History And Amazing Things

History And Amazing Things A reference site for Historical events, Amaizing nature, Herbs, News Updates, Affairs & Sports tips.

From Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ™πŸ‘
01/01/2026

From Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ™πŸ‘

  AFCON round 16, take a shape'✍Nani,Wak**alia: Unamuona akiaga hapa mapema...!?πŸ˜‰πŸ˜Š
01/01/2026

AFCON round 16, take a shape'
✍Nani,
Wak**alia: Unamuona akiaga hapa mapema...!?πŸ˜‰πŸ˜Š

31/12/2025

Ilikuwa Sekunde, Dakika, Masaaa, Siku, Wiki' Miezi na hatimae.. imebakia Masaa, Dakika Sekunde.. kuingia mwaka mwingine..✍

HAPPY NEWYEAR 2026 KWENU NYOTE'πŸ‘πŸ™
πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡¬

  SAYANSI:🀩 Hii inafikirisha wandugu: Ikiwa wanasayansi wanatuambia na wamethibitisha dunia inazunguka kwa 24hrs (Earth ...
31/12/2025

SAYANSI:
🀩 Hii inafikirisha wandugu: Ikiwa wanasayansi wanatuambia na wamethibitisha dunia inazunguka kwa 24hrs (Earth s Rotation) na siku 365/6 kwa mwaka1 (Earth's Revolution).

Swali ni kuwa kwanini ndege zibebazo abiria zisingepaa na kutulia sehemu moja na kusubiri dunia ikiwa inajizungusha 'kutumia compass direction'
na kutua eneo
walilokuwa wakilitarajia.πŸ€” (sunrise - sunset!πŸ˜ŽπŸ˜‰)

  HONGERA TAIFA STARS πŸ‡ΉπŸ‡ΏBaada ya matokeo ya sare ya leoTunisia 1 VS 1 Tanzania, kupitia kipengele cha best loser' na aki...
30/12/2025

HONGERA TAIFA STARS πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
Baada ya matokeo ya sare ya leo
Tunisia 1 VS 1 Tanzania, kupitia kipengele cha best loser' na akiwa na jumla ya point2' Tanzania imetinga rasmi hatua ya 16 bora.

Kwa tiketi hiyo ya kufuzu 16 bora 'AFCON2025' sasa, atakipiga na wenyeji Morocco Jan04, 2027.πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Best Wishes!πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώβœ

  πŸ‘€β˜„Timu ya taifa la  ' imekuwa timu hadi sasa kujihakikishia hatua ya 16 bora, huku ikiwa haijashinda mchezo hata mmoja...
30/12/2025

πŸ‘€β˜„
Timu ya taifa la ' imekuwa timu hadi sasa kujihakikishia hatua ya 16 bora, huku ikiwa haijashinda mchezo hata mmoja wala kupoteza.

πŸ€©πŸ‘ Kifupi michezo3 waliocheza, wametoa draw zote na wamefuzu!!? Akili mtu wangu😎

 Kiutani utani mwenetu sana   katusua bet yake bhana!!!πŸ€©πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ’ͺ Hii ndio maana ya bet kiataarabu!Jamaa kutoka Nigeria aliwe...
24/12/2025


Kiutani utani mwenetu sana katusua bet yake bhana!!!🀩
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ’ͺ Hii ndio maana ya bet kiataarabu!

Jamaa kutoka Nigeria aliweka ubashiri wake huo kwa kusema: Nigeria na Tanzania watafungana 'GG' kwa dau la 25.000/= ushindi 95.000/=

Kweli mchezo uliopigwa jana Nigeria 2vs 1 Tanzania.πŸ’ͺ🀩

Wak**alia' muwe mnamfuatisha davido akiweka bet, na nyie muweke bhana! (Sure odds)😎

 SASA ETI WATU WANABISHANA "JE YESU ALIZALIWA TAREHE 25?"Na hili ni janga kubwa: na kengeuko la kiroho na kiimani haswa ...
24/12/2025


SASA ETI WATU WANABISHANA "JE YESU ALIZALIWA TAREHE 25?"

Na hili ni janga kubwa: na kengeuko la kiroho na kiimani haswa kwa waKristo (maFarisayo na waPinga Kristo hii haiwahusu) ambao kila msimu wa CHRISTMASS, Watu wanakazana kwenye majibizano 'kubishana' kwamba
β€œYesu hakuzaliwa tarehe 25.” ni sikuu ya Mungu jua (ikiasisiwa na wapagani wa kirumi)

FACT: Iwe kweli au siyo kweli, ni inje ya msimamo wako kiimani 'non of your concerns' ilhali haibadilishi msimamo wako usitake kubadilisha msimamo wa wengine.

Huwezi kusoma juujuu k**a unasoma riwaya, hadithi au tamthilia.... biblia ni fumbo, inayoitaji maarifa ya kiroho kuweza kuisoma na kuielewa ila k**a na wewe usomaji wako ni ule wa kukariri mstari mmoja huwezi kuielewa kamwe hadi umauti wako.

