ya kulala)
Source:

  AFYA TIPS:JE! WAJUA MINYOO KUZIDI TUMBONI NDIO CHANZO CHA MATATIZO YAKO MENGI KIAFYA.Na.Stewart MeenaHebu kwanza jiuli...
28/04/2025

AFYA TIPS:
JE! WAJUA MINYOO KUZIDI TUMBONI NDIO CHANZO CHA MATATIZO YAKO MENGI KIAFYA.
Na.
Stewart Meena
Hebu kwanza jiulize ni lini ilikuwa mara yako ya mwisho kunywa dawa za minyoo? Au kumpa mtoto wako dawa za minyoo?

Inawezekana kabisa sababu kuu ya changamoto hizo za kiafya unazozipitia zikawa zimesababishwa na MINYOO tu iliyoko ndani ya mwili wako.

Unapokuwa na minyoo mingi tumboni, ule mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula unakuwa hautendi kazi sawa sawa ndio maana changamoto nyingi huwa zinajitokeza.

Mtu yeyote anapaswa kunywa dawa ya minyoo, , watu wazima, mama wajawazito-ikishauriwa na daktari pekee.

INATAKIWA KUNYWA DAWA HII KWA MUDA GANI!? πŸ€”
Miezi6 hadi mwaka1 kwa watu wazima na watoto na hii ni mahususi ikiwa unaishi kwenye mazingira hatarishi yanayosababishwa na maji machafu, kula nyama za kuchoma na ambazo hazijaiva vizuri, kula bila kunawa mikono kwa maji safi na sabuni au vitakasa mikono nk.

KIPI HUTOKEA K**A USIPOKUNYWA DAWA ZA MINYOO NA WADUDU WA TUMBO kwa muda mrefu!?
-uchovu kupita kiasi mara kwa mara
Kuumwa na tumbo mara kwa mara
Kupungukiwa damu (Anemia)
Ngozi kuparara, kutoka vipele (skin infections)
Kupungua uzito, tumbo kujaa gesi, meno kusuguana usiku.
Kuhara mara kwa mara na kwa watoto kudumaa, na kutokuimarika kiakili.

MAMBO YA KUEPUKA:
Safisha mikono kabla ya kula, usile matunda ambayo hayakuoshwa na maji safi ikiwemo na mbogamboga.
Punguza kutembea peku maeneo hatarishi yenye bakteria,
Usinywe maji machafu, usile nyama ambazo hazikuiva vizuri na samaki.
Mwisho usicheze muda mrefu na wanyama wafugwao k**a paka na mbwa( πŸ• 🐈 )

TIBA ZA MINYOO NA WADUDU WA TUMBO: (πŸͺ± πŸ’Š)
Kuna dawa za mitishamba na kuna dawa za mahosipitalini... "wataalamu wanazifahamu" waone kwa ushauri na matibabu.

Dawa zitolewazo hospitali kutibu minyoo ni pamoja na: , , (kwa tapeworms, flukes!)

Baadhi ya minyoo huweza kukuwa sentimita (centimetre) 30 hadi 180, au hata mita3 k**a ilivyo minyoo aina ya tegu nk. Ambao hawa hukuwa kuanzia mita3 hadi 6.

Source:
At WeCure Pharmacy, (Zambia)
πŸ“ž Call or WhatsApp Us on: +260779115205

 CAF Champion League: Ladies and Gentlemen..  the bride and groom are finally here..πŸ€©βš½οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸ‡ΏπŸ‡¦ Kitaanza kuumana, afrika k...
25/04/2025


CAF Champion League: Ladies and Gentlemen.. the bride and groom are finally here..πŸ€©βš½οΈπŸƒβ€β™‚οΈ

πŸ‡ΏπŸ‡¦ Kitaanza kuumana, afrika kusini May24 mchezo wa kwanza kisha fainali ni kule Misri mnamo mwezi June2025.

Address

Chumbageni
Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 04:30

Telephone

+255778291375

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when History And Amazing Things posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to History And Amazing Things:

Share

Category