
20/06/2025
Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha@actwazalendo_official Janeth Rithe, anaendelea kufanyiwa mahojiano usiku huu katika kituo cha polisi cha Central Dar es Salaam, baada ya kujisalimisha mapema hii leo Juni 20, 2025.
Imeelezwa kuwa, awali maafisa wa polisi walifika zilipo ofisi za chama hicho Magomeni Dar es Salaam, lakini hawakumkuta na kuacha ujumbe, ambapo baadaye alitii wito huo na kujisalimisha mwenyewe.