History And Amazing Things

History And Amazing Things A reference site for Historical events, Amaizing nature, Herbs, News Updates, Affairs & Sports tips.

 (๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น?? โœ…)  wa Sasa wanajielewa sana, na hakuna mtu atakae wachochea kwa viashiria vya udini vinavyoendelea.Wakristo n...
24/11/2025


(๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น?? โœ…)

wa Sasa wanajielewa sana, na hakuna mtu atakae wachochea kwa viashiria vya udini vinavyoendelea.

Wakristo na Waislamu wameoleana karne na karne, hivyo bado wamoja na hata izo hawakuzijua kwa umuhumu na kutaka kuleta utengano k**a kina na wengineo. Wanaotaka kutuhamisha kutoka kwenye hoja za (zile zinazotuumiza k**a taifa) yeye analeta udini! ' aangaliwe uraia huyu (Kina Bakonzi Tanzania, mbona k**a mrundi, mkongo au mrwanda huyu)๐Ÿ˜‚

na walizileta tu, japo kuna wengine ukiwagusa ukiwaambia wameletewa na hao wanabisha' hapo ndio utashangaa๐Ÿ˜ด๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ฅ

ni kwamba: Mungu wetu awe ni mmoja au sio mmoja, bado umoja wetu na mshik**ano k**a utaendelea kuwepo, na tunatakiwa tuwapinge kwa kauli moja mambo yao ya udini wasituletee huku.

ndie mshindi wa mapambano haya tuitunze Tanzania yetu, ukristo au uislamu kwetu havina nafasi linapotokea suala la umoja wetu na mshikano kwajiri ya kutunza na kulinda taifa letu la Tanzania.

Mkristo anamuita muislamu anamchinjia kuku, muislamu anasheherekea Christmas na Pasaka' mkristo naye Iddi zote... hiyo ndio Tanzania iliyozoeleka.๐Ÿ’ช๐Ÿ‘

Bwana Yesu asifiwe ndugu zangu waislamu, Asalam Aleikhum ndugu zangu wakristo' Tumsifu Yesu kristo maShekh..
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ’ช sisi ni wa moja'.

21/11/2025

Time for weeps ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ utu, upendo na uzalendo wetu watanzania haupo k**a awali" Maombi yako kwa taifa'๐Ÿ™
Chanzo ni sisi watanzania'

 (AFRICA YETU)Inaendelea....Kuongoza watu kunahitaji busara na akili na sio mabavu kwa kutumia cheo, nafasi, hadhi au ma...
19/11/2025


(AFRICA YETU)

Inaendelea....
Kuongoza watu kunahitaji busara na akili na sio mabavu kwa kutumia cheo, nafasi, hadhi au mamlaka uliyonayo pamoja na kutoa kauli za vitisho.

Ikizingatia kwamba uongozi ni dhamana ya muda kubaliwa kwa kufuata katiba ya nchi ambayo hii kimsingi ndio sheria mama ya kuongoza idara na taasisi zote kwenye nchi husika.

Mfano: Kutokubali kukosolewa hakukujengi zaidi kunakutengenezea maadui wengi zaidi 'uasi' ambao chanzo chake ni huku kupuuziwa na kutokusikilizwa hoja uliyonayo.

hatua zilizopendekezwa kutumika katika awamu hii nyingine ya uongozi kwa miaka mingine mitano. Lakini nitahadharishe huenda hali ikawa tofauti kimitazamo, itikadi na kiutendaji..

Kwanini nasema hivyo: Katika uumbwaji hatuko sawa na hatuwezi kuwa sawa kwa namna tunavyotofautiana "kiakili, kiuwezo wa kufikiri na kuchakata mambo nk."

Hata taaluma tulizonazo kimsingi na zinaamua nikwanamba gani mtu awe mfanisi kwa nafasi au sehemu yake ya utendaji.

Kuna wasomi waliobobea kwa nafasi zao walizonazo (kinadharia na kiutendaji) na tunawale wengine (wasio na maybe taaluma ila wana uzoefu kwenye nafasi husika)

Mfano mwingine: ukifuatilia matukio wa Hawa wakuitwa ' Ukifikiri sana unaweza kusema hawa wasiojulikana ni jeshi la polisi wenyewe!

