
08/06/2025
DIAMOND PLATNUMZ NA BIEN KUACHIA WIMBO USIKU HUU
Mwanamuziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz Ameandika kupitia ukurasa Wake wa Instagram kuwa Leo Usiku ataachia Wimbo Akiwa na Msanii Bien kutoka Nchini Kenya
Ni Muda mrefu msanii huyo Kushiriki katika Wimbo na Wasanii kutoka Kenya hii imezua furaha Kubwa kwa Wakenya na Watanzania
Diamondplatnumz 🇹🇿 X 🇰🇪 Bienaimesol
Unahisi nani atamfunika mwenzake..?