
12/08/2025
NATURE
: Kibaolojia inaaminika na wataalamu pamoja na jamii tofauti kuwa inzi huwa anabeba kutoka sehemu moja na kupeleka sehemu nyingine.
Inzi (A fly) hutofautiana na maeneo wanakopatikana, ikiwa wapo zaidi ya aina 100 ya inzi tofauti, lakini mashuhuri ni hizi mbili kuu "inzi wapatikanao majumbani mwetu kwa wingi-pichani, na wale wengine wapatikanao kwenye mizoga ya wanyama na kinyesi-chooni.
Wadudu hawa, huweza kutumika kwa uzuri pia: , ukienda buchani hakikisha nyama inayofatwa na inzi "hiyo ni fresh" na ambayo haifuatwi na nzi". (HII NI KWELI KABISA KIUTAFITI)
Ila katika kupitia "hadithi" mfano zilizochambuliwa kutoka kitabu cha (kwa waislamu) wanachambua jambo lingine kuhusu inzi huyu, wanasema "Endapo inzi akitumbukia kwenye kinywaji au chakula unamzamisha zaidi ndani kisha umtoe na umtupe hapo utakua umeepuka maradhi! Na unaweza kuendelea kunywa kinywaji hicho.
NB: Hii inaelezwa katika "hadithi" na sio Quran, ambapo kwenye Quran inaeleza "kumuepuka nzi sababu hubeba vimelea vya magonjwa na ni mchafu"
Hii ipoje mdau!?
Sababu ya kufanya hivyo hizo mbalimbali husema inzi bawa moja bakteria na bawa la pili huaelezwa limebeba kinga (antidote)" π€π³
Haya
"watabibu" mkuje hapa mtuambie hii ina ukweli!?π€·ββοΈβ
Please na wengine nao wajifunze jambo hapa!