Maana sikuhizi hakuna utaratibu wa kumk**ata mtu' mtu anak**atwa kienyeji, na taarifa kuzagaa 'mtu katekwa' na wasiojulikana ndio Polisi wanajitokeza kusema tunamshikilia.. ๐Ÿ˜ฅ

Nchi nyingine kumk**ata mtu kunatakiwa kuwe na warrant maalumu' au RB ya polisi, na wanaokuja wanakuja na sare maalumu za polisi' sio suti hizi nyeusi wanazozivaa huku kwetu hazina utambulisho na wanakuja nazo mtaani kuk**ata watu.

Kisheria: mtu yeyote hana hatia mbele ya sheria mpaka mahak**a ithibitishe kuwa anayohatia (hata k**a ni muhalifu)
K**a katiba ba sheria zilizopo hazielekezi hivyo, hivyo kila kitu ni batili!

 Today In History"Support for men and boys" siku ya Wanaume duniani huadhimishwa siku k**a ya leo 19 November, kila mwak...
19/11/2025


Today In History

"Support for men and boys" siku ya Wanaume duniani huadhimishwa siku k**a ya leo 19 November, kila mwaka awali ikifanyika 1990's....๐Ÿ’ช
๐Ÿฅ‚ Cheers Men!๐Ÿป ๐Ÿ’ช

 ๐Ÿšจ RASMI: Timu zilizopata nafasi ya kushiriki FIFA World Cup 2026Kutoka CONCACAF๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฝ Mexico๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Marekani๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ CanadaKutoka Asia...
17/11/2025


๐Ÿšจ RASMI: Timu zilizopata nafasi ya kushiriki FIFA World Cup 2026

Kutoka CONCACAF
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฝ Mexico
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Marekani
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ Canada

Kutoka Asia (AFC)
๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ต Japan
๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท Iran
๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ท Korea Kusini
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡บ Australia
๐Ÿ‡ถ๐Ÿ‡ฆ Qatar
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฟ Uzbekistan
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฆ Saudi Arabia
๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ด Jordan

Kutoka Afrika (CAF)
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Morocco
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Senegal
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Misri
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Algeria
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Ivory Coast
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Tunisia
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Afrika Kusini
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ป Cape Verde
๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ Ghana

Kutoka Amerika Kusini (CONMEBOL)
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท Argentina
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท Brazil
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ด Colombia
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡พ Uruguay
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡จ Ecuador
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡พ Paraguay

Kutoka Oceania (OFC)
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฟ New Zealand

Kutoka Ulaya (UEFA)
๐Ÿด England
๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Ufaransa
๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ท Croatia
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น Ureno
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Norway

Hadi sasa, mataifa haya tayari yalmethibitisha ushiriki wao 'fainali Kombe la Dunia 2026!' inayoandaliwa na mataifa matatu (Marekani, Canada na Mexico)

 (AFRIKA YETU)Haki + Maadili + Sheria (Justice, Ethics & Laws): ni mambo makuu matatu yeye kulibeba taifa na ikikosekana...
07/11/2025


(AFRIKA YETU)

Haki + Maadili + Sheria (Justice, Ethics & Laws): ni mambo makuu matatu yeye kulibeba taifa na ikikosekana kimoja wapo hapo lazima kutakuwepo na kundi fulani litakalo-neemeka na lipo kundi lingine litakalo-umizwa, na jingine litakua halielewi wapi lishikilie au liachilie.

ipo hivi: imebeba 'usawa na ukweli' ikisimamiwa na maadili ya nyanja zote pamoja na sheria. Maadili na sheria inazalisha tamaa, chuki, visasi, ufisadi na vifo, ambapo vyote hivi kwa pamoja ni k**a mimba iliyokomaa na kuzalisha kiumbe kiitwacho (Ukosefu wa amani)..

UKOSEFU WA AMANI: hauna CHAMA, hauna DINI, hauna UMRI au RIKA, hauna KABILA, hauna JINSIA' wote wanakuwa wahanga na waathiriwa wa amani hiyo iliyopotezwa.
โœ.Meena
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Inawezekana sasahivi kuna mioyo ya watu waliobeba chuki, visasi, hasira na maumivu, wapo wengine mioyo yao imebeba furaha, amani na usalama wa kipato kwa familia zao kulingana na wakati uliopo.