MUHIMU KUHUSU CHRISTMAS NI:

Ukisoma: WAKOLOSAI 2:16
> β€œBasi mtu asiwahukumu ninyi kwa ajili ya chakula au kinywaji, au kwa habari ya SIKUKUU, au mwandamo wa mwezi, au sabato.”

Hapo Biblia imeweka mstari wazi:
USIHUKUMU MTU KWA SABABU YA SIKUKUU FULANI.

WARUMI 14:5
β€œMtu mmoja AONA SIKU MOJA KUWA BORA KULIKO NYINGINE, mtu mwingine AONA SIKU ZOTE KUWA SAWA; kila mtu na athibitike sana hakika yake mwenyewe.” NENO (Kila mmoja awe na hakika na yale anayoamini)

Anayetaka kusherekea β€” ASHEREKEE
Asiyetaka kusherekea β€” AKAE KWA KUTULIA na sio kupitia unachokiamini wewe sasa ujipe mamlaka ya KUHUKUMU wengine, unajikuta Mungu mtu au!?
Hukumu ni ya Mungu: Mathayo 7:1-5 (hapo mmeitwa wanafiki, acheni unafiki)

Awali 25/12 ilichukuliwa k**a siku ya mungu jua.” ba wapagani wa rumi ya kale. K**a unaamini huyo mungu jua, basi hiyo ni imani yako na upo sahihi pia k**a Biblia ilivyosema hapo (na wala hujakosea umepatia kabisa kwa mujibu wa biblia)

Usiishie hapo endelea na ufafanuzi: Biblia inasema hivi β€œK**a wewe unaamini kusherekea β€” SHEREKEA KWA BWANA.
K**a huamini β€” KAA KIMYA KWA BWANA.”

β€œYEYE AADHIMISHAYE SIKU, HUIADHIMISHA KWA BWANA; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; TENA ASIYEKULA, HALI KWA BWANA, naye pia amshukuru Mungu.”
β€” Warumi 14:6 (Biblia Takatifu)

Yesu alituhusia:
β€œMpende jirani yako k**a uipendavyo nafsi yako.”πŸ’ͺ

Hata vitabu vitakatifu vinatufundisha kuwa umoja ni agizo la Mungu na msingi wa maisha ya kijamii yenye amani. Wafilipi 2:2 – β€œTimizeni furaha yangu kwa kuwa na nia moja, mkiwa na upendo mmoja" Qur’an 3:103 – β€œShik**aneni kwa kamba ya Mwenyezi Mungu nyote wala msifarikiane.

MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA KATIKA MAPOKEO YETU WANADAMU.....πŸ™

from various sources!

 The Tanzanian   @ Manjereee' Maasai🀩 Hivindivyo wachezajiwa taifa starsπŸ‡ΉπŸ‡Ώ walivyoingiaMorocco, uwanja wa 'Mohamed V'πŸ‘πŸ’ͺ
22/12/2025


The Tanzanian @ Manjereee' Maasai🀩 Hivi
ndivyo wachezaji
wa taifa starsπŸ‡ΉπŸ‡Ώ walivyoingia
Morocco, uwanja wa 'Mohamed V'πŸ‘πŸ’ͺ

  AFCON' 2025 - MOROCCOMichuano ya AFCON  kwa mataifa ya Afrika kuanza kutimua vumbi hii leo kwa Wenyeji kukipiga na Com...
21/12/2025


AFCON' 2025 - MOROCCO

Michuano ya AFCON kwa mataifa ya Afrika kuanza kutimua vumbi hii leo kwa Wenyeji kukipiga na Comoro
Kesho kuoigwa game3, ikiwemo ya Mali vs Zambia..'
Ratiba kamili✍ mzunguko wa kwanza pichani'β˜„

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ kutupa karata yao ya kwanza siku ya Jumanne, kukipiga dhidi ya Nigeria.πŸ’ͺ let's go

 Kabla na Baada ya Manchester United kushinda mchezo wao wa jana usiku (vs Wolverhampton) 4-1,   huyu alitoa ahadi ya ku...
09/12/2025


Kabla na Baada ya Manchester United kushinda mchezo wao wa jana usiku (vs Wolverhampton) 4-1, huyu alitoa ahadi ya kunyoa nywele zake endapo wakishinda michezo mitano '5' mfululizo.
βœ…Wolves (a)
Michezo itakayofuata ni k**a ifuatavyo:
πŸ‘€ Bournemouth (h)πŸ”„
πŸ‘€ Aston Villa (a) πŸ”„
πŸ‘€ Newcastle United (h) πŸ”„
πŸ‘€ Wolves (h)πŸ”„

Swali ni je! kwa unavyoifahamu Man United, wataweza kushinda michezo yao hiyo minne iliyobakia!?πŸ€·β€β™‚οΈ
Na usisahau
kwasasa ni wa motoβ˜„ balaa! katoka kumchapa Arsenal 2-1πŸƒβ€β™‚οΈπŸ§­

Address

Chumbageni
Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 04:30

Telephone

+255778291375

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when History And Amazing Things posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to History And Amazing Things:

Share

Category