Swali la kujiuliza hapa ni: unazotoa zitajenga au kubomoa!?
Ukweli: Siku zote lawama (kulaumiana) hakutatui tatizo, ipokuwa Huwa zinaongeza tatizo.

Kilichotokea Tanzania' kisichukuliwe kwa lawama za kuelekeza upande fulani kuwa wao ndio wakulaumiwa zaidi kwenye hilo lililotokea isipokuwa kutafutwe kujua chanzo cha hayo ni nini au kipi!?. Kisha kutafutwe dawa au tiba ya kutibu tatizo husika.
"Wanasiasa, Wanausalama, Wananchi, Diaspora, Viongozi wa dini, Media, Wasanii nk." Wote tunawajibika kwa hilo lililotokea.

Huwezi kutibu ikiwa hujui chanzo' kwani ni sawa na kwenda hospitali daktari anakuuliza unaumwa nini? Unajibu sijui nachoumwa docta!๐Ÿงญ hapo daktari hawezi kukupa tu dawa, bali itabidi afanye vipimo vyote kung'amua ugonjwa ndio autibu.

Haya maswala kisiasa, utasema ni mbinu na mipango ya wapinzani kutuchafua!๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ ukiyachukulia kiimani, kikabila au kiuraia utasema upande wa pili pia..

Genocide ya Rwanda !?
Vurugu za zanzibar (ccm na cuf) wakati ule baada ya uchaguzi ilikuwaje? (Mataifa mengine ya Afrika, Libya, Nigeria, Congo DRC - imekuwaje!?)

ni tunu ambayo inatakiwa kulindwa kwa gharama zozote, ukiipoteza kuirudisha ni kazi kwelikweli na wakati mwingine ni ndoto kurejea.

Ni wakati ufaao sasa wa pande zote haswa kwa viongozi waliopo madarakani, wanasheria na vyama husika vya siasa Tanzania. Kurudi tena hawa wananchi ambao ndio wamewapa dhamana ya kuwaongoza kwani wanahoja ambazo kimsingi au kwa makusudi hamtaki kuwasikiliza kwa nguvu ya mamlaka mlizonazo.

Swali ni!: wakasemee wapi ikiwa nchi yao wenyewe kupitia taasisi zake (pillars of state) hazitaki kuwasikiliza.?

Kazi ya bunge ni ipi!? Mahak**a ni ipi!? Serekali kazi yake ni ipi!?๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ

Majibu ya hilo swali" unagundua mzizi wake upo kwenye KATIBA' swali je' katiba inajitosheleza kwa wakati tuliopo bila kulenga maslahi ya upande mmoja!? Au inahitaji 'amendment'

Je! Katiba inaelezea mipaka ya kila kimojawapo!? Katiba hiyo je! Kila mhimili unaifuata inavyotakikana!? ๐Ÿ˜ด

Chanzo cha tatizo kipo hapaa: mfano. sheria, anavutia upande wake (ili sheria hiyo isimbane inapotokea amevuka mipaka yake ya kiuongozi au mamalaka)
sheria anaongoza kuvunja hizo sheria!
Sasa unategemea vipi kwa huyu mliyemtungia sheria kutaka azifuate ilhali nyie dola wenyewe hamzifuati!?
Itaendelea..........

We're both on difficult situations... as media' s house people.... not only in Tanzania but also around African countrie...
06/11/2025

We're both on difficult situations... as media' s house people.... not only in Tanzania but also around African countries... (needs changes)
for every victim... whose lost their lives'

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ sorry for those who lost their beloved ones 'siblings' etc.
TODAY'S BEST WAYS TO START AGAIN..๐Ÿ’ช together we can'

  NATURE   : Kibaolojia inaaminika na wataalamu pamoja na jamii tofauti kuwa inzi huwa anabeba   kutoka sehemu moja na k...
12/08/2025

NATURE

: Kibaolojia inaaminika na wataalamu pamoja na jamii tofauti kuwa inzi huwa anabeba kutoka sehemu moja na kupeleka sehemu nyingine.

Inzi (A fly) hutofautiana na maeneo wanakopatikana, ikiwa wapo zaidi ya aina 100 ya inzi tofauti, lakini mashuhuri ni hizi mbili kuu "inzi wapatikanao majumbani mwetu kwa wingi-pichani, na wale wengine wapatikanao kwenye mizoga ya wanyama na kinyesi-chooni.

Wadudu hawa, huweza kutumika kwa uzuri pia: , ukienda buchani hakikisha nyama inayofatwa na inzi "hiyo ni fresh" na ambayo haifuatwi na nzi". (HII NI KWELI KABISA KIUTAFITI)

Ila katika kupitia "hadithi" mfano zilizochambuliwa kutoka kitabu cha (kwa waislamu) wanachambua jambo lingine kuhusu inzi huyu, wanasema "Endapo inzi akitumbukia kwenye kinywaji au chakula unamzamisha zaidi ndani kisha umtoe na umtupe hapo utakua umeepuka maradhi! Na unaweza kuendelea kunywa kinywaji hicho.
NB: Hii inaelezwa katika "hadithi" na sio Quran, ambapo kwenye Quran inaeleza "kumuepuka nzi sababu hubeba vimelea vya magonjwa na ni mchafu"

Hii ipoje mdau!?

Sababu ya kufanya hivyo hizo mbalimbali husema inzi bawa moja bakteria na bawa la pili huaelezwa limebeba kinga (antidote)" ๐Ÿค”๐Ÿ˜ณ
Haya
"watabibu" mkuje hapa mtuambie hii ina ukweli!?๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธโœ
Please na wengine nao wajifunze jambo hapa!

  LONG JOURNEYFAHAMU:Inaelezwa hii ndio njia ya   ndefu zaidi katika karne hii ya 21, ambapo huanzia safari yake nchini ...
12/08/2025

LONG JOURNEY
FAHAMU:
Inaelezwa hii ndio njia ya ndefu zaidi katika karne hii ya 21, ambapo huanzia safari yake nchini (Portugal) katika mji wa Lagos kukatisha nchi ya Singapore "kusini mashariki mwa bara la Asia, "bara la Ulaya" na kukatisha kaskazini mwa Asia hadi kusini

Treni hii kwenye jumla ya nchi13, ambazo miongoni mwazo ni:
Ureno, Hispania, Ufaransa, Ujerumani, Poland, Belarus, Mongolia, China, Laos, Thailand, Malaysia na Singapore.
Credit:

  NATURE:FAHAMU: Ndege kunguru huwatumia siafu na wadudu wengine wauamao kujitibia pindi awapo mgonjwa!?Hii inaweza kuku...
11/08/2025

NATURE:
FAHAMU: Ndege kunguru huwatumia siafu na wadudu wengine wauamao kujitibia pindi awapo mgonjwa!?

Hii inaweza kukushangaza kidogo lakini ni ukweli, na ajabu kidogo kuhusu hulka ya ndege hawa "kunguru".

Kunguru anapohisi kuwa mgonjwa kwa kushambuliwa na vimelea maradhi, hutafuta walipo siafu na kuruhusu mwili mzima hususani kwenye manyoya yake, kitaalamu wadudu hao hutoa kemikali ya " na majimaji miilini mwao k**a mate huwa na ya kupambana na vimelea hivyo ambayo huleta maradhi kwa kunguru.
(Ikisababishwa na : Fungi, bacteria, & skin parasites)

Tabia hii ya ndege huyu huelezwa na wa ndege kuwa ni ya upekee ukilinganisha na ndege wengine ya pasi na kutumia mimea balimbali au madawa.

Huu ni wa mazingira yetu, na maisha ya tuliyopewa viumbe wote na yaliyotuzunguka kwenye mazingira yetu.
Please or us for more updates like this one๐Ÿ™

  SAYARI YETUInakadiriwa kwanzia 02 August hadi September16, dunia itapitia kipindi cha kupatwa kwa jua.Tukio ambalo lin...
22/07/2025

SAYARI YETU
Inakadiriwa kwanzia 02 August hadi September16, dunia itapitia kipindi cha kupatwa kwa jua.

Tukio ambalo linatukia kwa mwezi kukatisha usawa wa jua, na baadhi ya maeneo kukumbwa na giza mchana litakalodumu kwa takribani dakika6-10.


Lakini pia, kipindi k**a hicho mwezi utashuhudiwa ukiwa mzima "full" kwa muonekano wa rangi nyekundu tofauti na rangi yake iliyozoeleka.
Wakiita (Blood moon)

Address

Chumbageni
Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 04:30

Telephone

+255778291375

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when History And Amazing Things posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to History And Amazing Things:

Share

Category